Offline
Play internet radio

Recent posts

May 3, 2024, 6:45 am

CCM yashindwa kusimamia miundombinu ya stendi ya Noah Babati mji

Licha ya juhudi za wafanyabiashara mbali mbali wakiwemo mama lishe wanaofanya biashara zao katika stendi ya Noah iliyopo Babati mji kuomba uwongozi wa Chama cha Mapinduzi Ccm Babati mji kuboresha  mazingira  ya eneo hilo linalotuama maji machafu nakuhatarisha afya zao…

May 1, 2024, 10:25 am

Matokeo ya Sensa yasaidia kukuza uchumi

Viongozi wa serikali, watendaji, makundi maalum na viongozi wa kimila na siasa mkoa wa Manyara watakiwa kuyatumia matokeo ya sensa ya watu na makazi katika fursa mbali mbali za kiuchumi na biashara Na George Augustino Kamisaa wa sensa ya watu…

April 25, 2024, 10:29 pm

Manyara yaadhimisha Muungano kwa kuliombea Taifa

Maadhimisho ya Muungano yafanyika mkoani Manyara kwa dua maalumu na kukemea vitendo vya ukatili vinavyoendelea kushamiri kwa watoto na kinamama. Na George Agustino Mkoa wa Manyara leo umeadhimisha maadhimisho ya miaka 60 ya  muungano wa Tanganyika na zanzibar kwa kufanya…

April 25, 2024, 9:25 pm

Tundu Lisu kuunguruma Manyara

Chadema kufanya maandamano ya amani mkoani Manyara Tarehe 26/04/2024 ,kwa  lengo la kuishinikiza Serekali kupunguza ukali wa maisha kwa watanzania pamoja na kuwapatia katiba mpya, Na George Agustino Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kesho kinatarajia kufanya maandamano ya amani katika mkoa…

April 24, 2024, 12:29 pm

Takukuru Manyara yaokoa zaidi ya shilingi 44m

Katika kipindi cha  kuanzia mwezi March hadi April 2024  kiasi cha shilling Millioni arobaini na nne zimeokolewa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru kutoka wilaya ya kiteto, mbulu na ofisi ya mkoa Na George Agustino Taasisi ya…

April 21, 2024, 12:31 am

Kamanda Katabazi  ashiriki swala ya kuliombea taifa Manyara

Kamanda wa polisi mkoani Manyara Geogre Katabazi amechangia shillingi milioni moja ya ununuzi wa eneo la  jengo la msikiti na kuwaomba viongozi wa dini kuendelea kukemea vitendo viovu na kuliombea taifa. Jeshi la polisi mkoa wa Manyara limewaomba viongozi wa…

April 21, 2024, 12:01 am

 Manyara kutoa chanjo saratani ya mlango wa kizazi kwa mabinti

Serikali  imeanza kampeni ya chanjo ya mlango wa kizazi  kwa mabinti kuanzia umri wa miaka 9 hadi 14 itakayotolewa katika shule za msingi na sekondari pamoja na vyuo ili kuwaepusha   na saratani ya mlango wa kizazi. Na Hawa Rashid Zaidi…

April 18, 2024, 12:05 pm

Zimamoto yatoa tahadhari ya mvua Manyara

kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kuleta madhara katika maeneo mengi nchini wananchi wanaoishi mabondeni wametakiwa kuhama Na Emmy peter Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kuendelea kuchukua Tahadhari kutokana na mvua  zinazoendelea kunyesha nchini kwa baadhi ya maeneo ambapo  barabara na…

April 18, 2024, 11:44 am

Mitandao ya kijamii yachangia mmomonyoko wa maadili

Sababu ya kuongezeka kwa mmomonyoko wa maadili kwa watoto yatajwa wazazi ndio sababu kubwa kwa kuwaachia simu za mkononi watoto wao. Na George Augustino Jamii mkoani Manyara imetakiwa kuwalea watoto wao katika misingi imara na yenye maadili  ya kitanzania kwa…

April 15, 2024, 11:14 pm

Gekul ashinda rufani

Mahakama kuu ya Tanzania  kanda ya Manyara yatupilia mbali shauri la rufani yajinai dhidi ya Hashimu Ally na Pauline  Gekul Na George Agustino Mahakama kuu ya Tanzania  kanda ya Manyara imetupilia mbali shauri la rufani yajinai namba 577 la mwaka…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
 Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
 Airing spot adverts.
 Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.