FM Manyara

Je? unafahamu matumizi sahihi ya dawa na uhifadhi wa dawa?

13 January 2026, 7:01 pm

picha ya baadhi ya dawa

Afya ni msingi wa maisha ya kila siku, na dawa ni sehemu muhimu katika kuhakikisha tunapona au kudhibiti magonjwa mbalimbali hivyo  matumizi yasiyo sahihi ya dawa pamoja na uhifadhi usiofaa vinaweza kusababisha madhara makubwa badala ya tiba.

Karibu katika makala maalum ambayo tumekuandalia kuhusiana na matumizi sahihi ya dawa pamoja na uhifadhi wa dawa.

Na Mzidalfa Zaid

Makala hii imezungumza na baadhi ya wananchi mkoani Manyara,Meneja wa Mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA)kanda ya kaskazini pamoja na  mfamasia kutoka halmashauri ya wilaya ya Babati .

sauti ya makala inayohusu matumizi sahihi ya dawa na uhifadhi wa dawa