Dodoma FM

Wajumbe Engusero walalamika kubadilishiwa namba

8 August 2025, 3:15 pm

Picha ni katibu wa CCM wilaya ya Kiteto bw. Denis Mwita akiongea baada ya mchakato huo wa uchaguzi.Picha na Kitana Hamis.

Awali wangombea walijinadi kwa kutaja Majina pamoja na namba kutokana na majina yao.

Na Kitana Hamis.

Wajumbe  walio shiriki Uchaguzi wa Udiwani kata ya Engusero Wilayani Kiteto walalamika kubadilishiwa namba za wagombea na kujikuta wakiwapigia kura wagombea wengine.

Wakizungumza Baadhi ya Wajumbe  walio shiriki Uchanguzi wa Udiwani kata ya Engusero  Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, Wamesema awali wangombea walijinadi kwa kutaja Majina pamoja na namba kutokana na majina yao, nabadala yake wamejikuta wakiwapigia watu wengine kwa kubadilishwa namba hizo.

Habari kamili.
Picha ni mmoja wa wajumbe akiongea baada ya mchakato huo wa kuchagua wagombea.Picha na Kitana Hamis.