Mazingira FM

Recent posts

12 March 2024, 11:06 am

WWF yakutana na wadau juu ya uhifadhi vyanzo vya maji

Shirika la WWF limekutana na wadau na viongozi wa watumia maji mkoa wa Mara na maafisa mazingira ili kutathimini yale waliofanya ndani ya miezi 6 ya mradi wa uhifadhi wa Dakio la mto Mara. Na catherine Msafiri Shirika la WWF…

8 March 2024, 4:52 pm

Lugha za matusi marufuku kampeni za uchaguzi mdogo Mara

Viongozi wa vyama vya siasa na wafuasi wao wameonywa juu ya matumizi lugha za matusi na kejeli wakati wa kampeni za uchaguzi zinazoendelea katika kata 2 kwa mkoa wa Mara zinazotarajia kufanya uchaguzi mdogo wa udiwani mnamo March 20, 2014…

8 March 2024, 12:51 pm

Wananchi Nyasura washiriki kuchimba mitaro wapate maji

Imeelezwa kuwa ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo ni suala muhimu na la msingi katika kujiletea maendeleo katika vijiji na mitaa. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo ni suala muhimu na la msingi…

8 March 2024, 12:41 pm

Wanawake watakiwa kuachana na mikopo umiza, kausha damu

Wito umetolewa kwa wanawake kuachana na mikopo kandamizi yenye riba kubwa maarufu kama kausha damu badala yake wakakope kwenye taasisi zinazotambulika kisheria kama vile benki na halmashauri. Na Adelinus BanenwaWito umetolewa kwa wanawake kuachana na mikopo kandamizi yenye riba kubwa…

8 March 2024, 10:40 am

Kambarage atoa mabati 50 ujenzi nyumba ya katibu UWT Bunda

Mwenyekiti wa kamati ya fedha na uchumi CCM wilaya ya Bunda Eng Kambarage Wasira ametoa mabati 50 ujenzi nyumba ya katibu UWT Bunda Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa kamati ya fedha na uchumi CCM wilaya ya Bunda Eng Kambarage Wasira…

2 March 2024, 6:34 pm

Aweso aisitisha MUWASA kutoa huduma ya maji Tarime

Waziri wa maji Mhe Jumaa Aweso ametangaza Muwasa kusitisha kutoa huduma ya kusambaza maji kwenye mji wa Tarime Na Adelinus Banenwa Waziri wa maji Mhe Jumaa Aweso ametangaza Muwasa kusitisha kutoa huduma ya kusambaza maji kwenye mji wa Tarime Mhe…

2 March 2024, 6:14 pm

Majaliwa: Serikali itaimarisha miradi yote ya kimkakati

Waziri mkuu Kasim Majaliwa amesema kuwa serikali itaendelea kuimarisha miradi yote ya kimkakati na kupokea changamoto zote kupitia wabunge. Na Adelinus Banenwa Waziri mkuu Kasim Majaliwa amesema kuwa serikali itaendelea kuimarisha miradi yote ya kimkakati na kupokea changamoto zote kupitia…

2 March 2024, 6:05 pm

Bobaboda wapewa onyo kali kujichukulia sheria mkononi

Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe Jumanne Sagini amekemea madereva pikipiki maarufu kama bodaboda kukiuka sheria za usalama barabarani. Na Adelinus Banenwa Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi mhe Jumanne Sagini amekemea madereva pikipiki maarufu…