Recent posts
29 January 2026, 5:49 pm
RC Sendiga atoa elimu ya bima ya afya kwa wote kaya kwa kaya
Mkuu wa mkoa wa Manyara, Mhe.Queen Cuthbert Sendiga akiwa na wataalamu wa Idara ya Afya ametembelea maeneo mbalimbali ya Mji wa Babati kwa ajili ya kutoa elimu na hamasa kwa wananchi Kujiunga na Bima ya Afya kwa wote. Na Mzidalfa…
29 January 2026, 5:03 pm
Maafisa usafirishaji Babati watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani
Maafisa usafirishaji maarufu bodaboda pamoja na madereva wengine wa vyombo vya moto wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani ili watumiaji wengine wa barabara waendelee kubaki salama. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa  na mkuu wa kikosi…
29 January 2026, 4:23 pm
RC Sendiga acharuka, azikataa takwimu na kutoa maagizo mapya
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga, amepinga takwimu ya asilimia 93 ya upatikanaji wa huduma za dawa mkoani Manyara , akisema si ya kweli kutokana na wingi wa malalamiko ya wananchi, huku akizielekeza halmashauri zote za mkoa huo kuhakikisha zinafikisha elimu…
26 January 2026, 10:31 pm
Mamia wanufaika na kambi ya madaktari bingwa Manyara
Mamia ya wananchi wamejitokeza kupata huduma ya mifupa,pua sikio,koo na macho katika hospital ya rufaa ya mkoa wa Manyara . Na Mzidalfa Zaid Hatua hii imekuja baada ya Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na hospital ya…
22 January 2026, 7:10 pm
Kambi ya madaktari bingwa kuanza Januari 26 Manyara
Wizara ya afya chini ya Hospital ya Rufaa ya mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na hospital ya rufaa Kanda ya Mbeya pamoja na shirika la KCCO wameandaa kambi ya madaktari bingwa maalumu wa mifupa ,pua, sikio,koo na macho itakayofanyika mkoani…
22 January 2026, 7:04 pm
Babati watakiwa kutoa taarifa wanapovamiwa na wanyamapori
Kufuatia kuwepo kwa changamoto ya wanyama kuvamia makazi ya watu na kuharibu mazao pamoja na kujeruhi binadamu katika halmashauri ya ya wilaya ya Babati, wito umetolewa kwa wanchi kutoa taarifa kunapotokea changamoto hiyo ili mamlaka husika ichukue hatua za haraka.…
21 January 2026, 5:29 pm
RC Sendiga azindua namba ya huduma kwa mteja Manyara
Mkuu  wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga amezindua namba ya bure ya huduma kwa mteja ambayo itatumika kupokelea  changamoto na kero au malalamiko ya wananchi wote wa mkoa wa Manyara. Na Mzidalfa Zaid Sendiga amezindua namba hiyo ambayo ni 0800787722 na…
20 January 2026, 5:12 pm
Manyara watakiwa kuwatumia mawakili wenye weledi
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutumia mawakili na wanasheria wenye weledi katika utatuzi wa kesi mbalimbali ili changamoto zao zitatuliwe kwa wakati. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga, ameyasema hayo leo wakati akizindua kamati ya ushauri wa…
19 January 2026, 4:50 pm
Kamati ya ushauri wa kisheria Manyara kutoa msaada wa kisheria bure
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika uzinduzi wa kamati ya ushauri wa kisheria ngazi ya mkoa na wilaya na kliniki ya Sheria bila malipo itakayofanyika wilayani hanang mkoani Manyara. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na Leo na…
16 January 2026, 9:03 pm
RC Sendiga awataka wazazi kuwapeleka shule wanafunzi ambao hawajaripoti shule
Mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga amewataka wazazi na walezi mkoani Manyara kuhakikisha wanawapeleka shule watoto ambao wanatakiwa kwenda shule kwakuwa  bado wapo wanafunzi ambao  hawajaripoti. Na Mzidalfa Zaid Amesema hayo leo wakati akiongea na waandishi wa habari ofisni…