Dodoma FM
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
2 April 2026, 17:25
Mwaka 2022 serikali ilitoa waraka wa wananafunzi wa kike wanaopata ujauzito kurejea mara baada ya kujifungua . Na Steven Noel. Wadau wa Elimu Katika kata nne za wilaya ya Mpwapwa wamesema bado mkakati uliotolewa na serikali wa kuwarejesha shule wanafunzi waliopata…
2 April 2026, 17:10
Semina hiyo imefanyika Dodoma na kupendekezwa kwa mipango kazi baina ya waandishi na sekereterieti hiyo kuona namna bora ya kuongeza juhudi za uhabarishaji jamii katika masuala ya maadili,uwajibika ,uzalendo,uwazi na uadilifu kwa viongozi wa umma na jamii kwa ujumla. Na…
2 April 2026, 16:50
Maadhimisho ya Siku ya Usonji Duniani yamefanyika katika Hospitali ya Mirembe, Dodoma, yakiwa na lengo la kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu hali ya usonji pamoja na kuboresha mazingira kwa watu wenye usonji. Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Weka Tumaini…
31 March 2026, 19:45
Maadhimisho hayo yalihusisha utoaji elimu ya lishe kuhusu makundi ya vyakula, matunda na mbogamboga, upimaji uzito watoto na wajawazito na pia upishi wa vitendo wa uji ulifanyika ili kuonesha namna bora ya kupika uji wa lishe. Na Anwary Shaban. Wananchi…
31 March 2026, 19:27
Wizara ya Maji kupitia Idara ya Rasilimali za Maji ina jukumu la kuhakikisha mabwawa ya maji na tope sumu (Tailing StorageFacility-TSF) yanakidhi vigezo vya usalama wa mabwawa. Na Anwary Shaban. Wizara ya Maji imezindua Sera ya Maji ya Taifa ya…
27 March 2026, 17:43
Shule hiyo inakabiliwa pia na uhaba wa matundu ya vyoo hali inayo hatarisha usalama wa afya za wanafunzi na walimu. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Ndogowe wameiomba serikali kukarabati majengo ya shule ya msingi Ndogowe kwani ni chakavu…
27 March 2026, 17:16
Kwa ujumla, mradi wa AHADI unaosimamiwa na TAHEA umeonesha mafanikio makubwa katika kuwawezesha vijana, huku serikali ikiahidi kuendeleza juhudi hizo kwa manufaa ya jamii na vijana. Na Anwari Shaban. Shirika lisilo la kiserikali la TAHEA kwa kushirikiana na ufadhili wa…
26 March 2026, 17:52
Vijana hao watumike katika mikutano na makongamano kuonesha jamii kuwa mabadiliko ya tabia za kiuchumi yanawezekana” alisema Dkt. Kazungu. Na Mariam Kasawa. Vijana waliopatiwa mafunzo na kujengewa uwezo kupitia Mradi wa AHADI wanatarajiwa kunufaika ipasavyo na fursa za kiuchumi zilizopo,…
26 March 2026, 17:23
Hatua hiyo inaonesha dhamira ya Jiji la Dodoma katika kuhakikisha usawa wa fursa za elimu kwa watoto wote, hususan wale wenye mahitaji maalum, na kuendelea kujenga jamii inayojali na kujumuisha kila mwananchi. Na Mariam Kasawa. Afisa Elimu Maalum Jiji la…
25 March 2026, 17:06
Mbio hizo za marathoni zinatarajiwa kukusanya jumla ya shilingi milioni 100. Na Mariam Kasawa. Mbio za Marathoni zilizoandaliwa na Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) linatarajiwa kufanyika katika Jiji la Dodoma 04/04/2026 huku mgeni rasmi akiwa ni Waziri wa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-