Mazingira FM
Mazingira FM
5 July 2026, 2:06 pm
Ni wajibu wa kila mwandishi kuhakikisha kuwa kompyuta, simu, na mitandao yao inalindwa kwa njia salama wakati wote. Na Adelinus Banenwa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) umewataka waandishi wa habari nchini kuacha tabia ya kujisahau na…
4 July 2026, 1:03 am
Uchunguzi wa awali umebaini kuwa mguu wa kulia pamoja na baadhi ya viungo vingine vya mwili vilikuwa vimeondolewa. Na Adelinus Banenwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linaendelea na uchunguzi wa kifo cha mtoto Simon Juma Bango (11), mkazi wa Nyasura…
3 July 2026, 9:12 am
“Uamuzi wa kutoa msaada huo umetokana na kupokea maombi mengi kutoka kwa watu wenye ulemavu waliokuwa wakikabiliwa na changamoto za usafiri na utekelezaji wa shughuli zao za kila siku.” Na Adelinus Banenwa Viongozi na wananchi wametakiwa kutoa kipaumbele katika kuwasaidia…
2 July 2026, 2:40 pm
Waandishi wa habari wamekuwa na mchango mkubwa katika kupunguza matukio ya ukatili kwenye maeneo mbalimbali Na Adelinus Banenwa Imebainika kuwa ukatili unaofanyika kupitia mitandao unaendelea kuongezeka kwa kasi, hali inayoiweka jamii katika hatari zaidi. Kutokana na changamoto hiyo, waandishi wa…
26 June 2026, 11:32 pm
Mtoto huyo alipotea nyumbani tangu Juni 24, 2026, baada ya kwenda na wenzake kuuza maandazi katika eneo la Stendi ya Nyasura. Na Adelinus Banenwa Mtoto aliyetambulika kwa jina la Saimoni Juma Bango (11), mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule…
26 June 2026, 11:21 am
Wakizungumza baada ya kupokea fedha hizo baadhi ya wanufaika hao wamesema kuwa fedha hizzo zimewasaidia kupata mitaji,kukuza vipato vyao kutokana na n mkopo huo wenye masharti nafuu kutoka halmashauri. Na Mariam Mrambi Jumla ya vikundi 33 kutoka maeneo mbalimbali katika…
24 June 2026, 3:35 pm
Uundwaji wa vikundi hivyo utarahisisha upatikanaji wa mikopo pamoja na kuongeza ushirikiano miongoni mwa wananchi katika kuanzisha na kuendeleza miradi ya maendeleo. Na Adelinus Banenwa Diwani wa Kata ya Manyamanyama, Mhe. Mathayo Machilu, amewataka wananchi waliojitokeza kushiriki semina ya ujasiriamali…
22 June 2026, 8:50 pm
Amesema anatarajia kupokea taarifa ya utekelezaji wa maelekezo hayo katika robo ya kwanza ya mwaka wa fedha ifikapo mwezi Oktoba. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evance Alfred Mtambi, ameielekeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kutenga fedha…
20 June 2026, 6:02 pm
Amewataka Maafisa Maendeleo ya Jamii kuwa wabunifu katika kuandaa miradi yenye tija itakayoinua vipato vya wananchi badala ya kuendelea kuipa kipaumbele mikopo ya bodaboda pekee. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evance Alfred Mtambi, amezitaka halmashauri zote…
17 June 2026, 7:08 pm
Wakati mwingine wachezaji hao walikuwa wakicheza vifua wazi kutokana ana uhaba wa jezi hivyo msaada huo wa jezi utasaidia kwa kiasi kikubwa vijana hao kuongeza morali. Na Adelinus Banenwa Katika kuunga mkono maendeleo ya michezo kwa vijana, Mbunge wa Jimbo…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com