Siasa
8 January 2024, 7:58 am
Getere ampongeza mwenyekiti wa kijiji kusimamia upatikanaji wa sekondari
Mbunge wa jimbo la Bunda Mhe Boniphas Mwita Getere amempongeza mwenyekiti wa kijiji cha Nyaburundu Hamisi Said Madoro kwa kusimama kidete ili kupata shule ya sekondari Nyaburundu. Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda Mhe Boniphas Mwita Getere amempongeza…
4 January 2024, 9:43 pm
Wananchi watakiwa kujitokeza kutoa maoni marekebisho ya katiba
Wadau ,wanasiasa wa vyama vya upinzani pamoja na wananchi wamekua wakitoa maoni tofouti juu marekebisho katika miswada hiyo. Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa wananchi kushiriki ipasavyo kutoa maoni na mapendekezo katika Marekebisho ya Muswada wa Sheria za uchaguzi wa…
24 December 2023, 9:47 am
Mavazi yasiyo na staha yapigwa marufuku Rungwe
Moja ya sababu iliyo tajwa kupolomoka kwa maadili ni pamoja na kuigwa kwa tamaduni za nje,hivyo jamii imeshauriwa kudumisha utamaduni wa maeneo yao. Na lennox Mwamakula Wananchi wa kijiji cha Mbaka kilichopo kata ya Kisiba wamemwomba Mbunge wa jimbo la…
21 December 2023, 13:22
Kyela: Aliyeshinda rufaa ya kifungo cha maisha achukua fomu kugombea BAVICHA
Mshindi wa rufaa ya kifungo cha maisha Gerald Mwakitalu amechukua fomu ya kugombea nafasi ya mwenyekiti wa Balaza la Vijana Chadema BAVICHA wilaya ya Kyela na kuwaomba wajumbe kumchagua. Na James Mwakyembe Wakati uchaguzi wa ndani kwa ngazi ya wilaya…
19 December 2023, 19:49
Rungwe Mbeya yampokea mwenyekiti wa ccm mpya
Shangwe ya Mapokezi ya Mwenyekiti Mpya wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Patrick Mwalunenge Katika Wilaya ya Rungwe lmefana baada ya Mamia ya wakazi wa wilaya ya Rungwe kujitokeza Kumlaki. Mapokezi yamefanyika katika uwanja wa stendi ya daladala Tukuyu mjini. Mwalunge…
15 December 2023, 3:40 pm
Wafanyakazi Tume ya Uchaguzi Zanzibar watakiwa kufanya kazi kwa mashirikiano
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar George Joseph Kazi amewataka wafanyakazi wa tume hiyo kuendelea kufanya kazi kwa mashirikiano na kutoa michango katika jumuiya za kikanda. Mwenyekiti ameyasema hayo katika hafla ya kukabidhi tuzo ya mjumbe aliyeshiriki…
13 December 2023, 4:00 pm
Kinana azindua ofisi za kisasa za CCM Bukombe
Wilaya ya Bukombe imetekeleza Ilani ya chama cha mapinduzi CCM kwa kujenga ofisi za kisasa. Na Zubeda Handrish- Geita Makamu mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abrahman Kinana, amezindua ofisi ya kisasa ya chama hicho wilayani Bukombe mkoani…
12 December 2023, 10:11 am
Wananchi wilayani Rungwe walia na mradi wa maji
Baada ya kukosekana kwa huduma ya maji katika kata ya ikuti mbunge wa jimbo la Rungwe amewaomba wananchi kuwa na subira serikali inapoendelea kutekeleza mradi wa maji wa ikuti na lyenje. Mbunge wa jimbo la Rungwe Albert Mwantona akiongea na…
11 December 2023, 12:31
Mwankenja: CHADEMA tulieni mambo mazuri yanakuja
Uchaguzi wa ndani wa chama cha demokrasia na amaendeleo CHADEMA ngazi ya kata ya Kyela mjini umefanyika na kumpata Lafaele Mwankenja kuwa menyekiti. Na James Mwakyembe. Zoezi la uchaguzi wa ndani kuchagua viongozi wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA…
7 December 2023, 10:21 pm
Kamati ya siasa yaridhishwa utekelezaji Ilani ya CCM Karagwe
Na Eliud Henry Karagwe Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi CCM wilaya Karagwe imeridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleleo na kuagiza kurekebisha kasoro ndogondogo ili kuhakikisha irani ya chama hicho ya mwaka 2020/2025 inatekelezwa ipasavyo. Hayo yamebainika…