Mazingira FM
Mazingira FM
18 July 2026, 8:50 pm
Shirika hilo limehudumia takribani watoto 4,578 kwa kuwapatia hifadhi ya muda, msaada wa kisaikolojia, ushauri nasaha, fursa ya kuendelea na elimu pamoja na huduma nyingine Na Edward Lucas Mkurugenzi wa Hope for Girls and Women in Tanzania, Rhobi Samweli, amesema…
18 July 2026, 8:07 pm
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, Minza Shani, amesimamisha uongozi wa Wajasiriamali Wilaya ya Bunda na kumtaka Mwenyekiti wa Wajasiriamali Mkoa wa Mara, Charles Waitara, kuhakikisha unapatikana uongozi mpya. Inadaiwa uamuzi huo umefikiwa kutokana na malalamiko ya wajasiriamali pamoja…
15 July 2026, 5:56 pm
Kaminyoge amesisitiza kuwa vyandarua hivyo ni salama kwa matumizi ya binadamu na kuwataka wananchi kupuuza taarifa za upotoshaji kuhusu matumizi yake, ikiwemo madai kuwa vinaweza kusababisha kupungua kwa nguvu za kiume. Na Mariam Mramba Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Enock…
15 July 2026, 5:29 pm
Akemea tabia ya baadhi ya wanachama wa vikundi kwenda benki kuchukua mikopo bila kuwashirikisha wenzao, akisema mwenendo huo husababisha migogoro ndani ya vikundi. Na Mariam Mramba Mbunge wa Jimbo la Bunda, Boniphace Getere, amesema atashirikiana kwa karibu na Benki ya…
14 July 2026, 5:16 pm
Kwa sasa mwananchi anayekamilisha taratibu za usajili ana uhakika wa kupata cheti chake cha kuzaliwa ndani ya saa 48 tangu anapowasilisha maombi. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mhe. Aswege Enock Kaminyoge, ameipongeza Wakala wa Usajili, Ufilisi na…
12 July 2026, 1:28 pm
Utafiti uliofanyika Januari mwaka huu umeonyesha kuwa asilimia 34.7 ya washiriki waliripoti kufanyiwa ukatili na mtu aliyekuwa chini ya ushawishi wa pombe. Na Edward Lucas Matumizi yaliyokithiri ya pombe yameendelea kutajwa kuwa miongoni mwa vihatarishi vinavyoongeza matukio ya ukatili wa…
9 July 2026, 11:44 am
Dhana ya “Kupinga ukatili wa Kijinsia mahali ulipo” inatokana na ukweli kwamba vitendo vya ukatili hufanyika ndani ya familia na jamii tunazoishi nazo kila siku. Na Edward Lucas Mwenyekiti wa Jukwaa la Kupinga Ukatili wa Kijinsia Mkoa wa Mara (LeMaChU),…
7 July 2026, 10:17 am
Wananchi wameiomba serikali kuanzia ngazi ya mtaa hadi wilaya kuziagiza taasisi zinazomiliki maeneo ambayo hayajaendelezwa kuyafanyia usafi au kuyatoa kwa wananchi kwa ajili ya kilimo, wakisema maeneo hayo yamekuwa maficho ya wahalifu. Na Adelinus Banenwa Wananchi wa Kata ya Nyasura,…
7 July 2026, 9:00 am
Kutokuwa na ofisi kunawalazimu watu wenye ulemavu kuzunguka sehemu mbalimbali wanapotafuta msaada Na Edward Lucas Viongozi wa watu wenye ulemavu Wilaya ya Bunda wamesema upatikanaji wa ofisi maalumu utarahisisha utoaji wa huduma kwa wanachama wao, ikiwemo kupokea malalamiko ya ukatili,…
6 July 2026, 1:25 pm
Baadhi ya wananchi wameeleza kuwa walikuwa wakimuona marehemu mara kwa mara katika eneo hilo, ingawa hawakufahamu alikotoka Na Edward Lucas Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara limethibitisha kuokotwa kwa mwili wa mwanamke ndani ya jengo lililotelekezwa la Wasira, lililopo eneo…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com