Dodoma FM

Amuua baba yake na kumkata sehemu za siri

30 April 2025, 5:36 pm

Sababu za kijana huyo kufanya tukio hilo bado hazijajulikana.Picha na Google.

Taswira ya habari imezungumza na mashuhuda pamoja na mwenyekiti wa kijiji hicho juu ya tukio hilo.

Na Kitana Hamis.

Kijana mmoja aliye Famika kwajina la Mohamed Khamisi mwenye umri wa Miaka 22  Mkazi wa  Ndirigishi Wilayani Kiteto Mkoani Manyara  amemuuwa Baba yake  Mzazi na kumkata sehemu zake za siri.

Sababu za kijana huyo kufanya tukio hilo bado hazijajulikana na japo watu wa karibu wanadai kijana huyo alikuwa na mgogoro wa mara kwa mara na baba yake.

Habari kamili