Dodoma FM
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
Kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, asilimia 11.2 ya watu wote nchini wana ulemavu, idadi hiyo imeongezeka kutoka asilimia 9.3 ilivyokuwa katika sensa ya mwaka 2012. Na Lilian Leopord.Katika jamii, lugha ina nguvu kubwa katika kuunda…
18 December 2025, 4:29 pm
Mhe Senyamule amesema halmashauri zote na mkoa kwa ujumla kiwango kwa ufaulu Dodoma kimepanda. Na Yussuph Hassan. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametoa shime kwa wakuu wa wilaya, wakurugenzi na wadau wengine katika sekta ya elimu kuendelea kuhakikisha…
18 December 2025, 4:10 pm
Mkutano ulioitishwa ulikuwa na ajenda muhimu kama vile ardhi hivyo ni vigumu kuendesha ajenda hizo muhimu na kuchangia na mawazo ya watu wachache. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa Ihumwa A wametakiwa kuhudhuria mikutano ya mtaa ili kushiriki maamuzi…
18 December 2025, 3:53 pm
Wanawake wa Jukwaa walioshiriki katika kikao hicho wamemshukuru Waziri Dkt. Gwajima kwa kuwapa nafasi ya kusikilizwa. Na Mariam Matundu. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka wanawake katika vikundi mbalimbali kueleza changamoto…
17 December 2025, 5:02 pm
Na Bennard Komba. Kampuni inayojihusisha na uuzaji wa vifaa vya kielektroniki Izack Enterprises iliyopo Dodoma imekuja na ofa za msimu wa sikukuu lengo ni kuwa karibu na wateja katika huduma zao ambazo wamekuwa wakitoa. Muandishi wetu Benard Komba ametembelea katika…
17 December 2025, 4:47 pm
Siku 16 za kupinga ukatili huadhimishwa kila mwaka kuanzia novemba 25 hadi desemba 10 ambapo chama hicho kimeamua kuadhimisha siku hiyo mwanzoni mwa jumahili desemba 15 mwaka huu. Na Mariam Matundu.Chama cha ushirika cha wakulima wa Zabibu na masoko (WAZAMAM)…
17 December 2025, 3:47 pm
Maagizo hayo yanatokana na kauli iliyotolewa na mamlaka ya hali ya hewa Tanzania TMA hivi karibuni juu ya utabiri wa muelekeo wa msimu wa mvua za vuli na mvua za msimu kwa kipindi cha Oktoba 2025 hadi Desemba 2025 na…
17 December 2025, 3:15 pm
Uamuzi huo unaifanya Tanzania kuwa kituo cha vijana cha Umoja wa Afrika kwa ajili ya kuwajengea uwezo na maarifa katika masuala ya tabianchi. Na Mwandishi wetu Tanzania imechaguliwa kuwa kituo cha mafunzo ya vijana wa Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi…
16 December 2025, 5:23 pm
Mikakati na miongozo iliyowekwa na serikali pia imechagiza watu wenye ulemavu kushiriki katika mikutano ya ngazi za maamuzi. Na Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa kumekuwa na mwamko mkubwa kwa watu wenye ulemavu kushiriki katika kutoa mawazo yao katika mikutano ya kijamii…
16 December 2025, 4:50 pm
Mwandishi wetu Benard Komba amefanya mahojiano na Celine Condrady mkufunzi wa tabia na malezi Pamoja na Mshauri wa Watoto na vijana ameanza kwa kumuuliza nini maana ya nidhamu ya fedha. Na Benard KombaKutokuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha imetajwa…
16 December 2025, 4:17 pm
Wananchi hao wameiomba Serikali kuchukua hatua za haraka ili kulinusuru eneo hilo na majanga ya moto yanayoweza kusababisha hasara kubwa zaidi. Na Steven Noel. Wananchi wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwapatia gari la zimamoto na uokoaji ili…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-