Recent posts
30 April 2026, 1:31 pm
CCM Bunda wapokea kwa bashasha kupendekezwa Kambarage
Kitendo cha kamati kuu kumteua ndugu Kambarage katika watu 6 ni jambo la heshima na hii inaonesha bado Bunda inaaminika. Na Adelinus Banenwa Chama cha mapinduzi wilaya ya Bunda kimesema kimepokea kwa furaha uwamuzi wa kamati kuu ya CCM taifa…
26 April 2026, 12:37 pm
DC Bunda atoa siku 14 shule ianze kupokea wanafunzi
Linapotajwa jambo la thamani ya fedha kwenye mradi si tu miundombinu imara bali hata miundombinu hiyo kutoa huduma kwa wakati ili malengo ya serikali yaweze kufikiwa. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Aswege Enock Kaminyoge ametoa siku…
26 April 2026, 11:59 am
DC Aswege: Mabasi yote kuingia stendi ya Bunda ni lazima
Lengo si tu serikali kupata ushuru bali inasaidia usalama wa abiria pamoja na kupunguza usumbufu kwao. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Aswege Enock Kaminyoge amemuelekeza mkuu wa polisi Bunda na mkurugenzi wa Halmashauri ya mji wa…
24 April 2026, 7:01 am
239 wahitimu uwalimu Bunda ngazi ya stashahada
Mkuu wa chuo cha uwalimu Bunda mwal Venance Mwita Mancheye amewahasa wahitimu kujiendeleza kielimu kwa kuwa ujifunzaji hauna mwisho, kusoma kompyuta na kuwa na heshima kwa kila mtu. Na Adelinus Banenwa Jumla ya wanafunzi wa chuo cha uwalimu Bunda 239…
22 April 2026, 8:08 pm
Kesi ya kaunya na wenzake, 14 waachiwa 7 wana kesi ya kujibu.
Watuhumiwa 14 wameachiwa huru huku wengine saba wakipatikana na kesi ya kujibu, kufuatia uamuzi mdogo (ruling) uliotolewa na Mahakama ya Wilaya ya Bunda. Na Thomas Masalu Watuhumiwa 14 wameachiwa huru huku wengine saba wakipatikana na kesi ya kujibu, kufuatia uamuzi…
21 April 2026, 9:52 pm
Yowe haiui mtu bali watu ndiyo wanaoua
Ipo sheria ya ukamataji ambayo inaelekeza ukamataji salama na pindi wananchi wanaoshiriki ulinzi shirikishi wakikamata muhalifu wanatakiwa kutoa taarifa. Na Adelinus Banenwa Wananchi watakiwa kutojichukulia sheria mkononi ikiwemo kuhusuka katika mauaji ya wahalifu kwa kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha…
19 April 2026, 6:23 am
Matumizi mabaya ya namba 114 kadhia kwa Jeshi la Zimamoto Bunda
Wakati mwingine hupokea simu watu wakitaka kujiunga na freemason, matusi ya nguoni au wakati mwingine habari za uongo kuhusu matukio ya maokozi. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa changamoto ya miundombinu, kutotolewa taarifa mapema na taarifa zisizo sahihi bado ni changamoto…
12 April 2026, 8:19 am
Wafanyabiashara msiwashawishi maafisa TRA kuchukuwa rushwa
Watumishi wa TRA kuwahudumia wafanyabiashara kwa haki na uwazi, pamoja na kuwafuata katika maeneo yao ya biashara ili kufanya makadirio sahihi. Na Adelinus Banenwa Wafanyabiashara wote nchini wametakiwa kuwasilisha malalamiko iwapo wanahisi wamekadiriwa kodi zaidi au pungufu ya kipato chao…
10 April 2026, 2:00 pm
“Fuatilieni vyombo vya habari ni muhimu”
Mambo ya kuzingatia wakati wa kuandaa habari, vyanzo vya habari na mambo ya kuzingati wakati wa kuhariri habari. Na Adelinus Banenwa Wito umetoleawa kwa jamii kufuatalia vyombo vya habari kutokana na umuhimu wake kwa jamii hasa katika kupasha habari za…
9 April 2026, 6:40 pm
Ifahamu Mazingira FM
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya…