Recent posts
17 June 2026, 7:08 pm
Mbunge Bulaya afadhili vifaa vya michezo Bitaraguru FC
Wakati mwingine wachezaji hao walikuwa wakicheza vifua wazi kutokana ana uhaba wa jezi hivyo msaada huo wa jezi utasaidia kwa kiasi kikubwa vijana hao kuongeza morali. Na Adelinus Banenwa Katika kuunga mkono maendeleo ya michezo kwa vijana, Mbunge wa Jimbo…
17 June 2026, 6:45 pm
Apoteza maisha baada ya kuzama kwenye dimbwi
Tukio lililotokea wakati mwanafunzi huyo alipokwenda eneo hilo kwa ajili ya kuchota maji majira ya saa tisa alasiri. Na Adelinus Banenwa Mtoto Waryoba Sungura (11), mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Butimba iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya…
16 June 2026, 2:54 pm
DC Bunda atoa saa 24 kwa BUWSSA kutatua changamoto ya maji
Iwapo mamlaka hiyo haitatekeleza maelekezo hayo ndani ya muda uliopangwa, basi viongozi wa mamlaka hiyo hawana sababu ya kuendelea kubaki Bunda. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Aswege Enock Kaminyoke ametoa maagizo ya saa 24 kwa Mamlaka ya…
15 June 2026, 10:00 pm
Katibu UVCCM Mara aonya makundi kuelekea uchaguzi wa chama
Mollel ametoa wito huo leo wakati wa ziara yake ya kikazi wilayani Bunda yenye lengo la kukagua uhai wa jumuiya, mali na miradi ya UVCCM pamoja na ujumbe wa Kuvunja makundi ndani ya jumuiya hiyo. Na Adelinus Banenwa Katibu wa…
12 June 2026, 4:15 pm
Wataka sheria kali dhidi ya watoto wanaowatelekeza wazazi
Wazee wamesema kumekuwa na ongezeko la vitendo vya kutelekezwa kwa wazazi wenye umri mkubwa, hali inayowafanya kukosa huduma muhimu ikiwemo chakula, matibabu na makazi bora. Na Adelinus Banenwa Wazee wa Wilaya ya Bunda mkoani Mara wameiomba Serikali kutunga sheria itakayowalazimisha…
12 June 2026, 3:07 pm
Jamii yakumbushwa kulinda haki za wazee dhidi ya ukatili
Ukatili wanaopitia wazee ni pamoja an kutelekezwa na wakati mwingine kuachiwa jukumu la kulea wajukuu bila msaada wa kutosha. Na Adelinus Banenwa Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kupinga Ukatili Dhidi ya Wazee, Afisa Ustawi wa Jamii wa Halmashauri ya Mji…
12 June 2026, 10:27 am
DC Kaminyoge aongoza mazishi ya diwani Ruth Irungu
Marehemu Mheshimiwa Ruth Hosea Irungu alifariki dunia Juni 5, 2026 katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, mkoani Mwanza, alipokuwa akipatiwa matibabu. Na Adelinus Banenwa Aliyekuwa Diwani wa Viti Maalum wa Kata ya Iramba, Wilaya ya Bunda mkoani Mara, Marehemu Mheshimiwa…
11 June 2026, 4:15 pm
Polisi Jamii waweka mkazo kwenye huduma kwa mteja
Kaijage amesema maboresho hayo yamechangia kuongeza imani ya wananchi kwa Jeshi la Polisi na kuwezesha kupatikana kwa taarifa nyingi zaidi za uhalifu kutoka katika jamii. Na Adelinus Banenwa Jeshi la Polisi linaendelea kuhimiza utoaji wa huduma bora kwa wateja katika…
9 June 2026, 11:58 am
Msanii nyimbo za asili Njiwa Manga afariki dunia
Njiwa Manga anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumatano katika makaburi ya familia yaliyopo kata ya Buturu, Mtaa wa Majengo, Wilaya ya Butiama mkoani Mara. Na Taro Michael Mujora Msanii wa nyimbo za Asili kutoka mkoani Mara Dicksoni Juma maarufu kama Njiwa…
5 June 2026, 8:03 pm
BUFADESO, Butiama DC wapanda miti 1000 siku ya mazingira
Jumla ya miti 1,000 imepandwa katika kituo cha afya cha kukirango pamoja na ofisi za halmashauri ya wilaya ya Butiama. Na Adelinus Banenwa Katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani, jumla ya miti 1,000 imepandwa katika kituo cha afya cha kukirango…