Mazingira FM

WWF: Mto Mara ulindwe na utunzwe

12 September 2023, 5:10 pm

Sehemu ya banda la WWF katika viwanja vya Sokoine Wilaya ya Serengeti maadhimisho ya 12 ya Mto Mara

Kupitia Maadhimisho ya 12 ya siku ya Mto Mara, Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira WWF limeeleza mikakati linayoifanya kuulinda Mto Mara.

Na Edward Lucas

Wananchi mkoani Mara wametakiwa kuendelea kutunza rasilimali ya Mto Mara ili kuifanya kuwa endelevu.

Wito huo umetolewa na Mratibu wa Mradi WWF mkoa wa Mara, Damas Mbaga wakati akizungumza na Radio Mazingira Fm katika viwanja vya Sokoine Wilaya ya Serengeti mkoani Mara katika Maadhimisho ya 12 ya Mto Mara ameeleza ni kwa namna gani wanafanya kuulinda Mto Mara.

Mahojiano ya Mazingira Fm na Mratibu wa Mradi WWF katika Maadhimisho ya 12 ya Mto Mara