On air
Play internet radio

Recent posts

8 January 2026, 7:39 pm

Khambay aahidi kukuza elimu Babati Mji

Mbunge wa jimbo la Babati Mjini Mhe Emmanuel Khambay amehaidi kusaidia wananchi wa jimbo hilo kupata Kituo cha kudurufu mitihani ya majaribio kwa wanafunzi wanaosoma sekondari ili kupandisha ufaulu wao kwa shule za serikali zilizopo jimboni kwake. Na Marino Kawishe Akizungumza…

8 January 2026, 7:26 pm

Sendiga: Tumieni fursa za kibiashara kujikwamua kiuchumi

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga ametoa wito kwa wafanyabiashara wa mkoa huo kutumia fursa za kibiashara zinazojitokeza ndani na nje ya mkoa huo. Na Mzidalfa Zaid Sendiga ametoa wito huo wakati alipokuwa kwenye maonesho ya 12 ya kimataifa…

8 January 2026, 6:02 pm

Zimamoto Manyara wapokea vitendea kazi

Jeshi la zima moto na uokoaji mkoa wa Manyara limekabidhiwa vifaa vya kutendea kazi kwa ajili ya maokozi kunapotokea majanga mbalimbali ili jeshi hilo lifanye kazi kwa ufasaha na kwa wakati. Na Mzidalfa Zaid Vifaa hivyo vimekabidhiwa na Naibu Kamishna…

8 January 2026, 3:59 pm

Madereva waonywa kuendesha kwa mwendo kasi Manyara

Madereva wa vyombo vya moto mkoani Manyara wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari  wanapokuwa katika barabara kuu zote kwa kufuata alama za usalama  barabarani ikiwemo kupunguza mwendo kasi ili kuepukana na ajali zisizotarajiwa. Wito huo umetolewa na Afisa wa jeshi la Polisi…

7 January 2026, 5:17 pm

Serikali kuwabana wazazi wasiotimiza wajibu wao

Mkuu wa mkoa wa Manyara  Queen Sendiga, amewataka wazazi na walezi mkoani Manyara  kuhakikisha wanawapeleka watoto shule mwanzoni mwa mwaka  huu wa masomo  nakusema  wazazi wanapaswa kutoa  ushirikiano  kwa walimu  kuhusu utoaji wa chakula mashuleni. Na Emmy Peter Sendiga ameyasema   hayo…

7 January 2026, 4:48 pm

Serikali Manyara yawataka wananchi kutovamia maeneo ya wazi

Serikali mkoani Manyara imewataka wananachi mkoani Manyara  kutovamia maeneo yaliyotengwa na serikali kwa ajili ya shughuli maalum ili kuepuka migogoro ambayo imekuwa ikitokea. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Kamishna wa ardhi mkoa wa Manyara Wensilaus Mtui wakati…

7 January 2026, 4:30 pm

Khambay awashukuru wananchi kata kwa kata

Mbunge wa jimbo la Babati Mjini Mhe Emmanuel Khambay ameanza ziara ya Kata kwa kata kuwashukuru wananchi wa Jimbo hilo kwa kumchagua kuwa Mbunge pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi. Na Marino Kawishe Akizungumza na wananchi wa Kata ya Singe…

6 January 2026, 5:37 pm

Serikali kuweka mazingira rafiki ya elimu

Mkuu wa mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amesema serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo pamoja na wananchi ili kuboresha mazingira ya elimu nchini, kwa lengo la kuhakikisha watoto wote wanapata elimu bora, salama na yenye viwango vinavyokubalika. Na Emmy…

5 January 2026, 5:28 pm

TMA Manyara yatoa mwelekeo wa mvua mwezi Januari

Wananchi  mkoani Manyara  wameshauriwa  kuendelea kufuatilia  ushauri unaotolewa na Mamlaka hiyo ili kuwasaidia katika shughuli zao. Na Mzidalfa Zaid Meneja wa Mamlaka ya Hali ya Hewa mkoa wa Manyara Salma Amour ameyasema hayo leo wakati akiongea na FM Manyara, amesema…

5 January 2026, 5:09 pm

Wananchi Babati watakiwa kuchukua tahadhari kipindi cha mvua

Wananchi wilayani Babati  mkoani Manyara wametakiwa kuchukua taadhari  katika  kipindi hiki ambacho mvua zinaendelea kunyesha ili kuepuka madhara yanayoweza  kutokea kutokana na mvua. Na Mzidalfa Zaid Taadhari  hiyo imetolewa  leo na Mkuu wa jeshi la zima moto na uokoaji wilaya…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.