Recent posts
13 February 2026, 9:10 pm
Wanafunzi 374 hawajaripoti shule kidato cha kwanza Bunda DC
Aagiza watoto waliosalia wote wawe wameripoti shule ifikapo Feb 28 2026, Na Adelinus Banenwa Jumla ya wanafunzi 374 wa kidato cha kwanza 2026 halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara hawajaripoti shuleni. Hayo yamesemwa na Mkuu wa wilaya ya Bunda…
12 February 2026, 11:48 am
Changieni damu kuokoa maisha ya mama na mtoto
Mratibu wa damu salama halmashauri ya mji wa Bunda, mkoani Mara, Stephano Machage ametoa wito watu kujitokeza kuchangia damu kuokoa maisha ya mama na mtoto. Na Catherine Msafiri, Jamii imetakiwa kujitokeza kwa wingi kuchangia damu ili kuokoa maisha ya mama…
11 February 2026, 12:19 pm
Wito wa upandaji miti watolewa kutunza mazingira
Kamese amesema kuwa upandaji miti una mchango mkubwa katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi hasa kwa wakulima kwani shughuli zao nyingi zinategemea hali nzuri ya hewa. Na Catherine Msafiri Mkurugenzi wa BUFADESO, Baraka Kamese, ametoa wito kwa wananchi kupanda miti…
10 February 2026, 5:47 pm
ASILI B-CC wazinduliwa, kiboko ya lishe, kilimo, tabianchi Mara
Meneja mkaazi – Vi Agroforestry Martha Olotu amesema mradi wa ASILI B –CC unalengo la kukabiliana na matatizo mbalimbali ikiwa ni pamoja na lishe duni na mabadiliko ya tabia nchi. Na Catherine Msafiri Shirika la Vi Agroforstry kwa kushirikiana na…
8 February 2026, 9:45 pm
Apoteza maisha kwa kuzama kwenye dimbwi Bunda
Madaktari walithibitisha kuwa chanzo cha tukio hilo ni mtoto kunywa maji. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kuacha tabia ya kuchimba madimbwi pamoja na mashimo ya choo kisha kubaki wazi muda mrefu ili kuepuka madhara ya watoto kudumbukia na…
6 February 2026, 7:31 pm
Ahofiwa kuliwa na mamba akiogelea ziwa Viktoria
Tukio hilo limetokea tangu siku ya Alhamis tarehe 5 Feb 2026 majira ya saa kumi za jioni ambapo tangu wakati huo hadi sasa jitihada za kumtafuta mtoto huyo zinaendelea. Na Adelinus Banenwa Mtoto mmoja aliyetambulika kwa jina la Enock Kulwa…
5 February 2026, 7:37 pm
CCM Bunda yakusanya milioni mianne arobaini ujenzi ofisi ya wilaya
Harambee imefanyika ikiambatana na maadhimisho ya miaka 49 ya kuzaliwa kwa chama hicho ambacho ni muungano wa vyama vya Afro shilaz part na chama cha TANU mwaka 1977. Na Naomi Lumbe Jumla ya shilingi za kitanzania milioni mianne arobaini (440,000,000)…
3 February 2026, 6:23 am
Ufaulu, uripoti sekondari bado changamoto Bunda
Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda Salum Alfan Mtelela, Ameeleza kuwa asilimia 30/31 mjini na asilimia 42 kwa vijijini wanafuzi hawakufaulu.akitoa wito wa kuhakikisha wanafunzi hao wanaripoti shuleni Na Catherine Msafiri, Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda Salum Alfan Mtelela,…
3 February 2026, 6:22 am
Mahakama Bunda yaadhimisha siku ya sheria, sheria 446 zatafsiriwa kiswahili
Monika hokololo Mkuu wa mashitaka wilaya ya Bunda sheria zaidi ya 400 zimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili kwa lengo la kuwasaidia wananchi kuelewa mambo ya kimahakama. Na Catherine Msafiri Imeelezwa kuwa Mahakama inaendelea na utafsiri wa sheria mbalimbali kwa lugha…
31 January 2026, 12:12 pm
NMB yakabidhi msaada wa vifaa vyenye thamani ya mil 230 mkoa wa Mara
Katika msaada huu Benk ya NMB imetoa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 230 mkoani Mara ambapo kwa hospital DDH Rorya imepokea Encubators 8 ambazo zitasaidia watoto njiti baada ya kuzaliwa. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ukosefu wa vifaa saidizi…