Offline
Play internet radio

Recent posts

24 November 2023, 10:34 am

Tanganyika yanufaika na faida ya mauzo ya tumbaku

Uongozi wa Premium Active Tanzania wakikabidhi Mfano wa Hundi yenye Thamani ya Tshs Milion Hamsini na Laki Tatu Kwa Mkuu wa wilaya ya Tanganyika .Picha na Anna Milanzi Wasimamizi wahakikishe wanakabidhi akaunt za kata hizo kwa kampuni hiyo ili mchakato…

22 November 2023, 10:31 am

Zaidi ya watoto 20 huzaliwa njiti kila mwezi mkoani Katavi

Mama anapojihisi kuwa ni mjamzito ni bora awahi kituo cha kutolewa huduma za afya ili kuepuka kujifungua mtoto kabla ya wakati. Na Gladness Richard-Katavi Zaidi ya watoto 20 kila mwezi ndani ya mkoa wa Katavi wameripotiwa kuzaliwa wakiwa njiti huku…

21 November 2023, 10:34 pm

Mbunge Kakoso awakataa madereva walevi

Mbunge Kakoso ameshauri halmashauri hiyo kufanya marekebisho ya magari yaliyoharibika ili yaweze kuendelea kutoa huduma. Na Anna Milanzi -Katavi Mbunge wa jimbo la Mpanda Vijijini mkoani Katavi amekabidhi gari mpya ya wagonjwa  kwa halmashauri ya wilaya ya Tanganyika huku akisisitiza…

21 November 2023, 8:33 pm

Machinga Katavi walia na kampuni za utoaji mikopo isiyozingatia sheria

Picha na Mtandao Baadhi ya kampuni hizo zinatoa mikopo kwa kutofuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa sheria. Na John Benjamini-Katavi Wafanyabiashara wadogo [machinga]  mkoa wa Katavi wameiomba serikali kuzifuatilia kampuni ambazo zinajihusisha na utoaji wa mikopo kwa wafanyabiashara kutokana na…

21 November 2023, 5:59 pm

RC Katavi asikitishwa viongozi wilaya ya Tanganyika kuchochea migogoro

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko.Picha na Betrod Benjamini Mrindoko amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika Shaban J. Juma kufika ofisini kwake akiwa na nyaraka zinazoonesha ramani ya eneo la Luhafwe na mikataba yote ya uwekezaji…

20 November 2023, 7:35 pm

RC Katavi awapongeza na kuwatakia kila la heri wanafunzi kidato cha nne

Picha na Mtandao Jumla ya Wanafunzi 5233 wanafanya mtihani wa kuhitimu kidato cha Nne Mkoani Katavi ambapo Mkuu wa Mkoa huo amewapongeza walimu wote kwa maandalizi ya kuhakikisha wanafunzi  wanafanya vizuri Na Betrod Benjamini -Katavi Mkuu wa mkoa wa Katavi…

10 November 2023, 1:58 pm

Wananchi Ugala waiomba serikali kutolea ufafanuzi wa maeneo wanayoishi

Wananchi wa Kijiji cha Kimani kata ya Ugala halmashauri ya Nsimbo wameiomba serikali kutolea ufafanuzi malalamiko ambayo yanawataka kuhama. Nsimbo Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Kimani kata ya Ugala halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameiomba serikali kutolea ufafanuzi juu…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.