9 April 2026, 6:40 pm

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya…

On air
Play internet radio

Recent posts

28 May 2026, 2:17 pm

Ni marufuku malori kubeba wanafunzi

Wakati mwingine magari hayo hutumika kubeba wanafunzi kwenda kwenye michezo na matamasha mbalimbali jambo ambalo ni kinyume cha sheria za usalama barabarani. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ni marufuku magari ya mizigo ikiwemo malori kutumika kubeba abiria kutokana na hatari…

27 May 2026, 10:48 am

Wakulima wahimizwa kulima kitaalamu

Kutokea skimu ya kisangwa jumla la wakulima 214 wamenufika kutoka vijiji vya Kiroreli, Nyangere na kijiji cha Kambubu. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wakulima kuzingatia taratibu za kilimo ili kuweza kuongeza mavuno na kipato cha familia. Hayo yameelezwa na…

21 May 2026, 8:27 pm

BUWSSA yawadai wateja shilingi milioni 200 za ankara za maji

Baadhi ya miradi imesimama kutokana na changamoto ya upatikanaji wa fedha. Miradi hiyo ni pamoja na mradi wa maji wa Kisangwa, mradi wa ubadilishaji wa mabomba kutoka Migungani kwenda Mlima Kaswaka, pamoja na mradi wa maji taka ambao umefikia asilimia…

21 May 2026, 7:49 pm

Uchakavu wa madarasa, vyoo waitesa shule ya msingi Nyasura

Licha ya Serikali inayoongozwa na CCM kuendelea kuboresha sekta ya elimu nchini, bado Shule ya Msingi Nyasura inahitaji kuangaliwa kwa jicho la pili. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa Serikali kuiangalia kwa karibu Shule ya Msingi Nyasura iliyopo Kata ya…

20 May 2026, 2:01 pm

Uchangiaji damu kwa hiari umesaidia kuokoa maisha

Watu walio na uhitaji wa hali ya juu zaidi wa damu ni pamoja na manusura wa ajali, akina mama wanaojifungua na watoto wenye umri chini ya miaka mitano. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kujenga utamaduni wa kuchangia damu…

17 May 2026, 9:09 pm

Afia nyumba ya kulala wageni akiwa na mpenzi wake

Alisikia sauti ya mwanamke ikiita “Chacha”, “chacha” amka umekuwaje huku mtu mwingine akiwa anakoroma”. Na Adelinus Banenwa Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Chacha Ryoba (45) mkazi wa Kihumbu kata ya Hunyari halmashauri ya wilaya ya Bunda amepoteza maisha kwenye…

16 May 2026, 11:03 am

Afisa uvuvi Bunda DC: Uvuvi haramu chanzo upungufu wa samaki

Baadhi ya wavuvi wamekuwa wakitumia nyavu za dagaa kuvulia samaki, hali inayochangia kuvuliwa kwa samaki wakiwa bado wadogo na hivyo kuhatarisha ongezeko la samaki katika Ziwa Victoria. Na Mariam Mramba Afisa Uvuvi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, kutoka wizara…

16 May 2026, 5:13 am

DAS Bunda asisitiza usimamizi wa miradi na ukusanyaji mapato

Mtelela ametoa rai hiyo wakati akizungumza katika kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2026/2027. Na Mariam Mramba Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda, Salum Mtelela, amewakumbusha madiwani pamoja na watumishi wa Halmashauri ya…

15 May 2026, 11:49 pm

Madiwani Bunda DC walia na ubovu wa barabara

Licha ya TARURA kufanya kazi kubwa ya ujenzi wa barabara katika wilaya hiyo, baadhi ya barabara zimeharibika kutokana na mvua kubwa zilizonyesha hivi karibuni, hali inayohitaji hatua za haraka za matengenezo ili kurejesha huduma ya usafiri kwa wananchi. Na Mariam…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com