FM Manyara
FM Manyara
5 May 2026, 7:46 pm

Wataalam wa Idara ya Maendeleo ya Jamii ngazi ya Kata Halmashauri ya Mji wa Babati wamekabidhiwa Pikipiki ili kuongeza ufanisi zaidi katika utendaji kazi.
Na Mzidalfa Zaid
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati CPA. Shaaban Mpendu amekabidhi Pikipiki 5 aina ya Boxer 150 HD zenye jumla ya Shilingi Milioni 19 kwa Maafisa Maendeleo wa Jamii ngazi ya Kata kwa lengo la kurahisisha utendaji wa kazi
Aidha Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Ally Mwinyikombo ameeleza kuwa mchakato wa manununuzi ya Pikipiki kwa Kata tatu zilizosalia unaendelea kufanyiwa kazi.
