Mazingira FM

Recent posts

21 May 2026, 8:27 pm

BUWSSA yawadai wateja shilingi milioni 200 za ankara za maji

Baadhi ya miradi imesimama kutokana na changamoto ya upatikanaji wa fedha. Miradi hiyo ni pamoja na mradi wa maji wa Kisangwa, mradi wa ubadilishaji wa mabomba kutoka Migungani kwenda Mlima Kaswaka, pamoja na mradi wa maji taka ambao umefikia asilimia…

21 May 2026, 7:49 pm

Uchakavu wa madarasa, vyoo waitesa shule ya msingi Nyasura

Licha ya Serikali inayoongozwa na CCM kuendelea kuboresha sekta ya elimu nchini, bado Shule ya Msingi Nyasura inahitaji kuangaliwa kwa jicho la pili. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa Serikali kuiangalia kwa karibu Shule ya Msingi Nyasura iliyopo Kata ya…

20 May 2026, 2:01 pm

Uchangiaji damu kwa hiari umesaidia kuokoa maisha

Watu walio na uhitaji wa hali ya juu zaidi wa damu ni pamoja na manusura wa ajali, akina mama wanaojifungua na watoto wenye umri chini ya miaka mitano. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kujenga utamaduni wa kuchangia damu…

17 May 2026, 9:09 pm

Afia nyumba ya kulala wageni akiwa na mpenzi wake

Alisikia sauti ya mwanamke ikiita “Chacha”, “chacha” amka umekuwaje huku mtu mwingine akiwa anakoroma”. Na Adelinus Banenwa Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Chacha Ryoba (45) mkazi wa Kihumbu kata ya Hunyari halmashauri ya wilaya ya Bunda amepoteza maisha kwenye…

16 May 2026, 11:03 am

Afisa uvuvi Bunda DC: Uvuvi haramu chanzo upungufu wa samaki

Baadhi ya wavuvi wamekuwa wakitumia nyavu za dagaa kuvulia samaki, hali inayochangia kuvuliwa kwa samaki wakiwa bado wadogo na hivyo kuhatarisha ongezeko la samaki katika Ziwa Victoria. Na Mariam Mramba Afisa Uvuvi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, kutoka wizara…

16 May 2026, 5:13 am

DAS Bunda asisitiza usimamizi wa miradi na ukusanyaji mapato

Mtelela ametoa rai hiyo wakati akizungumza katika kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2026/2027. Na Mariam Mramba Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda, Salum Mtelela, amewakumbusha madiwani pamoja na watumishi wa Halmashauri ya…

15 May 2026, 11:49 pm

Madiwani Bunda DC walia na ubovu wa barabara

Licha ya TARURA kufanya kazi kubwa ya ujenzi wa barabara katika wilaya hiyo, baadhi ya barabara zimeharibika kutokana na mvua kubwa zilizonyesha hivi karibuni, hali inayohitaji hatua za haraka za matengenezo ili kurejesha huduma ya usafiri kwa wananchi. Na Mariam…

15 May 2026, 11:24 pm

Maboto achangia laki sita, maziwa harambee Bunda DDH

Utoaji wa fedha hizo ni sehemu ya kuendeleza ushirikiano kati ya taasisi ya Mabotto na sekta ya afya kwa lengo la kusaidia makundi yenye uhitaji maalum, hususan watoto wanaozaliwa kabla ya wakati pamoja na wananchi wenye changamoto za kiafya. Na…

15 May 2026, 8:53 pm

CCM Bunda yakanusha kubeba watu kwenye mikutano

Gasper amesema chama hicho kina utaratibu wake na wakati wa ziara za viongozi huundwa kamati mbalimbali ambazo huratibu mikutano ambapo moja ya kamati hizo huwa ni ya usafiri. Na Adelinus Banenwa Chama cha mapinduzi wilaya ya bunda kimekanusha uvumi ambao…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com