Mazingira FM

Recent posts

2 March 2024, 5:58 pm

Mkuu wa uhasibu Serengeti mikononi mwa polisi kwa ubadhirifu

Mkuu wa kitengo Cha uhasibu na fedha halmashauri ya wilaya ya Serengeti yuko mikononi mwa jeshi la polisi mkoani Mara kwa agizo la Mhe waziri Mkuu baada ya kukutwa na tuhuma za kuhamisha fedha za serikali zaidi ya shilingi Milioni…

2 March 2024, 5:31 pm

PM Majaliwa aanza ziara mkoani Mara

Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kasimu Majaliwa Majaliwa ziara yake mkoani Mara akianza na wilaya ya Bunda kwa kutembelea, kukagua, kuweka jiwe la msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya ya Bunda. Na Adelinus Banenwa…

22 February 2024, 12:50 pm

Mbunge Maboto, akabidhi gari la wagonjwa kituo cha afya Wariku

Mbunge wa jimbo la Bunda mjini Robert Chacha Maboto siku ya leo amemkabidhi Mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Bunda, Emmanuel Mkongo gari mpya ya kubebea Wagonjwa itakayo toa huduma katika kituo cha afya Wariku. Na Thomas Masalu Mbunge wa…

21 February 2024, 9:28 pm

Bajeti Bunda DC 2024 na 2025 ni zaidi ya bilioni 31.3

Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara tarehe 20 Feb, 2024 limeidhinisha makadirio ya bajeti ya mapato na matumizi ya zaidi ya shilingi bilioni 31.3 kwa mwaka wa fedha 2024 na 2025. Na Adelinus Banenwa Baraza la…

19 February 2024, 11:26 am

Nyatwali mbioni kulipwa

Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amelihakikishia baraza la madiwa la mji wa Bunda kuwa taratibu za kuwalipa wakazi wa Nyatwali zipo ukingoni na muda wowote kutoka sasa wakazi hao wataanza kulipwa. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya…

18 February 2024, 5:14 pm

RUPA Memorial hospital kutoa huduma za kibingwa hasa kwa akina mama saa 24

Askofu wa kanisa Katoliki jimbo la Bunda Saimon Chibuga  Masondole amewataka matabibu kufanya kazi kwa moyo kwa kuwa Mungu amewapa karama ya uponyaji. Na Adelinus Banenwa Askofu wa kanisa Katoliki jimbo la Bunda Saimon Chibuga  Masondole amewataka matabibu kufanya kazi…

17 February 2024, 11:07 pm

Kituo cha afya Bunda chadaiwa kuwatoza fedha wajawazito, watoto

Wananchi wamelalamikia kituo cha afya bunda kuwatoza fedha akina mama wanaokwenda kujifungua na watoto chini ya miaka mitano kinyume na sera ya afya. Na Adelinus Banenwa Wananchi wamelalamikia kituo cha afya Bunda kuwatoza fedha akina mama wanaokwenda kujifungua na watoto…

17 February 2024, 10:42 pm

Mtelela: Viongozi fanyeni ziara na mikutano kutatua kero za wananchi

Katibu tawala wilaya ya Bunda amewaelekeza madiwani  chini ya mwenyekiti wa halmashauri na wataalam wa halmashauri wilaya ya Bunda chini ya mkurugenzi mtendaji kufanya ziara na mikutano ya hadhara ili kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Na Adelinus Banenwa. Katibu…

17 February 2024, 10:25 pm

Madiwani Bunda walia na uvamizi wa nyani kwenye makazi

Tutazungumza na tawa kutatua changamoto ya uvamizi wa nyani kwenye makzi ya watu Mhe Madiwani tupeni muda. Na Adelinus Banenwa Ofisi  ya mkuu wa wilaya ya Bunda kupitia kwa katibu tawala wilaya hiyo Salumu Mtelela imelihakikishia baraza la madiwani halmashauri…

17 February 2024, 10:06 pm

Mkandarasi wa usafi atimuliwa Bunda kwa kushindwa kazi

Halmashauri ya mji wa Bunda imetangaza kuvunja mkataba na mkandarasi wa usafi ndani ya mji wa Bunda kutokana na kushindwa kutekeleza mkataba wake. Na Adelinus Banenwa Halmashauri ya mji wa Bunda imetangaza kuvunja mkataba na mkandarasi wa usafi ndani ya…