Mazingira FM
Mazingira FM
15 July 2026, 5:29 pm
Akemea tabia ya baadhi ya wanachama wa vikundi kwenda benki kuchukua mikopo bila kuwashirikisha wenzao, akisema mwenendo huo husababisha migogoro ndani ya vikundi. Na Mariam Mramba Mbunge wa Jimbo la Bunda, Boniphace Getere, amesema atashirikiana kwa karibu na Benki ya…
14 July 2026, 5:16 pm
Kwa sasa mwananchi anayekamilisha taratibu za usajili ana uhakika wa kupata cheti chake cha kuzaliwa ndani ya saa 48 tangu anapowasilisha maombi. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mhe. Aswege Enock Kaminyoge, ameipongeza Wakala wa Usajili, Ufilisi na…
12 July 2026, 1:28 pm
Utafiti uliofanyika Januari mwaka huu umeonyesha kuwa asilimia 34.7 ya washiriki waliripoti kufanyiwa ukatili na mtu aliyekuwa chini ya ushawishi wa pombe. Na Edward Lucas Matumizi yaliyokithiri ya pombe yameendelea kutajwa kuwa miongoni mwa vihatarishi vinavyoongeza matukio ya ukatili wa…
9 July 2026, 11:44 am
Dhana ya “Kupinga ukatili wa Kijinsia mahali ulipo” inatokana na ukweli kwamba vitendo vya ukatili hufanyika ndani ya familia na jamii tunazoishi nazo kila siku. Na Edward Lucas Mwenyekiti wa Jukwaa la Kupinga Ukatili wa Kijinsia Mkoa wa Mara (LeMaChU),…
7 July 2026, 10:17 am
Wananchi wameiomba serikali kuanzia ngazi ya mtaa hadi wilaya kuziagiza taasisi zinazomiliki maeneo ambayo hayajaendelezwa kuyafanyia usafi au kuyatoa kwa wananchi kwa ajili ya kilimo, wakisema maeneo hayo yamekuwa maficho ya wahalifu. Na Adelinus Banenwa Wananchi wa Kata ya Nyasura,…
7 July 2026, 9:00 am
Kutokuwa na ofisi kunawalazimu watu wenye ulemavu kuzunguka sehemu mbalimbali wanapotafuta msaada Na Edward Lucas Viongozi wa watu wenye ulemavu Wilaya ya Bunda wamesema upatikanaji wa ofisi maalumu utarahisisha utoaji wa huduma kwa wanachama wao, ikiwemo kupokea malalamiko ya ukatili,…
6 July 2026, 1:25 pm
Baadhi ya wananchi wameeleza kuwa walikuwa wakimuona marehemu mara kwa mara katika eneo hilo, ingawa hawakufahamu alikotoka Na Edward Lucas Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara limethibitisha kuokotwa kwa mwili wa mwanamke ndani ya jengo lililotelekezwa la Wasira, lililopo eneo…
5 July 2026, 2:06 pm
Ni wajibu wa kila mwandishi kuhakikisha kuwa kompyuta, simu, na mitandao yao inalindwa kwa njia salama wakati wote. Na Adelinus Banenwa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) umewataka waandishi wa habari nchini kuacha tabia ya kujisahau na…
4 July 2026, 1:03 am
Uchunguzi wa awali umebaini kuwa mguu wa kulia pamoja na baadhi ya viungo vingine vya mwili vilikuwa vimeondolewa. Na Adelinus Banenwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linaendelea na uchunguzi wa kifo cha mtoto Simon Juma Bango (11), mkazi wa Nyasura…
3 July 2026, 9:12 am
“Uamuzi wa kutoa msaada huo umetokana na kupokea maombi mengi kutoka kwa watu wenye ulemavu waliokuwa wakikabiliwa na changamoto za usafiri na utekelezaji wa shughuli zao za kila siku.” Na Adelinus Banenwa Viongozi na wananchi wametakiwa kutoa kipaumbele katika kuwasaidia…
Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu.
Mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara, Bunda, Musoma,Tarime, Serengeti, Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega, Bariadi, Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe, kwimba na misungwi.
Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.
Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga, kabarimu, Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com