Recent posts
18 December 2025, 4:56 pm
NIDA yawataka Wananchi Manyara kusahihisha taarifa zao
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kufika katika ofisi za Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA) ili kufanya mabadiliko na kusahihisha taarifa zao za awali ambazo sio sahihi katika Vitambulisho vyao vya taifa NIDA. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na…
17 December 2025, 4:57 pm
RC Sendiga awataka wananchi Mbulu kutunza chakula
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen sendiga Amewataka wananchi wa Mkoa wa Manyara kuhifadhi chakula ili kuondokana na bar la njaa wakati wa Mabadiliko ya tabia ya Nchi. Na Emmy Peter Sendiga ameyasema hayo wakati wa ziara yake wilaya ya…
16 December 2025, 8:15 pm
Wafanyabiashara  Manyara washauriwa kuwa na mpango mkakati
Wafanyabiashara mkoani Manyara wametakiwa kuzingatia vigezo, sheria na matakwa yote ya kibiashara ili kuepuka kupata adhabu mbalimbali ambazo wanawaweza kuzipata na kupelekea kushuka kibiashara. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Meneja wa Chemba ya Taifa ya biashara (TNCC)…
16 December 2025, 5:47 pm
RC Sendiga azindua klinik ya madaktari bingwa Mbulu
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga  amezindua clinik ya madaktari bingwa ya magonjwa ya binadamu katika halmashauri ya mji  Mbulu ili kuwasaidia  wananchi kupunguza  kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya za kibingwa Na Emmy Peter Sendiga amezindua kliniki…
15 December 2025, 4:46 pm
Wananchi Manyara fuatilieni taarifa za hali ya hewa-TMA
Wananchi mkoani Manyara wameshauriwa  kufuatilia taarifa zinazotolewa na Mamlaka ya hali ya hewa nchini (TMA)pamoja na kuwasiliana na maafisa ugani wa maeneo yao ili wajue mbegu zinazofaa kupanda na kulima kwa kuhifadhi maji wakati huu wa msimu wa mvua chache…
15 December 2025, 4:15 pm
Wafanyabiashara Manyara watakiwa kuwa waaminifu msimu wa sikukuu
Katika msimu huu wa sikukuu, wafanyabiashara mkoani Manyara wametakiwa kuwa waaminifu kwa kutumia vipimo sahihi na kuacha kutumia vipimo batili ili muuzaji na mnunuzi wote wapate haki sawa. Na Mzidalfa Zaid Hayo yameelezwa leo na Meneja wakala wa vipimo mkoa…
13 December 2025, 11:27 am
ACP Mwakabonga  afanya ukaguzi mabasi ya usiku Manyara
Madereva kote nchini wametakiwa kuacha tabia ya kuendesha vyombo vya Moto pindi wanapotumia vilevi kwakua itasaidia kupunguza ajali za barabarani msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka. Na Emmy Peter Kamishina msaidizi wa Polisi (ACP) Joseph Mwakabonga kutoka kikosi cha usalama…
12 December 2025, 10:31 pm
RC Sendiga aamuru bar kufungwa kwa kutiririsha majitaka
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amefanya ziara ya kushtukiza kwenye Bar ya Barazani inayotiririsha maji machafu aina ya kinyesi cha binadamu na kumwamuru mkuu wa wilaya ya Babati na OCD kuifunga Bar hiyo mpaka mmiliki wake atakapojisalimisha mwenyewe…
12 December 2025, 7:49 pm
TAKUKURU  Manyara yawataka wananchi kusherehekea  sikukuu kwa kukataa rushwa
Wakati wananchi wakiwa katika maandalizi ya sikuu za mwisho wa mwaka , Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Manyara, imewataka wananchi mkoani humo kuadhimisha sikukuu hizo kwa kukataa Rushwa. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na…
12 December 2025, 5:11 pm
EWURA Â yawataka Wananchi kutumia nishati safi ya kupikia
Wananchi mkoani Mayara na kanda ya kaskazini kwa ujumla wametakiwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kulinda mazingira kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi hapa nchini. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti…