24 August 2023, 3:54 pm

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya…

On air
Play internet radio

Recent posts

21 July 2024, 9:08 pm

Mama adaiwa kutoa mimba na kutupa kiumbe kwenye pipa la taka Bunda

Mwanamke mmoja ambaye hajajulikana, anadaiwa kutoa mimba inayokadiriwa kuwa na miezi mitano hadi sita na kisha kukitupa kiumbe hicho kwenye pipa la kutunzia taka Na Mussa Kagole na Fadhil Mramba Mwanamke mmoja ambaye hajajulikana, anadaiwa kutoa mimba inayokadiriwa kuwa na…

21 July 2024, 8:27 pm

Mwalimu amsumbua mwanafunzi kimapenzi, mzazi amhamisha shule

Na Thomas Masalu Robert Chilare, mzazi wa mwanafunzi wa kike wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Mekomaliro, iliyoko kata ya Mihingo, wilaya ya Bunda, amemhamishia mtoto wake shule nyingine baada ya kuteswa mara kwa mara na mmoja wa…

19 July 2024, 8:28 pm

UWT Bunda wapigwa msasa kuelekea uchaguzi

Wito umetolewa kwa wanawake kujitokeza kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu wa 2025. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wanawake kujitokeza kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi serikali za mitaa 2024 na uchaguzi…

17 July 2024, 8:11 pm

Maboto: Lazima kila mtanzania apate umeme

Kwa uzalishaji wa umeme uliopo kwa sasa lazima kila mtanzania apate umeme kwa sababu umeme tunao wa akutosha Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto ametoa shilingi milioni 4 kwenye mtaa wa Kyaragwita kata…

13 July 2024, 7:30 pm

Waathirika wa tembo walia na malipo yao Bunda

Wananchi Bunda wamekerwa na malipo ya kifuta jasho na kifuta machozi kutokana na madhira ya wanyama waharibifu kuchelewa, wamedai inawachukua hadi miaka mitano, Mbunge Maboto amewatuliza na kusema bunge limeagiza serikali kumaliza tatizo hilo. Na Adelinus Banenwa Wananchi wa kata…