Mazingira FM
Mazingira FM
17 June 2026, 6:45 pm
Tukio lililotokea wakati mwanafunzi huyo alipokwenda eneo hilo kwa ajili ya kuchota maji majira ya saa tisa alasiri. Na Adelinus Banenwa Mtoto Waryoba Sungura (11), mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Butimba iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya…
16 June 2026, 2:54 pm
Iwapo mamlaka hiyo haitatekeleza maelekezo hayo ndani ya muda uliopangwa, basi viongozi wa mamlaka hiyo hawana sababu ya kuendelea kubaki Bunda. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Aswege Enock Kaminyoke ametoa maagizo ya saa 24 kwa Mamlaka ya…
15 June 2026, 10:00 pm
Mollel ametoa wito huo leo wakati wa ziara yake ya kikazi wilayani Bunda yenye lengo la kukagua uhai wa jumuiya, mali na miradi ya UVCCM pamoja na ujumbe wa Kuvunja makundi ndani ya jumuiya hiyo. Na Adelinus Banenwa Katibu wa…
12 June 2026, 4:15 pm
Wazee wamesema kumekuwa na ongezeko la vitendo vya kutelekezwa kwa wazazi wenye umri mkubwa, hali inayowafanya kukosa huduma muhimu ikiwemo chakula, matibabu na makazi bora. Na Adelinus Banenwa Wazee wa Wilaya ya Bunda mkoani Mara wameiomba Serikali kutunga sheria itakayowalazimisha…
12 June 2026, 3:07 pm
Ukatili wanaopitia wazee ni pamoja an kutelekezwa na wakati mwingine kuachiwa jukumu la kulea wajukuu bila msaada wa kutosha. Na Adelinus Banenwa Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kupinga Ukatili Dhidi ya Wazee, Afisa Ustawi wa Jamii wa Halmashauri ya Mji…
12 June 2026, 10:27 am
Marehemu Mheshimiwa Ruth Hosea Irungu alifariki dunia Juni 5, 2026 katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, mkoani Mwanza, alipokuwa akipatiwa matibabu. Na Adelinus Banenwa Aliyekuwa Diwani wa Viti Maalum wa Kata ya Iramba, Wilaya ya Bunda mkoani Mara, Marehemu Mheshimiwa…
11 June 2026, 4:15 pm
Kaijage amesema maboresho hayo yamechangia kuongeza imani ya wananchi kwa Jeshi la Polisi na kuwezesha kupatikana kwa taarifa nyingi zaidi za uhalifu kutoka katika jamii. Na Adelinus Banenwa Jeshi la Polisi linaendelea kuhimiza utoaji wa huduma bora kwa wateja katika…
9 June 2026, 11:58 am
Njiwa Manga anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumatano katika makaburi ya familia yaliyopo kata ya Buturu, Mtaa wa Majengo, Wilaya ya Butiama mkoani Mara. Na Taro Michael Mujora Msanii wa nyimbo za Asili kutoka mkoani Mara Dicksoni Juma maarufu kama Njiwa…
5 June 2026, 8:03 pm
Jumla ya miti 1,000 imepandwa katika kituo cha afya cha kukirango pamoja na ofisi za halmashauri ya wilaya ya Butiama. Na Adelinus Banenwa Katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani, jumla ya miti 1,000 imepandwa katika kituo cha afya cha kukirango…
3 June 2026, 7:13 pm
Aidha Baraka amesema changamoto ya mabadiliko ya tabia ya nchi ikiwemo vipindi virefu vya jua na mvua vinasababisha uharibifu wa mazingira. Na Adelinus Banenwa Mifugo, mabadiliko ya tabia ya nchi na upungufu wa rasilimali bado ni changamoto kubwa katika kampeni…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com