

Mpanda FM
97.0 MHz
Mpanda Hotel Area,Plot No.35 Block G, Mpanda
+255756626526
info@mpandaradio.co.tz
https://mpandaradio.co.tz/
97.0 MHz
Mpanda Hotel Area,Plot No.35 Block G, Mpanda
+255756626526
info@mpandaradio.co.tz
https://mpandaradio.co.tz/
27 November 2023, 1:37 pm
Kamati ya Siasa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Katavi Wakikagua Nyumba ya Watumishi ambayo imekamilika katika Zahanati Kijiji cha Lugonesi Wilaya ya Tanganyika .Picha na Betord Benjamini Zaidi ya Billion 8 zimepatikana katika Biashara ya hewa ya ukaa kwa…
27 November 2023, 12:59 pm
Viongozi wa Kamati ya Siasa Mkoa akiwemo Mkuu wa Mkoa wa katavi wa pili kushoto na Mkuu wa wilaya ya Mpanda wa pili kulia Na mwakilishi wa mwenyekiti Ccm mkoa ambaye ni katibu mwenezi Ccm mkoa Joseph lwamba wakitembelea Miradi…
27 November 2023, 12:05 pm
Kamati ya Siasa ikiwa katika kijiji cha Kakese wakikagua Mradi wa Maji .Picha na Betord Benjamini Taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya chama Cha Mapinduzi (CCM ) kwa mwaka 2020 hadi 2025 katika kipindi cha Miaka Miwili kuanzia 2022 hadi…
24 November 2023, 10:34 am
Uongozi wa Premium Active Tanzania wakikabidhi Mfano wa Hundi yenye Thamani ya Tshs Milion Hamsini na Laki Tatu Kwa Mkuu wa wilaya ya Tanganyika .Picha na Anna Milanzi Wasimamizi wahakikishe wanakabidhi akaunt za kata hizo kwa kampuni hiyo ili mchakato…
22 November 2023, 10:31 am
Mama anapojihisi kuwa ni mjamzito ni bora awahi kituo cha kutolewa huduma za afya ili kuepuka kujifungua mtoto kabla ya wakati. Na Gladness Richard-Katavi Zaidi ya watoto 20 kila mwezi ndani ya mkoa wa Katavi wameripotiwa kuzaliwa wakiwa njiti huku…
21 November 2023, 10:34 pm
Mbunge Kakoso ameshauri halmashauri hiyo kufanya marekebisho ya magari yaliyoharibika ili yaweze kuendelea kutoa huduma. Na Anna Milanzi -Katavi Mbunge wa jimbo la Mpanda Vijijini mkoani Katavi amekabidhi gari mpya ya wagonjwa kwa halmashauri ya wilaya ya Tanganyika huku akisisitiza…
21 November 2023, 8:33 pm
Picha na Mtandao Baadhi ya kampuni hizo zinatoa mikopo kwa kutofuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa sheria. Na John Benjamini-Katavi Wafanyabiashara wadogo [machinga] mkoa wa Katavi wameiomba serikali kuzifuatilia kampuni ambazo zinajihusisha na utoaji wa mikopo kwa wafanyabiashara kutokana na…
21 November 2023, 5:59 pm
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko.Picha na Betrod Benjamini Mrindoko amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika Shaban J. Juma kufika ofisini kwake akiwa na nyaraka zinazoonesha ramani ya eneo la Luhafwe na mikataba yote ya uwekezaji…
20 November 2023, 7:35 pm
Picha na Mtandao Jumla ya Wanafunzi 5233 wanafanya mtihani wa kuhitimu kidato cha Nne Mkoani Katavi ambapo Mkuu wa Mkoa huo amewapongeza walimu wote kwa maandalizi ya kuhakikisha wanafunzi wanafanya vizuri Na Betrod Benjamini -Katavi Mkuu wa mkoa wa Katavi…
10 November 2023, 1:58 pm
Wananchi wa Kijiji cha Kimani kata ya Ugala halmashauri ya Nsimbo wameiomba serikali kutolea ufafanuzi malalamiko ambayo yanawataka kuhama. Nsimbo Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Kimani kata ya Ugala halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameiomba serikali kutolea ufafanuzi juu…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.