2 April 2025, 6:00 pm

Jamii yatakiwa kutowaita watu wenye ulemavu majina yasiyofaa

Kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, asilimia 11.2 ya watu wote nchini wana ulemavu, idadi hiyo imeongezeka kutoka asilimia 9.3 ilivyokuwa katika sensa ya mwaka 2012. Na Lilian Leopord.Katika jamii, lugha ina nguvu kubwa katika kuunda…

On air
Play internet radio

Recent posts

30 January 2026, 5:32 pm

Airtel yazindua minara mitano mipya nchini

Airtel Tanzania inaendelea kuipa kipaumbele upanuzi wa mtandao kama sehemu ya dhamira yake ya kukuza ujumuishi wa kidijitali, kuhakikisha wananchi wote nchini wanapata huduma za simu na intaneti zenye uhakika, gharama nafuu, na ubora wa juu. Na Bennard Komba Kampuni…

30 January 2026, 5:19 pm

Waliovamia chanzo cha maji Mbuyuni watakiwa kuondoka

Zoezi la upandaji miti katika chanzo cha maji cha Mbuyuni ni sehemu ya mkakati wa pamoja kati ya serikali na DUWASA wa kulinda mazingira nakuhakikisha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wakazi wa Wilaya ya Kongwa. Na Anwary Shaban.…

30 January 2026, 2:29 pm

Wananchi Mnase waomba elimu zaidi ya nishati safi

Picha ni Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi akifungua  Baraza Kuu la 55 la Wafanyakazi wa TANESCO. Picha na Wizara ya Nishati. Serikali imeweka malengo ya kuhakikisha angalau 80 % ya kaya za Tanzania zinatumia nishati safi ya kupikia kufikia…

30 January 2026, 1:46 pm

Wananchi Dodoma wahimizwa kuwekeza kibiashara

Picha ni Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri wakati akizungumza katika kikao cha Baraza la Biashara la Wilaya ya Dodoma. Picha na Dodoma City Tv. Katika kikao hicho, Shekimweri amelipongeza baraza hilo  kwa kazi…

29 January 2026, 2:18 pm

Waziri Mkuu aonya kupandisha bei za vyakula

Dkt. Mwigulu amesema pia kuwa serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) inaendelea kusambaza chakula katika maeneo yenye uhitaji ili kuhakikisha Watanzania wanapata chakula cha kutosha. Na Mariam Kasawa. Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewaagiza wafanyabiashara wa…

29 January 2026, 2:04 pm

Elimu ya kilimo yaongeza tija kwa wakulima Dodoma

Sekta ya kilimo imeendelea kuwa muhimili muhimu wa kilimo, ambapo takribani 65% ya nguvu kazi ya nchi inategemea kilimo kwa ajira yao, ikimaanisha sekta hii inawasaidia watanzania wengi kupata kipato. Na Lilian Leopold. Elimu ya kilimo inayotolewa na wataalamu wa…

29 January 2026, 1:34 pm

Serikali kusimamia viwango vya gharama za matibabu

Picha ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba , Bungeni jijini Dodoma. Picha na Wizara ya Afya. Waziri Mkuu amesisitiza kuwa serikali itaendelea kuboresha na kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote,…

28 January 2026, 2:47 pm

Wazee Dodoma waadhimisha siku ya Rais Samia kwa kupanda miti

Picha ni Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi na baadhi ya wazee wakipanda miti. Picha na Mariam Matundu. Zoezi la upandaji Miti mbele ya Ofisi ya Waziri Mtumba Jijini Dodoma limehusisha…

28 January 2026, 2:10 pm

Serikali yasisitiza wajibu wa familia na jamii katika kuwahudumia wazee

Hata hivyo, amebainisha kuwa Serikali itaendelea kuhamasisha maadili ya uwajibikaji wa kifamilia na kuimarisha mifumo ya kijamii inayosaidia ustawi wa wazee nchini. Na Mariam Matundu. Serikali imesema haina haja ya kuweka sharti la kisheria linalowalazimisha watoto kuwahudumia wazazi wao wasiojiweza,…

28 January 2026, 1:10 pm

Sheria yawalinda watoa taarifa za rushwa

Malecha amehitimisha kwa kusema kuwa ili kukabiliana na vitendo vya rushwa TAKUKURU imeendelea kutoa elimu kupitia vyombo vya habari na kutoa elimu shuleni kuanzia ngazi ya msingi hadi vyuo vikuu , huku akitoa wito kwa wananchi kuendelea kushirikiana na TAKUKURU…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger