Recent posts
28 May 2026, 2:17 pm
Ni marufuku malori kubeba wanafunzi
Wakati mwingine magari hayo hutumika kubeba wanafunzi kwenda kwenye michezo na matamasha mbalimbali jambo ambalo ni kinyume cha sheria za usalama barabarani. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ni marufuku magari ya mizigo ikiwemo malori kutumika kubeba abiria kutokana na hatari…
27 May 2026, 10:48 am
Wakulima wahimizwa kulima kitaalamu
Kutokea skimu ya kisangwa jumla la wakulima 214 wamenufika kutoka vijiji vya Kiroreli, Nyangere na kijiji cha Kambubu. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wakulima kuzingatia taratibu za kilimo ili kuweza kuongeza mavuno na kipato cha familia. Hayo yameelezwa na…
21 May 2026, 8:27 pm
BUWSSA yawadai wateja shilingi milioni 200 za ankara za maji
Baadhi ya miradi imesimama kutokana na changamoto ya upatikanaji wa fedha. Miradi hiyo ni pamoja na mradi wa maji wa Kisangwa, mradi wa ubadilishaji wa mabomba kutoka Migungani kwenda Mlima Kaswaka, pamoja na mradi wa maji taka ambao umefikia asilimia…
21 May 2026, 7:49 pm
Uchakavu wa madarasa, vyoo waitesa shule ya msingi Nyasura
Licha ya Serikali inayoongozwa na CCM kuendelea kuboresha sekta ya elimu nchini, bado Shule ya Msingi Nyasura inahitaji kuangaliwa kwa jicho la pili. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa Serikali kuiangalia kwa karibu Shule ya Msingi Nyasura iliyopo Kata ya…
20 May 2026, 2:01 pm
Uchangiaji damu kwa hiari umesaidia kuokoa maisha
Watu walio na uhitaji wa hali ya juu zaidi wa damu ni pamoja na manusura wa ajali, akina mama wanaojifungua na watoto wenye umri chini ya miaka mitano. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kujenga utamaduni wa kuchangia damu…
18 May 2026, 5:55 pm
Shule ya msingi Victoria yapokea wanafunzi baada ya siku 14 za DC Aswege
Mradi huo ulipokea kiasi cha shilingi milioni 334 mwishoni mwa mwaka 2025 kwa ajili ya ujenzi. Na Adelinus Banenwa Baada ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Aswege Enock Kaminyoge, kutoa maelekezo ya ndani ya siku 14 kufunguliwa kwa Shule ya…
17 May 2026, 9:09 pm
Afia nyumba ya kulala wageni akiwa na mpenzi wake
Alisikia sauti ya mwanamke ikiita “Chacha”, “chacha” amka umekuwaje huku mtu mwingine akiwa anakoroma”. Na Adelinus Banenwa Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Chacha Ryoba (45) mkazi wa Kihumbu kata ya Hunyari halmashauri ya wilaya ya Bunda amepoteza maisha kwenye…
16 May 2026, 11:03 am
Afisa uvuvi Bunda DC: Uvuvi haramu chanzo upungufu wa samaki
Baadhi ya wavuvi wamekuwa wakitumia nyavu za dagaa kuvulia samaki, hali inayochangia kuvuliwa kwa samaki wakiwa bado wadogo na hivyo kuhatarisha ongezeko la samaki katika Ziwa Victoria. Na Mariam Mramba Afisa Uvuvi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, kutoka wizara…
16 May 2026, 5:13 am
DAS Bunda asisitiza usimamizi wa miradi na ukusanyaji mapato
Mtelela ametoa rai hiyo wakati akizungumza katika kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2026/2027. Na Mariam Mramba Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda, Salum Mtelela, amewakumbusha madiwani pamoja na watumishi wa Halmashauri ya…
15 May 2026, 11:49 pm
Madiwani Bunda DC walia na ubovu wa barabara
Licha ya TARURA kufanya kazi kubwa ya ujenzi wa barabara katika wilaya hiyo, baadhi ya barabara zimeharibika kutokana na mvua kubwa zilizonyesha hivi karibuni, hali inayohitaji hatua za haraka za matengenezo ili kurejesha huduma ya usafiri kwa wananchi. Na Mariam…