Recent posts
10 May 2026, 12:40 pm
Polisi na wananchi waimarisha ushirikiano
Wananchi mkoani Manyara wameungana na askari wa jeshi la polisi pamoja na familia zao katika kusherehekea siku ya familia ya polisi kwa lengo la kujenga mshikamano na kuongeza ufanisi wa utendaji kazi kwa askari wa jeshi la polisi. Na Mzidalfa…
5 May 2026, 7:46 pm
DED Babati TC akabidhi pikipiki kwa maafisa maendeleo
Wataalam wa Idara ya Maendeleo ya Jamii ngazi ya Kata Halmashauri ya Mji wa Babati wamekabidhiwa Pikipiki ili kuongeza ufanisi zaidi katika utendaji kazi. Na Mzidalfa Zaid Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati CPA. Shaaban Mpendu amekabidhi Pikipiki 5…
5 May 2026, 7:14 pm
Wawekezaji watakiwa kuchangamkia fursa Manyara
Wawekezaji mkoani Manyara wametakiwa kuchangamkia fursa ya kuwekeza biashara mbalimbali  ili kujiinua kiuchumi  baada  ya Geti la Mamire  kufunguliwa  kwa ajili ya kupitisha  magari  ya watalii. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga  ameyasema hayo leo wakati…
1 May 2026, 8:32 pm
Serikali Manyara yahimiza matumizi ya nishati safi ya kupikia
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga, amewataka wafanyakazi kutumia nishati safi ya kupikia kwa kutumia majiko ya umeme ambayo yanatumia umeme kidogo na kuivisha kwa muda mfupi. Na Mzidalfa Zaid Amesema hayo Leo katika siku ya wafanyakazi (meimosi) mkoani…
1 May 2026, 7:39 pm
MATI Super Brand yapongezwa kuongeza ajira kwa vijana
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga, ameipongeza Kampuni ya MATI Super Brand ya mjini Babati mkoani Manyara kwa kuwaajiri vijana wengi na kupunguza changamoto ya vijana kuwa tegemezi . Na Mzidalfa Zaid Sendiga amesema hayo leo katika maadhimisho ya…
30 April 2026, 1:34 pm
Wananchi Babati watakiwa kuzingatia mlo kamili
Wananchi wametakiwa wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuzingati mlo kamili kwa kula vyakula vyenye lishe na sio kula kwa mazoea huku waisisitizwa kufanya mazoezi ili kujikinga na magonjwa mbalimbali na kuweka Afya zao vizuri. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa na…
29 April 2026, 1:13 am
Vituo vya taarifa, maarifa vyatathmini mradi kwa vikundi 56 Manyara
Na Marino Kawishe. Jumla ya wanavikundi 56 kutoka kwenye vituo vya taarifa na maarifa katika kata ya Mamire na Murray Mkoani Manyara wametoa tathimini ya utekelezaji mradi uletao mabadiliko ambao unatekelezwa kwenye halmashauri 6 na mikoa mitatu hapa nchini. Wakizungumza…
26 April 2026, 11:10 am
Babati TC yaibuka mshindi bonanza la miaka 62 ya Muungano
 Babati TC yang’ara na kuibuka mshindi wa jumla katika Bonanza la Maadhimisho ya Miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika Jana kwa ngazi ya Mkoa wa Manyara katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa. Na Mzidalfa Zaid Halmashauri ya Mji…
25 April 2026, 11:50 am
Manyara yaadhimisha miaka 62 ya Muungano kivingine
Mkoa wa Manyara umeaadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar  kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo upandaji wa miti , kufanya usafi katika halmashauri ya mji wa babati pamoja na kufanya michezo mbalimbali. Na Mzidalfa Zaid Akiongea…
24 April 2026, 6:46 pm
Zaidi ya 1800 wanufaika na kambi ya madaktari bingwa Manyara
Zaidi ya wananchi 1800 wamenufaika kwa kufanyiwa uchunguzi na matibabu katika kambi maalum ya matibabu na upasuaji katika Hospitali ya Rufaa mkoa wa Manyara na kuhudumiwa na madaktari bingwa na wataalamu bobezi kutoka Marekani kuanzia april 19 hadi april 24,2026.…