Recent posts
8 January 2026, 7:39 pm
Khambay aahidi kukuza elimu Babati Mji
Mbunge wa jimbo la Babati Mjini Mhe Emmanuel Khambay amehaidi kusaidia wananchi wa jimbo hilo kupata Kituo cha kudurufu mitihani ya majaribio kwa wanafunzi wanaosoma sekondari ili kupandisha ufaulu wao kwa shule za serikali zilizopo jimboni kwake. Na Marino Kawishe Akizungumza…
8 January 2026, 7:26 pm
Sendiga: Tumieni fursa za kibiashara kujikwamua kiuchumi
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga ametoa wito kwa wafanyabiashara wa mkoa huo kutumia fursa za kibiashara zinazojitokeza ndani na nje ya mkoa huo. Na Mzidalfa Zaid Sendiga ametoa wito huo wakati alipokuwa kwenye maonesho ya 12 ya kimataifa…
8 January 2026, 6:02 pm
Zimamoto Manyara wapokea vitendea kazi
Jeshi la zima moto na uokoaji mkoa wa Manyara limekabidhiwa vifaa vya kutendea kazi kwa ajili ya maokozi kunapotokea majanga mbalimbali ili jeshi hilo lifanye kazi kwa ufasaha na kwa wakati. Na Mzidalfa Zaid Vifaa hivyo vimekabidhiwa na Naibu Kamishna…
8 January 2026, 3:59 pm
Madereva waonywa kuendesha kwa mwendo kasi Manyara
Madereva wa vyombo vya moto mkoani Manyara wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari wanapokuwa katika barabara kuu zote kwa kufuata alama za usalama barabarani ikiwemo kupunguza mwendo kasi ili kuepukana na ajali zisizotarajiwa. Wito huo umetolewa na Afisa wa jeshi la Polisi…
7 January 2026, 5:17 pm
Serikali kuwabana wazazi wasiotimiza wajibu wao
Mkuu wa mkoa wa Manyara  Queen Sendiga, amewataka wazazi na walezi mkoani Manyara  kuhakikisha wanawapeleka watoto shule mwanzoni mwa mwaka  huu wa masomo nakusema wazazi wanapaswa kutoa ushirikiano kwa walimu kuhusu utoaji wa chakula mashuleni. Na Emmy Peter Sendiga ameyasema  hayo…
7 January 2026, 4:48 pm
Serikali Manyara yawataka wananchi kutovamia maeneo ya wazi
Serikali mkoani Manyara imewataka wananachi mkoani Manyara  kutovamia maeneo yaliyotengwa na serikali kwa ajili ya shughuli maalum ili kuepuka migogoro ambayo imekuwa ikitokea. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Kamishna wa ardhi mkoa wa Manyara Wensilaus Mtui wakati…
7 January 2026, 4:30 pm
Khambay awashukuru wananchi kata kwa kata
Mbunge wa jimbo la Babati Mjini Mhe Emmanuel Khambay ameanza ziara ya Kata kwa kata kuwashukuru wananchi wa Jimbo hilo kwa kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi. Na Marino Kawishe Akizungumza na wananchi wa Kata ya Singe…
6 January 2026, 5:37 pm
Serikali kuweka mazingira rafiki ya elimu
Mkuu wa mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amesema serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo pamoja na wananchi ili kuboresha mazingira ya elimu nchini, kwa lengo la kuhakikisha watoto wote wanapata elimu bora, salama na yenye viwango vinavyokubalika. Na Emmy…
5 January 2026, 5:28 pm
TMA Manyara yatoa mwelekeo wa mvua mwezi Januari
Wananchi mkoani Manyara  wameshauriwa  kuendelea kufuatilia  ushauri unaotolewa na Mamlaka hiyo ili kuwasaidia katika shughuli zao. Na Mzidalfa Zaid Meneja wa Mamlaka ya Hali ya Hewa mkoa wa Manyara Salma Amour ameyasema hayo leo wakati akiongea na FM Manyara, amesema…
5 January 2026, 5:09 pm
Wananchi Babati watakiwa kuchukua tahadhari kipindi cha mvua
Wananchi wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuchukua taadhari  katika  kipindi hiki ambacho mvua zinaendelea kunyesha ili kuepuka madhara yanayoweza  kutokea kutokana na mvua. Na Mzidalfa Zaid Taadhari  hiyo imetolewa  leo na Mkuu wa jeshi la zima moto na uokoaji wilaya…