Recent posts
2 January 2024, 8:55 am
Wawili wapoteza maisha ajali ya gari mkesha wa mwaka mpya Bunda
Watu wawili wamefariki Dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyotokea usiku wa mkesha wa mwaka mpya eneo la Nyasura makumbusho wilayani Bunda. Na Adelinus Banenwa Watu wawili wamefariki Dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyotokea usiku wa mkesha…
1 January 2024, 9:10 pm
Serengeti yaendelea kung’ara hifadhi bora barani Afrika
Hifadhi ya Taifa ya Serengeti imejipanga kuendelea kuboresha huduma mbalimbali ili kuwavutia watalii na kuifanya kuendelea kuwa hifadhi bora ya kwanza barani Afrika. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, Kamishna Msaidizi wa Hifadhi Moronda B. Moronda…
31 December 2023, 7:09 pm
Mwili mwingine wa mchimbaji wa madini wapatikana mgodi wa Kinyambwiga
Mwili mwingine wa mchimbaji wa dhahabu mgodi wa dhahabu wa Kinyambwiga wilayani Bunda umeopolewa zikiwa ni siku 21 tangu taarifa za kufukiwa na kifusi Dec 09, 2023. Na Adelinus Banenwa Mwili mwingine wa mchimbaji wa dhahabu mgodi wa dhahabu wa…
27 December 2023, 1:20 pm
Waliofukiwa na kifusi mgodi wa Kinyambwiga Bunda mmoja apatikana akiwa amefariki
Mwili wa mchimbaji mmoja umepatikana baada ya taarifa ya kufukiwa na kifusi wiki mbili zilizopita katika mgodi wa Kinyambwiga wilayani Bunda mkoani Mara Na Adelinus Banenwa Mwili wa mchimbaji mmoja umepatikana baada ya taarifa ya kufukiwa na kifusi wiki mbili…
27 December 2023, 1:03 pm
Aliyejeruhiwa na mamba Chrismas afariki: Bunda
Mmoja wa majeruhi wa tukio la kushambuliwa na mamba eneo la Mayoro kata ya Nyamihoro amefariki wakati akikibizwa hispitali ya mkoa Na Adelinus Banenwa Mmoja wa majeruhi wa tukio la kushambuliwa na mamba eneo la Mayoro kata ya Nyamihoro amefariki…
27 December 2023, 12:51 pm
Wawili wajeruhiwa na mamba siku ya Chrismas Bunda
Watu wawili wamenusurika kifo baada ya kushambuliwa na mamba siku ya tarehe 25 wakati wakiendele na shughuli zao katika ufukwe wa ziwa Victoria. Na Adelinus Banenwa Watu wawili wamenusurika kifo baada ya kushambuliwa na mamba siku ya tarehe 25 wakati…
27 December 2023, 12:45 pm
Mhe Maboto ataja mafanikio jimbo la Bunda mjini 2023
Mhe Robert Chacha Maboto Mbunge Jimbo la Bunda Mjini amesema Kwa Mwaka huu 2023 amefanikisha miradi mbalimbali kufanyika Kwa upande wa Afya, Elimu, miundombinu pamoja na Maji. Na Adelinus Banenwa Mhe Robert Chacha Maboto Mbunge Jimbo la Bunda Mjini amesema…
22 December 2023, 8:26 am
Mtoto wa miaka 14 ashikwa na mamba akiogelea ufukwe ziwa Victoria Bunda
Mtoto aliyetambulika kwa jina la Nyambega Elisha Mbayi mwenye umri wa miaka 14 mwanafunzi wa darasa la saba shule ya msingi Bulamba ameshikwa na mamba wakati akiogelea katika mwalo wa kitongoji cha Mwaloni. Akizungumzia tukio hilo Afisa tarafa wa tarafa…
22 December 2023, 8:06 am
Bunda yafanikiwa pakubwa 2023
Serikali wilayani Bunda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutatua changamoto za wananchi katika sekta mbalimbali ikiwa ni kwa upande wa miundombinu, Elimu, Afya na Usuruhishi kwa kipindi cha mwaka 2023. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutatua…
16 December 2023, 4:04 pm
Esperanto waadhimisha kuzaliwa Dr. Zamenhof kwa kutembelea pori la Akiba Kijeres…
Wanafunzi 34 wa shule ya Sekondari Esperanto wakiwa wameambatana na walimu na viongozi wengine wa jumuiya ya Esperanto watembelea pori la Akiba Kijereshi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho kuzaliwa mwanzilishi wa lugha ya Esperanto. Na Edward Lucas Wanafunzi wa shule…