![](
https://radiotadio.co.tz/mpandafm/wp-content/uploads/sites/29/2021/10/img-20210911-wa0000-1500x800.jpg )
![](https://radiotadio.co.tz/mpandafm/wp-content/uploads/sites/29/2021/10/logo-150x150.png)
Mpanda FM
97.0 MHz
Mpanda Hotel Area,Plot No.35 Block G, Mpanda
+255756626526
info@mpandaradio.co.tz
https://mpandaradio.co.tz/
97.0 MHz
Mpanda Hotel Area,Plot No.35 Block G, Mpanda
+255756626526
info@mpandaradio.co.tz
https://mpandaradio.co.tz/
Baadhi ya Nyumba zikiwa zimezingirwa na Maji katika Kata ya Misunkumilo .Picha na Restuta Nyondo “Baada ya kupata taarifa amefika eneo la tukio na kuanza kuchukua hatua za awali ili kuwanusuru wananchi “ Na Betold Chove-Katavi Mkuu wa wilaya Ya…
24 July 2024, 12:00 pm
Wajumbe wa kikao cha jukwaa la vijana la kilimo katika ukumbi wa LATCU uliopo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi.picha na Lilian Vicent “wajumbe walioshiriki wamebainisha kuwa kupitia jukwaa hilo wanatarajia vijana wataendea kuhamasika“ Naa Lilian Vicent Katavi Vijana mkoani Katavi…
23 July 2024, 4:38 pm
Mke na Mume wa kaya hiyo ambao wanauhitaji wa choo ambapo wanasaidiwa na majirani kwa sasa .picha John Mwasomola “Kaya hiyo ambayo ni wazee na wanashindwa namna ya kumudu kupata choo bora kutokana na kutokuwa na watu wa kuwasaidia kwani…
20 July 2024, 10:34 pm
“Ujenzi Skimu ya uwagiliaji uliopo kata ya Mwamkulu halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi utagharimu kiasi cha fedha shilingi bilioni 31.6 na kutarajia kuhudumia zaidi ya wakulima 430.“ Na John Benjamin -Katavi Serikali nchini Tanzania imepanga kutumia zaidi ya…
20 July 2024, 5:41 pm
Baadhi ya madereva bodaboda waliojitokeza katika kikao hicho.picha na John Mwasomola “Wamemtaka kiongozi huyo kuachia nafasi yake ya uenyekiti ili kupisha uchunguzi kutokana na shutuma za upotevu wa pesa taslimu kiasi cha laki 6 na thelathini.“ Na Ben Gadau -Katavi…
19 July 2024, 12:29 am
Miongoni mwa magari mawili yaliyopokwa kwa ajili ya Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika na Katibu Tawala Mkoa wa Katavi “Amewataka Katibu Tawala Mkoa na Mkuu wa Wilaya Tanganyika kuyatunza magari hayo ili yadumu kwa muda mrefu na kutumika katika shughuli…
19 July 2024, 12:00 am
Zao la tumbaku likiwa shambani. Picha na mtandao “Uzalishaji wa zao hilo umepanda kutoka kilo milioni 6 hadi kilo milioni 11 ambapo ongezeko hilo limesababishwa na serikali nchini Tanzania kuongeza kampuni 11 kununua zao hilo.“ Na John Benjamini -Katavi Zaidi…
16 July 2024, 5:23 pm
“Wataalam wa afya pamoja na shirika la Shidefa Mpanda wameleeza kuwa wamekuwa wakitumia njia mbalimbali kama matumizi ya dawa ya kinga PEP na kujiepusha ngono zembe“ Na John Benjamin-Katavi SHIDEFA yafanya mdahalo Kata ya Intenka mkoani Katavi kutoa elimu ya…
16 July 2024, 3:56 pm
Madereva wa serikali wakiwa wanapatiwa mafunzo katika ukumbi wa ofisi za mkurugenzi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi.picha na Samwel Mbugi “Kila mtu ana haki ya kutumia barabara, ameongeza kuwa kuna makundi mengi yanapaswa kutumia njia wakiwepo watembea kwa miguu.“ Na…
16 July 2024, 11:50 am
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan.picha na Samwel Mbugi “Rais Samia ameyasema hayo mara baada ya kutembelea hospitali ya rufaa ya mkoa na kujionea hali ilivyo ya watoto walio na umri chini ya miaka 18…
16 July 2024, 10:21 am
“Ameridhishwa sana na maendeleo ya mkoa wa Katavi kwa kutekeleza miradi mbalimbali kwa kutumia fedha za serikali zinazotolewa na serikali kuu kwa maendeleo ya mkoa.“ Na Samwel Mbugi -Katavi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan…