Recent posts
30 July 2026, 6:44 pm
EWURA yawataka watoa huduma kuboresha utendaji
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kaskazini imekutana na wadau wa sekta ya nishati na maji Kanda ya kaskazini kwa lengo la kuwakumbusha majukumu yao ya kazi na kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.…
30 July 2026, 5:56 pm
LHRC yazindua ripoti ya mabadiliko ya tabia nchi
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amesema ushirikiano wa wadau mbalimbali ni muhimu katika kulinda mazingira na kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Na Mzidalfa Zaid RC Sendiga ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya mazingira, mabadiliko ya…
29 July 2026, 6:44 pm
EWURA yawahimiza wananchi kuwekeza vituo vya mafuta vijijini
Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kaskazini, George Mhina, amewahimiza wananchi na wawekezaji kutumia fursa zilizopo kwa kuanzisha vituo vya mafuta katika maeneo ya vijijini ili kusogeza huduma karibu na wananchi. Na…
28 July 2026, 8:15 pm
Hospitali Mji Babati yapokea mitambo ya kisasa ya oksijeni
Hospitali ya Mji wa Babati mkoani Manyara imepokea mitambo ya kisasa ya mfumo wa kuzalisha oksijeni tiba (Oxygen Generation System) kutoka Shirika la FREO2 Foundation, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuboresha huduma za afya kwa watoto wachanga na wagonjwa…
27 July 2026, 8:33 pm
Kambi ya Madaktari Bingwa wa Afya ya kinywa na meno yaanza leo Manyara.
Huduma za Matibabu ya Afya ya kinywa na Meno zimeanza kutolewa leo katika Kambi ya Madaktari bingwaaa kutoka hospital ya Rufaa  Mkoa wa Manyara na huduma hizo zitatolewa Hadi julai 30 mwaka huu . Na Emmy Peter Hayo yamesemwa daktari…
27 July 2026, 8:04 pm
Waziri Ndege achangia mifuko 100 ya saruji ujenzi daraja Mamire
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Manyara, Regina Ndege ametoa mifuko 100 ya saruji na kuahidi kutembelea daraja lililokatika kwa mvua zilizopita na linalounganisha kitongoji cha Waloa na…
24 July 2026, 7:56 pm
Chem Chem yatoa mafunzo ya huduma ya kwanza kwa askari wa uhifadhi
Mafunzo ya Huduma ya kwanza kwa Askari wa wanyama pori yaliyojumuisha Askari kutoka TANAPA, TAWA, BWMA, BABATI DC NA CCA zinazofanya shughuli za uhifadhi wa wanyama pori katika ushoroba wa kwakuchinja pamoja na mfumo wa ikolojia ya Tarangire-Manyara yamefungwa rasmi…
24 July 2026, 7:19 pm
Mfumo wa kidijitali kufungua fursa za masoko kwa wakulima wa mikunde
Mfumo wa kidijitali wa kuwaunganisha wakulima, wafanyabiashara na wadau wa mazao ya mikunde umezinduliwa mkoani Manyara, ukiwa na lengo la kuwasaidia wakulima kupata taarifa sahihi za masoko, bei za mazao pamoja na fursa mbalimbali katika mnyororo wa thamani wa mikunde.…
23 July 2026, 4:49 pm
Madereva Manyara wahimizwa kusajili stika za kidigitali
Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Manyara limetoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi ya stika ya wiki ya “Nenda kwa Usalama Barabarani” kwa njia ya kidijitali. Na Mzidalfa Zaid Elimu hiyo imetolewa na Sajenti Said Yussuf kutoka…
23 July 2026, 4:35 pm
Wananchi Manyara wahimizwa kuweka akiba ya chakula
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kuweka akiba ya mazao ya chakula ili kujikinga na athari zinazoweza kujitokeza kutokana na mabadiliko ya tabianchi yanayoathiri uzalishaji wa mazao katika maeneo mbalimbali ya mkoa huo. Na Mzidalfa Zai Wito huo umetolewa leo na Kaimu…