Recent posts
May 3, 2024, 6:45 am
CCM yashindwa kusimamia miundombinu ya stendi ya Noah Babati mji
Licha ya juhudi za wafanyabiashara mbali mbali wakiwemo mama lishe wanaofanya biashara zao katika stendi ya Noah iliyopo Babati mji kuomba uwongozi wa Chama cha Mapinduzi Ccm Babati mji kuboresha mazingira ya eneo hilo linalotuama maji machafu nakuhatarisha afya zao…
May 1, 2024, 10:25 am
Matokeo ya Sensa yasaidia kukuza uchumi
Viongozi wa serikali, watendaji, makundi maalum na viongozi wa kimila na siasa mkoa wa Manyara watakiwa kuyatumia matokeo ya sensa ya watu na makazi katika fursa mbali mbali za kiuchumi na biashara Na George Augustino Kamisaa wa sensa ya watu…
April 25, 2024, 10:29 pm
Manyara yaadhimisha Muungano kwa kuliombea Taifa
Maadhimisho ya Muungano yafanyika mkoani Manyara kwa dua maalumu na kukemea vitendo vya ukatili vinavyoendelea kushamiri kwa watoto na kinamama. Na George Agustino Mkoa wa Manyara leo umeadhimisha maadhimisho ya miaka 60 ya muungano wa Tanganyika na zanzibar kwa kufanya…
April 25, 2024, 9:25 pm
Tundu Lisu kuunguruma Manyara
Chadema kufanya maandamano ya amani mkoani Manyara Tarehe 26/04/2024 ,kwa lengo la kuishinikiza Serekali kupunguza ukali wa maisha kwa watanzania pamoja na kuwapatia katiba mpya, Na George Agustino Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kesho kinatarajia kufanya maandamano ya amani katika mkoa…
April 24, 2024, 12:29 pm
Takukuru Manyara yaokoa zaidi ya shilingi 44m
Katika kipindi cha kuanzia mwezi March hadi April 2024 kiasi cha shilling Millioni arobaini na nne zimeokolewa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru kutoka wilaya ya kiteto, mbulu na ofisi ya mkoa Na George Agustino Taasisi ya…
April 21, 2024, 12:31 am
Kamanda Katabazi ashiriki swala ya kuliombea taifa Manyara
Kamanda wa polisi mkoani Manyara Geogre Katabazi amechangia shillingi milioni moja ya ununuzi wa eneo la jengo la msikiti na kuwaomba viongozi wa dini kuendelea kukemea vitendo viovu na kuliombea taifa. Jeshi la polisi mkoa wa Manyara limewaomba viongozi wa…
April 21, 2024, 12:01 am
Manyara kutoa chanjo saratani ya mlango wa kizazi kwa mabinti
Serikali imeanza kampeni ya chanjo ya mlango wa kizazi kwa mabinti kuanzia umri wa miaka 9 hadi 14 itakayotolewa katika shule za msingi na sekondari pamoja na vyuo ili kuwaepusha na saratani ya mlango wa kizazi. Na Hawa Rashid Zaidi…
April 18, 2024, 12:05 pm
Zimamoto yatoa tahadhari ya mvua Manyara
kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kuleta madhara katika maeneo mengi nchini wananchi wanaoishi mabondeni wametakiwa kuhama Na Emmy peter Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kuendelea kuchukua Tahadhari kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha nchini kwa baadhi ya maeneo ambapo barabara na…
April 18, 2024, 11:44 am
Mitandao ya kijamii yachangia mmomonyoko wa maadili
Sababu ya kuongezeka kwa mmomonyoko wa maadili kwa watoto yatajwa wazazi ndio sababu kubwa kwa kuwaachia simu za mkononi watoto wao. Na George Augustino Jamii mkoani Manyara imetakiwa kuwalea watoto wao katika misingi imara na yenye maadili ya kitanzania kwa…
April 15, 2024, 11:14 pm
Gekul ashinda rufani
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Manyara yatupilia mbali shauri la rufani yajinai dhidi ya Hashimu Ally na Pauline Gekul Na George Agustino Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Manyara imetupilia mbali shauri la rufani yajinai namba 577 la mwaka…