FM Manyara
FM Manyara
27 July 2026, 8:33 pm

Huduma za Matibabu ya Afya ya kinywa na Meno zimeanza kutolewa leo katika Kambi ya Madaktari bingwaaa kutoka hospital ya Rufaa Mkoa wa Manyara na huduma hizo zitatolewa Hadi julai 30 mwaka huu .
Na Emmy Peter
Wito huo umetolewa na Leo daktari kutoka kitengo Cha huduma ya kinywa na Meno kutoka katika hospitali ya Rufaa Mkoa wa Manyara Athumani Yatera alipokuwa akizungumza na Fm Manyara amesema huduma hiyo inalenga kutatua changamoto ya kinywa na Meno kwa Wananchi wa manyara na mikoa ya jirani.
Aidha amesema kufungua jalada na kumuona Daktari itakuwa ni bure kwa wasio na bima ila watachangia gharama za matibabu kwa kufuata utaratibu wa hospitali.