25 October 2023, 1:25 pm

Madereva bodaboda wanaoendekeza tamaa Bahi waonywa

Bodaboda wamekuwa na mazoea ya kukodiwa usiku wa manane na watu ambao hawawafahamu matokeo yake wanauawa na kuporwa pikipiki. Na. Bernad Magawa. Kamanda wa Polisi wilaya ya Bahi SSP Idd Ibrahim amekemea vikali madereva wa bodaboda wanaoendekeza tamaa ya fedha…

On air
Play internet radio

Recent posts

24 April 2024, 6:48 pm

Wafahamu Maadui walio ibuka baada ya ujinga , maradhi na umaskini

Mashindano ya mdahalo kwa wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo Dodoma yanahusisha wanachama wa klabu za wapinga Rushwa kutoka shule za msingi, sekondari na vyuo. Na Seleman Kodima.Serikali imesema baada ya kufanikiwa kupambana na maadui watatu ambao ni…

24 April 2024, 6:32 pm

Jamii yatakiwa kuendelea kupiga vita vitendo vya ukatili

Afisa Ustawi wa jamii wanazungumzia vyanzo vya ukatili na jinsi ya kuepukana na vitendo hivyo. Na Steven Noel.Jamii imeshauriwa kuendelea kupiga vita vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa makundi yote Ili kuweza kuwa na Taifa lenye amani na maendeleo. Hayo…

24 April 2024, 6:16 pm

Ujenzi wa uwanja wa ndege Msalato wafikia 54%

Hivi karibuni Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa alieleza kuwa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato umefikia asilimia 54.1 kwa sehemu ya kwanza. Na Mindi Joseph.Ujenzi wa uwanja wa ndege Msalato umefikia asilimia 54 na asilimia 21 katika…

23 April 2024, 6:48 pm

Waziri Dkt. Jafo awasilisha bajeti 2024/25 leo

Hivyo, Waziri Dkt. Jafo ameliomba Bunge liidhinishe jumla ya shilingi 62,686,762,000 kwa ajili ya Ofisi ya Makamu wa Rais katika kipindi cha mwaka wa fedha 2024/25. Na Mariam Kasawa.Ofisi ya Makamu wa Rais inaandaa Mfumo wa Kieletroniki wa Uratibu wa…

18 April 2024, 6:08 pm

Wafahamu wapigania uhuru ambao walikaa katika kambi ya Kongwa

Nini kinapelekea wilaya ya Kongwa kuwa maarufu na Kongwe fuatilia mfululizo wa makala hii ya fahari ya Dodoma uweze kufahamu zaidi. Na Yussuph Hassan. Fahari ya Dodoma imetembelea katika wilaya ya Kongwa ili uweze kufahamu zaidi historia ya wilaya hii…

18 April 2024, 5:45 pm

Je unashiriki vipi kutunza miundombinu ya barabara katika eneo lako

Serikali kupitia wakala wa barabara Nchini TANROADS wamekuwa wakitoa elimu kwa jamii kupitia majukwaa mbalimbali juu ya ushiriki wa wananchi katika utunzaji wa miundombinu ya barabara Nchini jambo ambalo linapaswa kutekelezwa na kila mwananchi. Na Thadei Tesha.Seriali imeendelea na juhudui…

16 April 2024, 10:21 am

Ushiriki wa mwanamke katika kulinda, kutunza mazingira

Wakati mkutano wa 23 wa mabadiliko ya tabianchi wa Umoja wa Mataifa, COP 23, ukiingia wiki ya mwisho ya majadiliano mjini Bonn, Ujerumani, Rais wa mkutano huo alitangaza mpango wa utekelezaji wa kijinsia kwa kutambua nafasi ya wanawake katika suala…

16 April 2024, 9:45 am

Ushirikishwaji wa wenza katika kumiliki mali

Tumemtembelea katika sehemu yake ya biashara katika mtaa wa mkonze Jijini Dodoma na hapa anatueleza namna kipindi cha Sanuka kilivyo changia kubadirisha mfumo wake wa maisha yake. Na Mwandishi wetu. Leo tunaangazia ushirikishwaji wa wenza katika kumiliki mali ambapo leo…

15 April 2024, 9:34 pm

Msukumo mkubwa wa maji wachangia kupasuka kwa mabomba

Duwasa imeendelea kuhakikisha inakabiliana na changamoto ya upotevu wa maji ambao husababishwa na kupasuka kwa miundombinu ya Mabomba ya maji kutokana na presha kubwa ya maji. Na Mindi Joseph. Msukumo mkubwa wa maji umetajwa kuchangia Kupasuka kwa miundombinu ya mabomba…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger