Mazingira FM
Mazingira FM
10 February 2026, 5:47 pm
Meneja mkaazi – Vi Agroforestry Martha Olotu amesema mradi wa ASILI B –CC unalengo la kukabiliana na matatizo mbalimbali ikiwa ni pamoja na lishe duni na mabadiliko ya tabia nchi. Na Catherine Msafiri Shirika la Vi Agroforstry kwa kushirikiana na…
8 February 2026, 9:45 pm
Madaktari walithibitisha kuwa chanzo cha tukio hilo ni mtoto kunywa maji. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kuacha tabia ya kuchimba madimbwi pamoja na mashimo ya choo kisha kubaki wazi muda mrefu ili kuepuka madhara ya watoto kudumbukia na…
6 February 2026, 7:31 pm
Tukio hilo limetokea tangu siku ya Alhamis tarehe 5 Feb 2026 majira ya saa kumi za jioni ambapo tangu wakati huo hadi sasa jitihada za kumtafuta mtoto huyo zinaendelea. Na Adelinus Banenwa Mtoto mmoja aliyetambulika kwa jina la Enock Kulwa…
5 February 2026, 7:37 pm
Harambee imefanyika ikiambatana na maadhimisho ya miaka 49 ya kuzaliwa kwa chama hicho ambacho ni muungano wa vyama vya Afro shilaz part na chama cha TANU mwaka 1977. Na Naomi Lumbe Jumla ya shilingi za kitanzania milioni mianne arobaini (440,000,000)…
3 February 2026, 6:23 am
Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda Salum Alfan Mtelela, Ameeleza kuwa asilimia 30/31 mjini na asilimia 42 kwa vijijini wanafuzi hawakufaulu.akitoa wito wa kuhakikisha wanafunzi hao wanaripoti shuleni Na Catherine Msafiri, Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda Salum Alfan Mtelela,…
3 February 2026, 6:22 am
Monika hokololo Mkuu wa mashitaka wilaya ya Bunda sheria zaidi ya 400 zimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili kwa lengo la kuwasaidia wananchi kuelewa mambo ya kimahakama. Na Catherine Msafiri Imeelezwa kuwa Mahakama inaendelea na utafsiri wa sheria mbalimbali kwa lugha…
31 January 2026, 12:12 pm
Katika msaada huu Benk ya NMB imetoa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 230 mkoani Mara ambapo kwa hospital DDH Rorya imepokea Encubators 8 ambazo zitasaidia watoto njiti baada ya kuzaliwa. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ukosefu wa vifaa saidizi…
28 January 2026, 10:08 pm
Jumla ya wanafunzi 450 wamepatiwa vifaa vya shule ambavyo ni madaftari na kalamu huku 150 kati yao watashonewa sare za shule kutokana na uwezo wa familia zao. Na Adelinus Banenwa Jumla ya wanafunzi 450 kutoka shule ya msingi muhoji wamewezeshwa…
28 January 2026, 9:47 pm
Hofu kwa wanachama wa CCM ilikuwa ni kubwa kutokana na matukio ya vurugu za baada ya uchaguzi lakini kwa sasa viongozi wamejiridhisha kuwa hali ni shwari. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wanachama wa chama cha mapinduzi CCM kurejea katika…
28 January 2026, 8:47 am
Afisa Kilimo Elton Dickson Mtani aeeleza kuwa Mbegu bora zina sifa za kustahimili ukame, magonjwa na wadudu, na zinaweza kukua vizuri hata katika mazingira magumu. Na Catherine Msafiri, Wakulima wanakabiliwa na changamoto kubwa kutokana na mabadiliko ya tabianchi, ikiwemo ukame,…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com