FM Manyara
FM Manyara
10 August 2026, 11:51 am
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji Kanda ya Kaskazini EWURA imewataka wananchi kuchangamkia fursa za uwekezaji kwakufungua vituo vya mafuta huku mamlaka hiyo ikiwahakikishia kuwa mamlaka inasimamia utoaji wa vibali na leseni za ujenzi na uendeshaji kwa…
9 August 2026, 1:59 pm
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga amewataka wananchi wa Mkoa wa Manyara na Watanzania kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kushiriki katika Mbio za Tanzanite Manyara Marathon zinazotarajiwa kufanyika Agosti 22, 2026, wilayani Babati, huku akieleza kuwa…
9 August 2026, 1:19 pm
Uwezeshaji wa wanawake kiuchumi umeendelea kuwa moja ya njia zinazotajwa katika kuimarisha uwezo wa wanawake kufanya maamuzi, kujitegemea na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya familia na jamii. Mzidalfa Zaid na Hawa Rashid Lakini je, kuwa na kipato na uwezo wa…
8 August 2026, 4:26 pm
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, ameipongeza FM Manyara Radio kwa mchango wake katika kuhabarisha na kuelimisha jamii kuhusu masuala mbalimbali ya maendeleo. Na Emmy Peter RC Sendiga ametoa pongezi hizo baada ya kutembelea banda la FM Manyara Radio…
7 August 2026, 6:20 pm
Mamlaka ya Bonde la Maji Pangani Kanda ya Kaskazini, inayohudumia mikoa yaArusha na Kilimanjaro, imetoa elimu kwa wananchi kuhusu majukumu ya mamlaka hiyo, pamoja na umuhimu wa kulinda na kuhifadhi vyanzo vya maji. Na Emmy Peter Elimu hiyo imetolewa katika…
6 August 2026, 12:36 am
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imeendelea kutoa elimu kwa Wakulima na Wananchi kuhusu umuhimu wa kutumia Bima za kilimo pamoja na Bima za Afya ili kujikinga na hasara zinazoweza kujitokeza kutokana na majanga mbalimbali. Na Emmy Peter Kauli…
5 August 2026, 11:25 pm
Kampuni ya PASS Leasing Limited inayotoa mikopo ya vifaa vya kilimo Imekabidhi Trekta aina Holland kwa mkulima kutoka Wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro lenye Thamani ya zaidi ya shilingi milion 70. Na Marino Kawishe Akikabidhi Trekta Hilo Mkuu wa Wilaya ya…
5 August 2026, 10:35 pm
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Babati mkoani Manyara Remideus Mwema amewataka Viongozi wakiwemo Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Babati kutokuwa sehemu ya migogoro ya maeneo yao ya kiutawala badala yake wawe wasuluhishi wa migogoro hiyo. Na George Augustino Kauli…
5 August 2026, 10:05 pm
Wafanyakazi wa Benki ya NMB tawi la Babati mkoani Manyara wamepata elimu kuhusu matumizi ya nishati safi ya umeme ya kupikia, huku wakihimizwa kutumia teknolojia hiyo kwa manufaa ya afya, mazingira na uchumi. Na Mzidalfa Zaid Elimu hiyo, iliyotolewa na…
1 August 2026, 11:53 pm
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kaskazini imeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa matumizi ya nishati safi ya kupikia, ikiwa ni sehemu ya jitihada za serikali kulinda afya za wananchi na mazingira.…
COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.
Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.
We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.
COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.
VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.
MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.