Recent posts
1 April 2026, 18:43
Wanawake Manyara washauriwa kulima kilimo ikolojia
Wanawake mkoani manyara wametakiwa kulima kilimo cha ikolojia ambacho hakitumia gharama kubwa ili kumuinua mwanamke kiuchumi na kuepelekea kufanya shuguli zake kwa urahisi. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na mratibu wa vituo vya taarifa na maarifa mkoa wa Manyara…
31 March 2026, 13:31
Usawa wa kijinsia umetekelezwa ipasavyo au bado kuna ukandamizaji?
Katika miaka ya hivi karibuni, suala la usawa wa kijinsia limeendelea kupewa kipaumbele katika jamii nyingi Duniani, ikiwemo Tanzania. Na Mzidalfa Zaid Makala yetu imezungumza na wanawake, wanaume, mganga mkuu wa mkoa wa Manyara ,mkaguzi wa jeshi ka zima moto…
26 March 2026, 22:36
Kambi ya afya yazinduliwa Babati
Kambi ya Afya ya matibabu ya siku sita imezinduliwa Rasmi leo kwenye Shule ya Msingi Oim Iliyopo katika kata ya Galapo Wilayani Babati mkoani Manyara iliyoandaliwa na Shirika la So They Can Tanzania. Na Mwandishi Wetu Akizungumza na Fm Manyara…
23 March 2026, 16:02
Manyara kutumia taarifa za hali ya hewa kutunza mazingira
Leo ikiwa ni Siku ya Hali ya Hewa Duniani, wananchi mkoani Manyara wametakiwa kuzingatia ushauri unaotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) pamoja na kufuatilia utabiri unaotolewa. Na Mzidalfa Zaid Akiongea na FM Manyara mtabiri wa hali ya…
21 March 2026, 20:54
Wenye mahitaji maalum Babati wapata viti mwendo
Taasisi ya Chem Chem na Chair The Love kutoka nchini Marekani kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Babati wamekabidhi viti mwendo zaidi ya 148 kwa wananchi wenye mahitaji maalum kutoka maeneo mbalimbali ya halmashauri hiyo. Na Mwandishi Wetu Akizungumza…
19 March 2026, 17:18
Manyara wafanyiwa uchunguzi wa afya ya kinywa na meno
Zadi ya wananchi 5000 katika Mkoa wa Manyara wamefanyiwa uchunguzi wa afya ya kinywa na meno ambapo kati yao 318 wamepatiwa matibabu ya kuzibwa meno, 191 wamesafishwa, zaidi ya 500 wamen’golewa meno, 14 wamefanyiwa upasuaji mdogo, 3 upasuaji mkubwa na…
19 March 2026, 16:58
Vijana Manyara wahimizwa kujiajiri
Vijana mkoani Manyara wamehimizwa kutoa fikra za kuajiriwa na kuweka mawazo yao katika kujiajiri ili kuweza kurithisha vizazi vyao katika biashara zao. Na Diana Dionis Hayo yamesemwa na Afisa biashara mkoani Manyara Ally Salehe Mokiwa katika uzinduzi wa Mgendi MinSupermarket yenye Biashara…
19 March 2026, 16:37
TAKUKURU Manyara yatoa msaada kwa wenye uhitaji na kufuturisha
Picha ya mkuu wa TAKUKURU akikabidhi zwadi za eid kwa watoto wenye uhitaji Jamii Mkoani Manyara, imetakiwa kuendelea kudumisha matendo mema baada ya mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani na mfungo wa kwaresma kama wanavyo fanya katika kipindi hiki. Na…
13 March 2026, 21:05
Vijiji 21 Mbulu kunufaika na mradi wa maji Dambia-Haydom
Na George Augustino Kamati ya kudumu ya Bunge ya maji na mazingira leo imefanya ziara katika Mkoa wa Manyara na kukagua maendeleo ya mradi wa tangi la maji lililopo kata ya Bashay, wilaya ya Mbulu lenye uwezo wa lita millioni…
10 March 2026, 16:58
Matibabu kinywa na meno kutolewa bure Manyara
Mkoa  wa  Manyara unatarajia  kuwa mwenyeji wa maadhimisho  ya wiki ya afya ya kinywa na meno duniani, ambapo maadhimisho hayo yataadhimishwa kwa kutoa matibabu ya bila malipo ya kinywa na meno kwa wananchi kuanzia  march 14 hadi march 18 mwaka…