Recent posts
19 May 2026, 4:56 pm
Wananchi Manyara watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya Ebola
Wananchi mkoani Manyara, wametakiwa kuchukua tahadhari ya ugonjwa Ebola unaosababishwa na virusi vya Ebola kutokana na ugonjwa huo kuwa miongoni mwa magonjwa ya milipuko, kufuatia  ugonjwa  huo kuwa  tishio  katika baadhi ya nchi za afrika mashariki ikiwemo nchi ya Uganda…
14 May 2026, 5:22 pm
Maafisa  mipango miji  fuatilieni eneo la ujenzi kabla ya kutoa vibali-RC Se…
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga  ametoa maagizo  kwa wataalam wa  mipango miji  mkoani Manyara kuhakikisha wanafatilia  eneo la ujenzi kwa wananchi  kabla hawajatoa kibali cha ujenzi. Na Mzidalfa Zaid Sendiga amesema hayo  katika kikao cha Baraza la madiwani…
14 May 2026, 4:59 pm
Wanaushirika Manyara watakiwa  kuzingatia uadilifu
Wanaushirika mkoani Manyara wametakiwa kuendesha shughuli  za ushirika kwa kuzingatia uadilifu na kutimiza majukumu yao kama sheria zinavyoelekeza katika usimamizi  wa vyama vya ushirika. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na mrajisi msadizi wa vyama vya ushirika mkoa wa…
13 May 2026, 6:54 pm
RC Sendiga awaonya watumishi wanaosababisha migogoro
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga, amesema atawachukulia hatua ikiwemo kuwapeleka Mahakamani watumishi ambao wanasabisha migogoro ya ardhi katika eneo la Makatanini wilayani Babati mkoani Manyara. Na Mzidalfa Zaid Sendiga amesema hayo Leo katika kikao Cha Baraza la madiwani…
12 May 2026, 5:43 pm
TANESCO Manyara yaonya wananchi uharibifu wa miundombinu
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Manyara limetoa tahadhari kwa wananchi wote wanaojihusisha na vitendo vya kuhujumu miundombinu ya umeme, ikiwemo kuiba mafuta ya transfoma na kusababisha kukatika kwa umeme pamoja na kuchoma nguzo. Na Emmy Peter Akizungumza na…
10 May 2026, 12:40 pm
Polisi na wananchi waimarisha ushirikiano
Wananchi mkoani Manyara wameungana na askari wa jeshi la polisi pamoja na familia zao katika kusherehekea siku ya familia ya polisi kwa lengo la kujenga mshikamano na kuongeza ufanisi wa utendaji kazi kwa askari wa jeshi la polisi. Na Mzidalfa…
5 May 2026, 7:46 pm
DED Babati TC akabidhi pikipiki kwa maafisa maendeleo
Wataalam wa Idara ya Maendeleo ya Jamii ngazi ya Kata Halmashauri ya Mji wa Babati wamekabidhiwa Pikipiki ili kuongeza ufanisi zaidi katika utendaji kazi. Na Mzidalfa Zaid Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati CPA. Shaaban Mpendu amekabidhi Pikipiki 5…
5 May 2026, 7:14 pm
Wawekezaji watakiwa kuchangamkia fursa Manyara
Wawekezaji mkoani Manyara wametakiwa kuchangamkia fursa ya kuwekeza biashara mbalimbali  ili kujiinua kiuchumi  baada  ya Geti la Mamire  kufunguliwa  kwa ajili ya kupitisha  magari  ya watalii. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga  ameyasema hayo leo wakati…
1 May 2026, 8:32 pm
Serikali Manyara yahimiza matumizi ya nishati safi ya kupikia
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga, amewataka wafanyakazi kutumia nishati safi ya kupikia kwa kutumia majiko ya umeme ambayo yanatumia umeme kidogo na kuivisha kwa muda mfupi. Na Mzidalfa Zaid Amesema hayo Leo katika siku ya wafanyakazi (meimosi) mkoani…
1 May 2026, 7:39 pm
MATI Super Brand yapongezwa kuongeza ajira kwa vijana
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga, ameipongeza Kampuni ya MATI Super Brand ya mjini Babati mkoani Manyara kwa kuwaajiri vijana wengi na kupunguza changamoto ya vijana kuwa tegemezi . Na Mzidalfa Zaid Sendiga amesema hayo leo katika maadhimisho ya…