Mazingira FM

Recent posts

2 April 2026, 5:51 pm

Bima kwa chombo cha moto ni takwa la kisheria

ASP Buhembere: “Chanzo kikuu cha ajali ni matendo ya kibinadamu, mazingira na chombo chenyewe hivyo.” Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wamiliki wote wa vyombo vya moto kuhakikisha wanakuwa na bima za vyombo hivyo ili kukidhi matakwa ya kisheria kama…

1 April 2026, 7:13 pm

Mabotto atoa mkono wa pasaka kwa wagonjwa Manyamanyama

“Umekuwa ni utamaduni wa kiongozi huyo kwa zaidi ya miaka nane sasa amekuwa akitoa misaada kwa makundi mablimbali hasa kuelekea siku za sikukuu”. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa zamani wa jimbo la Bunda mjini na mkurugenzi wa Mabotto Microfinence ndugu…

1 April 2026, 10:09 am

Ajinyonga chumbani kwake wivu wa mapenzi watajwa

Majirani hao wamesema jana majira ya saa mbili asubuhi walianza kusikia harufu kali ikitokea kwenye chumba hicho na nzi wengi ndipo walimpigia mwenye nyumba kisha kuwatarifu viongozi wa mtaa. Na Adelinus Banenwa Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Amos Chacha…

31 March 2026, 6:56 pm

Afukiwa na kifusi akienda kutoa msaada mgodini

tukio hilo lilotekea tarehe 27/3/2026 majira ya saa kumi na moja jioni Na Adelinus Banenwa na Mussa Kagole Mwanaume mmoja mkazi wa mtaa wa Nyamilama kata ya Kabasa alietambulika kwa jina la Mfungo Budigila 62 amefariki dunia kwa kufukiwa na…

31 March 2026, 3:24 pm

Mikopo asilimia 10 ipo ombeni

Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya jamiii halmashauri ya Bunda Bi Octavina Kiwone ameeleza kuhusu fursa ya mikopo ya asilimia 10  ambapo amewataka vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kujitokeza kwa wingi  kuunda vikundi imara  vitakavyowasaidia kupata fursa hiyo ili…

30 March 2026, 10:27 am

Mugeta wapewa kongole uandikishaji wanafunzi

Zaidi ya asilimia 96 ya watoto wanojiandikisha kuanza shule za msingi na sekondari wote wanafika shuleni. Na Mariam Mramba Mkuu wa wilaya ya Bunda, Mhe Aswege Enock Kaminyoge amewapongeza wananchi wa kata ya Mgeta kwa kufanikisha kwa kiwamgo kikubwa uandikishaji…

29 March 2026, 8:18 pm

Wasiovaa jaketi okozi ziwani Mara kukiona

Utoaji elimu kwa wavuvi kuhusu matumizi sahihi ya vifaa vya uokozi utafuatiwa na ukaguzi wa kina katika maeneo ya uvuvi ili kuhakikisha sheria na taratibu za usalama zinazingatiwa. Na Mwandishi wetu Afisa Mfawidhi Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC)…

26 March 2026, 9:31 am

Wakulima wahimizwa kuacha kuchoma mabaki ya mazao

Afisa kilimo Elton Dickson Mtani mabaki ya mazao yana mchango mkubwa katika kuongeza rutuba ya udongo, kuhifadhi unyevu, na kupunguza mmomonyoko wa ardhi. Na Catherine Msafiri. Katika juhudi za kuimarisha kilimo endelevu na kulinda mazingira, afisa kilimo Elton Dickson Mtani…

25 March 2026, 6:04 pm

Waziri Kamani: Maafisa mifugo marufuku kukaa maofisini

wafugaji wametaja changamoto mbalimbli zinazowakabili kuwa ni Pamoja na changamoto ya malisho hasa wakati wa kiangazi, changamoto ya maji kwa ajili ya mifugo Pamoja na kukosekana kwa maafisa mifugo katika maeneo yao. Na Adelinus Banenwa Naibu waziri wa mifugo na…

24 March 2026, 7:56 pm

Akutwa amefariki chanzo chatajwa ni tembo

Tembo akiwa katika mazingira yake (picha kwa msaada wa mitandao) Baada ya jeshi la polisi kufika walifanya uchunguzi na kukabidhi mwili kwa ndugu kwa ajili ya kuendelea na taratibu za mazishi . Na Adelinus Banenwa Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina…

Ifahamu Mazingira FM

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.


Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com