Dodoma FM
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
15 December 2025, 3:51 pm
Utunzaji wa mazingira ni muhimu katika jamii hususani utunzaji wa milima. Na Farashuu Abdallah. Wananchi wamehimizwa kutunza mazingira ili kuepuka athari hasi zinazoweza kutokea katika jamii. Wito huo umetolewa na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Serikalini halmashauri ya jiji la…
15 December 2025, 3:30 pm
Kipindi hiki cha sikukuu, LATRA imeimarisha ukaguzi wa vyombo vya usafiri ili kuhakikisha magari yako katika hali salama, yana bima halali na hayazidishi abiria. Na Anwary Shaban. Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoa…
15 December 2025, 3:11 pm
Kitendo Cha mwalimu mmoja kujigawa katika madarasa mengi inakuwa ngumu kuhakikisha kama wanafunzi wanaelewa kile wanacho fundishwa. Na Victor Chigwada. Uhaba wa walimu katika shule ya msingi Igandu umepelekea baadhi ya wanafunzi wanao maliza darasa la saba shuleni hapo kujiunga…
15 December 2025, 12:21 pm
Kwa sasa DUWASA inazalisha lita za maji Milioni 88 kwa siku, huku lengo ni kuzalisha lita za maji Milioni 121 kwa siku pindi miradi mikubwa ya maji ya Nzuguni Awamu ya Pili, Miji 28 Chamwino, Mji wa Serikali Mtumba, UDOM…
12 December 2025, 4:33 pm
wamesema kuwa endapo watapata mikopo ya asilimia kumi itawasaidia kukuza uchumi wa biashara zao kutoana na wanawae hao kuwa na mitaji midogo. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa ukosefu wa elimu kwa makundi ya wanawake na vijana ni moja ya changamoto inayokwamisha…
12 December 2025, 4:09 pm
Taswira ya Habari imetembelea baadhi ya vyuo vilivyopo jijini Dodoma nakuzungumza na wanafunzi ambapo wamesema. Na Bennard Filbert.Wanafunzi wa vyuo nchini imetajwa kuwa chanzo kikuu cha msongo wa Mawazo hali inayopelekea baadhi yao kuchukua maamuzi ya kujiua. Hayo yanajiri kutokana…
12 December 2025, 4:06 pm
Picha ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini Alhaj Jabir Shekimweri katika ziara ya Mafunzo ya Mnyororo wa Ugavi wa Dawa. Picha na Lilian Leopold. Katika hatua ya mwisho ya ziara hiyo, viongozi hao wamewahimiza watumishi wa sekta ya afya…
12 December 2025, 3:27 pm
Makao ya Taifa ya Kikombo ni mfano wa Taasisi ya Serikali inayotekeleza majukumu hayo kwa weledi. Na Mariam Matundu. Serikali ya Awamu ya Sita, inaendelea kuweka kipaumbele katika ajenda ya ustawi na mifumo ya ulinzi wa mtoto, kuendeleza huduma za…
11 December 2025, 5:19 pm
Na Farashuu Abdallah.Kila Desemba 11 ni maadhimisho ya Siku ya Milima Duniani ambayo lengo lake ni kuhamasisha ulimwengu kuhusu umuhimu wa milima kwa maisha ya binadamu, mazingira na maendeleo endelevu. Farashuu Abdallah amezungumza na baadhi ya wananchi mkoani Dodoma ili…
11 December 2025, 4:53 pm
Tofauti na hapo awali ambapo baadhi ya watoto walikaa majumbani Kwa kukosa uwezo wa kumudu kununua viafaa vya shule. Na Victor Chigwada.Wakazi wa Kijiji Cha Igandu Wilaya ya Chamwino wameipongeza Serikali kupitia mfuko wa TASAF Kwa kusaidia kuboresha maisha ya…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-