Recent posts
9 July 2026, 11:44 am
Penina: Vita dhidi ya ukatili jukumu la kila mtu
Dhana ya “Kupinga ukatili wa Kijinsia mahali ulipo” inatokana na ukweli kwamba vitendo vya ukatili hufanyika ndani ya familia na jamii tunazoishi nazo kila siku. Na Edward Lucas Mwenyekiti wa Jukwaa la Kupinga Ukatili wa Kijinsia Mkoa wa Mara (LeMaChU),…
7 July 2026, 10:17 am
Waiomba serikali kusafisha mazingira baada ya kifo cha mtoto
Wananchi wameiomba serikali kuanzia ngazi ya mtaa hadi wilaya kuziagiza taasisi zinazomiliki maeneo ambayo hayajaendelezwa kuyafanyia usafi au kuyatoa kwa wananchi kwa ajili ya kilimo, wakisema maeneo hayo yamekuwa maficho ya wahalifu. Na Adelinus Banenwa Wananchi wa Kata ya Nyasura,…
7 July 2026, 9:00 am
Uwepo ofisi ya wenye ulemavu Bunda kuwa “mwarobaini”
Kutokuwa na ofisi kunawalazimu watu wenye ulemavu kuzunguka sehemu mbalimbali wanapotafuta msaada Na Edward Lucas Viongozi wa watu wenye ulemavu Wilaya ya Bunda wamesema upatikanaji wa ofisi maalumu utarahisisha utoaji wa huduma kwa wanachama wao, ikiwemo kupokea malalamiko ya ukatili,…
6 July 2026, 1:25 pm
Mwili wa mwanamke wakutwa umetelekezwa kwenye pagale
Baadhi ya wananchi wameeleza kuwa walikuwa wakimuona marehemu mara kwa mara katika eneo hilo, ingawa hawakufahamu alikotoka Na Edward Lucas Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara limethibitisha kuokotwa kwa mwili wa mwanamke ndani ya jengo lililotelekezwa la Wasira, lililopo eneo…
5 July 2026, 2:06 pm
Kipungu: Usalama wa wanahabari ni muhimu wakati wa kazi
Ni wajibu wa kila mwandishi kuhakikisha kuwa kompyuta, simu, na mitandao yao inalindwa kwa njia salama wakati wote. Na Adelinus Banenwa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) umewataka waandishi wa habari nchini kuacha tabia ya kujisahau na…
4 July 2026, 1:03 am
Polisi Mara yaendelea na uchunguzi kifo cha mtoto Bunda
Uchunguzi wa awali umebaini kuwa mguu wa kulia pamoja na baadhi ya viungo vingine vya mwili vilikuwa vimeondolewa. Na Adelinus Banenwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linaendelea na uchunguzi wa kifo cha mtoto Simon Juma Bango (11), mkazi wa Nyasura…
3 July 2026, 9:12 am
Mwenyekiti UWT Bunda akabidhi viti mwendo 17 kwa wenye ulemavu
“Uamuzi wa kutoa msaada huo umetokana na kupokea maombi mengi kutoka kwa watu wenye ulemavu waliokuwa wakikabiliwa na changamoto za usafiri na utekelezaji wa shughuli zao za kila siku.” Na Adelinus Banenwa Viongozi na wananchi wametakiwa kutoa kipaumbele katika kuwasaidia…
2 July 2026, 2:40 pm
Waandishi watakiwa kuelimisha jamii kuhusu ukatili mitandaoni
Waandishi wa habari wamekuwa na mchango mkubwa katika kupunguza matukio ya ukatili kwenye maeneo mbalimbali Na Adelinus Banenwa Imebainika kuwa ukatili unaofanyika kupitia mitandao unaendelea kuongezeka kwa kasi, hali inayoiweka jamii katika hatari zaidi. Kutokana na changamoto hiyo, waandishi wa…
26 June 2026, 11:32 pm
Akutwa amefariki katika mazingira ya kutatanisha mwili watelekezwa porini
Mtoto huyo alipotea nyumbani tangu Juni 24, 2026, baada ya kwenda na wenzake kuuza maandazi katika eneo la Stendi ya Nyasura. Na Adelinus Banenwa Mtoto aliyetambulika kwa jina la Saimoni Juma Bango (11), mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule…
26 June 2026, 11:21 am
Mtelela: Mkopo wa 10% siyo sadaka
Wakizungumza baada ya kupokea fedha hizo baadhi ya wanufaika hao wamesema kuwa fedha hizzo zimewasaidia kupata mitaji,kukuza vipato vyao kutokana na n mkopo huo wenye masharti nafuu kutoka halmashauri. Na Mariam Mrambi Jumla ya vikundi 33 kutoka maeneo mbalimbali katika…