2 April 2025, 6:00 pm

Jamii yatakiwa kutowaita watu wenye ulemavu majina yasiyofaa

Kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, asilimia 11.2 ya watu wote nchini wana ulemavu, idadi hiyo imeongezeka kutoka asilimia 9.3 ilivyokuwa katika sensa ya mwaka 2012. Na Lilian Leopord.Katika jamii, lugha ina nguvu kubwa katika kuunda…

On air
Play internet radio

Recent posts

9 January 2026, 4:48 pm

Wazazi watakiwa kuwaandikisha watoto shule 2026

Kwa mujibu wa Sheria ya Mtoto Na. 21 ya Mwaka 2009 pamoja na Sheria ya Elimu Na. 25 ya Mwaka 1978 (iliyofanyiwa marekebisho, mtoto mwenye umri wa kuanzia miaka 6 anatakiwa kuandikishwa kuanza elimu ya msingi. Ni wajibu wa mzazi…

9 January 2026, 4:24 pm

Migodi ya Manyemba na Nayu yahitaji nishati ya umeme

Wachimbaji hao wamesema ukosefu wa umeme umekuwa ukikwamisha shughuli zao za katika migodi hiyo. Picha na Mwananchi. Wameongeza kuwa endapo watapatiwa huduma ya umeme katika machimbo hayo itasaidia kukuza uwekezaji na kurahisisha uchimbaji. Na Victor Chigwada. Wananchi wanaojishughulisha na uchimbaji…

9 January 2026, 4:10 pm

Shule ya msingi Dabalo yazidiwa na wanafunzi

Wazazi waomba msaada wa madarasa kutokana na shule ya msingi Dabalo kuwa na idadi kubwa ya wananfunzi. Picha na Blog. Kwa sasa shule hiyo imezidiwa na wingi wa wanafunzi hali inayopelekea darasa moja kukaliwa na wanafunzi hadi 100. Na Victor…

9 January 2026, 3:52 pm

Kiteto tayari kwa bima ya afya kwa wote

Picha ni baadhi ya viongozi wa halmashauri waliojitokeza katika kikao cha utekelezaji wa mpango wa bima ya afya kwa wote wilayani Kiteto, mkoani Manyara. Picha na Kitana Hamis. Kikao hicho kimelenga kutoa elimu ya awali na kujenga uelewa kwa viongozi…

9 January 2026, 3:31 pm

Wataalamu wahimiza kilimo cha kitaalamu Dodoma

Wakulima watakiwa kutambua ukanda wa kilimo wa maeneo wanayoishi na kuzingatia kanuni za kitaalamu kwa kupanda mbegu zinazoendana na hali ya hewa na aina ya udongo. Picha na Mtandao. Ameeleza kuwa baadhi ya wakulima wamekuwa wakipata hasara kutokana na makosa…

9 January 2026, 2:41 pm

Wananchi Dodoma waridhishwa na huduma ya malipo ya viwanja

Picha ni baadhi ya wananchi waliojitokeza halmashauri ya jiji la Dodoma kuchukua namba kwa ajili ya malipo ya viwanja. Picha na Lilian Leopold. Hatua hiyo inatekelezwa kufuatia notisi ya siku 21 iliyotolewa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuanzia tarehe…

8 January 2026, 4:46 pm

Wakazi Nholi wataka uwazi wa mapato ya mgodi

Wameeleza kuwa uwazi wa mapato na matumizi yatokanayo na shughuli za uchimbaji wa madini katika mgodi wa Nholi ni jambo la msingi katika kuimarisha uwajibikaji na ushiriki wa wananchi katika masuala ya maendeleo ya kijiji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa…

8 January 2026, 4:25 pm

Wazazi, walezi wahimizwa kusaidia mabadiliko ya tabia kwa vijana

Akihitimisha, Mtahu amebainisha mikakati ya KISEDETI ikiwemo kuendelea kuandaa programu za malezi salama, kuwatambua na kuwafuatilia watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani pamoja na kuanzisha mashamba darasa, hatua zinazolenga kupunguza idadi ya watoto na vijana wanaoishi na kufanya kazi mitaani…

8 January 2026, 4:04 pm

Wizara ya Katiba na Sheria yasaini makubaiano na UDOM na LSF

Baadhi ya wadau waliojitokeza katika hafla ya utiaji saini hati za makubaliano ya ushirikiano katika Chuo Kikuu cha Dodoma jijini Dodoma na Wizara ya Katiba na Sheria pamoja na Shirika la Legal Services Facility (LSF). Picha na Anwary Shabani. Makubaliano…

8 January 2026, 3:39 pm

Umbali wa shule changamoto kwa vitongoji vya Mgokoo, Mailimbili

Changamoto ya umbali wa shule, inayowalazimu wanafunzi kutembea umbali mrefu na wakati mwingine kuvuka barabara, jambo linalohatarisha usalama wao na kusababisha baadhi yao kukata tamaa na kuacha shule. Na Victor Chigwada. Ikiwa zimesalia siku chache kabla ya shule za msingi…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger