Recent posts
10/03/2026, 16:58
Matibabu kinywa na meno kutolewa bure Manyara
Mkoa  wa  Manyara unatarajia  kuwa mwenyeji wa maadhimisho  ya wiki ya afya ya kinywa na meno duniani, ambapo maadhimisho hayo yataadhimishwa kwa kutoa matibabu ya bila malipo ya kinywa na meno kwa wananchi kuanzia  march 14 hadi march 18 mwaka…
09/03/2026, 21:49
Kc-Mamire yaadhimisha siku ya wanawake duniani.
Na Marino Kawishe Kituo cha taarifa na maarifa kilichopo Kata ya Mamire Wilayani Babati Mkoani Manyara chini ya Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP leo kimeadhimisha siku ya wanawake duniani kwakutoa vitu mbali mbali kwa wanafunzi zaidi ya Ishirini na tano wanaosoma…
05/03/2026, 18:03
Wananchi Manyara watakiwa kuchukua taadhari dhidi ya covid 19
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kuchukua taadhari ya magonjwa ya mlipuko ikiwemo ugonjwa wa covid 19 ambao uliripotiwa hivi karibuni katika baadhi ya maeneo hapa nchini. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na Mganga mkuu wa mkoa wa Manyara Andrew method…
05/03/2026, 17:46
Halmashauri ya mji wa Babati yapanda miti kuelekea siku ya wanawake duniani
Katika kuelekea siku ya wanawake Duniani ,Wanawake wa halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara wamepanda miti katika kituo Cha afya Sigino ili kuendelea kutunza mazingira. Na Mzidalfa Zaid Afisa maendeleo ambae pia ni mratibu wa dawati la mtambuka kutoka…
04/03/2026, 16:47
TAKUKURU Manyara yarejesha shilingi milioni 15 halmashauri ya Kiteto
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Manyara imefanikiwa kurejesha Shilingi milioni 15 za mapato ya Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto yaliyokuwa hayajawasilishwa benki. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza mbele ya waandishi wa habari ofisini kwake, kamanda wa…
04/03/2026, 16:33
RC Sendiga akabidhi vyombo vya utoaji huduma ya maji ngazi ya jamii
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amekabidhi Vyombo vya utoaji huduma ya maji ngazi ya jamii (SBWSO) vitakavyosaidia kurahishisha kufikisha huduma ya maji vijijini. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza baada ya kukabidhi vyombo hivyo , Sendiga amesema ni jitihada za…
03/03/2026, 21:10
Babati DC yafanya kongamano la wanawake kuelekea siku ya wanawake
Halmashauri ya wilaya ya Babati imefanya kongamano la Wanawake katika shule ya msingi Vilima vitatu lenye lengo la kujadiliana kuhusu masuala ya haki za wanawake na wasichana kuelekea siku ya wanawake. Na Marino Kawishe Akizungumza baada yakukamilika kwa kongamano hilo…
02/03/2026, 19:38
Babati Dc yazindua maadhimisho siku ya wanawake Duniani
Na Marino Kawishe Halmashauri ya wilaya ya Babati mkoani Manyara imezindua maadhimisho ya siku ya wanawake ambayo kiwilaya yatafanyika March 6 mwaka huu kwa kutembelea kituo cha kulea wazee kilichopo katika kijiji cha Saramee kata ya magugu na kupanda miti…
28/02/2026, 18:32
Wahitimu ECLEA watakiwa kumtumikia Mungu
Wahitimu 13 wa elimu ya ngazi ya juu katika Chuo Cha East Africa Theological bible institute (ECLEA) kinachopatikana wilayani Babati mkoani Manyara wamehitimu mafunzo yao katika Chuo hicho wakiwa wamendaliwa kumtumikia Mungu katika jamii. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza katika mahafali…
26/02/2026, 18:06
Waziri Mkuu aagiza Takukuru kufuatilia matumizi ya fedha Manyara
Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dokta Mwigulu Nchemba amemuagiza Mkuu wa Takukuru mkoa wa Manyara kufuatilia fedha zilizotumika katika ujenzi wa jengo la halmashauri ya wilaya ya kiteto na ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo kabla ya…