Recent posts
22 March 2024, 11:12 am
Katavi,watuhumiwa 14 wafikishwa Mahakamani akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi halmasha…
picha na Ben Gadau “watuhumiwa wote 14 wanashtakiwa na makosa 153 ikiwemo utakatishaji wa fedha, kuunda genge la uhalifu na kugushi malipo kwa njia ya mtandao kinyume na utaratibu“ Na Ben Gadau -Katavi Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa…
21 March 2024, 10:55 am
Wananchi Katavi hawana elimu ya utunzaji wa kinywa, meno
Picha na Mtandao “Utafiti uliofanyika umegundua kuwa watoto wenye umri wa miaka sita hadi tisa ndio waathirika wakubwa“ Na Samwel Mbugi -Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni mseto kuhusiana na maadhimisho ya wiki ya afya ya kinywa…
21 March 2024, 9:32 am
Umaskini watajwa chanzo cha ukatili wa kijinsia kwa wanawake Katavi
“Jamii inapaswa kupewa elimu juu ya namna ya kumwinua mwanamke kiuchumi pamoja na kupinga ukatili wa kijinsia ili kuwepo na usawa wa kijinsia kati ya mwanaume na mwanamke“ Na Rachel Ezekia-Katavi Umaskini umetajwa kuwa chanzo cha ukatili wa kijinsia kwa…
20 March 2024, 4:02 pm
Mpanda, Vibaka Waibuka Mpanda Girls
“Mwenyekiti wa mtaa wa Mtemi Beda Edisi Kazwika amekiri kupokea tarifa za uwepo wa matukio ya uhalifu katika eneo hilo na kuwahakikishia hatua za usalama zinachukuliwa kwa wananchi wanaopita katika eneo hilo” Picha na mtandao Na Rachel Ezekia-katavi Wananchi wa…
19 March 2024, 3:19 pm
Katavi, Wafanyabiashara 24 Mbaroni Kupandisha bei ya Sukari
Picha na Mtandao “Ni wajibu wa kila mfanyabiashara kuzingatia bei elekezi inayotolewa na Serikali ili kupunguza usumbufu kwa mlaji“ Na Betord Benjamin-Katavi Jumla ya Wafanyabiashara 24 Katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamekamatwa kutokana na kuuza sukari kinyume na bei…
18 March 2024, 2:08 pm
Waliofyekewa mahindi Katavi washukuru mchango wa Mpanda Radio FM
“Wakulima hao walifyekewa mahindi baada ya kile kilichosemwa ni ukiukwaji wa sheria ya kulima mazao marefu kwa Manispaa ya Mpanda katika maeneo yaliyokatazwa, lakini yaliacha maswali baada ya kadhia hiyo kuwakumba wakulima watatu pekee huku maeneo mengine mazao yakiendelea kuachwa“…
15 March 2024, 6:01 pm
KATAVI, TMDA Yabaini Ongezeko la Ugonjwa wa Figo
“Kuna changamoto ya Ini na Figo kushindwa kufanya kazi, na Saratani kuongezeka katika Jamii Yanayosababishwa na matumizi mabaya ya dawa kwa baadhi ya Wananchi” Picha na Mtandao Na Samwel Mbugi-katavi Mamlaka ya dawa na vifaa tiba [TMDA] kutoka makao Makuu…
15 March 2024, 3:18 pm
KATAVI,Waandishi Tumieni Kalamu kwa Weledi
“Wandishi wa habari Mkoani Katavi wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia miiko na maadili ili kuepusha sintofahamu kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025″. Picha na Ben Gadau Na Ben Gadau-katavi Wandishi wa habari Mkoani Katavi wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia miiko…
7 March 2024, 3:29 pm
Wanawake Katavi wapanda miti kutunza mazingira
“Miti hiyo inayopandwa itakuwa ni kumbukumbu ya maadhimisho ya siku ya mwanamke mwaka huu lakini pia ni sehemu uendelezaji wa utunzaji mazingira mkoani hapa“ Na Deus Daud-katavi Kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani manispaa ya Mpanda imefanya…
7 March 2024, 3:09 pm
MPANDA,Homa ya Ini Yaongezeka kwa Kasi
“Daktari wa Manispaa ya Mpanda Coronel Bruno amesema kuwa ongezeko la Ugonjwa huo inatokana na Wananchi kutokuzingatia kupima Afya kila mara ili kubaini.” Picha na Mtandao. Na Veronica Mabwile-katavi Baadhi ya Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameiomba Serikali mkoani…