Radio Tadio

Maendeleo

29 May 2023, 5:52 pm

Samia, Chongolo wazawadiwa ng’ombe Mufindi Kusini

Na Mwandishi wetu Mbunge wa jimbo la Mufindi Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti Wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania David Kihenzile amekabidhi zawadi ya ng’ombe kwa ajili ya Mh.Rais Samia Suluhu Hassan. Hata hivyo amekabidhi pia ng’ombe wa…

26 May 2023, 9:52 am

Madiwani Iringa wazuiwa kuingia kikao cha baraza la madiwani

Na Frank Leonard Madiwani watano na watendaji zaidi ya 10 wamezuiwa kwa zaidi ya saa mbili kuingia katika kikao cha Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Iringa kama adhabu baada ya kuchelewa kwenye kikao hicho kilichokuwa kimepangwa kuanza saa 2:00…

22 May 2023, 8:33 pm

Madiwani Iringa, ASAS watoa msaada kwa wanafunzi wenye uhitaji

Na Mwandishi wetu Madiwani wa halmashauri ya manispaa ya Iringa kwa kushirikiana na kampuni ya ASAS DAIRIES wametoa msaada kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum wa shule ya msingi Katumba II iliyopo wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya. Madiwani wamekabidhi zawadi kadhaa…

16 May 2023, 10:56 am

Serikali yazindua kampeni ya kulinda maadili

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma amepongeza juhudi za Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wanawake na Makundi Maalum kwa juhudi za kutoa za Elimuu juu ya umuhimu wa Familia na Upendo katika Jamii zetu. Na Mariam Matundu. Katika kuadhimisha…

15 May 2023, 7:31 pm

Vijana Katavi waaswa kuchangamkia fursa

KATAVI Vijana mkoa wa Katavi wameaswa kuchangamkia fursa zinazotolewa na serikali kwa kuunda umoja na kusajiliwa kisheria na Bodi ya wakandarasi ili waweze kupata kazi zinazotolewa na serikali kupitia wakala wa Barabara Tanrods katika mkoa wa Katavi. Ushauri huo umetolewa…

10 May 2023, 4:05 am

Wafanyabiashara wa Mahindi Waomba Kupewa Eneo Kubwa

MPANDA Wafanyabiashara wa soko la Mahindi Kata ya Mpanda Hotel Manispaa Mpanda Mkoani Katavi wamekuwa na maoni tofauti kuhusu miundombinu ya soko huku baadhi wakiiomba serikali kuwatafutia eneo pana kwa ajili ya shughuli hiyo Maoni hayo wameyatoa wakati wakizungumza na…

9 May 2023, 8:20 pm

PETS Wapongeza Shirika la UDESO

KATAVI Wananchi na wanakamati ya PETS wilayani Tanganyika mkoani katavi, wanaoshiriki mafunzo ya ufahamu wa haki, wajibu na majukumu ya wananchi katika usimamizi na ufuatiliaji wa matumizi sahihi ya pesa zinazotolewa na serikali kwaajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo wamelipongeza…