14 April 2024, 2:18 pm

DC Mpanda aagiza kufanyika tathmini maafa ya mafuriko

Baadhi ya Nyumba zikiwa zimezingirwa na Maji katika Kata ya Misunkumilo .Picha na Restuta Nyondo “Baada ya kupata taarifa amefika eneo la tukio na kuanza kuchukua hatua za awali ili kuwanusuru wananchi “ Na Betold Chove-Katavi Mkuu wa wilaya Ya…

On air
Play internet radio

Recent posts

24 July 2024, 12:00 pm

Katavi: Vijana watakiwa kuchangamkia fursa katika sekta ya kilimo

Wajumbe wa kikao cha jukwaa la vijana la kilimo katika ukumbi  wa LATCU uliopo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi.picha na Lilian Vicent “wajumbe walioshiriki wamebainisha kuwa kupitia jukwaa hilo wanatarajia vijana wataendea kuhamasika“ Naa Lilian Vicent Katavi Vijana mkoani Katavi…

23 July 2024, 4:38 pm

Mpanda Radio FM kujenga choo bora kwa kaya moja yenye uhitaji

Mke na Mume wa kaya hiyo ambao wanauhitaji wa choo ambapo wanasaidiwa na majirani kwa sasa .picha John Mwasomola “Kaya hiyo ambayo ni wazee na wanashindwa namna ya kumudu kupata choo bora kutokana na kutokuwa na watu wa kuwasaidia kwani…

20 July 2024, 10:34 pm

Zaidi ya bilioni 50 kutumika ujenzi wa skimu ya umwagiliaji Katavi

“Ujenzi Skimu ya uwagiliaji uliopo kata ya Mwamkulu halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi utagharimu kiasi cha fedha shilingi bilioni 31.6 na kutarajia kuhudumia zaidi ya wakulima 430.“ Na John Benjamin -Katavi Serikali nchini Tanzania imepanga kutumia zaidi ya…

20 July 2024, 5:41 pm

Bodaboda Katavi wamkataa mwenyekiti wao, wamtaka ajiuzulu

Baadhi ya madereva bodaboda waliojitokeza katika kikao hicho.picha na John Mwasomola “Wamemtaka kiongozi huyo kuachia nafasi yake ya uenyekiti ili kupisha uchunguzi kutokana na shutuma za upotevu wa pesa taslimu kiasi cha laki 6 na thelathini.“ Na Ben Gadau -Katavi…

19 July 2024, 12:29 am

RC Katavi akabidhi magari mawili mapya asisitiza bidii ya kazi

Miongoni mwa magari mawili yaliyopokwa kwa ajili ya Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika na Katibu Tawala Mkoa wa Katavi “Amewataka Katibu Tawala Mkoa na Mkuu  wa Wilaya Tanganyika kuyatunza magari hayo ili yadumu kwa muda mrefu na kutumika katika shughuli…

19 July 2024, 12:00 am

Bilioni 67 kuinua uchumi wa mkulima wa tumbaku Katavi

Zao la tumbaku likiwa shambani. Picha na mtandao “Uzalishaji wa zao hilo umepanda kutoka kilo milioni 6 hadi kilo milioni 11 ambapo ongezeko hilo limesababishwa na serikali nchini Tanzania kuongeza  kampuni 11  kununua  zao hilo.“ Na John Benjamini -Katavi  Zaidi…

16 July 2024, 3:56 pm

Jeshi la polisi Katavi lapiga msasa madereva wa serikali

Madereva wa serikali wakiwa wanapatiwa mafunzo katika ukumbi wa ofisi za mkurugenzi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi.picha na Samwel Mbugi “Kila mtu ana haki ya kutumia barabara, ameongeza kuwa kuna makundi mengi yanapaswa kutumia njia wakiwepo watembea kwa miguu.“ Na…

16 July 2024, 10:21 am

Rais Samia amaliza ziara mkoani Katavi, aridhishwa na maendeleo ya mkoa

“Ameridhishwa sana na maendeleo ya mkoa wa Katavi kwa kutekeleza miradi mbalimbali kwa kutumia fedha za serikali zinazotolewa  na serikali kuu kwa maendeleo ya mkoa.“ Na Samwel Mbugi -Katavi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan…