Recent posts
25 April 2024, 1:11 pm
Ofa ya zuku neema kwa wakazi wa Mara na mikoa jirani
Zuku yaombwa kufikisha huduma vijijini kutatua changamoto ya vingamuzi kuganda kipindi cha masika. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa uongozi wa kampuni ya zuku kufikisha huduma ya visimbuzi vyao vijijini ili nao wanufaike na huduma zao. Wito huo umetolewa na…
24 April 2024, 9:52 am
Mto wafurika, wanafunzi sekondari Sizaki wakwama kurejea nyumbani
Wanafunzi 26 wa sekondari ya Sizaki washindwa kurejea nyumbani baada ya kukuta mto umefurika maji. Na Edward Lucas Wanafunzi 26 shule ya sekondari Sizaki wameshindwa kurudi kwao Kisangwa April 23, 2024 na kulazimika kulala mtaa wa Mcharo baada ya kushindwa…
23 April 2024, 11:05 am
Wazazi, walezi Bunda waitikia chanjo saratani mlango wa kizazi
Watoto wa kike miaka 9 – 14 wapatao 11,650 wilayani Bunda wapata chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi (HPV) siku ya uzinduzi April 22, 2024 Na Adelinus Banenwa Zaidi ya watoto wa kike miaka 9 hadi 14 wapatao 41370…
22 April 2024, 10:04 am
Auawa na kiboko saa tano usiku
Mwanaume wa miaka 55 Bunda auawa na kiboko saa tano usiku akiwa kandokando ya bwawa. Na Edward Lucas Juma Ryoba Waise maarufu Kebuchwa(55)mkazi wa Kijiji cha Mihingo amefariki dunia baada ya kushambuliwa na mnyama kiboko katika bwawa kijiji cha Mihingo…
21 April 2024, 1:05 pm
Katibu mkuu BAVICHA alia na wazee
Changamoto kubwa inayowafanya vijana washindwe kuwania nafasi za uongozi ” ni wazee kutowaamini vijana, vijana wengi hawaaminiwi na wazee” Na Edward Lucas Katibu mkuu wa Baraza la Vijana Chadema Tanzania Bara, Yohana Kaunya amesema wazee kutowaamini vijana na ushirikishwaji mdogo…
19 April 2024, 4:47 pm
Tukosawa wahimiza utunzaji mazingira Bunda
Madaraka Nyerere atembelea shule yenye jina la Nyerere awataka wanafunzi kutunza mazingira awahaidi kuwakaribisha Butiama. Na Avelina Sulusi Wito umetolewa kwa Jamii kutunza mazingira na kuyashika mafunzo katika utunzaji wa mazingira ili iwe faidi kwao kwa baadaye Hayo yamesemwa na…
19 April 2024, 12:34 pm
BUWASSA watakiwa kutatua changamoto ya maji chuo cha ualimu Bunda
Mwenyekiti wa CCM Bunda aitaka BUWASSA kutatua changamoto ya maji chuo cha ualimu Bunda. Na Theresia Thomas Wito umetolewa kwa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Bunda BUWSSA kutatua changamoto ya upungufu wa maji safi chuo cha ualimu…
17 April 2024, 11:55 pm
Radi yaua mtoto Bunda, mwingine ajeruhiwa wakiwa ndani
Mtoto mmoja afariki dunia na wengine watatu wanusurika kifo huku mwingine akijeruhiwa vibaya baada ya kupigwa radi wakiwa ndani ya nyumba kujikinga mvua. Na Edward Lucas Magreth Gomisi (7) amefariki dunia na ndugu zake watatu wakinusurika kifo huku mmoja akiwa…
17 April 2024, 6:09 am
Viongozi wa kata CCM Bunda wapewa pikipiki
Pikipiki 132 zimetolewa kwa viongozi wa Kata 33 CCM Bunda kwa lengo la kuimarisha uhai wa chama. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Bunda Ndugu Mayaya Abraham Magese amekabidhi pikipiki kwa makatibu wa CCM wa chama na Jumuiya…
16 April 2024, 12:13 pm
Gambi: Marufuku pikipiki hizi kubeba nyara
Viongozi wa CCM ngazi ya kata wakabidhiwa pikipiki waonywa kuzitumia kufanyia uhalifu. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa viongozi wa CCM ngazi ya kata waliopata pikipiki za chama kuepuka kutumia vyombo hivyo kufanya uhalifu. Wito huo umetolewa na Afisa wa…