FM Manyara

Recent posts

April 18, 2024, 11:44 am

Mitandao ya kijamii yachangia mmomonyoko wa maadili

Sababu ya kuongezeka kwa mmomonyoko wa maadili kwa watoto yatajwa wazazi ndio sababu kubwa kwa kuwaachia simu za mkononi watoto wao. Na George Augustino Jamii mkoani Manyara imetakiwa kuwalea watoto wao katika misingi imara na yenye maadili  ya kitanzania kwa…

April 15, 2024, 11:14 pm

Gekul ashinda rufani

Mahakama kuu ya Tanzania  kanda ya Manyara yatupilia mbali shauri la rufani yajinai dhidi ya Hashimu Ally na Pauline  Gekul Na George Agustino Mahakama kuu ya Tanzania  kanda ya Manyara imetupilia mbali shauri la rufani yajinai namba 577 la mwaka…

April 11, 2024, 6:16 pm

Sendiga aitaka Babati mji kutafuta ufumbuzi wa taka

Halmashauri ya mji wa Babati yatakiwa kutafuta magari ya kuzolea taka. Na Angel Munuo Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga ameitaka Halmashauri ya mji wa Babati kuhakikisha wanatafuta ufumbuzi wa kupata magari ya kuzolea taka  wakati wakijipanga kupata gari…

April 9, 2024, 3:05 pm

Wananchi Manyara watakiwa kuchukua tahadhari ya mvua

Wananchi waishio mabondeni mkoani Manyara wametakiwa kuchuku tahadhari. Na George Agustino Wananchi mkoani Manyara wanaoishi katika maeneo ya mabonde na kwenye miteremko wametakiwa kuchukua tahadhari katika kipindi hiki cha mvua kubwa za masika zinazoendelea kunyesha kwa mwezi huu wa April…

April 9, 2024, 2:47 pm

 NHIF yaboreha kitita cha mafao

Jamii mkoani Manyara imetakiwa kujiunga na mfuko Taifa wa bima ya Afya. Na George Agustino Jamii mkoani Manyara imetakiwa kujiunga na mfuko wa Taifa wa bima ya afya NHIF ili kuepuka gharama kubwa za matibabu wanapokwenda kupata huduma za matibabu…

April 3, 2024, 5:05 pm

Mkoa wa Manyara wapaa mashindano Tajwid

Shekhe Kadidi aipongeza BAKWATA kwa kuuheshimisha mkoa wa Manyara Na mwandishi wetu Hawa Rashid Shekhe mkuu wa mkoa wa Manyara Mohamed Kadidi amelishukuru baraza kuu la wa Islam Tanzania BAKWATA  kwa kuuheshimisha mkoa wa Manyara katika mashindano yakusoma Quraan tukufu…

March 24, 2024, 4:29 pm

World Vision wazindua mradi wa maji Gidabagara

Wananchi wa kijiji cha Gidabagara waishukuru World Vision kwa kuwapatia huduma ya maji safi na salama Na Christina Christian Wananchi wa kijiji cha Gidabagara wilayani Babati mkoani Manyara wamelishukuru shirika la kimataifa la kikristo World Vision kwa kushirikiana na Halmashauri…

March 24, 2024, 1:34 pm

Mshauri (TCCIA ) Manyara kizimbani

Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Manyara ya muachia huru Mshauri wa Wafanyabiashara TCCIA Na Mzidzlifa zaid Mahakama ya Hakimu Mkazi Manyara imemhukumu  Ramadhani Rashid Msangi Mshauri wa Wafanyabiashara wa Chama cha wenye viwanda na kilimo Mkoa wa Manyara (Bussines…

March 22, 2024, 4:27 pm

Sakata la Gekul lapigwa kalenda

Mbunge wa Babati  mjini Pauline Gekul kusomewa hukumu ya rufaa ya jinai April 5, 2024 Na mwandishi wetu Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Manyara imepanga Aprili 15,2024 kusoma hukumu ya rufaa ya jinai iliyokatwa na Hashim Ally dhidi ya…

March 20, 2024, 5:27 pm

Wananchi  acheni kuwaficha wahalifu

Polisi Manyara yawataka wananchi  kuripoti matukio ya kihalifu katika mitaa yao. Na George Agustine Wananchi wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kutoa taarifa  katika kituo cha  polisi  kutokana na watu wanaofanya matukio ya kihalifu katika mitaa yao ili wachukuliwe  hatua za…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
 Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
 Airing spot adverts.
 Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.