Recent posts
21 June 2026, 7:19 am
Babati mji yaendelea kutoa elimu kuelekea siku ya wajane
Kuelekea maadhimisho ya siku ya wajane Duniani yanayoadhimishwa Juni 23 kila mwaka, Halmashauri ya Mji wa Babati imeendelea kutoa elimu kwa wananchi kupitia maeneo mbalimbali yenye mikusanyiko, mikutano ya kijamii na vyombo vya habari kwa lengo la kuongeza uelewa kuhusu…
19 June 2026, 5:10 pm
Jeshi la zimamoto na Uokoaji Babati latoa elimu ya utayari wa majanga Sokoni
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilaya ya Babati leo limefanya zoezi la kutoa elimu ya utayari wa kukabiliana na majanga katika Soko Kuu la Babati mkoani Manyara, ambapo katika zoezi hilo kumetumika tukio la moto wa mfano ulioanzishwa katika eneo…
19 June 2026, 12:52 am
Babati Dc yazindua kampeni ya malezi kwa watoto
Halmashauri ya wilaya ya Babati mkoani Manyara imezindua kampeni ya siku 14 ya kutoa elimu kwa jamii kuhusu malezi chanya chini ya kauli mbiu inayosema ”mtoto ni malezi Msingi wa familia bora kwa taifa imara”. Uzinduzi huo umefanyika june 18…
14 June 2026, 2:54 pm
Deira yawazawadia mamilioni wahitimu, walimu na wanafunzi bora
Shule ya Deira English Medium imeendelea kuthibitisha ubora wake wa kitaaluma kwa kuandaa hafla maalum ya kuwapongeza na kuwazawadia wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo yao, hatua inayodhihirisha dhamira ya shule hiyo ya kuendeleza ufaulu na kukuza vipaji vya wanafunzi. Na…
12 June 2026, 7:26 pm
TGNP yasaidia wakulima Manyara kupata uelewa wa kilimomisitu
Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP kwa kushirikiana na baadhi ya wakulima kutoka vituo vya taarifa na maarifa vya mamire na Murray mkoani Manyara wamefanya mafunzo ya pamoja ya nadharia na vitendo yanayohusu Kilimomisitu. Akizungumza na Fm Manyara Msimamizi wa mafunzo…
10 June 2026, 5:16 pm
Teknolojia ya nzi chuma yatajwa suluhisho la taka Manyara
Kongano bunifu katika sekta ya maji na usafi wa mazingira (WASH) lijulakanalo kama kongano la udhibiti na uchakataji taka Manyara limezinduliwa leo katika mkoa wa Manyara lengo ikiwa ni kuhakikisha taka zote zinakuwa fursa. Na Mzidalfa Zaid Akiongea kwa niaba…
7 June 2026, 3:55 pm
Magari ya kusafirisha wanafunzi yakaguliwa Manyara
Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani (RTO) Mkoa wa Manyara Michael Mwakasungula ameongoza zoezi la ukaguzi wa magari yanayosafirisha watoto katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo, ikiwa ni sehemu ya kuhakikisha usalama wa watoto wakati wa kipindi hiki cha likizo…
5 June 2026, 6:34 pm
CSP, Vi Agroforestry wapanda miti 1200 kuadhimisha siku ya mazingira
Shirika la Civic Social Protection Foundation (CSP) kwa kushirikiana na Vi Agroforestry limeadhimisha Siku ya Mazingira Duniani kwa kutekeleza shughuli mbalimbali za uhifadhi wa mazingira katika Halmashauri ya Mji Babati, mkoani Manyara. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza wakati wa maadhimisho hayo,…
5 June 2026, 6:28 pm
Manyara wahimizwa kukagua mifumo ya umeme
Wananchi mkoani Manyara wamehimizwa kuhakikisha wanakagua mifumo ya umeme katika nyumba, Taasisi na maeneo ya biashara mara kwa mara ili kubaini changamoto zinazoweza kujitokeza na kuzifanyia marekebisho kwa wakati. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na Afisa Uhusiano wa Shirika…
4 June 2026, 4:21 pm
Mamire yasisitiza bajeti jumuishi
Wanakikundi cha taarifa na maarifa kutoka kata ya Mamire Wilayani Babati Mkoani Manyara wamezipongeza wizara za Afya, Elimu na maji kwa kuweka kipaumbele mrengo wa jinsia kwenye bajeti zao ambazo zilishawasilishwa kwenye Bunge la 13 linaloendelea huko Jijini Dodoma. Na…