10 April 2026, 6:07 pm

Manyara na siku ya mtoto anayeishi na kufanya kazi mtaani

Kuelekea maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mtoto anayeishi na kufanya kazi mtaani , wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutoa ushirikiano katika mapambano ya watoto waishio mtaani na kufanya kazi mtaani. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na afisa ustawi…

Offline
Play internet radio

Recent posts

10 May 2026, 12:40 pm

Polisi na wananchi waimarisha ushirikiano

Wananchi mkoani Manyara wameungana na askari wa jeshi la polisi pamoja na familia zao katika kusherehekea siku ya familia ya polisi kwa lengo la kujenga mshikamano na kuongeza ufanisi wa utendaji kazi kwa askari wa jeshi la polisi. Na Mzidalfa…

5 May 2026, 7:46 pm

DED Babati TC akabidhi pikipiki kwa maafisa maendeleo

Wataalam wa Idara ya Maendeleo ya Jamii ngazi ya Kata Halmashauri ya Mji wa Babati wamekabidhiwa Pikipiki ili kuongeza ufanisi zaidi katika utendaji kazi. Na Mzidalfa Zaid Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati CPA. Shaaban Mpendu amekabidhi Pikipiki 5…

5 May 2026, 7:14 pm

Wawekezaji watakiwa kuchangamkia fursa Manyara

Wawekezaji  mkoani Manyara wametakiwa kuchangamkia fursa ya kuwekeza biashara mbalimbali  ili kujiinua kiuchumi  baada  ya Geti la Mamire  kufunguliwa  kwa ajili ya  kupitisha  magari  ya watalii. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga  ameyasema hayo leo wakati…

1 May 2026, 8:32 pm

Serikali Manyara yahimiza matumizi ya nishati safi ya kupikia

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga, amewataka wafanyakazi kutumia nishati safi ya kupikia kwa kutumia majiko ya umeme ambayo yanatumia umeme kidogo na kuivisha kwa muda mfupi. Na Mzidalfa Zaid Amesema hayo Leo katika siku ya wafanyakazi (meimosi) mkoani…

1 May 2026, 7:39 pm

MATI Super Brand yapongezwa kuongeza ajira kwa vijana

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga, ameipongeza Kampuni ya MATI Super Brand ya mjini Babati mkoani Manyara kwa kuwaajiri vijana wengi na kupunguza changamoto ya vijana kuwa tegemezi . Na Mzidalfa Zaid Sendiga amesema hayo leo katika maadhimisho ya…

30 April 2026, 1:34 pm

Wananchi Babati watakiwa kuzingatia mlo kamili

Wananchi wametakiwa wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuzingati mlo kamili kwa kula vyakula vyenye lishe na sio kula kwa mazoea huku waisisitizwa kufanya mazoezi ili kujikinga na magonjwa mbalimbali na kuweka Afya zao vizuri. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa na…

29 April 2026, 1:13 am

Vituo vya taarifa, maarifa vyatathmini mradi kwa vikundi 56 Manyara

Na Marino Kawishe. Jumla ya wanavikundi 56 kutoka kwenye vituo vya taarifa na maarifa katika kata ya Mamire na Murray Mkoani Manyara wametoa tathimini ya utekelezaji mradi uletao mabadiliko ambao unatekelezwa kwenye halmashauri 6 na mikoa mitatu hapa nchini. Wakizungumza…

26 April 2026, 11:10 am

Babati TC yaibuka mshindi bonanza la miaka 62 ya Muungano

 Babati TC yang’ara na kuibuka mshindi wa jumla katika Bonanza la Maadhimisho ya Miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika Jana kwa ngazi ya Mkoa wa Manyara katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa. Na Mzidalfa Zaid Halmashauri ya Mji…

25 April 2026, 11:50 am

Manyara yaadhimisha miaka 62 ya Muungano kivingine

Mkoa wa Manyara umeaadhimisha miaka  62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar  kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii  ikiwemo upandaji wa miti , kufanya usafi  katika halmashauri  ya mji wa babati pamoja na kufanya michezo mbalimbali. Na Mzidalfa Zaid Akiongea…

24 April 2026, 6:46 pm

Zaidi ya 1800 wanufaika na kambi ya madaktari bingwa Manyara

Zaidi ya wananchi 1800 wamenufaika kwa kufanyiwa uchunguzi na matibabu katika kambi maalum ya matibabu na upasuaji katika Hospitali ya Rufaa mkoa wa Manyara na kuhudumiwa na madaktari bingwa na wataalamu bobezi kutoka Marekani kuanzia april 19 hadi april 24,2026.…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.