Mazingira FM
Mazingira FM
22 March 2026, 8:25 pm
Ikumbukwe katika mahafali hii jumla ya wanafunzi 45 wamehitimu kidato cha sita ambapo kati yao wavulana ni 26 na wasichana ni 19 ambao walianza kidato cha tano mwaka 2024. Na Adelinus Banenwa Katibu Tawala Wilaya ya Bunda mkoani Mara Salumu…
16 March 2026, 8:47 pm
Kutokana na uhaba wa matundu ya vyoo shuleni hapo, wanafunzi hao wenye mahitaji maalumu walikuwa wakilazimika kujisaidia sehemu zisizo salama kwa kuogoapa kuchangamana na wenzao. Na Mwandishi wetu Kufuatia wanafunzi wenye mahitaji Maalum katika shule ya Msingi Madaraka wilayani Butiama…
14 March 2026, 1:04 pm
Dkt.Regnand Milinga wito kwa wananchi endapo mtu ataonekana na dalili za nimonia ni muhimu kufika kituo cha kutolea huduma za afya kwani ugonjwa huo ni hatari na ni rahis kusababisha kifo Na Catherine Msafiri Imeelezwa kuwa kati ya magonjwa ambukizi…
9 March 2026, 11:21 am
Duka au muuzaji wa mbegu aliyesajiliwa akikamatwa anauza mbegu ambazo siyo bora kwa mujibu wa sheria ya mbegu ya mwaka 2003 atalipa faini kati ya milioni 100 hadi milioni 500. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wakulima kutumia mbegu bora…
8 March 2026, 1:21 pm
Wanawake mkoani Mara wamehimizwa kutumia maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kama fursa ya kujijengea uwezo wa kiuchumi kupitia shughuli za uhifadhi wa mazingira na uzalishaji wa mazao ya lishe Na Catherine Msafiri, Wanawake mkoani Mara wamehimizwa kutumia maadhimisho ya…
6 March 2026, 7:38 pm
Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Bunda, Mheshimiwa Mulokozi Kamuntu. Na Adelinus Banenwa Kesi ya jinai namba 21 ya mwaka 2026 inayosikilizwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda inaendelea kusikilizwa huku washtakiwa wakitetewa na…
5 March 2026, 8:48 pm
Chalamila ameipongeza TAKUKURU wilaya ya Bunda kwa usimamizi mzuri wa mradi huo, na matumizi sahihi ya fedha iliyotolewa hadi bubakiza kiasi hicho cha fedha cha shilingi million 31 Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi milioni 363,133,211.13 zimetumika katika ujenzi wa…
28 February 2026, 5:37 pm
Mtoto huyo alitoka ndani ya nyumbani anakoishi na mama yake mdogo na kwenda kutekeleza tukio hilo la kujinyonga kwenye mti uliopo pembeni mwa nyumba yao. Na Adelinus Banenwa Mtoto aliyetambulika kwa jina la Joshua Judicate Muro mwenye umri wa miaka…
28 February 2026, 3:04 pm
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi, aagiza watu wote waliovamia maeneo ya Chama Kikuu cha Ushirika Pamba Mara, kuondoka mara moja Na Thomas Masalu Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi, ameagiza watu wote waliovamia maeneo ya Chama Kikuu…
28 February 2026, 2:38 pm
Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Mussa Hussein,akipokea vifaa mbalimbali ikiwemo madawati 248 na kompyuta 2 kwa ajili ya shule za msingi katika jimbo hilo. Na Thomas Masalu Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Mussa Hussein,…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com