Recent posts
29 May 2026, 2:25 pm
VEO jela miaka 20 kwa ubadhirifu wa fedha Simanjiro
Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara imetoa hukumu ya miaka 20 kwa aliyekuwa Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Ruvu Remit Godbless Felix Mollel kwa makosa ya uhujumu uchumi katika shauri la uhujumu uchumi namba 22415/2025. Na Mzidalfa Zaid Hukumu…
29 May 2026, 1:47 pm
Usawa wa kijinsia unazingatiwa kwa namna gani mashuleni?
Karibu usikilize makala maalum inayohusu usawa wa kijinsia unazingatiwa kwa namna gani mashuleni? makala yetu imzezungumza na walimu wakuu, wanafunzi pamoja na walimu katika shule mbalimbali wilayani Babati mkoani Manyara. Na Mzidalfa Zaid, Hawa Rashid
29 May 2026, 1:27 pm
Water Aid yakabidhi mradi wa maji na vyoo bora shule ya Gidamula
Wananchi wa wilaya ya Hanang mkoani Manyara wameendelea kunufaika na huduma za maji safi, vyoo bora pamoja na elimu ya usafi wa mazingira na usafi binafsi baada ya shirika la WaterAid Tanzania kukabidhi rasmi mradi wa WASH katika shule ya…
28 May 2026, 9:11 pm
Vikundi vya taarifa na maarifa vyachambua bajeti za wizara ya 2026/2027
Wakati Bunge la 13 likiendelea Jijini Dodoma na Wizara mbali mbali zikiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2026-2027 vituo vya taarifa na maarifa Mkoani Manyara vimepata wasaa wakujadili bajeti za Wizara ya Afya, Elimu,…
26 May 2026, 6:21 pm
Swala ya eid kuswaliwa uwanja wa Tanzanite Manyara
Waumini wa dini ya Kiislamu mkoani Manyara wametakiwa kushiriki swala ya Eid itakayofanyika kimkoa katika viwanja vya Tanzanite Kwaraa stadium huku wakihimizwa kujitokeza kwa wingi na kuendelea kutenda matendo mema katika siku hiyo ya eid. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa…
25 May 2026, 6:05 pm
TAKUKURU yabaini ubadhirifu mradi wa shule Simanjiro
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Manyara imefanikiwa kudhibiti upotevu wa zaidi ya Shilingi milioni mbili katika mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Namalulu iliyopo wilayani Simanjiro baada ya kubaini matumizi mabaya ya fedha za…
25 May 2026, 5:08 pm
Mbio za hisani kuokoa maisha ya watoto wachanga
Mkoa wa Manyara unatarajia kufanya mbio za hisani za kuchangia uboreshaji wa huduma za watoto wachanga na watoto njiti zijulikanazo kama Manyara Tanzanite Marathon zenye kauli mbiu ya “hatua moja, okoa maisha ya mtoto” zinazotarajiwa kufanyika Agosti 22, 2026 katika…
25 May 2026, 4:51 pm
Jeshi la zimamoto na uokoaji wilaya lapata vitendea kazi
Kaimu mkuu wa wilaya ya Babati ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Kiteto Remidius Mwema , amewataka viongozi wa jeshi la zima moto na uokoaji wilayani Babati mkoani Manyara kutoa elimu kwa wananchi namna ya kukabiliana na majanga kwa…
24 May 2026, 9:31 pm
Waumini wahamasishwa kuchangia ujenzi msikiti mkuu Manyara
Waumini wa dini ya Kiislamu pamoja na jamii kwa ujumla mkoani Manyara wametakiwa kuwa na umoja na mshikamano katika kushiriki ujenzi wa Msikiti Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Masjid Taqwa unaoendelea. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa leo na Shekhe Mkuu…
22 May 2026, 7:44 pm
Yas Tanzania yapeleka huduma za mawasiliano Gendabi
Kampuni ya simu za mikononi ya Yas na Mixx by Yas Tanzania wamezindua mnara wa mawasiliano wenye uwezo wa 4G plus kwenye kijiji cha Gendabi Wilayani Hanang Mkoani Manyara. Na Marino Kawishe Akizungumza na wananchi wa kijiji hicho Kiongozi wa…