
Recent posts

15 March 2025, 5:46 pm
Bunda kuadhimisha miaka minne ya Rais Samia Machi 17
Miongoni mwa maeneo yatakayoangaziwa ni pamoja na sekta mbalimbali za serikali ikiwemo Maji, Umeme, Afya, Barabara pamoja na Elimu. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imewaomba wananchi wote kuudhuria maadhimisho ya miaka minne ya serikali ya awamu ya sita chini…

7 March 2025, 7:22 pm
Mbunge Ghati ahimiza ushirikiano kwa wanawake
Mbali na kuwataka wanawake kuwa na mshikamano pia amesema ni lazima zisemwe kazi nzuri zilizofanywa na serikali awamu ya sita chini ya rais Samia Suluhu Hassan Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wanawake wote kuwa na ushirikiano na kujenga tabia…

6 March 2025, 5:29 pm
Anusurika kifo baada ya kushambuliwa na mamba akioga
Anusurika kifo baada ya kushambuliwa na Mamba alipokwenda ziwani asubuhi, rafiki apanda juu ya mamba kunusuru ndugu yake. Na Adelinus Banenwa Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Baraka Jumanne Maseke mwanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari Neruma kata…

4 March 2025, 9:23 am
Mtoto Angel aliyezama kwenye rambo apatikana akiwa amefariki
Mwili wa mtoto huyo umeopolewa na askari wa zimamoto na uokoaji walikuwa eneo la tukio tangu March 2, 2025 walipopata taarifa za tukio hilo. Na Adelinus Banenwa Mtoto Angel Wilson 8 mwanafunzi wa darasa la pili shule ya msingi Kataryo…

3 March 2025, 8:11 am
Mtoto wa miaka 8 azama maji kwenye rambo wakati akichota maji
Angel Wilson ( 8) mwanafunzi wa darasa la pili shule ya msingi Kataryo B halmashauri ya Musoma Vijijini anatajwa kuzama kwenye rambo wakati akiteka maji. Na Adelinus Banenwa Mtoto mmoja aliyetambulika kwa jina la Angel Wilson ( 8) mwanafunzi wa…

3 March 2025, 7:49 am
Nyamuswa yetu kwanza yadhamiria kurudisha tabasamu kijijini
Kikundi hicho kilianzishwa tangu mwaka 2021 na kilianza katika dhima ya kusaidia watu misibani na kusaidia batibabu kwa wale wanaougua lakini hawana uwezo wa kwenda hospitali. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha pesa taslimu shilingi milioni moja laki sita na elfu…

2 March 2025, 9:33 pm
Onyo wafanyabiashara watakaopandisha bei bidhaa za chakula Ramadhani na kwaresma
Mara nyingi malalamiko ya wananchi yamekuwa ni kwenye bidhaa za mihogo, viazi, tambi sukari miongoni mwa bidhaa zingine. Na Adelinus Banenwa Wafanyabiashara wilayani Bunda wametakiwa kujiepusha na upandishaji holela wa bei ya bidhaa za chakula katika kipindi hiki cha mwezi…

27 February 2025, 4:31 pm
Kampeni ya chakula shuleni yapelekea shule 11 bunda tc kufuta daraja 0
Yapo mabadiliko makubwa ya kitaaluma tangu sera ya wanafunzi kupata chakula shuleni ambapo kati shule 17 za sekondari za halmashauri ya mji wa Bunda shule 11 zimefanikiwa kufuta daraja sifuri kwa matokeo kidato cha nne. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa…

27 February 2025, 4:02 pm
Baraza la madiwani Bunda TC wapitisha bajeti ya bilion 2.24 ya TARURA kwa 2025…
Fedha hizo zikipitishwa kama zilivyopendekezwa zitakwenda kutelezeza hatua tofauti za ujenzi wa miundombinu ya barabara kama vile ujenzi wa barabara mpya, ujenzi wa mitaro, uwekaji wa taa za barabarani maeneo ya senta pamoja na ujenzi wa madaraja na karuvati. Na…

26 February 2025, 8:33 pm
Wazazi Sazira na Sizaki Sec wapewa tano kwa wanafunzi wote kupata chakula shulen…
Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewapongeza wazazi na waleza wa shule za sekondari za Sazira na Sizaki kwa kuchanga chakula cha wanafunzi shuleni. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Mhe Robert Chacha…