15 January 2025, 5:09 pm

Tunawezaje kudhibiti ukatili wa kijinsia mahala pa kazi?

Mwandishi wetu Alfred Bulahya ametuandalia kisa kuhusu shujaa aliyemsaidia mhanga wa vitendo vya ukatili wa kijinsia mahala pa kazi. Na Seleman Kodima.Umoja wa Mataifa, unafafanua kuwa ukatili wa kijinsia ni kitendo chochote anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke, mwanaume au mtoto,…

On air
Play internet radio

Recent posts

20 March 2025, 5:50 pm

Vituo vya afya, zahati 51 Dodoma vyapata mgao wa nishati safi

Kampuni ya Puma Energy imetoa mitungi 500 kwa Mheshimiwa mbunge ikielezwa kuwanufaisha mama na baba lishe kutoka vitongoji mbalimbali na vituo vya afya zahanati 51 Dodoma mjini. Na annwary shaban.Waziri wa madini na mbunge wa Dodoma mjini Mh.Antony Mavunde ameendelea…

19 March 2025, 5:51 pm

Mpwapwa wapata mwarobaini malisho ya mifugo

Serikali itaendelea kuwekeza katika sekta ya mifugo ili kuhakikisha wafugaji wanapata mbegu bora za malisho na uhakika wa chakula cha mifugo. Na Mariam Kasawa.Wakati kilio kikubwa cha wafugaji nchini kikiwa ni ukosefu wa malisho unaosababishwa na athari za mabadiliko ya…

19 March 2025, 5:41 pm

Maafisa elimu kata watakiwa kujipambanua

Naye Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Mwalimu Vicent B. Kayombo amewaasa Maafisa hao kufanya kazi zao kwa bidii , akisisitiza kuwa baada ya mafunzo hayo, wote waliokuwa hawafanyi kazi vizuri wakajirekebishe. Na Mariam Kasawa.Maafisa elimu kata…

13 March 2025, 4:50 pm

BMH yafanya upasuaji wa jicho kwa njia ya matundu madogo

“Jambo ambalo tunajivunia ni kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya macho kwa njia ya upasua(Operation) wa matundu madogo ili kuondoa mtoto wa jicho. Na. mwandishi wetu.Hospitali ya Benjamin Mkapa imekuwa Hospitali ya kwanza katika sekta ya Umma kwa kufanya upasuaji (Operation)…

13 March 2025, 4:31 pm

Wananchi watakiwa kubadili mtindo wa maisha kuepuka magonjwa yasiyoambukiza

Ulaji holela na mtindo wa maisha unatajwa kupelekea wananchi kuugua magonjwa yasio ya kuambukiza. Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kuendelea kuepukana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama kisukari kwa kubadili mtindo wa maisha. Katika kuadhimisha miaka 10 ya utoaji huduma Kituo…

13 March 2025, 3:46 pm

Jamii za wafugaji zatakiwa kusomesha watoto bila kubagua jinsia

Laigwanani ni lazima astaafu unapofika umri wa kuustaafu na kubaki kama mshauri kwenye jamii hiyo. Na Kitana Hamis.Jamii imetakiwa kupeleka watoto shule wa jinsia zote bila kubagua. Akizungumza na Dodoma tv wakati wa Kustaafu kwake kiongozi wa jamii ya kimasai…

11 March 2025, 1:15 pm

NHIF yapunguza muda wa kuchakata madai kutoka 120 hadi 45 kwa siku

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya unawafikia asilimia 8 ya Watanzania huku vituo vya afya vilivyosaijiliwa ambavyo vinalipwa na NHIF ni 10,004 nchi nzima. Na Alfred Bulahya.Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umefanikiwa kupunguza muda wa kuchakata…

11 March 2025, 12:58 pm

Royal tour, amazing Tanzania zaongeza idadi ya watalii nchini

Mapato ya shilingi bilioni 693.959 yamekusanywa na kuingia katika Mfuko Mkuu wa Serikali. Na Alfred Bulahya.Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro(NCAA) imesema takwimu zinazoonesha kuwa juhudi za Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kupitia filamu za Royal Tour na Amaizing Tanzania…

11 March 2025, 12:36 pm

Siku ya wanawake fursa ya kuangazia haki, usawa wa kijinsia

Siku ya wanawake duniani ilianza kuadhimishwa mwaka 1975 baada ya Umoja wa Mataifa kutangaza siku hii kama siku ya kukumbusha dunia kuhusu haki za wanawake. Tangu wakati huo, siku hii imekuwa ikitumiwa kama fursa ya kuhamasisha harakati za usawa wa…

11 March 2025, 11:07 am

Viongozi watatu Engusero mbaroni kwa kuhujumu uchumi

Hata Hivyo dhamana ya watuhumiwa hao ipo wazi lakini washitakiwa walishidwa Mashariti ambayo yalihitaji kila Mtuhumiwa adhaminiwe na Watu wawili ambao niwatumishi wa Serikali nawawe na sh: Milioni Tano. Na Kitana Hamis.Watumishi Watatu wa Serikali za Vijiji Engusero wapandishwa Kizimbani…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger