Recent posts
7 July 2026, 3:10 pm
Maandalizi ya kuupokea mwenge wa uhuru Babati yakamilika
Picha ya Kaimu mkuu wa wilaya ya Babati Remidius Mwema Wilaya ya Babati inatarajia kuupokea Mwenge wa Uhuru July 14 2026 ukitokea Wilaya ya Kiteto, ambapo utakagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi 14 ya maendeleo iliyopo ndani…
7 July 2026, 12:34 pm
RPC Makarani asema mkoa wa Manyara ni salama
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara, Ahmed Makarani, amewataka wananchi kuendelea na shughuli zao za kila siku bila hofu, ikiwemo kusherehekea Sikukuu ya Saba Saba kwa amani, akisema kuwa hadi sasa hakuna kiashiria chochote cha uvunjifu wa amani…
4 July 2026, 6:45 pm
TARI Seliani yatoa mafunzo kilimo cha maharage kwa wakulima Babati
Wananchi wa Kijiji Cha Endanoga Wilaya ya Babati, Mkoa wa Manyara wamepatiwa mafunzo ya kilimo bora cha maharage kupitia mradi wa kuendeleza kilimo na uvuvi unaotekelezwa na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Selian. Na Emmy Peter Mafunzo hayo…
3 July 2026, 7:15 pm
So They Can yakabidhi miradi ya shilingi Millioni 267 Babati Dc
Na Marino Kawishe Shirika la So They Can Tanzania limekabidhi miradi miwili ambayo ni bweni la wasichana na nyumba Tatu za waalimu zenye thaman ya zaidi ya shilingi milion 265, kwa halmashauri ya wilaya ya Babati mkoani Manyara ambayo imekamilika…
2 July 2026, 7:53 pm
Japan yafadhili madarasa, vyoo, madawati Orngadida
Na Marino Kawishe Serikali ya Japani kupitia Ubalozi wa Japani nchini Tanzania umekabidhi mradi wa madarasa matatu, vyoo vya wanafunzi na waalimu pamoja na madawati katika shule ya msingi Orngadida iliyopo kata ya Qash wilaya ya Babati mkoani Manyara leo…
2 July 2026, 12:54 am
Miradi ya bilioni 8.07 kuzinduliwa na Mwenge wa uhuru Babati mji
Na Emmy Peter Mkurugenzi wahalmashauri ya Mji wa Babati CPA Shabani A. Mpendu amesema Mwenge wa Uhuru kwa mwaka huu 2026 unatarajiwa kukagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 8.07.…
1 July 2026, 12:54 am
Takukuru Manyara yawafunda wadau wa usimamizi wa miradi ya maendeleo
Na Emmy Peter Wadau wa usimamizi na utekelezaji wa miradi ya maendeleo mkoani Manyara wamehimizwa kusimamia ipasavyo utekelezaji wa miradi hiyo ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati, na ubora unaotakiwa ili kuwanufaisha wananchi. Maelekezo hayo yametolewa leo na mkuu wa wilaya ya…
24 June 2026, 1:16 am
 RC Sendiga azindua  gari la milioni 180 Simanjiro
Mkuu wa mkoa wa Manyara,Queen Sendiga amezindua gari la halmashauri  ya wilaya ya Simanjro lenye thamani ya shilingi milioni 180, litakalotumika kwenye shughuli mbalimbali za kuwahudumia wananchi wa wilaya hiyo. Sendiga amezindua gari hilo  leo alipokuwa katika ziara ya…
24 June 2026, 1:01 am
Shirika la Hand in Hand lasaidia wafuga kuku Manyara
Wafugaji na wanunuzi wa kuku Wilayani Babati mkoani Manyara wamelishukuru Shirika la Hand in Hand kwa kuwakutanisha pamoja kujadili juu ya mahusiano ufugaji na soko la kuku. Na Christina Christian Wakizungumza kwenye jukwaa la mahusiano ya kibiashara kwa wadau katika…
23 June 2026, 10:29 pm
Ubadilishaji wa mita za kisasa za umeme unaendelea
Zoezi la ubadilishaji wa mita za kisasa za umeme  (Smart Meter) linaendelea katika Mkoa wa Manyara na sasa limeingia katika  awamu ya pili  ambapo linafanyika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Manyara  kwa lengo la kuboresha huduma za umeme na…