6 April 2026, 1:35 pm

RC Mrindoko atoa onyo kwa wanaoleta taharuki

“Naomba nisisitize msiamini katika uvumi” Na Benny Gadau Mkuu wa Mkoa wa Katavi  Mwanamvua Mrindoko amekemea vikali vitendo vya wananchi kujichukulia sheria mkononi na kudhuru wengine kutokana na taarifa zisizo na ukweli, akisisitiza kuwa vitendo vya aina hiyo pamoja na…

On air
Play internet radio

Recent posts

8 September 2026, 12:44 pm

CCM wilaya ya Mpanda yaridhishwa na utekelezaji miradi

Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mpanda imekagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda. Na Ben Gadau Akizungumza Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mpanda,  Joseph Lwamba, wakati wa…

7 September 2026, 2:56 pm

Mpanda yaanza kuchukua tahadhari El-Nino

Na. Ben Gadau “Wananchi wasibeze taarifa zinazotolewa na mamlaka ya hali ya hewa“ Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamil Yusuph Kimaro, amewataka wananchi kuchukua tahadhari mapema ili kukabiliana na athari zinazoweza kujitokeza kutokana na mvua za El-Nino zinazotarajiwa kuanza hivi…

4 September 2026, 12:34 pm

Katavi yaja na kliniki ya sheria bila malipo

Na Ben Gadau Mkoa wa Katavi unatarajia kuzindua Kamati za Ushauri wa Kisheria ngazi ya Mkoa na Wilaya, Septemba 8, 2026 kwenye Viwanja vya Azimio mjini Mpanda, ambapo wananchi wa Katavi na mikoa jirani watapata huduma za Kliniki ya sheria…

31 August 2026, 10:56 am

Maafisa maendeleo ya jamii kiungo muhimu utekelezaji dira 2050

“kuandika barua hakupimi utendaji kazi wako unapimwa kwa matokeo yenye tija kwa wananchi” Na. Restuta Nyondo Maafisa maendeleo ya jamii mkoani Katavi wametakiwa kutumia dira ya maendeleo ya taifa 2050 katika kuleta maendeleo na usawa wa kijinsia kuanzia ngazi za…

31 August 2026, 10:14 am

Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi za dini Tanzania

”Tanzania ni salama na inaheshimu uhuru wa kuabudu” Na Restuta Nyondo Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Mwigulu Lameck Nchemba amesema kuwa serikali  itaendelea kuimarisha mahusiano mazuri yaliyojengwa kwa mda mrefu na kanisa Katoliki na madhehebu yote nchini …

29 June 2026, 3:13 pm

Mbwa waleta gumzo ,wamiliki watajwa

“Kumekuwa na mbwa wanaodhurura ovyo hawana uangalizi kutoka kwa wamiliki hali inayozua hofu “ Na Anna Milanzi- Katavi Wakazi manispaa ya Mpanda   mkoani Katavi wamewasisitiza wamiliki wa mbwa kufungia mbwa wao ili kuwaepusha na ugonjwa wa kichaa cha mbwa  ambao…

27 June 2026, 6:13 pm

Matembezi ya TRA Katavi  yaongeza nguvu usafi wa mazingira

“ Lengo la kufanya hivyo ni kuchangia kuuweka mkoa katika hali ya usafi“ Na Anna Milanzi -Katavi Katika kuendelea na maadhimisho ya miaka 30 ya Mamlaka ya mapato Tanzania  (TRA) ,TRA mkoa wa Katavi imekuja na suluhisho la uhifadhi wa…

23 June 2026, 10:20 am

Watumishi watakiwa kutenda haki

“Niwapongeze sana kufanya bonanza hili katika mkoa wetu wa Katavi” Na Betord Chove Watumishi wa taasisi zinazohusiana na kutoa haki wametakiwa kushirikiana ili kuweza kutenda haki kwa wananchi katika kutekeleza majukumu yao. Wito  huo umetolewa na Katibu tawala wa mkoa…

22 June 2026, 11:12 am

Akutwa amejinyonga hadi kufa kwa kipande cha chandarua

“Tumeshtushwa na tukio hili na huyu kijana hatumfahamu.“ Na Anna Milanzi Katavi Kijana mmoja wa kiume ambaye bado hajafahamika anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 hadi 35 amekutwa amejinyonga kwa kutumia kipande cha chandarua katika mtaa wa Nsemulwa…

18 June 2026, 4:36 pm

Hofu yatanda kaburi kufukuliwa

Hofu na taharuki zimewakumba wananchi wa Kijiji cha Milala, Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, kufuatia taarifa za kufukuliwa kwa kaburi la marehemu aliyezikwa hivi karibuni katika eneo hilo. Na John Benjamini -Katavi Taarifa za tukio hilo zimetolewa na mwenyekiti wa…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.