Mazingira FM
Mazingira FM
1 August 2026, 7:46 pm
Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kuendelea na mbio zake katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Mara kwa lengo la kukagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi ya maendeleo, sambamba na kuhamasisha uzalendo, uwajibikaji na ushiriki wa wananchi katika shughuli…
31 July 2026, 9:18 pm
Hafla ya kukabidhi hundi ya mshindi huyo imefanyika katika ofisi za Yas zilizopo mtaa wa FM, mjini Mugumu, Wilaya ya Serengeti, Mkoa wa Mara. Na Adelinus Banenwa Katika kuendelea kudhihirisha ubora wa huduma zake na kuwazawadia wateja wake, kampuni ya…
30 July 2026, 7:54 pm
Kwa mujibu wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, jukwaa hilo linatarajiwa kuwa daraja la mawasiliano kati ya vijana na Serikali, huku likichochea ushiriki mkubwa wa vijana katika shughuli za maendeleo na uchumi wa eneo hilo. Na Adelinus Banenwa Fursa za…
29 July 2026, 5:11 pm
Hivi karibuni ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kurusanga utaanza, baada ya kukamilika kwa maandalizi ya awali. Amesema Serikali itatoa shilingi milioni 584 kwa ajili ya ujenzi wa shule hiyo. Na Mariam Mramba Mbunge wa Jimbo la Bunda, Boniphace Getere,…
28 July 2026, 4:55 pm
Shule inakabiliwa na upungufu wa majengo manne ya maabara, wataalamu wa maabara, nyumba za walimu, vyoo vya wanafunzi wa kike pamoja na huduma ya maji safi na salama Na Mariam Mramba Mbunge wa Jimbo la Bunda, Boniphace Getere, amemwomba Afisa…
27 July 2026, 4:29 pm
Msaada huo umetolewa kufuatia ombi lililowasilishwa na uongozi wa kanisa hilo. Na Adelinus Banenwa Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Mariam Amosi, kwa niaba ya Mhe Mbunge Esther Bulaya, leo Julai 27, 2026, amekabidhi mabati bando mbili zenye…
25 July 2026, 9:48 pm
Wanawake wengi wanaofanya kazi migodini wanajihusisha na shughuli halali za kujipatia kipato, kinyume na mtazamo wa baadhi ya watu. Na Edward Lucas Uwezeshaji wa wanawake kupitia shughuli za uchimbaji madini umetajwa kuwa miongoni mwa njia zinazowasaidia kujikwamua kiuchumi na kuongeza…
24 July 2026, 10:18 pm
Mwanzoni ilikuwa changamoto katika vijiji vya kata hiyo kwenye suala la mawasiliano hali iliyokuwa inapelekea Kwenda mbali kutafuta mawasiliano Na Adelinus Banenwa Diwani wa kata ya Nyamoko iliyopo wilayani Serengeti mkoani Mara Mhe Emmanuel Gabriel Saina ameupongeza mtandao wa simu…
24 July 2026, 9:42 pm
Maboresho hayo yataongeza ufanisi wa ufundishaji kwa vitendo kwa kuwa wanafunzi wataweza kutumia vifaa vya maabara kwa urahisi zaidi. Na Edward Lucas Changamoto ya ukosefu wa huduma ya maji iliyokuwa ikiathiri matumizi ya maabara mpya ya Fizikia katika Shule ya…
22 July 2026, 9:08 pm
Baadhi ya miradi ya maendeleo hushindwa kukamilika kwa wakati kutokana na usimamizi hafifu unaofanywa na baadhi ya watumishi wa Serikali. Na Mariam Mramba Zaidi ya shilingi milioni 584 zimetolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com