Offline
Play internet radio

Recent posts

21 June 2025, 10:41 pm

EWURA yawapiga msasa wauzaji wa gesi LPG Manyara

Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji (EWURA) kanda ya kaskazini imekutana na wadau wa nishati ya gesi ambao ni wasambazaji na wauzaji wa mitungi ya gesi ya kupikia majumbani (LPG)  mkoani manyara na kuwapa elimu, kanuni na…

20 June 2025, 9:59 pm

Bonga yanufaika na bil 2 za miradi

Mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Babati Shaaban Mpendu amefanya ziara ya kikazi katika kata ya bonga na kusikiliza changamoto za wananchi wa kata hiyo pamoja na kutoa takwimu ya fedha na miradi iliyotekelezwa. Na George Augustino. Mkurugenzi wa halmashauri…

19 June 2025, 11:14 pm

Wafanyabiashara wa mazao ya misitu, nyuki watakiwa kujisajili

Wafanyabiashara wa mazao ya misitu na mazao ya nyuki wilayani Hanang mkoani Manyara wametakiwa kujisajili kupata leseni za kufanya biashara hizo au kuuisha leseni zao kwa wafanyabiashara ambao wana leseni ifikapo july 1. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na…

19 June 2025, 10:49 pm

Wananchi Magugu wafurahishwa utekelezaj ilani ya CCM

Wananchi wa kata ya Magugu wilayani Babati mkoani Manyara, wameipongeza serikali ya awamu ya sita kwa kuleta maendeleo katika kata hiyo kwa kuhakikisha inatatua changamoto ya maji, afya, bara bara, elimu na kilimo huku wakimpongeza diwani wa kata hiyo kwa…

19 June 2025, 8:39 pm

Mwanafunzi darasa la nne Babati afariki kwa ajali akielekea shule

Mtoto wa darasa la nne  wa shule ya msingi Kiongozi  kata ya Maisaka mkoani manyara, Prosper Gwai mwenye umri wa miaka 11, amefariki baada ya kugongwa na gari wakati akilekea shuleni. Na Mzidalfa Zaid Akiongea na fm Manyara mwenyekiti wa…

16 June 2025, 11:43 pm

NSSF Manyara yatoa siku 14 kwa waajiri wadaiwa sugu

Mfuko wa Taifa wa hifadhi ya jamii(NSSF)mkoa wa Manyara unatarajia kuanzisha operesheni maalumu ya ukusanyaji wa madeni kwa waajiri wenye malimbikizo ya michango ili kuhakikisha haki za msingi za wananchama zinalindwa Na Mzidalfa Zaid Waajiri wenye malimbikizo ya michango ya…

6 June 2025, 5:34 pm

Pelum Tanzania yawataka wakulima kutumia mbegu za asili

Wakulima mkoani Manyara wametakiwa Kutumia mbegu za asili kwenye kilimo ili kupata faida na kunufaika na mazao yake. Na Marino Kawishe Shirika lisilo la kiserikali la Pelum Tanzania  limewataka wakulima wilayani Babati mkoani Manyara kuendeleza kilimo cha mbegu za asili…

5 June 2025, 7:00 pm

   Dereva afariki kwa ajali ya gari babati

Na George Augustino. kijana aliyefahamika kwa jina moja maarufu la digidigi (48) amefariki dunia katika ajali ya gari la mizigo iliyotokea leo majira ya saa tano asubuhi katika daraja linalounganisha kijiji cha orongadida na kijiji cha majengo vilivyopo katika kata…

5 June 2025, 6:32 pm

CSP  yaadhimisha Siku  ya Mazingira Duniani kwa kutoa elimu

Kila tarehe 5 Juni, kila mwaka Watanzania tunaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani kwa kufanya shughuli mbalimbali za kimazingira ikiwemo usafi wa mazingira na upandaji wa miti. Na George Augustino shirika lisilo la serikali la civil…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.