Mazingira FM
Mazingira FM
24 June 2026, 3:35 pm
Uundwaji wa vikundi hivyo utarahisisha upatikanaji wa mikopo pamoja na kuongeza ushirikiano miongoni mwa wananchi katika kuanzisha na kuendeleza miradi ya maendeleo. Na Adelinus Banenwa Diwani wa Kata ya Manyamanyama, Mhe. Mathayo Machilu, amewataka wananchi waliojitokeza kushiriki semina ya ujasiriamali…
22 June 2026, 8:50 pm
Amesema anatarajia kupokea taarifa ya utekelezaji wa maelekezo hayo katika robo ya kwanza ya mwaka wa fedha ifikapo mwezi Oktoba. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evance Alfred Mtambi, ameielekeza Halmashauri ya Mji wa Bunda kutenga fedha…
20 June 2026, 6:02 pm
Amewataka Maafisa Maendeleo ya Jamii kuwa wabunifu katika kuandaa miradi yenye tija itakayoinua vipato vya wananchi badala ya kuendelea kuipa kipaumbele mikopo ya bodaboda pekee. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evance Alfred Mtambi, amezitaka halmashauri zote…
17 June 2026, 7:08 pm
Wakati mwingine wachezaji hao walikuwa wakicheza vifua wazi kutokana ana uhaba wa jezi hivyo msaada huo wa jezi utasaidia kwa kiasi kikubwa vijana hao kuongeza morali. Na Adelinus Banenwa Katika kuunga mkono maendeleo ya michezo kwa vijana, Mbunge wa Jimbo…
17 June 2026, 6:45 pm
Tukio lililotokea wakati mwanafunzi huyo alipokwenda eneo hilo kwa ajili ya kuchota maji majira ya saa tisa alasiri. Na Adelinus Banenwa Mtoto Waryoba Sungura (11), mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Butimba iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya…
16 June 2026, 2:54 pm
Iwapo mamlaka hiyo haitatekeleza maelekezo hayo ndani ya muda uliopangwa, basi viongozi wa mamlaka hiyo hawana sababu ya kuendelea kubaki Bunda. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Aswege Enock Kaminyoke ametoa maagizo ya saa 24 kwa Mamlaka ya…
15 June 2026, 10:00 pm
Mollel ametoa wito huo leo wakati wa ziara yake ya kikazi wilayani Bunda yenye lengo la kukagua uhai wa jumuiya, mali na miradi ya UVCCM pamoja na ujumbe wa Kuvunja makundi ndani ya jumuiya hiyo. Na Adelinus Banenwa Katibu wa…
12 June 2026, 4:15 pm
Wazee wamesema kumekuwa na ongezeko la vitendo vya kutelekezwa kwa wazazi wenye umri mkubwa, hali inayowafanya kukosa huduma muhimu ikiwemo chakula, matibabu na makazi bora. Na Adelinus Banenwa Wazee wa Wilaya ya Bunda mkoani Mara wameiomba Serikali kutunga sheria itakayowalazimisha…
12 June 2026, 3:07 pm
Ukatili wanaopitia wazee ni pamoja an kutelekezwa na wakati mwingine kuachiwa jukumu la kulea wajukuu bila msaada wa kutosha. Na Adelinus Banenwa Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kupinga Ukatili Dhidi ya Wazee, Afisa Ustawi wa Jamii wa Halmashauri ya Mji…
12 June 2026, 10:27 am
Marehemu Mheshimiwa Ruth Hosea Irungu alifariki dunia Juni 5, 2026 katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, mkoani Mwanza, alipokuwa akipatiwa matibabu. Na Adelinus Banenwa Aliyekuwa Diwani wa Viti Maalum wa Kata ya Iramba, Wilaya ya Bunda mkoani Mara, Marehemu Mheshimiwa…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com