Mpanda FM

Recent posts

4 April 2024, 4:28 pm

Mwanaume akutwa amenyongwa na mwili wake kutupwa Katavi

Picha na Mtandao “Baada ya polisi kuuchukua Mwili wa Marehemu kikosi cha ulinzi na usalama kilirudi tena kufanya Misako ya Watu wanaokunywa Pombe Saa za Kazi“ Na Samwel Mbugi-Katavi Mtu mmoja anaekadiriwa kuwa na  Umri kati ya Miaka 40-45 amekutwa…

4 April 2024, 3:54 pm

Wananchi Mkoani Katavi Wasisitizwa Kupima Ugonjwa wa Kifua Kikuu

Mratibu wa kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma Manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi Bruno Cronely.picha na Samwel Mbugi “Mtu yoyote mwenye ugonjwa unaoweza kupelekea upungufu wa kinga za mwili, ni rahisi kupata kifua kikuu” Na Samwel Mbugi-Katavi Wananchi wa Manispaa…

3 April 2024, 9:26 pm

Migogoro ya Ndoa ,Wivu  wa Kimapenzi Chanzo cha Matukio ya Ukatili Katavi

picha na Mtandao ” Wanandoa wanapaswa kusuluhisha Migogoro  ya ndoa kwa njia ya amani  na kuripoti vitendo vya ukatili wanavyofanyiwa  katika mamlaka husika“ Na Lilian Vicent -Katavi Hayo yameelezwa na Afisa Ustawi wa Jamii  Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Anyulumiye…

3 April 2024, 1:02 pm

Vijana Mkoani Katavi wametakiwa kufanya kazi ili wajikwamue kiuchumi

picha na Mtandao “Ni muhimu vijana kushiriki katika kufanya kazi ili kusaidia kuondoa makundi ya kiharifu“ Na Veronika Mabwile -Katavi Imeelezwa kuwa uwepo wa baadhi ya vijana wasioshiriki katika shughuli za Kiuchumi katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi inatokana kutokuelezwa…

2 April 2024, 10:23 pm

Wizi koki za maji Katavi chanzo cha kukosekana huduma ya maji

Picha na Mtandao Wizi wa koki uliokuwa unafanywa na wahalifu ulichangia kwa kiasi kikubwa kukosekana  kwa maji  katika mtaa wa Mpanda hoteli. Na Samwel Mbughi-Katavi Wananchi wa Mtaa wa Mpanda Hoteli Manispaa ya Mpanda mkoani  Katavi wametoa Shukrani kwa Serikali…

1 April 2024, 9:16 pm

Maabara yajengwa Katavi kutatua kero zinazowakabili akinamama wa kiisilam

Jengo la Maabara inayojengwa .Picha na Mtandao Akinamama wa kiislamu wamefurahishwa na uanzishwaji wa maabara hiyo huku wakidai itakapokamilika itasaidia kutatua changamoto zinazowakabili kwani watapatiwa huduma na wataalam wa kike na si wa kiume kama ilivyo sasa. Na Betold Chove…

29 March 2024, 2:30 pm

Wananchi Karema wafikisha kilio chao kwa RC Katavi

Wananchi wa kata ya Karema wilaya ya Tanganyika mkoa wa Katavi wakiwa katika Mkutano .Picha na Anna Milanzi “Upepo mkali uliovuma Machi 16 na March 24,  2024 na maji  ya ziwa Tanganyika kuingia katika makazi ya watu , jumla ya…

28 March 2024, 1:18 pm

Waliochomewa tumbaku Mpanda kutafutiwa ufumbuzi

“Katika uvamizi huo jumla ya majengo kumi ya kukaushia Tumbaku yamechomwa moto pamoja na stoo mbili pamoja na wananchi hao kuchukuliwa mali zao ikiwemo simu za mkononi pamoja na fedha.” Picha na Betord chove Na Bertod Chove-katavi Serikali wilayani Mpanda…

26 March 2024, 12:42 pm

Walimu wakuu watoroka chama Katavi

“Ikiwa  ni mara ya kwanza kwa  mkutano mkuu wa walimu wakuu wa shule za msingi mkoa wa Katavi uliofanyika katika ukumbi wa manispaa huku ukiambatana na mafunzo ya uongozi na taaluma,huku ikiambatana na kauli mbiu isemayo ‘‘Tekeleza Mikakati Boresha Elimu…

22 March 2024, 2:24 pm

Zaidi ya Vitambulisho Elfu 64 vya NIDA Vyaletwa Mpanda

“Wananchi amesema vitambulisho hivyo vitawasaidia kwani vimewaondoa hofu ya kukosa huduma muhimu ambazo zinaambatana na vitambulisho vya taifa kama vile kufungua akaunti za Benk“ Picha na Samweli Mbugi Na Samweli Mbugi-katavi Wananchi wa kata ya Mwamkulu Wilaya ya Mpanda mkoani…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.