Recent posts
29 July 2026, 5:11 pm
Wananchi watakiwa kushiri usimamizi wa miradi
Hivi karibuni ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kurusanga utaanza, baada ya kukamilika kwa maandalizi ya awali. Amesema Serikali itatoa shilingi milioni 584 kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo. Na Mariam Mramba Mbunge wa Jimbo la Bunda, Boniphace Getere,…
28 July 2026, 4:55 pm
Mbunge Getere aomba changamoto sekondari ya Sanzate zitatuliwe
Shule inakabiliwa na upungufu wa majengo manne ya maabara, wataalamu wa maabara, nyumba za walimu, vyoo vya wanafunzi wa kike pamoja na huduma ya maji safi na salama Na Mariam Mramba Mbunge wa Jimbo la Bunda, Boniphace Getere, amemwomba Afisa…
27 July 2026, 4:29 pm
Bulaya aunga mkono ujenzi wa KKKT Mugaja kwa msaada wa mabati
Msaada huo umetolewa kufuatia ombi lililowasilishwa na uongozi wa kanisa hilo. Na Adelinus Banenwa Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Mariam Amosi, kwa niaba ya Mhe Mbunge Esther Bulaya, leo Julai 27, 2026, amekabidhi mabati bando mbili zenye…
25 July 2026, 9:48 pm
Mama lishe ageuka nguzo ya familia kupitia madini
Wanawake wengi wanaofanya kazi migodini wanajihusisha na shughuli halali za kujipatia kipato, kinyume na mtazamo wa baadhi ya watu. Na Edward Lucas Uwezeshaji wa wanawake kupitia shughuli za uchimbaji madini umetajwa kuwa miongoni mwa njia zinazowasaidia kujikwamua kiuchumi na kuongeza…
24 July 2026, 10:18 pm
Nyamoko yaaga changamoto ya mawasiliano Yas ikizindua mnara
Mwanzoni ilikuwa changamoto katika vijiji vya kata hiyo kwenye suala la mawasiliano hali iliyokuwa inapelekea Kwenda mbali kutafuta mawasiliano Na Adelinus Banenwa Diwani wa kata ya Nyamoko iliyopo wilayani Serengeti mkoani Mara Mhe Emmanuel Gabriel Saina ameupongeza mtandao wa simu…
24 July 2026, 9:42 pm
Bulaya atatua tatizo la maji maabara ya fizikia Rubana sekondari
Maboresho hayo yataongeza ufanisi wa ufundishaji kwa vitendo kwa kuwa wanafunzi wataweza kutumia vifaa vya maabara kwa urahisi zaidi. Na Edward Lucas Changamoto ya ukosefu wa huduma ya maji iliyokuwa ikiathiri matumizi ya maabara mpya ya Fizikia katika Shule ya…
22 July 2026, 9:08 pm
584 mil kujenga shule ya sekondari Chamtigiti
Baadhi ya miradi ya maendeleo hushindwa kukamilika kwa wakati kutokana na usimamizi hafifu unaofanywa na baadhi ya watumishi wa Serikali. Na Mariam Mramba Zaidi ya shilingi milioni 584 zimetolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari…
18 July 2026, 8:50 pm
Hope for Girls latoa msaada wa kisaikolojia kwa watoto
Shirika hilo limehudumia takribani watoto 4,578 kwa kuwapatia hifadhi ya muda, msaada wa kisaikolojia, ushauri nasaha, fursa ya kuendelea na elimu pamoja na huduma nyingine Na Edward Lucas Mkurugenzi wa Hope for Girls and Women in Tanzania, Rhobi Samweli, amesema…
18 July 2026, 8:07 pm
Viongozi wa wajasiriamali Bunda wasimamishwa, utata waibuka
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, Minza Shani, amesimamisha uongozi wa Wajasiriamali Wilaya ya Bunda na kumtaka Mwenyekiti wa Wajasiriamali Mkoa wa Mara, Charles Waitara, kuhakikisha unapatikana uongozi mpya. Inadaiwa uamuzi huo umefikiwa kutokana na malalamiko ya wajasiriamali pamoja…
15 July 2026, 5:56 pm
DC Kaminyoge: Watakaotumia vyandarua kufugia kuku kukiona
Kaminyoge amesisitiza kuwa vyandarua hivyo ni salama kwa matumizi ya binadamu na kuwataka wananchi kupuuza taarifa za upotoshaji kuhusu matumizi yake, ikiwemo madai kuwa vinaweza kusababisha kupungua kwa nguvu za kiume. Na Mariam Mramba Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Enock…