Mpanda FM
Mpanda FM
5 March 2026, 2:02 pm
“Niwasihi wananchi wa Mpanda waweze kufika ili watatuliwe migogoro ya ardhi” Na John Benjamin Wananchi wilaya ya Mpanda wametakiwa kuchangamkia fursa ya kampeni ya klinki ya Samia iliyolenga kutatua changamoto, migororo na kutoa hati ya ardhi. Hayo yamebainishwa na mkuu…
5 March 2026, 1:47 pm
“Watoto wetu wanateseka” Na Anna Mhina Wananchi wa kitongoji cha Mbogwe kilichopo kijiji na kata ya Kabungu wilayani Tanganyika mkoani Katavi wameiomba serikali kuingilia kati ujenzi wa shule ya msingi ulioanzishwa katika kitongoji hicho. Wakizungumza na Mpanda radio FM wananchi…
4 March 2026, 5:32 pm
“Ameahidi kuendelea kushirikiana kwa pamoja katika katika kuhakikisha chama kinaimarika.“ Na Samwel Mbugi-Katavi Mbunge wa Jimbo la Mpanda mjini Haidary Hemed Sumry amekutana na baraza la umoja wa vijana CCM wilaya ya Mpanda kuwashukuru kutokana na namna wanavyoshiriki kuhakikisha chama…
3 March 2026, 5:03 pm
“Tumuombe mkurugenzi autoe mradi huu kwenye kata” Na Samwel Mbugi Mwenyekiti wa mtaa wa Mpanda hotel Ibrahim Msanda amefanya ziara ya ukaguzi wa marekebisho ya miundombinu ya mradi wa machinjio ya mkoa wa Katavi iliyopo kata ya Mpanda hotel manispaa…
2 March 2026, 3:48 pm
Madiwani wakiwa kwenye kikao cha pili cha baraza. Picha na Samwel Mbugi “Sasa mimi nisipokuwa na mia tatu ina maana nibaki” Na Samwel Mbugi Baraza la madiwani manispaa ya Mpanda mkoani Katavi limepiga marufuku matumizi ya tiketi za mkono zinazotumiwa…
2 March 2026, 3:28 pm
Balozi Baraka Luvanda akipokea maelekezo kutoka kwa mkurugenzi wa halmashauri ya Mpimbwe. Picha na Samwel Mbugi “Mradi huu umetutoa katika shida na masikitiko” Na Samwel Mbugi Wananchi wa Kata ya Kansansa halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele wametoa shukrani kwa…
27 February 2026, 4:41 pm
“Nimesikitishwa na uharibifu huu wa miundombinu, ulinzi ni lazima uwepo katika maeneo hayo” Na Anna Milanzi-Katavi Jumla ya madirisha 120 ya alminium yameibwa katika shule za msingi, sekondari pamoja na zahanati zilizopo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Hayo yameelezwa wakati…
26 February 2026, 4:03 pm
“Msikubali kupitwa na fursa ya bima ya afya” Na Betord Chove Watu wapatao 23,236 kutoka kaya maskini wanatarajia kunufaika na huduma ya bima ya afya kwa wote kupitia mfuko wa TASAF mkoani Katavi. Akitoa taarifa wakati wa hafla ya uzinduzi…
26 February 2026, 3:37 pm
Daraja lililovunjika na kusababisha kukosekana kwa mawasiliano. Picha na Betord Chove “Hakuna mtanzania anayeweza kuingia Karema” Na Betord Chove Daraja linalounganisha vijiji vya Ikola, Karema na makao makuu ya Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi limekatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.…
26 February 2026, 3:06 pm
Mhandisi Philipo Pagati meneja usambaji maji manispaa ya Mpanda. Picha na Anna Mhina “Kwa kweli kuna changamoto kubwa ya maji” Na Leah Kamala Wananchi kata ya makanyagio manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelalamikia upatikanaji wa maji safi na salama hali…
Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.
Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.
Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.
Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.
