Recent posts
31 July 2026, 7:40 pm
Askari wa uhifadhi waaswa kuendelea kulinda rasilimali za Taifa.
Tanzania imeungana na Mataifa mengine Dunia Kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Askari wa uhifadhi maarufu kama Rangers Day. Na Marino Kawishe Akisoma Risala ya siku ya Rangers Afisa wanyama Pori kutoka halmashauri ya Wilaya ya Babati Beatrice Onesmo mbele ya…
31 July 2026, 7:37 pm
Jamii yatakiwa kuthamini maziwa ya mama kwa mtoto.
Ikiwa Maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji duniani yanaanza kesho Agasti mosi jamii Wilayani Babati mkoani Manyara imehaswa kuzingatia umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto  kwa kutambua umuhimu wa kumnyonyesha mtoto pindi anapozaliwa kwa wakati na  ulio sahihi . Na…
30 July 2026, 6:44 pm
EWURA yawataka watoa huduma kuboresha utendaji
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kaskazini imekutana na wadau wa sekta ya nishati na maji Kanda ya kaskazini kwa lengo la kuwakumbusha majukumu yao ya kazi na kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.…
30 July 2026, 5:56 pm
LHRC yazindua ripoti ya mabadiliko ya tabia nchi
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amesema ushirikiano wa wadau mbalimbali ni muhimu katika kulinda mazingira na kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Na Mzidalfa Zaid RC Sendiga ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya mazingira, mabadiliko ya…
29 July 2026, 6:44 pm
EWURA yawahimiza wananchi kuwekeza vituo vya mafuta vijijini
Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kaskazini, George Mhina, amewahimiza wananchi na wawekezaji kutumia fursa zilizopo kwa kuanzisha vituo vya mafuta katika maeneo ya vijijini ili kusogeza huduma karibu na wananchi. Na…
28 July 2026, 8:15 pm
Hospitali Mji Babati yapokea mitambo ya kisasa ya oksijeni
Hospitali ya Mji wa Babati mkoani Manyara imepokea mitambo ya kisasa ya mfumo wa kuzalisha oksijeni tiba (Oxygen Generation System) kutoka Shirika la FREO2 Foundation, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuboresha huduma za afya kwa watoto wachanga na wagonjwa…
27 July 2026, 8:33 pm
Kambi ya Madaktari Bingwa wa Afya ya kinywa na meno yaanza leo Manyara.
Huduma za Matibabu ya Afya ya kinywa na Meno zimeanza kutolewa leo katika Kambi ya Madaktari bingwaaa kutoka hospital ya Rufaa  Mkoa wa Manyara na huduma hizo zitatolewa Hadi julai 30 mwaka huu . Na Emmy Peter Hayo yamesemwa daktari…
27 July 2026, 8:04 pm
Waziri Ndege achangia mifuko 100 ya saruji ujenzi daraja Mamire
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Manyara, Regina Ndege ametoa mifuko 100 ya saruji na kuahidi kutembelea daraja lililokatika kwa mvua zilizopita na linalounganisha kitongoji cha Waloa na…
24 July 2026, 7:56 pm
Chem Chem yatoa mafunzo ya huduma ya kwanza kwa askari wa uhifadhi
Mafunzo ya Huduma ya kwanza kwa Askari wa wanyama pori yaliyojumuisha Askari kutoka TANAPA, TAWA, BWMA, BABATI DC NA CCA zinazofanya shughuli za uhifadhi wa wanyama pori katika ushoroba wa kwakuchinja pamoja na mfumo wa ikolojia ya Tarangire-Manyara yamefungwa rasmi…
24 July 2026, 7:19 pm
Mfumo wa kidijitali kufungua fursa za masoko kwa wakulima wa mikunde
Mfumo wa kidijitali wa kuwaunganisha wakulima, wafanyabiashara na wadau wa mazao ya mikunde umezinduliwa mkoani Manyara, ukiwa na lengo la kuwasaidia wakulima kupata taarifa sahihi za masoko, bei za mazao pamoja na fursa mbalimbali katika mnyororo wa thamani wa mikunde.…