Mazingira FM

Recent posts

27 January 2026, 8:32 pm

TANAPA Kanda ya Magharibi wapanda miti 7000 birthday ya Rais Samia

Jumla ya miti elfu 7 imepandwa katika hifadhi zote zilizopo kanda ya magharibi Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kupanda miti na kutunza mazingira ili kupunguza athari za mabadiriko ya tabia ya nchi. Hayo yamesemwa leo Jan 27, 2026…

26 January 2026, 11:22 am

Bibi wa miaka 68 auawa, mtuhumiwa atokomea

“Bibi huyo anashambuliwa mikononi alikuwa amebiba mtoto ndipo mtoto huyo alipochukuliwa na bibi alidondoka huku damu nyingi zikiwa zinamtoka” Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Ndabacha Humbikijo Madereke Umri 68 Mkazi Wa  Kijiji Cha Kinyangerere Kata Ya…

24 January 2026, 7:35 pm

Jengeni utamaduni wa kuwaaga watumishi wanapostaafu

Suala la kuanza kazi ni jambo moja na kumaliza ni jambo lingine hivyo ni vema mtumishi anapofikia hatua ya kustaafu aangwe vizuri. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa taasisi za serikali kujenga utamaduni wa kuwaaga vizuri wafanyakazi wao wanapostaafu kutokana…

22 January 2026, 5:55 pm

Waandishi wa habari Mara waelimishwa kuhusu PSSSF

Uwepo wa mfumo huo wa kidigitali umesaidia mambo kadhaa kwa watumishi ikiwemo kupunguza muda wa kufualia maombi ya pensheni. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa watumishi wa umma walioko kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii ya PSSSF kujiunga na mfumo…

22 January 2026, 8:01 am

Project zawadi yawezesha wanafunzi 254 kwenda shule

Tangu waanzishe program hiyo imeweza kusaidia jumla ya wanafunzi 15668 na wanajamii 6880 Na Mariam Mramba Jumla ya wanafunzi 254 kutoka shule za msingi na sekondari wanaotoka mazingira magumu wamepokea msaada wa vifaa na mahitaji malimbali yenye thamani ya zaidi…

21 January 2026, 5:23 pm

90% ya wanawake hujitokeza kwenye fursa za ujasiriamali

Mara nyingi kwenye mafunzo kama haya wanawake hufika asilimia 90 huku wanaume na vijana huwa ni asilimia 10. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa vijana na akina mama kuchangamkia fursa za kujifunza ujuzi utakaowasaidia kujikwamua kiuchumi. Haya yamesemwa na Sarah…

17 January 2026, 5:11 pm

Diwani Mramba awezesha 12 kwenda shule

Hii ikiwa inafikia  jumla ya wanafunzi 160 wanaosaidiwa na diwani huyo . Na Adelinus Banenwa Wakati serikali ikiwahimiza wazazi na walezi kuhakikisha Watoto wote waliofaulu kufika shuleni hatakama mahitaji wadau mbalimbali wameendelea kusaidia vifaa vya shule kwa baadhi ya Watoto…

14 January 2026, 8:22 am

DC Aswege, wanafunzi wote wapokelewe shuleni bila masharti

Hata pale mwanafunzi anapofika shuleni bila sare ya shule, walimu hawapaswi kumzuia bali wanapaswa kumpokea mara moja. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mhe. Aswege Enock Kaminyoge, ametoa wito kwa walimu wote wilayani humo kuhakikisha wanawapokea wanafunzi wote…

11 January 2026, 8:44 pm

Mtoto wa miaka 8 adaiwa kujinyonga Bunda

Na Adelinus Banenwa Mtoto aliyetambulika kwa jina la Noel Makumbate Mashauli (8), mkazi wa Mtaa wa Wisegere, Kata ya Sazira, Halmashauri ya Mji wa Bunda, na mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Kilimani, anadaiwa kufariki dunia baada…

8 January 2026, 10:56 am

Upotevu wa maji BUWSSA, mil. 600 hupotea kila mwaka

Upotevu wa maji kwenye mamlaka ya maji Bunda kwa sasa ni asilimia 31 kati 45 iliyokuwepo awali hali inayopelekea kupoteza zaidi ya shilingi milioni 600 kwa mwaka. Na Adelinus Banenwa Serikali imesema haitaanzisha miradi mingine mipya ya maji hadi pale…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com