FM Manyara

Recent posts

23 July 2026, 4:24 pm

Wananchi wahamasishwa kujiunga na chama cha msalaba mwekundu

Wananchi mkoani Manyara wamehimizwa kujiunga na Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (Tanzania Red Cross Society – TRCS) ili kunufaika na fursa mbalimbali zinazotolewa na chama hicho, ikiwemo mafunzo ya huduma ya kwanza, shughuli za kujitolea, pamoja na kushiriki katika utekelezaji…

21 July 2026, 5:04 pm

Wanariadha kuunga mkono Manyara Tanzanite Marathon

Wanariadha chipukizi mkoani Manyara pamoja na wanariadha wakongwe wanaoendelea kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya riadha, wameahidi kuunga mkono mbio za hisani za Manyara Tanzanite Marathon zenye kaulimbiu ya “Hatua Moja, Okoa Maisha ya Mtoto”, zinazotarajiwa kufanyika Agosti 22, 2026 katika…

21 July 2026, 4:41 pm

Wananchi Manyara wahimizwa kushiriki maonesho nane nane

Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kushiriki Maonesho ya 32 ya Nane Nane Kanda ya Kaskazini yanayotarajiwa kufanyika katika Viwanja vya Njiro, mkoani Arusha, ili kujionea teknolojia mbalimbali za kilimo na mifugo pamoja na fursa zinazopatikana katika sekta hizo. Na Mzidalfa Zaid…

20 July 2026, 4:49 pm

Watanzania wahimizwa kudumisha amani

Watanzania  wametakiwa kuendelea kudumisha amani, umoja na mshikamano,kwakua  ndiyo msingi wa maendeleo ya taifa pamoja na kuunga mkono juhudi za Serikali katika sekta ya elimu. Na Emmy Peter Mbunge wa Babati mjini ambae ni  Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri…

16 July 2026, 6:57 pm

Manyara kuja na mpango wa kuzuai ukeketaji

Mkoa wa wa Manyara unatarajia kuja na mkakati wakutomeza ukeketaji Tanzania ambao utafika kwenye halmashauri ya wilaya ya Mbulu iliyoshamiri zaidi kwa vitendo hivyo. Na Marino Kawishe Serikali mkoani Manyara imesema inaendelea kupambana na vitendo vya ukatili vilivyoshamiri kwenye baadhi…

16 July 2026, 6:19 pm

Wananchi Mbulu wahimizwa kutunza miundombinu ya maji

Serikali inaendelea kuwekeza katika miradi ya maji ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji kwa urahisi, hatua itakayowawezesha kutumia muda mwingi kufanya shughuli za kiuchumi. Na Benny Akaro kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru 2026, Wazo Mwang’onda ameshiriki zoezi…

15 July 2026, 10:56 pm

Daraja la Sigino-Komoto lafikiwa na mwenge wa uhuru

Mwenge wa uhuru umekagua na kuweka jiwe la msingi katika daraja la Sigino – Komoto linalounganisha kata ya sigino na kata ya Komoto halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara. Na Benny Akaro Mradi huo unaotekelezwa chini ya wakala wa…

15 July 2026, 10:30 pm

Vijana Manyara watakiwa kuepuka kutumikishwa

Vijana mkoani Manyara wametakiwa kuacha tabia ya kutopenda kufanya kazi  wakisubiri kupata mafanikio ya haraka. Na Marino Kawishe Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Empowercare Foundation yenye ofisi zake Uyole mkoaani  Mbeya Onesmo Mwihava amesema haliyo inasababisha…

14 July 2026, 11:38 pm

Zaidi ya wananchi  5,000 Endamaghay  wanufaika na mradi wa maji 

Zaidi ya wananchi 5,000 kutoka vijiji vitatu vilivyopo wilayani Babati mkoani Manyara, wamenufaika  na mradi wa maji  wa Endamaghay uliolenga kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama uliogharimu shilingi Bilion 1.9. Na Emmy Peter Mradi huo umezinduliwa na…

About FM Manyara

COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.

Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.

We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.

COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.

VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.

MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.