
Recent posts

12 April 2025, 7:16 pm
Barrick North Mara watenga bil. 4.687 miradi mipya CSR
Barrick North Mara umetenga kiasi cha shilingi bilioni 4.687 fedha ya uwajibikaji wa kampuni kwa wananchi CSR Na Edward Lucas Mgodi wa Barrick North Mara umetenga kiasi cha shilingi bilioni 4.687 fedha ya uwajibikaji wa kampuni kwa wananchi CSR kwa…

7 April 2025, 8:50 pm
TAKUKURU: Wananchi msishawishi watia nia kutoa rushwa
Mwananchi kushawishi mgombea au mtia nia kumpatia chochote ni kinyume na sheria ya takukuru sura ya 329 kifungu cha 15 (8) Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kutojihusisha na vitendo vya rushwa hasa kwa kuwashawishi viongozi na watia nia…

5 April 2025, 12:08 am
Diwani na wenzake wapandishwa kizimbani Bunda
Watuhumiwa hao wanatajwa kutenda makosa ya Matumizi mabaya ya Madaraka, kughushi nyaraka kwa lengo la kumdanganya muajiri, kuunda vikundi hewa na kufanya ubadhirifu wa shilingi milioni 3. Na Adelinus Banenwa Watu wanne akiwemo diwani wilayani Bunda wamefikishwa mahakani kwa tuhuma…

4 April 2025, 5:09 pm
Jumuiya ya wazazi CCM Bunda yatembelea kituo cha watoto yatima St. Francis
Katika wiki ya wazazi jumuiya hiyo imefanya kazi mbalimbali kwenye jamii ikiwemo ufanyaji wa usafi katika maeneo mbalimbali, upandaji miti, kutembelea vituo vya afya. Na Adelinus Banenwa Jumuiya ya wazazi chama cha mapunduzi CCM wilaya ya Bunda kimepongeza kituo cha…

2 April 2025, 6:49 pm
Magala atahadharisha rushwa kuelekea uchaguzi
Amewataadharisha viongozi hao kuepuka watu wanaotaka nafasi za uongozi kwa kutumia rushwa. Na Adelinus Banenwa Katibu wa Elimu, malezi na Maadili jumuiya ya wazazi CCM Bunda ndugu Masau Magala ameitaka jamii kuzingatia kuzingatia suala la Maadili na kuepuka vitendo vya…

30 March 2025, 12:58 pm
Winfrida TAKUKURU tunamlinda mtoa taarifa za rushwa
Kwa mujibu wa kifungu cha 51 na 52 cha sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa sura ya 329 kinaeleza vizuri kwa namnagani taarifa zinazotolewa zinakuwa za siri na maafisa wa takukuru wanazilinda na kumlinda mtoa taarifa. Na Adelinu Banenwa…

29 March 2025, 4:55 pm
CCM yatoa kongole kwa walimu mafanikio Salama sekondari 2024
Chama cha Mapinduzi Kata ya Salama kimefanya hafla ya kuwapongeza walimu wa Shule ya Sekondari ya Salama kwa mafanikio makubwa ya matokeo ya Kidato cha Nne 2024. Na Adelinus Banenwa Chama cha Mapinduzi Kata ya Salama kimefanya hafla ya kuwapongeza…

25 March 2025, 10:35 pm
Bunda: Aliwa na mamba akiwa kwenye uvuvi Ziwa Victoria
Afariki dunia kwa kuliwa na mamba baada ya kumkamata akiwa anaendelea na uvuvi wa samaki kando ya ziwa Victoria.. sehemu ndogo tu ya mwili imepatikana familia wazika Na Thomas Masalu Mashiku Mihayo (49) mkazi wa mtaa wa Guta Mjini amefariki…

23 March 2025, 12:24 pm
Anayedaiwa kuchoma moto kiganja cha mtoto wake atiwa mbaroni
Mwanamke aliyedaiwa kumchoma mwanae kiganja cha mkono kwenye jiko la mkaa atiwa mbaroni wananchi wataka kumshushia kipigo. Na Adelinus Banenwa Ni Neema Musimu John mkazi wa mtaa wa Mapinduzi kata ya Bunda mjini mkoani Mara ambaye inadaiwa kumchoma moto kwenye…

22 March 2025, 9:03 pm
Radio jamii zanolewa kumulika nafasi ya wanawake uchaguzi mkuu 2025
Licha ya sensa ya watu na makazi ya 2022 kuonesha idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume, katika nafasi za uongozi kwa ngazi za udiwani na ubunge bado kuna idadi ndogo zaidi ya uwakilishi. By Edward Lucas Chama cha Wanahabari…