27 March 2025, 9:58 pm

Wanawake Hanang’ wapata elimu ya uandaaji lishe 

Baadhi ya wanawake wilayani Hanang mkoani Manyara wamefundishwa namna ya kuandaa lishe bora ili kudhibiti tatizo la udumavu kwa watoto. Na Mzidalfa Zaid Katika kuhakikisha watoto wanakuwa na lishe bora, jamii wilayani Hanang mkoani Manyara imeshauriwa kuhifadhi vyema mazao,kwa kuhakikisha…

Offline
Play internet radio

Recent posts

27 March 2025, 9:58 pm

Wanawake Hanang’ wapata elimu ya uandaaji lishe 

Baadhi ya wanawake wilayani Hanang mkoani Manyara wamefundishwa namna ya kuandaa lishe bora ili kudhibiti tatizo la udumavu kwa watoto. Na Mzidalfa Zaid Katika kuhakikisha watoto wanakuwa na lishe bora, jamii wilayani Hanang mkoani Manyara imeshauriwa kuhifadhi vyema mazao,kwa kuhakikisha…

27 March 2025, 9:20 pm

Takukuru yabaini mianya ya rushwa Babati

Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Manyara Bahati Haule amesema Takukuru imebaini mianya ya rushwa ikiwemo uwezo mdogo wa Halmashauri kumudu jukumu la uondoshaji wa taka ikiwemo taka ngumu. Na George Agustino Taasisi ya na Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) Mkoa…

26 March 2025, 7:47 pm

Sumu kuvu ilivyoathiri watoto Babati

Imeelezwa kuwa baadhi ya watoto wa kuanzia umri wa miezi 6- 24 wilayani Babati mkoani Manyara wameathiriwa na changamoto ya sumu kuvu kutokana na jamii kutokuwa na uelewa wa kuhifadhi mazao katika sehemu salama. Na Mzidalfa Zaid Kufuatia utafiti uliofanyika…

20 March 2025, 3:55 pm

Ruwasa Manyara yaadhimisha wiki ya maji kwa kutoa elimu

Ruwasa Manyara yaadhimisha wiki ya maji kwa kutoa elimu. Wakala wa usambazaji maji na usafi mazingira vijijini mkoa wa Manyara yawataka wananchi kutunza vyanzo vya maji. Na Mzidalfa Zaid Wakati wiki ya maji ikiendelea kuadhimishwa , wananchi Mkoani Manyara wametakiwa…

20 March 2025, 1:04 pm

Burunge WMA na mbinu mpya migogoro ya wananchi, wanyamapori

Mkuu wa Wilaya ya Babati Emmanuela Kaganda amefurahishwa na mbinu ambayo imetumiwa na viongozi wa Jumuiya ya hifadhi ya wanyamapori ya Burunge ya kugawa mahindi ili kupunguza migogoro kati ya wananchi na wanyamapori Na Mzidalfa Zaid Jumuiya ya hifadhi ya…

14 March 2025, 6:39 pm

Kijiji cha Sangaiwe chakusanya bilioni 2.4 kutokana na uhifadhi

Mkuu wa wilaya ya Babati  mkoani Manyara Emmanuela Kaganda amefurahishwa na uwekezaji uliofanyika katika kijiji cha Sangaiwe ambao umetokana na jitihada za wananchi wa kijiji hicho. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa wilaya ya Babati  mkoani Manyara Emmanuela Kaganda amekagua miradi…

8 March 2025, 12:52 am

ALAT yakagua majengo mapya ya hospitali ya mji wa Babati

Kamati ya Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) mkoa wa Manyara imefanya ukaguzi wa miradi katika halmashauri ya mji wa Babati. Na Mzidalfa Zaid Kamati ya Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) mkoa wa Manyara imekagua majengo mapya…

7 March 2025, 11:54 pm

TPF-NET watoa mafunzo kwa askari wanawake

Mtandao wa Polisi wanawake mkoa wa Manyara (TPF-NET ) wametoa mafunzo kwa askari wanawake Na Angel Munuo Mtandao wa Polisi wanawake mkoa wa Manyara (TPF-NET ) wametoa mafunzo kwa askari wanawake ambayo yatawasaidia kupambana na ukatili wa kijinsia pamoja na…

4 March 2025, 6:22 pm

Wanawake Babati watoa msaada kwa watoto njiti

Na Mzidalfa Zaid Kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Machi 8 mwaka huu, wanawake wa Halmashauri ya Mji wa Babati mkoani Manyara wametoa  misaada kwa watoto njiti katika hospitali ya rufaa ya  mkoa wa Manyara na hospitali ya mji…

4 March 2025, 12:00 pm

Sillo aipongeza So They Can kwakuendeleza maendeleo kwa jamii

Shirika lisilo la kiserikali la So They Can limepongezwa kwa mchango wao wa kufanya maendeleo hapa nchini hasa katika sekta ya elimu Na Marino Kawishe Naibu waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi na mbunge wa jimbo la Babati Vijijini…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
 Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
 Airing spot adverts.
 Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.