Dodoma FM

Wajasiriamali waeleza kunufaika na elimu ya biashara

8 August 2023, 5:06 pm

Picha ni wajasiriamali hao waliopata mafunzo ya biashara. Picha na Yussuph Hassan

Shirika la Wanawake na Uchumi wa Viwanda Wauvi limekuwa mnyororo wa kuwakutanisha wajasiriamali mbalimbali na kuwapa elimu juu ya ujasiriamali na namna ya kukabiliana na masoko ya kiuchumi.

Na Yussuph Hassan.
Wajasiriamali kutoka maeneo mbalimbali Dodoma wanajivunia mafanikio mbalimbali kupitia elimu ya biashara waliyoipata kupitia shirika la wanawake na uchumi wa viwanda Dodoma.

Wameyabainisha hayo wakati wakizungumza na Taswira ya Habari katika maonesho ya nane nane yanayoendelea katika viwanja vya nzuguni jijini Dodoma.

Sauti za wajasiriamali.

Picha ni mmoja wa wajasiriamali hao akieleza jinsi alivyo nufaika na mafunzo ya biashara. Picha na Yussuph Hassan.

Licha ya mafanikio hayo wajasiriamali wameelezea changamoto mbalimbali wanazokabiliana katika shughuli wanazozifanya.

Sauti za wajasiriamali .

Nao viongozi wa Shirika la Wanawake na Uchumi wa Viwanda WAUVI walikuwa na haya ya kusema.

Sauti za viongozi.