Recent posts
4 April 2024, 4:28 pm
Mwanaume akutwa amenyongwa na mwili wake kutupwa Katavi
Picha na Mtandao “Baada ya polisi kuuchukua Mwili wa Marehemu kikosi cha ulinzi na usalama kilirudi tena kufanya Misako ya Watu wanaokunywa Pombe Saa za Kazi“ Na Samwel Mbugi-Katavi Mtu mmoja anaekadiriwa kuwa na Umri kati ya Miaka 40-45 amekutwa…
4 April 2024, 3:54 pm
Wananchi Mkoani Katavi Wasisitizwa Kupima Ugonjwa wa Kifua Kikuu
Mratibu wa kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma Manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi Bruno Cronely.picha na Samwel Mbugi “Mtu yoyote mwenye ugonjwa unaoweza kupelekea upungufu wa kinga za mwili, ni rahisi kupata kifua kikuu” Na Samwel Mbugi-Katavi Wananchi wa Manispaa…
3 April 2024, 9:26 pm
Migogoro ya Ndoa ,Wivu wa Kimapenzi Chanzo cha Matukio ya Ukatili Katavi
picha na Mtandao ” Wanandoa wanapaswa kusuluhisha Migogoro ya ndoa kwa njia ya amani na kuripoti vitendo vya ukatili wanavyofanyiwa katika mamlaka husika“ Na Lilian Vicent -Katavi Hayo yameelezwa na Afisa Ustawi wa Jamii Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Anyulumiye…
3 April 2024, 1:02 pm
Vijana Mkoani Katavi wametakiwa kufanya kazi ili wajikwamue kiuchumi
picha na Mtandao “Ni muhimu vijana kushiriki katika kufanya kazi ili kusaidia kuondoa makundi ya kiharifu“ Na Veronika Mabwile -Katavi Imeelezwa kuwa uwepo wa baadhi ya vijana wasioshiriki katika shughuli za Kiuchumi katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi inatokana kutokuelezwa…
2 April 2024, 10:23 pm
Wizi koki za maji Katavi chanzo cha kukosekana huduma ya maji
Picha na Mtandao Wizi wa koki uliokuwa unafanywa na wahalifu ulichangia kwa kiasi kikubwa kukosekana kwa maji katika mtaa wa Mpanda hoteli. Na Samwel Mbughi-Katavi Wananchi wa Mtaa wa Mpanda Hoteli Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa Shukrani kwa Serikali…
1 April 2024, 9:16 pm
Maabara yajengwa Katavi kutatua kero zinazowakabili akinamama wa kiisilam
Jengo la Maabara inayojengwa .Picha na Mtandao Akinamama wa kiislamu wamefurahishwa na uanzishwaji wa maabara hiyo huku wakidai itakapokamilika itasaidia kutatua changamoto zinazowakabili kwani watapatiwa huduma na wataalam wa kike na si wa kiume kama ilivyo sasa. Na Betold Chove…
29 March 2024, 2:30 pm
Wananchi Karema wafikisha kilio chao kwa RC Katavi
Wananchi wa kata ya Karema wilaya ya Tanganyika mkoa wa Katavi wakiwa katika Mkutano .Picha na Anna Milanzi “Upepo mkali uliovuma Machi 16 na March 24, 2024 na maji ya ziwa Tanganyika kuingia katika makazi ya watu , jumla ya…
28 March 2024, 1:18 pm
Waliochomewa tumbaku Mpanda kutafutiwa ufumbuzi
“Katika uvamizi huo jumla ya majengo kumi ya kukaushia Tumbaku yamechomwa moto pamoja na stoo mbili pamoja na wananchi hao kuchukuliwa mali zao ikiwemo simu za mkononi pamoja na fedha.” Picha na Betord chove Na Bertod Chove-katavi Serikali wilayani Mpanda…
26 March 2024, 12:42 pm
Walimu wakuu watoroka chama Katavi
“Ikiwa ni mara ya kwanza kwa mkutano mkuu wa walimu wakuu wa shule za msingi mkoa wa Katavi uliofanyika katika ukumbi wa manispaa huku ukiambatana na mafunzo ya uongozi na taaluma,huku ikiambatana na kauli mbiu isemayo ‘‘Tekeleza Mikakati Boresha Elimu…
22 March 2024, 2:24 pm
Zaidi ya Vitambulisho Elfu 64 vya NIDA Vyaletwa Mpanda
“Wananchi amesema vitambulisho hivyo vitawasaidia kwani vimewaondoa hofu ya kukosa huduma muhimu ambazo zinaambatana na vitambulisho vya taifa kama vile kufungua akaunti za Benk“ Picha na Samweli Mbugi Na Samweli Mbugi-katavi Wananchi wa kata ya Mwamkulu Wilaya ya Mpanda mkoani…