Siasa
4 Mei 2026, 17:26
Uroa gizani kwa wizi wa transfoma, serikali yachukua hatua
Meneja wa ZECO, Haji Haji, amewataka wananchi kuacha mara moja kuharibu miundombinu ya umeme visiwani Zanzibar akibainisha kuwa vitendo hivyo vinaleta hasara kubwa kwa serikali. Na Mary Julius. Meneja wa Shirika la Umeme Zanzibar ZECO Haji Haji amewataka wananchi kuacha…
Aprili 30, 2026, 6:11 um
Sekta binafsi Geita wafungua fursa za ajira
Serikali inathamini nafasi ya sekta binafsi ambayo ni asilimia 70 kwenye pato la taifa na kwamba itaendelea kutekeleza malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kupiga hatua zaidi. Na Clement Shawishi- GEITA. Serikali imesema kuwa uwekezaji unaofanywa na…
3 Aprili 2026, 09:11
Polisi Iringa yawadaka watuhumiwa genge la utapeli
Katika operesheni maalum, Jeshi la Polisi limefanikiwa kuokoa wahanga 75 waliorubuniwa na mtandao wa utapeli, ambao walikuwa wakidanganywa kwa ahadi za ajira ndani na nje ya Tanzania. Na Hafidh Ally Jeshi la Polisi mkoani Iringa limewakamata watuhumiwa wawili wanaodaiwa kuwa…
25 Machi 2026, 16:32
Changamoto ya umeme Zanzibar kubaki historia
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Dk Juma Malik Akil, amesema Zanzibar itapata umeme wa uhakika ndani ya miezi michache ijayo kutokana na miradi mipya ya nishati. Amesema serikali inawekeza katika umeme wa jua na upepo ili kuongeza uzalishaji hadi…
20 Febuari 2026, 16:44
Mtwara kuadhimisha kitaifa siku ya Skauti Duniani
Mkoa wa Mtwara utaadhimisha Siku ya Skauti Duniani Februari 22, 2026, kumuenzi Robert Baden-Powell. Maadhimisho hayo yatajumuisha mafunzo, huduma za jamii na kampeni za uzalendo, huku vijana 400 wakitarajiwa kunufaika na elimu mbalimbali. Wananchi wamealikwa kushiriki katika viwanja vya Nangwanda…
17 Febuari 2026, 20:09
Paka wa ajabu aibua taharuki Mtwara vijijini
Wananchi wa kitongoji cha Shangani, Nangumi, wamekumbwa na taharuki baada ya paka kupatikana amekufa na kuvalishwa hirizi katika nyumba ya mkazi mmoja. Tukio hilo limeibua hofu na maswali, huku viongozi wa kijiji wakieleza kusikitishwa na hali hiyo isiyo ya kawaida…
17 Febuari 2026, 18:26
Jinsi vyeo, nafasi za uongozi zinavyoumiza wananchi
“Mimi baada ya mafunzo haya nitakaa na vijana wangu pale ofisini ili niwaeleze njia sahihi za matumizi ya vyeo na nafasi zetu“ Na Cosmas Clement Matumizi yasiyo sahihi ya vyeo na nafasi kwa viongozi vimetajwa kuwa miongoni mwa mikwamo ya…
27 Januari 2026, 8:32 um
TANAPA Kanda ya Magharibi wapanda miti 7000 birthday ya Rais Samia
Jumla ya miti elfu 7 imepandwa katika hifadhi zote zilizopo kanda ya magharibi Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kupanda miti na kutunza mazingira ili kupunguza athari za mabadiriko ya tabia ya nchi. Hayo yamesemwa leo Jan 27, 2026…
27 Januari 2026, 08:04
ENABEL yakabidhi vifaa kwa vijana wanaoishi mazingira magumu Kigoma
Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kijitokeza na kuwasaidia vijana wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kufikia ndoto zao Na Mwandishi wetu Shirika la Maendeleo la watu wa Ubelgiji (Enabel) kupitia Programu ya wezesha binti, limekabidhi vifaa mbalimbali…
22 Januari 2026, 7:10 um
Kambi ya madaktari bingwa kuanza Januari 26 Manyara
Wizara ya afya chini ya Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na hospital ya rufaa Kanda ya Mbeya pamoja na shirika la KCCO wameandaa kambi ya madaktari bingwa maalumu wa mifupa ,pua, sikio,koo na macho itakayofanyika mkoani…