2 April 2025, 6:00 pm

Jamii yatakiwa kutowaita watu wenye ulemavu majina yasiyofaa

Kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, asilimia 11.2 ya watu wote nchini wana ulemavu, idadi hiyo imeongezeka kutoka asilimia 9.3 ilivyokuwa katika sensa ya mwaka 2012. Na Lilian Leopord.Katika jamii, lugha ina nguvu kubwa katika kuunda…

On air
Play internet radio

Recent posts

18 December 2025, 4:29 pm

Wakuu wa wilaya, wakurugenzi watakiwa kuboresha miundombinu ya shule

Mhe Senyamule amesema halmashauri zote na mkoa kwa ujumla kiwango kwa ufaulu Dodoma kimepanda. Na Yussuph Hassan. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametoa shime kwa wakuu wa wilaya, wakurugenzi na wadau wengine katika sekta ya elimu kuendelea kuhakikisha…

18 December 2025, 4:10 pm

Mahudhurio hafifu mkutano wa mtaa mwenyekiti avunja kikao

Mkutano ulioitishwa ulikuwa na ajenda muhimu kama vile ardhi hivyo ni vigumu kuendesha ajenda hizo muhimu na kuchangia na mawazo ya watu wachache. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa Ihumwa A wametakiwa kuhudhuria mikutano ya mtaa ili kushiriki maamuzi…

18 December 2025, 3:53 pm

Wanawake watakiwa kueleza changamoto michakato ya kupata mkopo

Wanawake wa Jukwaa walioshiriki katika kikao hicho wamemshukuru Waziri Dkt. Gwajima kwa kuwapa nafasi ya kusikilizwa. Na Mariam Matundu. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka wanawake katika vikundi mbalimbali kueleza changamoto…

17 December 2025, 5:02 pm

Izack Enterprises yaja na ofa msimu wa sikukuu

Na Bennard Komba. Kampuni inayojihusisha na uuzaji wa vifaa vya kielektroniki Izack Enterprises iliyopo Dodoma imekuja na ofa za msimu wa sikukuu lengo ni kuwa karibu na wateja katika huduma zao ambazo wamekuwa wakitoa. Muandishi wetu Benard Komba ametembelea katika…

17 December 2025, 4:47 pm

WAZAMAM waadhimisha siku 16 za kupinga ukatili

Siku 16 za kupinga ukatili huadhimishwa kila mwaka kuanzia novemba 25 hadi desemba 10 ambapo chama hicho kimeamua kuadhimisha siku hiyo mwanzoni mwa jumahili desemba 15 mwaka huu. Na Mariam Matundu.Chama cha ushirika cha wakulima wa Zabibu na masoko (WAZAMAM)…

17 December 2025, 3:47 pm

Senyamule: Limeni mazao yanayostahimili mvua chache

Maagizo hayo yanatokana na kauli iliyotolewa na mamlaka ya hali ya hewa Tanzania TMA hivi karibuni juu ya utabiri wa muelekeo wa msimu wa mvua za vuli na mvua za msimu kwa kipindi cha Oktoba 2025 hadi Desemba 2025 na…

17 December 2025, 3:15 pm

Tanzania kituo cha mafunzo ya vijana Afrika mabadiliko tabianchi

Uamuzi huo unaifanya Tanzania kuwa kituo cha vijana cha Umoja wa Afrika kwa ajili ya kuwajengea uwezo na maarifa katika masuala ya tabianchi. Na Mwandishi wetu Tanzania imechaguliwa kuwa kituo cha mafunzo ya vijana wa Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi…

16 December 2025, 5:23 pm

Wenye ulemavu waonesha mwamko utoaji mawazo

Mikakati na miongozo iliyowekwa na serikali pia imechagiza watu wenye ulemavu kushiriki katika mikutano ya ngazi za maamuzi. Na Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa kumekuwa na mwamko mkubwa kwa watu wenye ulemavu kushiriki katika kutoa mawazo yao katika mikutano ya kijamii…

16 December 2025, 4:50 pm

Nidhamu ya fedha kikwazo kwa vijana kufikia malengo

Mwandishi wetu Benard Komba amefanya mahojiano na Celine Condrady mkufunzi wa tabia na malezi Pamoja na Mshauri wa Watoto na vijana ameanza kwa kumuuliza nini maana ya nidhamu ya fedha. Na Benard KombaKutokuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha imetajwa…

16 December 2025, 4:17 pm

Mpwapwa wataka zimamoto kuwakumbuka

Wananchi hao wameiomba Serikali kuchukua hatua za haraka ili kulinusuru eneo hilo na majanga ya moto yanayoweza kusababisha hasara kubwa zaidi. Na Steven Noel. Wananchi wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwapatia gari la zimamoto na uokoaji ili…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger