6 April 2026, 1:35 pm

RC Mrindoko atoa onyo kwa wanaoleta taharuki

“Naomba nisisitize msiamini katika uvumi” Na Benny Gadau Mkuu wa Mkoa wa Katavi  Mwanamvua Mrindoko amekemea vikali vitendo vya wananchi kujichukulia sheria mkononi na kudhuru wengine kutokana na taarifa zisizo na ukweli, akisisitiza kuwa vitendo vya aina hiyo pamoja na…

On air
Play internet radio

Recent posts

4 May 2026, 6:36 pm

Zimamoto Katavi yaadhimisha siku yao kwa kutoa elimu

“Nitoe rai msipende kupambana na tukio la moto wenyewe” Na Roda Elias Jeshi la zimamoto mkoani Katavi limetoa elimu kwa wananchi kuhusiana na majanga yatokanayo na mvua zinazoendelea kunyesha, kwa baadhi ya maeneo na majanga ya moto yanayotokana na ajali.…

4 May 2026, 6:21 pm

Rocky: Wanaume acheni kukimbia majukumu yenu

“Wanawake waombeeni waume zenu” Na Anna Mhina Wanaume wametakiwa kurejea katika maadili mema na  kushirikiana na wenza katika kujenga familia imara yenye upendo, uwajibikaji, na mawasiliano mazuri ili kuweza kutengeneza familia bora. Wito huo umetolewa na mchungaji kiongozi wa kanisa…

30 April 2026, 2:06 pm

TAG Katavi yakita kambi kuombea maadili kwa vijana

“Kijana aliyeokoka akikosa maadili ya kiroho anakosa uaminifu” Na Anna Mhina Uongozi wa kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) section ya Kabungu iliyopo kata ya Kabungu wilayani Tanganyika mkoani Katavi wamefanya kambi la maombi ya siku tatu kwa ajili…

28 April 2026, 12:35 pm

‘Tuwaguse’ yawafikia watoto yatima

“Usiogope maisha na usiyakimbie majukumu” Na Restuta Nyondo Wazazi  wametakiwa kujiandaa na kupanga uzazi kabla ya kufanya maamuzi ya kupata watoto ili kuepukana na changamoto ya baadhi ya wanawake kutupa watoto wao baada ya kujifungua. Hayo yamesemwa na afisa taarafa…

24 April 2026, 10:38 am

Fuime: Ni kosa kuzaa watoto na kushindwa kuwahudumia

“Niwasihi wananchi wazae watoto watakaoweza kuwahudumia” Na Anna Mhina Katika jitihada za kupunguza ongezeko la vitendo vya uhalifu jamii imetakiwa kuzingatia umuhimu wa malezi bora ya watoto watakaokuwa raia wema na wenye mchango chanya katika familia na taifa kwa ujumla.…

22 April 2026, 4:07 pm

Katavi waililia serikali kuhusu uvuvi

Baadhi ya wananchi wa kitongoji cha Kabage. Picha na Samwel Mbugi “Tunakuomba mama Mkuu wa Mkoa hili suala ulifuatilie” Na Samwel Mbugi Baadhi ya wananchi wa kitongoji cha Kabage kata ya Sibwesa wilaya ya Tanganyika wameiomba serikali kuwaruhusu kufanya shughuli…

22 April 2026, 2:18 pm

Diwani Wense akaribisha wawekezaji kukuza uchumi

Wense Kamtoni diwani wa kata ya kashaulili. Picha na John Benjamin “Biashara hii imeanzishwa kwa lengo la kutoa huduma kwa jamii na kukuza uchumi” Na John Benjamin Wawekezaji wameombwa kujitokeza kuwekeza katika nyanja ya kibiashara kata ya kashaulili iliyopo manispaa…

7 April 2026, 6:22 pm

Watatu wafariki ajali ya gari Katavi

“Jeshi la polisi linatoa wito kwa madereva kuzingatia sheria za usalama barabarani” Na Benny Gadau Jeshi la Polisi mkoa wa Katavi limetoa taarifa ya tukio la ajali ya gari iliyotokea barabara kuu ya Mpanda – Sumbawanga baada ya kuacha njia…

6 April 2026, 1:35 pm

RC Mrindoko atoa onyo kwa wanaoleta taharuki

“Naomba nisisitize msiamini katika uvumi” Na Benny Gadau Mkuu wa Mkoa wa Katavi  Mwanamvua Mrindoko amekemea vikali vitendo vya wananchi kujichukulia sheria mkononi na kudhuru wengine kutokana na taarifa zisizo na ukweli, akisisitiza kuwa vitendo vya aina hiyo pamoja na…

3 April 2026, 7:21 pm

Kupanda bei nishati ya mafuta kilio kwa abiria Katavi

“Kwanza ni marufuku msafirishaji yeyote kupandisha nauli” Na John Benjamin Mamlaka ya udhibiti wa usafiri ardhini [Latra] mkoa wa Katavi imepiga marukufu mawakala wa usafirishaji kupandisha bei ya nauli kiholela kwa abiria mara baada ya kupanda kwa  bei ya nishari…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.