Recent posts
13 December 2025, 8:45 pm
Milion 330.7 kujenga shule mpya Nyasura
Ujenzi huo utahusisha vyumba vya madarasa 6, jengo la utawala, vyoo matundu 18, Pamoja na vyumba viwili vya madarasa vya elimu ya awali. Na Adelinus Banenwa Kutokana na msongamano wa wanafunzi shule ya msingi Nyasura iliyopo kata ya Nyasura mjini…
13 December 2025, 3:11 pm
Utoaji vitamini A, dawa za minyoo kupunguza vifo 24% Mara
Afisa lishe mkoa wa Mara Bi.Grace Martine mkoa wa Mara kuna 23.4% ya udumavu kwa Watoto,watoto wakipata vitamini A na dawa za minyoo vifo vya watoto vitapungua kwa 24% Na Catherine Msafiri , Wazazi wameaswa kuhakikisha wanawapeleka watoto wao wenye…
13 December 2025, 2:38 pm
Ukatili wa kutelekezwa na kihisia bado ni dondandugu Bunda
Jamii yatakiwa kuzingatia malezi kwa watoto kuanzia ngazi ya familia badala ya wazazi kuwa bize na kazi, pia kufuata sheria ili kuepukana na ukatili wa kijinsia. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa hali ya ukatili wa kutelekezwa bado ni changamoto kubwa…
13 December 2025, 1:49 pm
Elimu juu ya madhara ya mila ya ukeketaji sehemu 8
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
13 December 2025, 1:44 pm
Elimu juu ya madhara ya mila ya ukeketaji sehemu 7
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
13 December 2025, 1:27 pm
Elimu juu ya madhara ya mila ya ukeketaji sehemu 6
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
13 December 2025, 1:19 pm
Elimu juu ya madhara ya mila ya ukeketaji sehemu 5
Na Adelinus Banenwa Kipindi kinahusu kutoa elimu kwa jamii inayotekeleza mila ya ukeketaji kwa akinamama na mabinti juu ya madhara ya kiafya kijamii na kimaendeleo watakayoyapata pindi wanapofanyiwa mila hiyo. Lakini pia kinaonesha umuhimu wa dhamira ya mila hizo, hivyo…
12 December 2025, 8:50 pm
BUFADESO yajivunia mafanikio kuinua wakulima Mara
Kwa mwaka mzima tumepata mafanikio mbalimbali ikiwemo kushika nafasi ya pili katika maonesho ya kilimo misitu yaliyoanadaliwa na Vi Agroforestry kutokana na ubora wa bidhaa zinazozalishwa na wakulima wetu. Na Adelinus Banenwa Afisa maendeleo wa halmashauri ya mji wa Bunda…
11 December 2025, 5:22 pm
Wakulima kutumia kilimo mseto kukabili mabadiliko ya tabianchi
Afisa kilimo Elton Dickson Mtani kilimo mseto ni miongoni mwa mbinu bora zinazoweza kuwasaidia wakulima kukabiliana na changamoto zinazosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi. Na Catherine Msafiri, Katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi wakulima wameshauriwa kutumia kilimo mseto…
11 December 2025, 12:43 pm
Mtoto wa miaka 14 anusurika kubakwa na mzee wa miaka 74
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wazazi juu ya tabia ya mzee huyo lakini hawakuwa na ushahidi wa kumkamata na ndipo siku ya tukio waliandaa mtego ambao ulipelekea kumnasa mzee huyo akiwa amemfungia mtoto huyo ndani. Na Adelinus Banenwa Mtoto…