Recent posts
21 April 2026, 7:05 pm
Wataalamu wasema, ugonjwa wa sikoseli si laana
 Jamii mkoani Manyara imetakiwa kuachana Cha Imani potofu kuwa ugonjwa wa sikoseli unasababishwa kwa kulogwa au laana, bali ugonjwa huo unasababishwa kwa kurithi. Na Mzidalfa Zaid Hayo yameelezwa Leo na mratibu wa sikoseli na Hemofilia kutoka wizara ya afya dokta…
21 April 2026, 6:40 pm
Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma yaendesha mafunzo Manyara
Taasisi ya sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma imeendesha mafunzo kwa waalimu walezi wa club za maadili, yenye lengo la kuzifahamu sheria ya maadili, katika sekta ya umma pamoja na muongozo wakufungua klabu za maadili katika shule za msingi hadi…
18 April 2026, 5:39 pm
Babati TC yaipongeza Deira School kwa kuongoza ufaulu 2025
Mgeni rasmi wa hafla hiyo alikuwa ni Kaim afisa elimu mkoa wa Manyara ambae ni afisa elimu taaluma mkoa wa Manyara Allan Said, amezipongeza shule ambazo zimefanya vizuri ikiwemo shule hiyo ya Deira English medium school kwani kwa kukuza kiwango…
17 April 2026, 8:24 pm
Serikali Manyara yasitisha mnada wa uuzaji mali za umma
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara kupitia katibu Tawala msaidizi rasilimali Dominic Mbwete, amesitisha mnada wa mali za umma zilizokuwa zimetangazwa kuuzwa katika mnada kutokana na kuibuka sintofahamu kutoka kwa wafanyabiashara waliohudhuria kwa ajili ya kununua mali hizo. Na…
17 April 2026, 12:25 am
Parokia mpya ya Mrara Jimbo Katoliki la Mbulu yazinduliwa
Mkuu wa wilaya ya Babati Mkoani Manyara Emanuela Kaganda amewaomba viongozi wa dini kuendelea  kuzuia mmomonyoko wa maadili katika jamii kwa mafundisho ya imani pamoja na kuiombea nchi ya Tanzania ili amani na utulivu vizidi kutawala. Na George Augustino. Dc…
16 April 2026, 8:17 pm
Wanafunzi 104 wa shule ya wasichana Manyara wahitimu kidato cha sita
Wanafunzi 104 wa kidato Cha sita wa shule ya sekondari ya wasichana Manyara, wamehitimu Leo ambapo wanafunzi hao wameishukuru serikali kwa kufanikisha kufika hatua hiyo. Na Mzidalfa Zaid Akiongea kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Manyara,mkuu wa wilaya ya…
10 April 2026, 6:07 pm
Manyara na siku ya mtoto anayeishi na kufanya kazi mtaani
Kuelekea maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mtoto anayeishi na kufanya kazi mtaani , wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutoa ushirikiano katika mapambano ya watoto waishio mtaani na kufanya kazi mtaani. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na afisa ustawi…
9 April 2026, 5:57 pm
Madaktari bingwa kushiriki kambi matibabu Manyara
Wananchi mkoani Manyara wameshauriwa kujitokeza katika kambi maalum ya matibabu na upasuaji katika Hospitali ya Rufaa mkoa wa Manyara kuanzia april 19 hadi april 24 mwaka huu itakayohusisha madaktari bingwa na wataalamu bobezi kutoka marekani. Na Mzidalfa Zaid Ushauri huo…
3 April 2026, 12:26 pm
Polisi Babati wapatiwa elimu ya nishati safi ya kupikia
Maafisa wa jeshi la polisi wilayani Babati mkoani Manyara wamepatiwa elimu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kutumia majiko ya kisasa yanayotumia umeme, ikiwa ni juhudi za serikali kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuendelea kulinda …
3 April 2026, 10:44 am
Manyara wanufaika na kambi ya matibabu
Zaidi ya wananchi 2700 wamenufaika na kambi ya matibabu ya afya ya siku sita iliyoratibiwa na shirika la SO THEY CAN Tanzania kwa kushirikiana  na halmashauri ya wilaya ya Babati mkoani Manyara. Na Marino Kawishe Akihitimisha  kambi  hiyo ya matibabu …