9 April 2026, 17:25

Sigara/shisha huchangia magonjwa ya moyo kwa vijana

Unywaji wa pombe  pamoja na uvutaji wa sigara umetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazo sababisha ongezeko la magonjwa ya moyo, hususani kwa wanaume. Na Bennard Filbert. Hayo yameelezwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Jakaya Kikwete Cardiac Institute, Dkt. Peter…

On air
Play internet radio

Recent posts

5 June 2026, 17:04

Vijana Kiteto waaswa kutotegemea urithi wa wazazi

Viongozi wa dini wana wajibu wa kuendelea kuwahimiza vijana kuzingatia maadili mema. Na Kitana Hamis. Vijana wilayani Kiteto mkoani Manyara wameaswa kuacha kutegemea urithi kutoka kwa wazazi wao na badala yake kujikita katika kufanya kazi kwa bidii, kujiajiri pamoja na…

5 June 2026, 16:54

Mlebe waipongeza serikali kwa kuwasogezea huduma ya maji

kwa sasa wananchi wa eneo hilo wanapata maji kwa urahisi tofauti na awali. Victor Chigwada. Wakazi wa kitongoji cha Nyerere kijiji cha Mlebe wameipongeza Serikali Kwa kushirikiana na shirika la innovation of Africa Kwa kuwasogezea karibu huduma ya maji safi…

5 June 2026, 16:35

Washiriki 100 wa uchumi challenge 2026 watangazwa

Wakati huohuo, Serikali imeongeza zawadi za shindano hilo ambapo mshindi wa kwanza atapata shilingi milioni 50, wa pili milioni 30 na watatu milioni 20, huku washiriki wote 100 bora wakipata vyeti vya utambuzi na fursa za maendeleo ya kitaalamu. Na…

4 June 2026, 18:42

Jamii yatakiwa kuzingatia matumizi ya chakula salama

Wiki ya chakula salama  uadhimishwa kuanzia tarehe 1 June hadi tarehe 7 June kila mwaka,na mwaka huu imeambatana na kauli mbiu inayosema kuwa,kutoka katika changamoto kuelekea suruhisho chakula salama kila mahali. Na Jerome John. Kuelekea kilele cha wiki ya chakula…

4 June 2026, 18:26

Tanzania kunufaika na mpango wa Grand Challenges

Akiongea katika hafla ya uzinduzi huo katibu mkuu ofisi yapili ya makamu wa Rais Zanzibar Dkt. Islam Seif amesema mpango huu wa Grand Challenges Tanzania utaleta maarifa ya kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo changamoto za afya, kijamii, mazingira, ukosefu wa chakula…

4 June 2026, 16:38

TASAC, NBS zasaini makubaliano sensa ya vyombo vya usafiri

Kwa mujibu wa makubaliano hayo, sensa ya Vyombo vya Usafiri Majini na Wajenzi wa Meli Tanzania Bara ya mwaka 2026/2027 inatarajiwa kutoa taarifa muhimu zitakazosaidia kuboresha usimamizi, usalama na maendeleo ya sekta ya usafiri wa majini nchini, huku ikiimarisha mchango…

4 June 2026, 12:13

UNICEF, TADIO, Wizara ya Afya mguu sawa dhidi ya ebola

Na Bakari Khalid Watendaji wa redio za kijamii kutoka maeneo mbalimbali nchini wanashiriki mafunzo yaliyoandaliwa na TADIO kwa ushirikiano na UNICEF pamoja na Wizara ya Afya, yenye lengo la kuimarisha maandalizi na mwitikio dhidi ya ugonjwa wa Ebola. Mkufunzi  kutoka Wizara…

3 June 2026, 16:59

Zaidi ya walimu 3,100 wajisajili shindano stadi za ufundishaji

Aidha, shule zitakazotoa washindi wa kwanza katika maeneo ya Kusoma kwa Darasa la Awali, Kiingereza kwa Darasa la Kwanza na Ufaraguzi wa Zana kwa Darasa la Pili zitapatiwa vibao vya kielektroniki 100 vyenye thamani ya Shilingi milioni tano, hatua inayotarajiwa…

3 June 2026, 16:48

Wanufaika TASAF wapatiwa bima za afya

familia zenye kipato kidogo kushindwa kumudu gharama za matibabu wanapo umwa hivyo kupitia msaada huo wa bima za afya utawasaidia kupata matibabu kwa wakati. Na Victor Chigwada. Wanufaika wa Mfuko wa Kusaidia Kaya Maskini TASAF kijijini Chilonwa wailayani Chamwino wameishukuru…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger