

Dodoma FM
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
17 April 2025, 6:11 pm
kwasasa wapo katika changamoto ya shule kulemewa hivyo majengo ya shule mpya nahitaji milioni 36 za ujenzi wa vyoo ndipo ianze kutumika Kwa kupunguza mjazano wa shule mama. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa matumizi mazuri ya rasilimali ni pamoja na rasilimali…
17 April 2025, 5:59 pm
Miradi hiyo itasaidia kuongeza hali ya uzalishaji maji huku akisema zaidi ya Bilioni 3 zimetumika kutekeleza mradi wa maji Nala. Na Mariam Kasawa.Waziri wa Maji Mhe Juma Aweso amewataka watumishi wa Wizara hiyo kuhakikisha wanaishirikisha jamii wanapofanya tafiti za kina…
16 April 2025, 6:05 pm
Taswira ya habari imepita mtaani kufahamu watachukua tahadhari gani juu ya sheria hiyo. Na Lilian Leopord.Katika zama za sasa ambapo mitandao ya kijamii inachukua nafasi kubwa katika maisha ya kila siku, wazazi wanakabiliwa na changamoto nyingi kuhusu jinsi ya kushughulikia…
16 April 2025, 5:42 pm
CAG Kichere amesema kuwa ripoti ya ukaguzi za mwaka 2023/2024 tayari zimewasilishwa bungeni kwa ajili ya kujadiliwa na zinapatikana katika tovuti ya ofisi ya ukaguzi kuruhusu wananchi na wadau kupitiaripoti hiyo. Na Yussuph Hassan.Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa hesabu za…
15 April 2025, 5:41 pm
Eneo la Nzuguni mpaka sasa lina Visima Tisa vilivyokamilika ambavyo vina uwezo wa kuzalisha maji wastani wa lita milioni Ishirini kwa siku. Na Yussuph Hassan.Waziri wa Maji Mhe Juma Aweso amesema licha ongezeko la watu katika jiji la Dodoma lakini…
15 April 2025, 3:51 pm
Asubuhi alikwenda shambani kuandaa mkaa aliporudi nyumbani alipewa uji na mke wake anywe na baadaye alirudi tena shambani ambapo alikutwa amejinyonga . Na Kitana Hamis.Mtu Mmoja aliyefamika kwa Jina la Jumanne Idi Mkazi wa Kata ya Sigino Kijiji cha Imbilili…
15 April 2025, 3:40 pm
Kwa mawasiliano zaidi unaweza kuwasiliana na ustadhi Yazidu Kirazi kupitia namba hii 068877 5701 Na Kitana Hamis.Waumini wa Dini ya Kislmu waomba Serikali na Wadau wa maendeleo kuwashika Mkono katika Ujezi wa Madrasa shauri moyo iliopo Kijiji cha Mtakuja mta…
14 April 2025, 6:14 pm
Lengo la kuandaa warsha hiyo ni pamoja na kujadili fursa na chanagamoto za wanawake ili kukuza na kuendeleza ushirika. Na Lilian Leopord.Mila na desturi na majukumu ya kifamilia vimekuwa ni vikwazo kwa wanawake kugombea nafasi za uongozi katika vyama vya…
14 April 2025, 5:54 pm
Aliye kuwa mkuu wa chuo cha ualimu Mpwapwa alifariki dunia kwa ajari ya gari Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa ameongoza waombelezaji kuuga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa chuo cha ualimu Mpwapwa aliyefariki kwa ajali April 10, 2025 Mji wa serikali…
14 April 2025, 5:36 pm
Aidha Kamanda wa Jeshi la Polisi amewataka wananchi kuacha tabia ya kupokea mali za wizi na iwapo watangundua tukio lolote la uhalifu watoe taarifa katika mamlaka husika. Na Lilian Leopord.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema kuwa matukio…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-