Recent posts
13 April 2026, 10:53
Mwanaume anaweza kuzungumzia ukatili wa kijinsia anaofanyiwa?
Matendo ya ngono yatakayosababishwa kwa maneno au matendo na mtu aliye na madaraka katika sehemu ya kazi au sehemu nyingine yoyote, atakuwa ametenda kosa la udhalilishaji wa kijinsia. Na Mariam KasawaUmoja wa Mataifa unafafanua kuwa ukatili wa kijinsia ni kitendo…
9 April 2026, 17:25
Sigara/shisha huchangia magonjwa ya moyo kwa vijana
Unywaji wa pombe pamoja na uvutaji wa sigara umetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazo sababisha ongezeko la magonjwa ya moyo, hususani kwa wanaume. Na Bennard Filbert. Hayo yameelezwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Jakaya Kikwete Cardiac Institute, Dkt. Peter…
9 April 2026, 17:06
Viongozi wa umma watakiwa kuendelea kuzingatia maadili
Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma ni taasisi iliyo chini ya ofisi ya rais kwa kusimamia maadili ya viongozi wa umma katika uwajibikaji wa shughuli mbalibali. Na Jerome John. Viongozi wa umma nchini wamekumbushwa kuendelea kuzingatia suala la maadili…
9 April 2026, 14:02
Tunawezaje kukomesha ukatili wa kijinsia unao tokana na athari za mabadiliko ya…
Na Mariam Kasawa. Umoja wa Mataifa, ambao umebaini kuwa mabadiliko ya tabianchi yanazidisha msongo wa kijamii na kiuchumi unaochochea kuongezeka kwa viwango vya vurugu dhidi ya wanawake na wasichana. Ripoti hiyo inaonesha kuwa hali mbaya ya tabianchi, kuhama makazi, ukosefu…
9 April 2026, 13:08
Jamii yatakiwa kujenga ushirikiano na tume ya haki za binadamu
Tume ya Haki za Binadamu kwa mujibu wa Katiba ya nchi ibara ya 129 mpaka ibaraya 131 imeainisha majukumu kwa ujumla na namna ambavyo utekelezwaji wake ulivyo na kupitia utekelezwaji huo jamii hupata maendeleo kwa kushirikiana na viongozi pasipo kuvunja…
8 April 2026, 12:26
Upungufu wa dawa zahanati ya Manchali kilio kwa wananchi
Wameiomba serikali kupitia wizara ya Afya kuwasaidia dawa za kutosha katika zahanati hiyo ili wananchi waepukane na adha kwenda kununua dawa nje ya hospitali. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji Cha Manchali A wameiomba Serikali kuboresha upatikaji wa huduma ya…
8 April 2026, 11:56
Mtindo wa maisha unaathiri vipi afya ya akili?
Katika majadiliano haya, tutaangazia jinsi mtindo wa maisha unavyoweza kuathiri afya ya akili . Afya ya akili ni sehemu muhimu ya ustawi wa jumla wa mwanadamu. Ni hali ya akili kuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto za maisha, kufikia…
8 April 2026, 11:35
Ndogowe barabara yaharibiwa na mvua
Changamoto ya miundombinu mibovu ya barabara imepelekea wagonjwa kushindwa kufika hospitali kwa wakati pamoja usafiri kuwa washida. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji Cha Ndogowe wilayani Chamwino wameiomba Serikali kukarabati miundombinu ya barabara zilizo haribiwa na mvua na kupelekea adha…
2 April 2026, 17:25
Jamii gizani mpango mabinti waliojifungua kurudi shule
Mwaka 2022 serikali ilitoa waraka wa wananafunzi wa kike wanaopata ujauzito kurejea mara baada ya kujifungua . Na Steven Noel. Wadau wa Elimu Katika kata nne za wilaya ya Mpwapwa wamesema bado mkakati uliotolewa na serikali wa kuwarejesha shule wanafunzi waliopata…
2 April 2026, 17:10
Wanahabari watakiwa kuhabarisha umma majukumu ya sekretarieti ya maadili
Semina hiyo imefanyika Dodoma na kupendekezwa kwa mipango kazi baina ya waandishi na sekereterieti hiyo kuona namna bora ya kuongeza juhudi za uhabarishaji jamii katika masuala ya maadili,uwajibika ,uzalendo,uwazi na uadilifu kwa viongozi wa umma na jamii kwa ujumla. Na…