Recent posts
18 March 2021, 12:59
Wakazi wa Dodoma wayakumbuka mema ya Magufuli
Na , Yusuph Hans, Moja ya Alama Kuu aliyoiacha Rais wa Awamu ya tano Dkt John Pombe Magufuli hususan kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma ni pamoja na kuhamishia shughuli zote za Kiserikali Mkoani hapa. Wakizungumza na Taswira ya habari…
18 March 2021, 10:42
Vilio vyatanda wajasiriamali Dodoma
Na, Shani Nicholous. Wajasiriamali jijini Dodoma wamepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kuondokewa na aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dkt.John Pombe Magufuli. Wakizungumza na taswira ya habari wajasiriamali hao wamesema kuwa watamkumbuka kwa mengi aliyowatendea kwani…
18 March 2021, 09:50
Watanzania waaswa kuendelea kuliombea Taifa
Na, Mariam Kasawa. Watanzania wametakiwa kuendelea kumuomba Mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu ili kuliwezesha Taifa kusonga mbele. Hayo yamesemwa na mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo leo wakati akitoa salamu za pole…
18 March 2021, 07:51
Watanzania wamlilia Rais Dkt.Magufuli
Na, Mariam Kasawa. Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha Rais Dr John Pombe Magufuli kilichotokea Machi 17 2021. Akithibitisha kifo hicho makamu wa rais Samia Suluhu amesema kwamba rais Magufuli alianza kuugua mnamo tarehe 6 mwezi Machi…
17 March 2021, 14:09
Baadhi ya sekta kuokoka na marufuku ya vifungashio vya plastiki.
NA MARIAM MATUNDU Afisa mazingira kutoka ofisi ya makamu wa rais Muungano na Mazingira Anamaria Gerome amesema kutokana na hilo baadhi ya wafanyabiashara wasio waaminifu wametumia nafasi hiyo kutengeneza vifungashio vya plastiki ambavyo vinatumika kama vibebeo. Amesema mchakato wa kutafuta…
17 March 2021, 13:47
Jiji laboresha miundombinu ya maji
Na, Alfred Bulahya, Dodoma. Halmashauri ya jiji la Dodoma imetenga fedha kiasi cha shilingi bilioni 1 kwaajili ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya maji na barabara ndani ya jiji. Fedha hizo zimetengwa kupitia bajeti ya mwaka 2021/2022 wakati wa…
17 March 2021, 13:39
Dodoma Jiji yaikabili Biashara
Na Matereka Junior Wakati ligi kuu bara ikiwa imesimama kupisha timu ya Taifa iliyopo Kenya kujiandaa na mechi za kufuzu mataifa Afrika, AFCON, Ligi ya timu za vijana wa chini ya miaka 20 za timu zote za ligi kuu inashika…
16 March 2021, 09:31
REPOA:Vijana elfu 60 wapata ajira kwenye sekta rasmi
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Inakadiriwa kuwa kila mwaka kati ya vijana elfu hamsini hadi elfu sitini ni miongoni mwa vijana milioni moja wanaoingia kwenye soko la ajira, na kubahatika kupata ajira kwenye sekta rasmi kwa mujibu wa utafiti wa taasisi ya…
13 March 2021, 21:35
C Sema na TADIO zawajengea uelewa waandishi juu ya ukeketaji na ndoa za utotoni
Na,Rabiamen Shoo. Arusha. Asasi isiyo ya kiserikali ya C Sema na mtandao wa radio za kijamii Tanzania TADIO, wakiwezeshwa na UNFPA zimefanya kikao kazi cha siku mbili na waandishi wa habari kutoka redio za kijamii, kuwajengea uwezo wa namna ya…
9 March 2021, 12:56
Idadi ya wanaume wanaopima VVU yaongezeka
Na, Yussuph Hans, – Dodoma. Imeelezwa kuwa kupitia mkakati wa Serikali wa kumtaka mama mjamzito kuambatana na mwenzi wake kliniki umesaidia kwa kiasi kikubwa kuwapima virusi vya ukimwi wanaume ambao awali,walikuwa wagumu kupima. Hayo yamebainishwa na mratibu wa Ukimwi kwenye…