Mazingira FM
Mazingira FM
3 June 2026, 7:13 pm
Aidha Baraka amesema changamoto ya mabadiliko ya tabia ya nchi ikiwemo vipindi virefu vya jua na mvua vinasababisha uharibifu wa mazingira. Na Adelinus Banenwa Mifugo, mabadiliko ya tabia ya nchi na upungufu wa rasilimali bado ni changamoto kubwa katika kampeni…
30 May 2026, 8:42 pm
Kujihusisha na uhamiaji haramu ama kufarisha au kutunza zipo adhabu za faini ambazo si chini ya shilingi milioni ishirini na kifungo cha miaka 20 au vyote kwa pamoja lakini pia mali kutaifishwa. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa wananchi wilayani Bunda…
28 May 2026, 2:17 pm
Wakati mwingine magari hayo hutumika kubeba wanafunzi kwenda kwenye michezo na matamasha mbalimbali jambo ambalo ni kinyume cha sheria za usalama barabarani. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa ni marufuku magari ya mizigo ikiwemo malori kutumika kubeba abiria kutokana na hatari…
27 May 2026, 10:48 am
Kutokea skimu ya Kisangwa jumla la wakulima 214 wamenufaika kutoka vijiji vya Kiroreli, Nyangere na kijiji cha Kambubu. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wakulima kuzingatia taratibu za kilimo ili kuweza kuongeza mavuno na kipato cha familia. Hayo yameelezwa na…
21 May 2026, 8:27 pm
Baadhi ya miradi imesimama kutokana na changamoto ya upatikanaji wa fedha. Miradi hiyo ni pamoja na mradi wa maji wa Kisangwa, mradi wa ubadilishaji wa mabomba kutoka Migungani kwenda Mlima Kaswaka, pamoja na mradi wa maji taka ambao umefikia asilimia…
21 May 2026, 7:49 pm
Licha ya Serikali inayoongozwa na CCM kuendelea kuboresha sekta ya elimu nchini, bado Shule ya Msingi Nyasura inahitaji kuangaliwa kwa jicho la pili. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa Serikali kuiangalia kwa karibu Shule ya Msingi Nyasura iliyopo Kata ya…
20 May 2026, 2:01 pm
Watu walio na uhitaji wa hali ya juu zaidi wa damu ni pamoja na manusura wa ajali, akina mama wanaojifungua na watoto wenye umri chini ya miaka mitano. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi kujenga utamaduni wa kuchangia damu…
18 May 2026, 5:55 pm
Mradi huo ulipokea kiasi cha shilingi milioni 334 mwishoni mwa mwaka 2025 kwa ajili ya ujenzi. Na Adelinus Banenwa Baada ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Aswege Enock Kaminyoge, kutoa maelekezo ya ndani ya siku 14 kufunguliwa kwa Shule ya…
17 May 2026, 9:09 pm
Alisikia sauti ya mwanamke ikiita “Chacha”, “chacha” amka umekuwaje huku mtu mwingine akiwa anakoroma”. Na Adelinus Banenwa Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Chacha Ryoba (45) mkazi wa Kihumbu kata ya Hunyari halmashauri ya wilaya ya Bunda amepoteza maisha kwenye…
16 May 2026, 11:03 am
Baadhi ya wavuvi wamekuwa wakitumia nyavu za dagaa kuvulia samaki, hali inayochangia kuvuliwa kwa samaki wakiwa bado wadogo na hivyo kuhatarisha ongezeko la samaki katika Ziwa Victoria. Na Mariam Mramba Afisa Uvuvi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, kutoka wizara…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com