Ifahamu Mazingira Fm
Mazingira FM

Ifahamu Mazingira FM

24 August 2023, 3:54 pm

Mazingira FM ni kituo cha radio chenye maudhui ya kijamii,kilichoanzishwa Mwaka 2011.
Mazingira fm inatangaza kutoka maeneo matatu (3) ndani ya mkoa wa mara ili kuwa na usikivu wa uhakika, ambapo Mnara mkuu upo wilaya ya Bunda, na mingine ipo wilaya ya Tarime na Musoma
Usikivu,
mazingira fm inasikika katika wilaya zote za mkoa wa Mara,Bunda,Musoma,Tarime,Serengeti,Rorya na Butiama na kwa mkoa Simiyu inasikika katika wilaya za Busega,Bariadi,Maswa na Itirima kwa Mkoa wa mwanza inaskika katika wilaya za magu,ukerewe,kwimba na misungwi.

Muundo wa vipindi 70% mazungumzo na 30% ya muziki katika matangazo ya kila siku.

Mawasiliano.
P.o box 51
Saranga,kabarimu,Bunda
Postcode-31530
Tel:0621046491
mazingirafm@gmail.com
https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/
www.mazingirafm.com