Mazingira FM

Recent posts

17 February 2024, 8:35 pm

Bunda: Aliyezikwa aonekana tena, ndugu wapigwa na butwaa

Maajabu aliyezikwa baada ya ndugu kupata taarifa za kifo chake aonekana tena, wakazi wa eneo hilo wapigwa na butwaa wakidhani ni mzimu. Na Adelinus Banenwa Maajabu aliyezikwa baada ya ndugu kupata taarifa za kifo chake aonekana tena wakazi wa eneo…

1 February 2024, 7:56 pm

Kilele cha wiki ya sheria nchini, Bunda ukatili kwa watoto bado upo

Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Aney Naano amevitaka vyombo vinavyosimamia sheria kuhakikisha haki inatendeka hasa katika kesi zinazohusu ukatili wa kijinsia. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Dkt Vicent Aney Naano amevitaka vyombo vinavyosimamia sheria kuhakikisha…

1 February 2024, 3:22 pm

Mbunge Maboto akerwa na wizi wa taa za barabarani Bunda

Atakayetoa taarifa au kumkamata mwizi wa taa za barabarani kupewa donge nono. Na Adelinus Banenwa Atakayetoa taarifa au kumkamata mwizi wa taa za barabarani kupewa donge nono. Ni kauli ya Mhe Robert Maboto Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini wakati…

29 January 2024, 3:06 pm

Kamati ya Siasa CCM Bunda Stoo yaipongeza serikali miradi ya elimu na afya

Mwenyekiti wa ccm kata ya bunda stoo Charlse Mwita Chacha ameiomba serikali kupitia wataalamu wake kuchukua hatua madhubuti kukamilisha miradi Bunda stoo. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa ccm kata ya bunda stoo Charlse Mwita Chacha ameiomba serikali kupitia wataalamu wake…

27 January 2024, 9:13 am

Butiama: NMB watoa msaada wa million 17 shule ya msingi Madaraka

Mkuu wa wilaya ya Butiama Moses Kaegele amewapongeza bank ya NMB kwa kuwa wadau wa maendeleo katika sekta za elimu na afya na kuendelea kuwa karibu na jamii. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya BUTIAMA Moses Kaegele amewapongeza bank…

23 January 2024, 8:43 am

Mamba waendelea kuleta maafa Buzimbwe

Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Kulwa Mafwimbo 46 mkazi wa kijiji cha Buzimbwe ameshambuliwa na mamba wakati akioga ziwa Victoria. Na Adelinus Banenwa Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Kulwa Mafwimbo 46 mkazi wa kitongoji cha Majengo kijiji cha…