Recent posts
8 September 2026, 8:51 pm
Dkt Baganda: Onyo watakaofanya udanganyifu mitihani darasa la saba Mara
Mkoa wa Mara una jumla ya watahiniwa 59,995 kutoka shule 939 wanaotarajiwa kufanya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi, Na Adelinus Banenwa Mkoa wa Mara una jumla ya watahiniwa 59,995 kutoka shule 939 wanaotarajiwa kufanya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya…
8 September 2026, 8:39 pm
Dereva bodaboda auawa Bunda, pikipiki yake yachukuliwa
Walifanikiwa kupata usafiri na kumpeleka katika Hospitali ya Manyamanyama kwa ajili ya matibabu, lakini licha ya juhudi za madaktari, Daudi alifariki dunia kutokana na kupoteza damu nyingi zilizotokana na majeraha aliyoyapata. Na Adelinus Banenwa Mwendesha pikipiki maarufu wa bodaboda, aliyetambulika…
8 September 2026, 10:59 am
“Kopa ng’ombe lipa maziwa” kuwakwamua wafugaji kiuchumi
Mpango wa “Kopa Ng’ombe, Lipa Maziwa” unalenga kuwasaidia wafugaji kutoka katika umaskini kwa kuwawezesha kupata ng’ombe na kulipa gharama kwa kutumia sehemu ya mapato yatokanayo na uzalishaji wa maziwa. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa mpango huo unaotekelezwa kwa ufadhili wa…
8 September 2026, 10:27 am
Wenye kero wakaribishwa ziara ya waziri mkuu Bunda
Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mhe. Aswege Enock Kaminyoge amesema ziara ya Waziri Mkuu wilayani humo ni fursa kwa wananchi kueleza changamoto zao moja kwa moja na viongozi wa serikali, hivyo wananchi wanapaswa kuitumia ipasavyo. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa…
8 September 2026, 8:19 am
Kufutwa sheria ya utaifishaji mifugo kicheko kwa wafugaji
Moja ya changamoto zilizokuwepo ni pamoja na mifugo kukamatwa ijumaa kisha kwa weekend inakwenda kuuzwa ikidaiwa haina mwenyewe. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa wafugaji taifa Mrida Mshota ameipongeza serikali kwa kufuta sheria ya utaifishaji mifugo akisema uamuzi huo unakwenda kuleta…
28 August 2026, 9:45 pm
Bunda: Hofu ya kutekwa na ukatili kwa wanawake, msako waanza porini
Wananchi kwa kushirikiana na viongozi wamelazimika kuingia porini kumsaka mtu anayeshukiwa kuwateka wanawake, kuwatembeza uchi na kuwafanyia vitendo vya ukatili. Na. Edward Lucas Wananchi wa Mtaa wa Mihale, Kata ya Mcharo na maeneo jirani wilayani Bunda, mkoani Mara, leo wamekusanyika…
27 August 2026, 6:40 pm
Usimamizi na uaminifu watajwa kuwa msingi wa mafanikio
Usimamizi mzuri ni msingi muhimu unaoweza kusaidia jambo lililoanzishwa kuwa endelevu kwa muda mrefu. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ili kufanikiwa katika maisha na kutimiza maono, ni muhimu kuzingatia usimamizi mzuri pamoja na uaminifu. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Maboto…
26 August 2026, 11:27 am
Wanawake Bunda watekwa mtoni, watembezwa uchi, wafanyiwa ukatili
Watmetembezwa uchi porini, wengine wakaachiwa huku yeye akiendelea kushikiliwa na kufanyiwa vitendo vya ukatili. Akiwa huko, anasema alitishiwa kuuawa na kulazimishwa kumpigia simu mumewe pamoja na mama yake, akiwaomba watume shilingi laki tano. Mwanaume huyo alidai fedha hizo kuwa sharti…
24 August 2026, 11:17 am
Aswege: Viongozi shirikianeni kuwatumikia wananchi
Ushirikishwaji wa viongozi wa vitongoji, mitaa, vijiji na kata utasaidia kuongeza ushiriki wa wananchi, kwa kuwa viongozi hao wanafahamu kwa karibu wananchi na kaya zilizopo katika maeneo yao. Na Mariam Mramba Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Aswege Enock Kaminyoge, amewataka…
24 August 2026, 10:50 am
Kibe: Serikali itoe mapema mwongozo wa uuzwaji wa mbegu
Kumekuwepo changamoto kwa wakulima kutokana na kukosekana kwa ufafanuzi na mwongozo kuhusu mfumo wa ununuzi wa mbegu katika msimu huu. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa Serikali kutoa ufafanuzi kuhusu utaratibu wa uuzaji wa mbegu katika msimu mpya wa kilimo…