Mpanda FM

Recent posts

26 March 2026, 5:42 pm

Wananchi Mpanda watakiwa wasitumie maji ya mtoni

Moja ya mto uliopo Mpanda. Picha na Leah Kamala “Ni vema wananchi wawe na desturi ya kuchemsha maji ili kuepukana na magonjwa” Na Roda Elias Jamii iishiyo karibu na vyanzo vya maji hususan mito  katika manispaa ya Mpanda mkoani Katavi…

23 March 2026, 3:19 pm

Kakulukulu: Tuendelee kuitunza amani ya nchi yetu

“Lengo letu ni kuhakikisha amani na utulivu vinakuwepo katika mkoa wetu” Na Samwel Mbugi Sheikh mkuu wa mkoa wa Katavi Nassoro Kakulukulu ameendelea kuhimiza amani na mashirikiano baina ya dini zote katika kuhakikisha wanaihubili amani ya nchi ya Tanzania. Akizungumza…

23 March 2026, 2:17 pm

Sheria zinavyomlinda mtoto wa kufikia

“Sheria inakataza kumnyanyasa ama kumbagua mtoto” Na Anna Mhina Wazazi na walezi wilayani Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kutambua jukumu lao katika kuwapa malezi bora watoto bila ubaguzi. Wito huo umekuja kutokana na  jamii kuendelea kukumbwa na matukio ya baadhi ya…

20 March 2026, 5:55 pm

Waganga tiba asili Katavi wajitokeza kwa wahitaji

“Ni vyema kurudisha shukrani kwa mwenyezi Mungu kwa kuyafanya matendo hayo ya huruma “ Na Anna Milanzi- Katavi Waganga wa tiba  asili na tiba mbadala mkoa wa Katavi wamefanya matendo ya huruma kwa kuwatembelea watoto yatima na mama mjane anayeuguza…

20 March 2026, 5:37 pm

Mpanda: Mwalimu auawa, atenganishwa kichwa na kiwiliwili

“Amekutwa amefariki dunia kwa kuchinjwa na kutenganishwa kichwa na kiwiliwili “ Na Ben Gadau -Katavi Mtu mmoja aliyefahamika jina moja la Haidari anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 42 mwalimu wa shule ya msingi Nguvumali amekutwa amefariki dunia kwa kuchinjwa…

11 March 2026, 4:58 pm

RC Katavi asikiliza kero za wananchi

“Kila taasisi ipande miti” Na Leah Kamala Wananchi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameelezea kero mbalimbali zinazowakabili katika maeneo yao, na kumuomba mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko kuzifanyia kazi ili kuboresha maisha yao. Kero hizo ziliwasilishwa na wananchi…

11 March 2026, 4:37 pm

Wananchi Mpanda: Bomba likipasuka fursa kwetu

“Ni kosa kisheria kutotoa taarifa pindi bomba la maji linapopasuka” Na Anna Mhina Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Mpanda Hotel uliopo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (MUWASA) kutoa elimu kwa…

6 March 2026, 6:00 pm

Mwanakulya “Wanawake chachu ya maendeleo”

“Msherehekee na kuanzimisha siku ya wanawake duniani” Na Samwel Mbugi Wanawake manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuadhimisha siku ya wanawake duniani kwa kutambua na kuthamini mchango wa mwanamke katika jamii. Akizungumza mbele ya wanawake katika ukumbi wa manispaa ya…

6 March 2026, 3:34 pm

Lyamba sekondari yapokea Kompyuta

Katibu mwenenzi akimkabidhi mwalimu kompyuta hizo. Picha na Betord Chove “Walitupatia changamoto nyingi” Na Betord Chove Katibu mwenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Nsemulwa  wilayani Mpanda mkoani Katavi Geofrey Alfonce Kipeta amekabidhi kompyuta mbili  za  mezani kwa shule…

5 March 2026, 3:51 pm

Miti 400 yapandwa kuelekea siku ya wanawake

“Maelekezo ya serikali ni kupnda miti katika maeneo yetu” Na Samwel Mbugi Jumla ya miti 400 ya matunda na kivuli imepandwa na wanawake katika shule ya msingi Mkapa iliyopo manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi ikiwa ni sehemu ya kuelekea…

Kuhusu Mpanda Radio

Umiliki wa redio
Mpanda Radio FM inamilikiwa na kampuni iliyosajiliwa iitwayo Mpanda radio FM Limited na cheti cha usajili namba 78298 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpanda Radio FM pia imesajiliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania TCRA, Wizara ya Viwanda na biashara; ama tunatambuliwa na Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania TCCIA na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania kama Mlipa Ushuru, tuna Namba ya Kitambulisho cha Mlipa kodi 115-577-239 na tumepewa nambari ya usajili ya VAT 40-015708 kwa Biashara iliyoko hoteli ya Mpanda, eneo la eneo. nambari G, nambari ya kuzuia 35.

Dira
Kuwa jamii thabiti yenye afya bora, elimu, umoja na maendeleo endelevu, inayotambua wajibu na haki.

Dhamira
Kushirikisha jamii katika kuandaa vipindi, habari na uendeshaji wa redio kwa kuzingatia taaluma. Kuwa jukwaa la mijadala inayochochea mabadiliko chanya ya fikra, usawa wa jinsia, sheria na utawala bora, uwajibikaji, ushindani wa maendeleo, utamaduni na ulinzi wa rasilimali.

Uongozi
Mpanda Radio FM ina mlolongo mzuri wa uongozi na inasimamiwa na Bodi ya wakurugenzi. Tuna wakurugenzi watatu kwa hisa na kuajiriwa; pia tuna uongozi wa uzalishaji na uuzaji.