Mpanda FM
97.0 MHz
Mpanda Hotel Area,Plot No.35 Block G, Mpanda
+255756626526
info@mpandaradio.co.tz
https://mpandaradio.co.tz/
97.0 MHz
Mpanda Hotel Area,Plot No.35 Block G, Mpanda
+255756626526
info@mpandaradio.co.tz
https://mpandaradio.co.tz/
“Naomba nisisitize msiamini katika uvumi” Na Benny Gadau Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amekemea vikali vitendo vya wananchi kujichukulia sheria mkononi na kudhuru wengine kutokana na taarifa zisizo na ukweli, akisisitiza kuwa vitendo vya aina hiyo pamoja na…
18 June 2026, 4:36 pm
Hofu na taharuki zimewakumba wananchi wa Kijiji cha Milala, Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, kufuatia taarifa za kufukuliwa kwa kaburi la marehemu aliyezikwa hivi karibuni katika eneo hilo. Na John Benjamini -Katavi Taarifa za tukio hilo zimetolewa na mwenyekiti wa…
18 June 2026, 12:21 pm
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kanda ya magharibi limeteketeza bidhaa feki na bidhaa zisizokidhi viwango zilizokamatwa katika manispaa ya Mpanda mkoani Katavi. Na Ben Gadau -Katavi Akizungumza wakati wa zoezi hilo, afisa mdhibiti ubora kutoka TBS Kanda ya magharibi, Ezekiel…
18 June 2026, 11:55 am
“Wanafanya ukaguzi huo wakati huu wa likizo ili shule zitakapofunguliwa magari hayo yawe yana usalama wa kubeba wanafunzi huku akisema hatua za kisheria zitachukuliwa kwa ambao watakiuka agizo hilo“ Na Anna Milanzi-Katavi Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Katavi…
4 June 2026, 11:30 am
“Tulikuta watoto hao wakiwa katika hali mbaya na mama wa watoto hao, baada ya muda mfupi aliishiwa nguvu tukawawahisha hospitali kwa ajili ya matibabu.” Na Anna Milanzi -Katavi Mama aliyefahamika kwa jina la Happiness Ngunda (25) pamoja na mtoto wake,…
27 May 2026, 5:09 pm
“Amewataka waumini wa dini ya kiislam kuto kugawanyika kwa misingi ya siasa wala ukabila na udini jambo ambalo ni kinyume na taratibu namiongozo ya dini hiyo.” Na Samwel Mbugi- Katavi Waumini wa dini ya kiislamu mkoa wa Katavi wamesisitizwa kuwa…
25 May 2026, 11:11 am
Na Denis Mkakala Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) inaendesha semina kwa wamiliki na wasimamizi (Meneja) wa redio za kijamii ambazo ni redio wanachama wa Taasisi ya Maendeleo ya Redio za Jamii Tanzania – TADIO zipatazo 50 kutoka Tanzania…
20 May 2026, 3:05 pm
Wakulima mkoani Katavi wameshauriwa kutumia mizani katika mauzo ya mazao na kuachana na vipimo batili. Na Anna Milanzi-Katavi Katika kuadhimisha siku ya vipimo duniani meneja wakala wa vipimo mkoa wa Katavi Mrinde Elihaki amewashauri wakulima kuzingatia matumizi ya vipimo halali…
18 May 2026, 5:57 pm
“Tunashinikiza serikali imuachie Tundu Lissu” Na Leah Kamala Wananchi kata ya Kakese manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamepongeza hatua ya kuruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara kwa CHADEMA katika kujadili masuala mbalimbali ikiwemo umuhimu wa Katiba mpya. Hayo yamejiri katika mkutano…
4 May 2026, 6:36 pm
“Nitoe rai msipende kupambana na tukio la moto wenyewe” Na Roda Elias Jeshi la zimamoto mkoani Katavi limetoa elimu kwa wananchi kuhusiana na majanga yatokanayo na mvua zinazoendelea kunyesha, kwa baadhi ya maeneo na majanga ya moto yanayotokana na ajali.…
4 May 2026, 6:21 pm
“Wanawake waombeeni waume zenu” Na Anna Mhina Wanaume wametakiwa kurejea katika maadili mema na kushirikiana na wenza katika kujenga familia imara yenye upendo, uwajibikaji, na mawasiliano mazuri ili kuweza kutengeneza familia bora. Wito huo umetolewa na mchungaji kiongozi wa kanisa…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
