9 April 2026, 17:25

Sigara/shisha huchangia magonjwa ya moyo kwa vijana

Unywaji wa pombe  pamoja na uvutaji wa sigara umetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazo sababisha ongezeko la magonjwa ya moyo, hususani kwa wanaume. Na Bennard Filbert. Hayo yameelezwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Jakaya Kikwete Cardiac Institute, Dkt. Peter…

On air
Play internet radio

Recent posts

27 April 2026, 15:17

Marufuku kuingiza, kusafirisha nguruwe Mpwapwa

Amesema wamefikia hatua hiyo kutokana na ugonjwa wa nguruwe  unaosababishwa na virusi na hauna tiba wala kinga . Na Steven Noel. Kaimu Afisa Mifugo  Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma Dkt. Emanuel Lyimo amesema kufuatia kuwepo wa ugonjwa wa nguruwe kwa baadhi ya…

27 April 2026, 13:23

Wanufaika wa  TASAF Msamalo waishukuru serikali

Muhuri amewataka Wananchi kutumia fedha hizo Kwa manufaa ili waweze kubadilisa maisha yao na kuanza kuishi Kwa kujitegemea. Na Victor Chigwada. Wanufaika na walengwa wa mfuko wa kusaidia kaya masikini TASSAF katika kijiji cha Msamalo wameishukuru serikali kupitia mfuko huo…

27 April 2026, 12:59

Chinugulu walalamika kukosa mikopo ya asilimia 10

Juhudi za kumtafuta Afisa maendeleo kata ya Chinugulu kuzungumzia ishu ya wananchi kushindwa kupata mikopo licha ya vikundi walivyo anzisha bado zinaendelea . Na Victor Chigwada. Vijana wa kitongoji cha Kilimoni Siasa katika Kijiji cha Chinugulu Wilayani Chamwino wamehoji kama…

27 April 2026, 11:53

Watu wa karibu wanamlindaje msichana dhidi ya ukatili wa kijinsia?

Mabadiliko ya tabianchi yanachochea aina zote za ukatili dhidi ya wanawake na wasichana na tayari kuna mwenendo ulio dhahiri ambao pasi na shaka unazidi kupanuka kadri janga la tabianchi nchi linavyozidi kuwa baya. Na Mariam Kasawa. Ukatili dhidi ya wanawake…

17 April 2026, 17:35

Serikali yaombwa kupunguza gharama ya urasimishaji ardhi

Pamoja na changamoto hizo ndogondogo lakini wananchi baada ya elimu wamekuwa na mwitikio mzuri wa kurasimisha ardhi zao. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Chinangali ii Kata ya Majeleko wameiomba Serikali kupunguza gharama za urasimishaji ardhi. Wananchi hao wamesema…

17 April 2026, 17:08

Wananchi Nholi waitaka serikali kukamilisha ujenzi wa zahanati

Changamoto ya kukosa zahanati imekuwa ikipelekea wakazi wa Nholi kutembea umbali mrefu kufika makao makuu ya Kata Kijiji cha Mpalanga. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Nholi Kata ya Mpalanga wilayani Bahi wameiomba serikali kukamilisha zahanati inayojengwa kijijini hapo…

16 April 2026, 16:28

Ifahamu asili ya fimbo za machifu wa kabila la wagogo

Hapa chifu Lazaro Chihoma toka Himaya ya Bwibwi anaielezea fimbo hiyo. Na Yussuph Hassan. Machifu wengi husasani wa kabila la wagogo walikuwa na utaratibu wa kutembea na fimbo mikononi mwao je asili ya fimbo hiyo ninini

16 April 2026, 16:12

Mpango wa Ardhi waunda mustakabali bora Kiteto

Ripoti hiyo itasaidia kupunguza migogoro ya ardhi katika vijiji ishirini vilivyo ndani ya halmashauri ya Wilaya ya Kiteto. Na Kitana Hamis.   Wilaya ya Kiteto imetangaza ripoti maalum ya mpango wa matumizi bora ya ardhi, ikiwa na lengo la kupunguza…

16 April 2026, 15:57

Wanafunzi Mpwayungu waiomba serikali kuwajengea mabweni

Wanafunzi wa vijiji hivyo hulazimika kutembea kilomita 20 kila siku hadi kufika mahali sekondari hiyo ilipo. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa mazingira ya kupanga vyumba kwa wanafunzi wa sekondari Mpwayungu kutokana na umbali wa shule si salama kwao hasa kwa…

15 April 2026, 18:08

Kitendawili cha kisima cha Nyoka kwa wakazi Chang’ombe

Baada ya eneo hilo kutengwa kwaajili ya makazi ya watu eneo hilo la kisima cha nyoka lilifukiwa kwakati wa upitishaji wa barabara katika mtaa huo. Na Yussuph Hassan.Hadithi ya uwepo wa nyoka katika kisima hicho cha nyoka ambacho kinaelezwa katika…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger