FM Manyara

Vijana  Manyara watakiwa kuepuka kutumikishwa

15 July 2026, 10:30 pm

Picha ya Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Empowercare Foundation Onesmo Mwihava

Vijana mkoani Manyara wametakiwa kuacha tabia ya kutopenda kufanya kazi  wakisubiri kupata mafanikio ya haraka.

Na Marino Kawishe

Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Empowercare Foundation yenye ofisi zake Uyole mkoaani  Mbeya Onesmo Mwihava amesema haliyo inasababisha na watu wengi kupenda kuwatumia vijana na kusababisha mmonyoko wa maadili ambapo vijana wengi wanataaluma lakini ktokana na hali hiyo wanashindwa kufanya kazi.

Sauti ya Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Empowercare Foundation

Aidha Mwihava amesema changamoto kubwa inayowakumbuka vijana  wengi ni maendeleo ya utandawazi kutopenda kufanya kazi na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii ikiwemo kufanya kazi zisizokuwa rasmi kama kamari  na kubeti