Mazingira FM

Breaking News: miili 10 mingine yapatikana ajali ya mitumbwi Bunda

2 August 2023, 8:23 am

Na Adelinus Banenwa

Katika zoezi la utafutaji ya miili ya wanaoohofiwa kufa maji kwa ajali ya mitumbwi, hadi sasa miili 12 tayari imepatikana kati ya watu 13 waliotajwa kuzama katika ajali hiyo

Baada ya miili miwili kupatikana hada jana jioni, kwa taarifa tulizozipokea asubuhi hii miili mingine 10 imepatikana usiku jana na mingine asubuhi hii na kwasasa imesogozwa kandokando ya Ziwa Victoria eneo la Mchigondo kwa ajili ya utambuzi huku zoezi la kutafuta mwili mwingine likiwa linaendelea.

Indelea kuwa nasi…tutakujulisha zaidi kinachoendelea katika eneo la tukio