Recent posts
19 April 2026, 6:23 am
Matumizi yasiyo sahihi ya namba114 changamoto kwa jeshi la Zimamoto Bunda
Wakati mwingine hupokea simu watu wakitaka kujiunga na freemason, matusi ya nguoni au wakati mwingine habari za uongo kuhusu matukio ya maokozi. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa changamoto ya miundombinu, kutotolewa taarifa mapema na taarifa zisizo sahihi bado ni changamoto…
12 April 2026, 8:19 am
Wafanyabiashara msiwashawishi maafisa TRA kuchukuwa rushwa
Watumishi wa TRA kuwahudumia wafanyabiashara kwa haki na uwazi, pamoja na kuwafuata katika maeneo yao ya biashara ili kufanya makadirio sahihi. Na Adelinus Banenwa Wafanyabiashara wote nchini wametakiwa kuwasilisha malalamiko iwapo wanahisi wamekadiriwa kodi zaidi au pungufu ya kipato chao…
10 April 2026, 2:00 pm
“Fuatilieni vyombo vya habari ni muhimu”
Mambo ya kuzingatia wakati wa kuandaa habari, vyanzo vya habari na mambo ya kuzingati wakati wa kuhariri habari. Na Adelinus Banenwa Wito umetoleawa kwa jamii kufuatalia vyombo vya habari kutokana na umuhimu wake kwa jamii hasa katika kupasha habari za…
9 April 2026, 6:40 pm
Ifahamu Mazingira FM
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya…
2 April 2026, 5:51 pm
Bima kwa chombo cha moto ni takwa la kisheria
ASP Buhembere: “Chanzo kikuu cha ajali ni matendo ya kibinadamu, mazingira na chombo chenyewe hivyo.” Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wamiliki wote wa vyombo vya moto kuhakikisha wanakuwa na bima za vyombo hivyo ili kukidhi matakwa ya kisheria kama…
1 April 2026, 7:13 pm
Mabotto atoa mkono wa pasaka kwa wagonjwa Manyamanyama
“Umekuwa ni utamaduni wa kiongozi huyo kwa zaidi ya miaka nane sasa amekuwa akitoa misaada kwa makundi mablimbali hasa kuelekea siku za sikukuu”. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa zamani wa jimbo la Bunda mjini na mkurugenzi wa Mabotto Microfinence ndugu…
1 April 2026, 10:09 am
Ajinyonga chumbani kwake wivu wa mapenzi watajwa
Majirani hao wamesema jana majira ya saa mbili asubuhi walianza kusikia harufu kali ikitokea kwenye chumba hicho na nzi wengi ndipo walimpigia mwenye nyumba kisha kuwatarifu viongozi wa mtaa. Na Adelinus Banenwa Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Amos Chacha…
31 March 2026, 6:56 pm
Afukiwa na kifusi akienda kutoa msaada mgodini
tukio hilo lilotekea tarehe 27/3/2026 majira ya saa kumi na moja jioni Na Adelinus Banenwa na Mussa Kagole Mwanaume mmoja mkazi wa mtaa wa Nyamilama kata ya Kabasa alietambulika kwa jina la Mfungo Budigila 62 amefariki dunia kwa kufukiwa na…
31 March 2026, 3:24 pm
Mikopo asilimia 10 ipo ombeni
Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya jamiii halmashauri ya Bunda Bi Octavina Kiwone ameeleza kuhusu fursa ya mikopo ya asilimia 10 ambapo amewataka vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kujitokeza kwa wingi kuunda vikundi imara vitakavyowasaidia kupata fursa hiyo ili…
30 March 2026, 10:27 am
Mugeta wapewa kongole uandikishaji wanafunzi
Zaidi ya asilimia 96 ya watoto wanojiandikisha kuanza shule za msingi na sekondari wote wanafika shuleni. Na Mariam Mramba Mkuu wa wilaya ya Bunda, Mhe Aswege Enock Kaminyoge amewapongeza wananchi wa kata ya Mgeta kwa kufanikisha kwa kiwamgo kikubwa uandikishaji…