Recent posts
10 September 2026, 12:01 am
TRA Manyara kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
Wafanyakazi 23 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Manyara wamepatiwa elimu kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kutumia umeme, ikiwa ni sehemu ya juhudi za Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuunga mkono Serikali katika kuhamasisha matumizi…
7 September 2026, 7:32 pm
Watatu wadakwa Manyara kwa kujiunganishia umeme kinyemela
Shirika la umeme Tanzania TANESCO mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na jeshi la polisi limewakamata watu watatu wa kitongoji Cha Ndoroboni kijiji cha Kiru six kwa tuhuma za kuunganishiwa umeme kinyume na Sheria . Na Mzidalfa Zaid Afisa uhusiano TANESCO…
6 September 2026, 9:11 am
Walimu, wanafunzi Babati wapatiwa elimu ya nishati safi
Walimu na Wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari za wilaya ya Babati wamepata elimu ya ya matunizi ya Nishati safi ya umeme kwenye Mapishi. Na Mzidalfa Zaid Elimu hiyo imetolewa na Afisa Uhusiano wa shirika la umeme Tanzania Tanesco…
4 September 2026, 6:14 pm
RC Shigela akabidhiwa ofisi, aanza majukumu Manyara
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Martine Shigela, amekabidhiwa rasmi ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Queen Sendiga, ambaye awali alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza baada ya kukabidhiwa…
28 August 2026, 6:09 pm
Babati DC yazindua chanjo ya polio
Halmashauri ya Wilaya ya Babati mkoani Manyara imezindua rasmi zoezi la utoaji wa chanjo ya polio kwa watoto chini ya Miaka 10 zoezi balo limeanza jana katika maeneo mbalimbali ya halmashauri hiyo. Na Mzidalfa Zaid Kaimu Mkuu wa Wilaya ya…
28 August 2026, 4:25 pm
Babati mji yaongoza utoaji wa chanjo ya polio
Halmashauri ya mji wa Babati imefanikiwa kuwapa chanjo ya polio ya matone watoto zaidi ya elfu 21 kwa siku ya kwanza ya kampeni hiyo iliyoanza rasmi jana august 27 mwaka 2026. Na Marino Kawishe Akifungua rasmi zoezi la chanjo kwa…
26 August 2026, 6:46 pm
Kaimu DC Babati aonya upotoshaji kampeni ya chanjo ya polio
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Babati Remidius Mwema amewataka Viongozi wote waliohudhuria mafunzo ya Chanjo ya Polio itakayoanza kutolewa kesho alhamis August 27 hadi 30 mwaka huu 2026 kwenye halmashauri ya wilaya ya Babati kuzingatia elimu waliyopatiwa na kuacha kupotosha…
24 August 2026, 10:17 pm
IAA kampasi ya Babati yazindua programu mbili za shahada
Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) Kampasi ya Babati mkoani Manyara kimezindua programu mbili mpya za shahada ambazo zitaanza kutolewa katika kampasi hiyo kuanzia mwaka wa masomo 2026/2027. Na Mzidalfa Zaid Programu hizo ni Shahada ya Uhasibu na Teknolojia ya Habari…
24 August 2026, 7:27 pm
Watoto 128,000 kupata chanjo ya polio Babati DC
Zaidi ya watoto laki moja na Ishirini na 8 elfu wenye umri chini ya miaka kumi katika halmashauri ya wilaya ya Babati mkoani Manyara wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya polio itakayotolewa kuanzia August 27 hadi 30 mwaka huu 2026. Na Marino…
22 August 2026, 11:17 pm
Mamia ya watu washiriki Manyara Tanzanite marathon
Mbio za Hisani za Manyara Tanzanite Marathon zimefanyika leo mkoani Manyara, zikihudhuriwa na watu mbalimbali kutoka maeneo tofauti ya nchi pamoja na viongozi mbalimbali, huku lengo kuu likiwa ni kuchangisha fedha kwa ajili ya kuokoa maisha ya watoto wachanga na…