Radio Tadio

Siasa

30 May 2023, 11:05 pm

UWT Kilosa yatoa msaada mashuka ya wagonjwa kituo cha afya Kidodi

Katika juhudi za kuunga mkono juhudi za serikali kuboresha huduma za afya nchini , Umoja wa Wanawake Tanzania UWT wilaya ya Kilosa wametembelea kituo cha Afya Kidodi kuwafariji wagonjwa pamoja na kutoa misaada ya kijamii kama vile sabuni na mashuka…

26 May 2023, 10:26 am

CHADEMA na Katiba Mpya kabla ya uchaguzi

KATAVI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuwa kitaendelea kusimamia misingi ya chama hicho kwa kutetea haki, uhuru, na demokrasia kwa wanachama wa chama hicho na wananchi wa taifa kwa ujumla. Akiwahutubia wanachama wa chama hicho katika uzinduzi wa…

10 April 2023, 1:37 pm

Waliotajwa kwenye ripoti ya CAG waachie ngazi

Waliotajwa katika ripoti ya CAG watakiwa kuachia ngazi za madaraka walizonazo kutokana na ubadhirifu walioufanya kabla ya kuchukuliwa hatua za kisheria. “Serikali imepata hasara kubwa kutokana na watumishi wenye nia ovu na kama Rais alishasema wapishe, kama chama cha mapinduzi…

20 March 2023, 5:02 pm

Wananchi Katavi Watoa Maoni Mseto Miaka 2 ya Dr. Samia Suluhu

MPANDA Baadhi ya wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani katavi wametoa maoni mseto ya uongozi wa Rais wa awamu ya sita Dr Samia Suluh Hassan baada ya kutimiza miaka miwili ya uongozi wake. Wakizungumza na kituo baadhi ya wananchi hao wametaja…

18 March 2023, 7:17 am

“CCM imebeba maono aliyokuwanayo Magufuli”amesema Kimanta.

KATAVIWananchi mkoani Katavi wameeleza namna wanavyo mkumbuka aliyekuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli,na kueleza pia jitihada zinazofanywa na Rais wa awamu ya sita Dk Samia suluhu Hassain . Wakizungumza na…

22 February 2023, 2:04 pm

 CCM Yawataka Wafanyakazi Kutimiza Wajibu 

Serikali ya Mkoa wa Iringa imetoa taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Na Adeliphina Kutika. Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa kimewataka wafanyakazi wa serikali kutambua wajibu wao wawapo kazini kwa kutatua changamoto mbalimbali za…

31 January 2023, 12:16 pm

Wazazi hakikisheni watoto wanapata elimu

Wazazi na walezi watakiwa kuhakikisha watoto wao wanapata elimu ambayo inatolewa bila malipo pamoja na kuwalea katika maadili mema kwa kuwarithisha mila na desturi njema ili kuwa taifa lenye sifa njema na maadili mema. By Asha Mado Katika kuhakikisha watoto…