Mazingira FM

Recent posts

2 January 2024, 8:55 am

Wawili wapoteza maisha ajali ya gari mkesha wa mwaka mpya Bunda

Watu wawili wamefariki Dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyotokea usiku wa mkesha wa mwaka mpya eneo la Nyasura makumbusho wilayani Bunda. Na Adelinus Banenwa Watu wawili wamefariki Dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyotokea usiku wa mkesha…

1 January 2024, 9:10 pm

Serengeti yaendelea kung’ara hifadhi bora barani Afrika

Hifadhi ya Taifa ya Serengeti imejipanga kuendelea kuboresha huduma mbalimbali ili kuwavutia watalii na kuifanya kuendelea kuwa hifadhi bora ya kwanza barani Afrika. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, Kamishna Msaidizi wa Hifadhi Moronda B. Moronda…

27 December 2023, 1:03 pm

Aliyejeruhiwa na mamba Chrismas afariki: Bunda

Mmoja wa majeruhi wa tukio la kushambuliwa na mamba eneo la Mayoro kata ya Nyamihoro amefariki wakati akikibizwa hispitali ya mkoa Na Adelinus Banenwa Mmoja wa majeruhi wa tukio la kushambuliwa na mamba eneo la Mayoro kata ya Nyamihoro amefariki…

27 December 2023, 12:51 pm

Wawili wajeruhiwa na mamba siku ya Chrismas Bunda

Watu wawili wamenusurika kifo baada ya kushambuliwa na mamba siku ya tarehe 25 wakati wakiendele na shughuli zao katika ufukwe wa ziwa Victoria. Na Adelinus Banenwa Watu wawili wamenusurika kifo baada ya kushambuliwa na mamba siku ya tarehe 25 wakati…

27 December 2023, 12:45 pm

Mhe Maboto ataja mafanikio jimbo la Bunda mjini 2023

Mhe Robert Chacha Maboto Mbunge Jimbo la Bunda Mjini amesema Kwa Mwaka huu 2023 amefanikisha miradi mbalimbali kufanyika Kwa upande wa Afya, Elimu, miundombinu pamoja na Maji. Na Adelinus Banenwa Mhe Robert Chacha Maboto Mbunge Jimbo la Bunda Mjini amesema…

22 December 2023, 8:06 am

Bunda yafanikiwa pakubwa 2023

Serikali wilayani Bunda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutatua changamoto za wananchi katika sekta mbalimbali ikiwa ni kwa upande wa miundombinu, Elimu, Afya na Usuruhishi kwa kipindi cha mwaka 2023. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutatua…