Recent posts
29 March 2026, 20:18
Wasiovaa jaketi okozi ziwani Mara kukiona
Utoaji elimu kwa wavuvi kuhusu matumizi sahihi ya vifaa vya uokozi utafuatiwa na ukaguzi wa kina katika maeneo ya uvuvi ili kuhakikisha sheria na taratibu za usalama zinazingatiwa. Na Mwandishi wetu Afisa Mfawidhi Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC)…
26 March 2026, 09:31
Wakulima wahimizwa kuacha kuchoma mabaki ya mazao
Afisa kilimo Elton Dickson Mtani mabaki ya mazao yana mchango mkubwa katika kuongeza rutuba ya udongo, kuhifadhi unyevu, na kupunguza mmomonyoko wa ardhi. Na Catherine Msafiri. Katika juhudi za kuimarisha kilimo endelevu na kulinda mazingira, afisa kilimo Elton Dickson Mtani…
25 March 2026, 18:04
Waziri Kamani: Maafisa mifugo marufuku kukaa maofisini
wafugaji wametaja changamoto mbalimbli zinazowakabili kuwa ni Pamoja na changamoto ya malisho hasa wakati wa kiangazi, changamoto ya maji kwa ajili ya mifugo Pamoja na kukosekana kwa maafisa mifugo katika maeneo yao. Na Adelinus Banenwa Naibu waziri wa mifugo na…
24 March 2026, 19:56
Akutwa amefariki chanzo chatajwa ni tembo
Tembo akiwa katika mazingira yake (picha kwa msaada wa mitandao) Baada ya jeshi la polisi kufika walifanya uchunguzi na kukabidhi mwili kwa ndugu kwa ajili ya kuendelea na taratibu za mazishi . Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina…
22 March 2026, 20:25
DAS Bunda azicharukia RUWASA, TANESCO kuboresha huduma
Ikumbukwe katika mahafali hii jumla ya wanafunzi 45 wamehitimu kidato cha sita ambapo kati yao wavulana ni 26 na wasichana ni 19 ambao walianza kidato cha tano mwaka 2024. Na Adelinus Banenwa Katibu Tawala Wilaya ya Bunda mkoani Mara Salumu…
16 March 2026, 20:47
Ujenzi wa choo kusaidia wanafunzi kutojisaidia vichakani
Kutokana na uhaba wa matundu ya vyoo shuleni hapo, wanafunzi hao wenye mahitaji maalumu walikuwa wakilazimika kujisaidia sehemu zisizo salama kwa kuogoapa kuchangamana na wenzao. Na Mwandishi wetu Kufuatia wanafunzi wenye mahitaji Maalum katika shule ya Msingi Madaraka wilayani Butiama…
14 March 2026, 13:04
Watakiwa kuwahi hospitali wanapoona dalili za nimonia
Dkt.Regnand Milinga wito kwa wananchi endapo mtu ataonekana na dalili za nimonia ni muhimu kufika kituo cha kutolea huduma za afya kwani ugonjwa huo ni hatari na ni rahis kusababisha kifo Na Catherine Msafiri Imeelezwa kuwa kati ya magonjwa ambukizi…
9 March 2026, 11:21
Ukikutwa unauza mbegu feki faini ni kati ya shilingi Mil.100 hadi Mil.500
Duka au muuzaji wa mbegu aliyesajiliwa akikamatwa anauza mbegu ambazo siyo bora kwa mujibu wa sheria ya mbegu ya mwaka 2003 atalipa faini kati ya milioni 100 hadi milioni 500. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wakulima kutumia mbegu bora…
8 March 2026, 13:21
Vi agroforestry washiriki maadhimisho siku ya wanawake mkoa wa Mara
Wanawake mkoani Mara wamehimizwa kutumia maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kama fursa ya kujijengea uwezo wa kiuchumi kupitia shughuli za uhifadhi wa mazingira na uzalishaji wa mazao ya lishe Na Catherine Msafiri, Wanawake mkoani Mara wamehimizwa kutumia maadhimisho ya…
6 March 2026, 19:38
Kesi ya Kaunya na wenzake yaendelea leo mahakama ya Bunda
Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Bunda, Mheshimiwa Mulokozi Kamuntu. Na Adelinus Banenwa Kesi ya jinai namba 21 ya mwaka 2026 inayosikilizwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda inaendelea kusikilizwa huku washtakiwa wakitetewa na…