Offline
Play internet radio

Recent posts

17 December 2025, 4:57 pm

RC Sendiga awataka wananchi Mbulu kutunza chakula

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen sendiga Amewataka wananchi wa Mkoa wa Manyara kuhifadhi chakula ili kuondokana na bar la njaa wakati wa Mabadiliko ya tabia ya Nchi. Na Emmy Peter Sendiga  ameyasema hayo wakati wa ziara yake wilaya ya…

16 December 2025, 8:15 pm

Wafanyabiashara  Manyara washauriwa kuwa na mpango mkakati

Wafanyabiashara mkoani  Manyara wametakiwa kuzingatia vigezo, sheria na matakwa yote ya kibiashara  ili kuepuka kupata adhabu mbalimbali ambazo wanawaweza kuzipata na kupelekea kushuka kibiashara. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Meneja wa Chemba ya Taifa ya biashara (TNCC)…

16 December 2025, 5:47 pm

RC Sendiga azindua klinik ya madaktari bingwa Mbulu

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga  amezindua clinik ya madaktari bingwa ya magonjwa ya binadamu  katika halmashauri ya mji  Mbulu ili kuwasaidia  wananchi kupunguza  kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya za kibingwa Na Emmy Peter Sendiga  amezindua kliniki…

15 December 2025, 4:46 pm

Wananchi Manyara fuatilieni taarifa za hali ya hewa-TMA

Wananchi mkoani Manyara wameshauriwa  kufuatilia taarifa zinazotolewa na Mamlaka ya hali ya hewa nchini (TMA)pamoja na kuwasiliana na maafisa ugani wa maeneo yao ili wajue mbegu zinazofaa kupanda na kulima kwa kuhifadhi maji wakati huu wa msimu wa mvua chache…

15 December 2025, 4:15 pm

Wafanyabiashara Manyara watakiwa kuwa waaminifu msimu wa sikukuu

Katika msimu huu wa sikukuu, wafanyabiashara mkoani Manyara wametakiwa kuwa waaminifu kwa kutumia vipimo sahihi na kuacha kutumia vipimo batili ili muuzaji na mnunuzi wote wapate haki sawa. Na Mzidalfa Zaid Hayo yameelezwa leo na Meneja wakala wa vipimo mkoa…

13 December 2025, 11:27 am

ACP Mwakabonga  afanya ukaguzi mabasi  ya usiku Manyara

Madereva  kote nchini wametakiwa kuacha tabia ya kuendesha vyombo vya Moto pindi wanapotumia vilevi kwakua itasaidia kupunguza ajali  za barabarani msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka. Na Emmy Peter Kamishina msaidizi wa Polisi (ACP) Joseph Mwakabonga  kutoka kikosi cha usalama…

12 December 2025, 10:31 pm

RC Sendiga aamuru bar kufungwa kwa kutiririsha majitaka

Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amefanya ziara ya kushtukiza kwenye Bar ya Barazani inayotiririsha maji machafu aina ya kinyesi cha binadamu na kumwamuru mkuu wa wilaya ya Babati na OCD kuifunga Bar hiyo mpaka mmiliki wake atakapojisalimisha mwenyewe…

12 December 2025, 5:11 pm

EWURA  yawataka Wananchi kutumia nishati safi ya kupikia

Wananchi mkoani Mayara na kanda ya kaskazini kwa ujumla wametakiwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kulinda mazingira kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi hapa nchini. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti…

8 December 2025, 5:11 pm

Magari ya shule yakaguliwa Manyara

Wamiliki wa magari ya shule mkoani  Manyara wametakiwa  kusimamia magari ya kubeba wanafunzi  na kuhakikisha magari hayo ni mazima ili kuondokana na ajali zinazo sababishwa na magari mabovu. Mkuu wa kikosi cha usalama bara barani mkoa wa Manyara Michael Mwakasungula,…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.