Radio Tadio

Siasa

27 January 2026, 08:04

ENABEL yakabidhi vifaa kwa vijana wanaoishi mazingira magumu Kigoma

Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kijitokeza na kuwasaidia vijana wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kufikia ndoto zao Na Mwandishi wetu Shirika la Maendeleo la watu wa Ubelgiji (Enabel) kupitia Programu ya wezesha binti, limekabidhi vifaa mbalimbali…

22 January 2026, 7:10 pm

Kambi ya madaktari bingwa kuanza Januari 26 Manyara

Wizara ya afya chini ya Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na hospital ya rufaa Kanda ya Mbeya pamoja na shirika la KCCO wameandaa kambi ya madaktari bingwa maalumu wa mifupa ,pua, sikio,koo na macho itakayofanyika mkoani…

15 January 2026, 4:39 pm

Wazikimbia nyumba kisa moto wa ajabu Geita

Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni tukio hilo la kushangaza limewaacha wakazi wa mtaa huo katika hali ya taharuki. Na Mrisho Sadick: Moto wa ajabu umezikumba familia mbili katika mtaa wa Nyantorotoro Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita Mkoani Geita…

16 December 2025, 5:47 pm

RC Sendiga azindua klinik ya madaktari bingwa Mbulu

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga  amezindua clinik ya madaktari bingwa ya magonjwa ya binadamu  katika halmashauri ya mji  Mbulu ili kuwasaidia  wananchi kupunguza  kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya za kibingwa Na Emmy Peter Sendiga  amezindua kliniki…

10 December 2025, 21:16

Wananchi kuchangia 2,000 kumleta mganga wa asili kijijini

Wananchi wa Kitongoji cha Nunu, Msakala, wameamua kuchangia shilingi 2,000 kwa kila nyumba ili kumleta mganga wa jadi baada ya hofu ya “mlipuko wa ugonjwa wa moyo.” suluhisho Na Musa Mtepa Katika hali ya kushangaza, wananchi wa kitongoji cha Nunu…

5 December 2025, 2:03 pm

Moto wa ajabu wateketeza samani za ndani Geita

Hakuna madhara ya kibinadamu kwakuwa jitihada kubwa zilifanyika kuuzima moto huo kwa kushirikiana na majirani. Kale Chongela: Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza vitu vya ndani katika chumba cha Bw. David Pankras, mkazi wa Mtaa wa Nyantorotoro A Kata ya…

24 November 2025, 6:44 pm

Wananchi waaswa kushiriki mbio za utalii, mazingira

Wanaotaka kushiriki Serengeti Safari Marathon walipie mix by yas shilingi 45 kwa mbio za kilometa 5,21 na 42. Na Catherine Msafiri, Yas wamesema wataendelea kudhamini shughuli mbalimbali za kijamii ikiwa ni Sehemu ya kurudisha shukurani kwa wateja wao. Hayo yamesemwa…

27 October 2025, 14:36

RC Sirro atembelea wakazi waliopisha hifadhi Kasulu

Serikali imesema itahakikisha inapeleka huduma zote muhimu kwa wananchi waliohama kupisha hifadhi ya kitalu cha uwindaji Makere – Uvinza na kuanza makazi mapya katika kitongoji cha Katoto Wilayani Kasulu Na Mwandishi wetu Zaidi ya wakazi 800 wamehamisha makazi yao kutoka…

17 October 2025, 8:18 am

Wahanga wa bili kubwa za maji Terrat waeleza changamoto

Na Isack Dickson Wakazi wa Kijiji cha Terrat, Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wanakabiliwa na changamoto ya kupokea bili za maji ambazo hazilingani na matumizi yao halisi, huku wakidai kuwa bei hizo ni kubwa na zinawatesa. Baadhi yao wanasema kuwa bili…