FM Manyara

Recent posts

24 April 2026, 2:02 pm

DC Kaganda aamuru waliojenga eneo la mwekezaji kuhama

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Emmanuela Mtatikolo Kaganda amewataka Wananchi wa Vijiji vya Kiru, Masware na Marangi waliojenga makazi yao ndani ya eneo la muwekezaji kubomoa nyumba zao na kuacha eneo hilo likiwa wazi kwani eneo hilo sio lao…

24 April 2026, 1:02 pm

NSSF yashauri wananchi kujiunga mfuko wa hifadhi skimu

Mfuko wa Taifa wa hifadhi ya jamii (NSSF) mkoa wa Manyara imewashauri wananchi kujiunga na kuchangia (NSSF) kwa wale ambao wamejiajiri au sekta binafsi  kupitia mfuko hifadhi skimu yaani mpango maalum unaolenga kuwawezesha wananchi walioajiriwa kujiunga na kuchangai (NSSF)  kulingana…

23 April 2026, 10:08 pm

DC Hanang ahimiza matumizi ya nishati safi ya kupikia

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Almishi Issa Hazali ameunga mkono kwa vitendo agenda ya Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ya matumizi ya nishati safi kupikia, kwa kununua jiko la umeme lenye Presha (Electrical Pressure Cooker)…

22 April 2026, 5:47 pm

Tanesco Manyara yaendeleza matumizi ya nishati safi

Wiki ya nishati ikiwa naendelea  kuadhimishwa katika maeneo mbalimbai nchini, shirika la umemee tanzania tanesco mkoa wa manyara limeindelea na ugawaji wa majiko ya nishati safi ya umeme katika maeneo mbali mbali ya mji wa babati. Na Emmy Peter Afisa…

21 April 2026, 7:05 pm

Wataalam: Ugonjwa wa sikoseli si laana

 Jamii mkoani Manyara imetakiwa kuachana na imani potofu kuwa ugonjwa wa sikoseli unasababishwa kwa kulogwa au laana, bali ugonjwa huo unasababishwa na kurithi. Na Mzidalfa Zaid Hayo yameelezwa na mratibu wa sikoseli na Hemofilia kutoka Wizara ya Afya Dkt. Astera…

21 April 2026, 6:40 pm

Sekretarieti ya maadili yatoa mafunzo Manyara

Taasisi ya sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma imeendesha mafunzo kwa walimu walezi wa club za maadili, yenye lengo la kuzifahamu sheria za maadili, katika sekta ya umma pamoja na muongozo wa kufungua klabu za maadili katika shule za msingi…

18 April 2026, 5:39 pm

Babati TC yaipongeza Deira School kwa kuongoza ufaulu 2025

Mgeni rasmi wa hafla hiyo alikuwa ni Kaim afisa elimu mkoa wa Manyara ambae ni afisa elimu taaluma mkoa wa Manyara Allan Said, amezipongeza shule ambazo zimefanya vizuri ikiwemo shule hiyo ya Deira English medium school kwani kwa kukuza kiwango…

17 April 2026, 8:24 pm

Serikali Manyara yasitisha mnada wa uuzaji mali za umma

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara kupitia katibu Tawala msaidizi rasilimali Dominic Mbwete,  amesitisha mnada wa mali za umma zilizokuwa zimetangazwa kuuzwa katika  mnada kutokana na kuibuka sintofahamu kutoka kwa wafanyabiashara waliohudhuria kwa ajili ya  kununua mali hizo. Na…

17 April 2026, 12:25 am

Parokia mpya ya Mrara Jimbo Katoliki la Mbulu yazinduliwa

Mkuu wa wilaya ya Babati Mkoani Manyara Emanuela Kaganda amewaomba viongozi wa dini kuendelea  kuzuia mmomonyoko wa maadili katika jamii kwa mafundisho ya imani  pamoja na kuiombea nchi ya Tanzania ili amani na utulivu vizidi kutawala. Na George Augustino. Dc…

16 April 2026, 8:17 pm

Wanafunzi 104 wa shule ya wasichana Manyara wahitimu kidato cha sita

Wanafunzi 104 wa kidato Cha sita wa shule ya sekondari ya wasichana Manyara, wamehitimu Leo ambapo wanafunzi hao wameishukuru serikali kwa kufanikisha kufika hatua hiyo. Na Mzidalfa Zaid Akiongea kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Manyara,mkuu wa wilaya ya…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.