Recent posts
20 August 2026, 8:01 pm
Wanahabari Manyara wajengewa uwezo kampeini ya chanjo ya matone ya polio
Wanahabari mkoani Manyara wamejengewa uelewa katika kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa chanjo ya Polio, hasa kuelekea kampeni ya utoaji wa chanjo ya matone ya Polio kwa watoto walio chini ya umri wa miaka 10 ambapo wametakiwa kuielimisha jamii…
19 August 2026, 2:30 pm
Kampeni ya chanjo ya polio kuanza kutolewa Babati
Kampeni ya chanjo ya polio kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka kumi inatarajiwa kuanza Agosti 27 hadi 30, 2026, katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Babati mkoani Manyara. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza na FM Manyara, Mratibu wa Elimu…
18 August 2026, 7:23 pm
Wasanii maarufu watua Babati, tayari kwa Manyara Tanzanite marathon
Wasanii maarufu nchini Dully Sykes, Banana Zoro na Mr Blue wanatarajiwa kutumbuiza kwenye mbio za Manyara Tanzanite Marathon 2026, baada ya kuwezeshwa na kampuni ya Mati Super Brands Ltd kupitia kinywaji chake cha Tanzanite Royal Gin kushiriki katika tukio hilo…
18 August 2026, 4:10 pm
Matumizi holela ya simu kwa watoto yatajwa kuchochea ukatili
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutambua wajibu na mipaka yao katika jamii ili kusaidia kupunguza vitendo vya ukatili, hususan ukatili dhidi ya watoto na ukatili wa kijinsia. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na Afisa wa Dawati la Jinsia na…
18 August 2026, 3:21 pm
Hospitali ya rufaa Manyara kuendesha kambi ya madaktari bingwa wa moyo
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara inatarajia kuwa na kambi ya madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), kuanzia Agosti 19 hadi 23, 2026. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza na Fm Manyara kuhusu kambi…
17 August 2026, 10:36 pm
TGNP yawanoa viongozi Babati kupinga ukatili wa kijinsia
Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP umafanya mafunzo ya siku mbili kwa baadhi ya Viongozi kutoka serikali ngazi ya vijiji na kata na wadau mbali mbali wanaojishughulisha na kutoa msaada kwa wahanga au manusura wa matukio ya ukatili wa kijinsia. Na…
17 August 2026, 12:47 pm
RC Sendiga azindua fulana za Manyara Tanzanite Marathon
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, leo amezindua tisheti rasmi zitakazotumika katika mbio za hisani za Manyara Tanzanite Marathon, zinazotarajiwa kufanyika Agosti 22 mwaka huu. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Sendiga amesema hadi kufikia asubuhi ya…
15 August 2026, 10:03 am
DAS Babati ahimiza wananchi kushiriki Manyara Tanzanite Marathon
Katibu Tawala wa Wilaya ya Babati, Thobias Abwaro, ameongoza mazoezi ya pamoja leo, tarehe 15 Agosti 2026, ikiwa ni sehemu ya hamasa kuelekea mbio za hisani za Manyara Tanzanite Marathon zitakazofanyika Jumamosi, tarehe 22 Agosti 2026. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza…
13 August 2026, 5:15 pm
Wanafunzi 460 Mdori kunufaika na mradi wa miaka 4 wa Chem Chem
Taasisi ya Chem Chem imekabidhi darasa Moja lililofanyiwa Maboresho,mashine ya kudurufu na computer mpakato mbili kwa Uongozi wa Shule ya Msingi Mdori iliyopo katika Kata Ya Nkaiti Wilayani Babati mkoani Manyara. Na Marino Kawishe Akisoma taarifa ya mradi huo wa…
13 August 2026, 4:52 pm
Jamii Manyara yatakiwa kupinga usafirishaji haramu wa binadamu
Jamii mkoani Manyara imetakiwa kutoa taarifa kwa mamlaka husika inapobaini vitendo vya usafirishaji haramu wa binadamu, ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa dhidi ya wahusika. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Wizara ya Mambo ya…