
Recent posts

16 July 2025, 11:26 am
Jamii yatakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani
Vipo vyanzo vya aina tatu vya ajali ambavyo ni Vyanzo vya kibinadamu, Vyanzo vya kimazingira na vyanzo vya kiufundi. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa watumiaji wote wa barabara wilayani Bunda kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali zisizo…

9 July 2025, 5:21 pm
Mbio za mwenge kuwa fursa kwa vijana Bunda
Nafasi za ushiriki katika mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2025, ambapo jumla ya vijana saba wanahitajika kushiriki kutoka Wilaya ya Bunda na Mkoa wa Mara. Na Adelinus Banenwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda, Salumu Mtelela, ametangaza nafasi…

9 July 2025, 11:23 am
Afariki katika ajali ya pikipiki Bunda
Tukio hilo limetokea wakati mtoto huyo akivuka barabara akitoka shuleni, Na Adelinus Banenwa Mtoto mwenye umri wa miaka 8, Joseph Masinde, mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Kabarimu B, amefariki dunia leo baada ya kugongwa na pikipiki…

5 July 2025, 8:50 am
Mita za maji za malipo ya kabla mwarobaini bili za maji Bunda
Matumizi ya mita za malipo ya kabla pia yatasaidia kuhimiza matumizi bora ya maji na kuongeza uwazi katika ulipaji wa huduma. Na Adelinus Banenwa Katika hatua ya kuimarisha huduma za usambazaji maji na kuondoa changamoto za malalamiko ya wateja kuhusu…

3 July 2025, 7:27 pm
42 watia nia kuyataka majimbo matatu CCM Bunda
Kwa mujibu wa Chonya idadi hiyo inaonesha mwitikio mkubwa wa wanachama wa CCM kushiriki katika mchakato wa kisiasa, hali inayoakisi ukuaji wa demokrasia ndani ya chama. Na Adelinus Banenwa Jumla ya wagombea 42 wametia nia ya kuomba kuteuliwa kwenyenafasi ya …

3 July 2025, 10:09 am
Changamoto za kijinsia na kitamaduni kuelekea Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025
Je, vyama vya siasa vina nafasi gani katika kuvunja vizingiti hivi? Na Edward Lucas na Dinnah Shambe Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Oktoba 2025, makala hii maalum ya redio inachambua kwa undani sababu zinazowafanya wanawake wengi kuogopa au kushindwa…

3 July 2025, 8:08 am
Ruhundwa alitaka jimbo la Ngara
Ruhundwa amesema anaamini zaidi katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika kila sekta kuleta maendeleo kutokana na ukuaji wa teknolojia duniani. Na Mwandishi wetu Katika kile kinachoonekana kuwa kiu ya kuwatumikia Wanangara na kuifanya Ngara kuwa kubwa…

30 June 2025, 12:25 pm
Vigogo watatu wakutana kuutaka ubunge Bunda mjini
Bulaya amesema ameamua kurejea nyumbani baada ya kutafakari kwa kina, akieleza kuwa alihamia CHADEMA kwa kile alichokiita “mkopo wa kisiasa.” Na Adelinus Banenwa Aliyewahi kuwa Mbunge wa Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Esther Bulaya, amerejea rasmi…

27 June 2025, 9:50 am
Wazee wamchangia aliyekuwa diwani kuchukua fomu tena
“kikao hicho siyo kampeni badala yake ni kumshukuru kiongozi huyo kwa yale aliyoyafanya” Na Adelinus Banenwa Baraza la wazee wa chama cha mapinduzi kata ya Nyasura Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wamemkabidhi fedha kiasi cha shilingi elfu hamsini…

23 June 2025, 5:59 pm
Ipi nafasi ya wajane baada ya kupoteza waume zao?
Kwa baadhi ya jamii, wajane hulaumiwa kwa vifo vya waume zao, hutengwa kijamii, na mara nyingine hata kunyimwa urithi au mali walizochuma pamoja. Na Adelinus Banenwa Kila mwaka ifikapo tarehe 23 Juni, dunia huadhimisha Siku ya Wajane Duniani (International Widows…