Afya
1 Mei 2026, 20:09
Wafugaji 120 wapatiwa mafunzo ufugaji salama
Mafunzo hayo yanalenga kupunguza matumizi holela ya dawa za mifugo na kuboresha uzalishaji wa kuku katika Tarafa ya Kidatu. Na; Isidory Mtunda Zaidi ya wafugaji na wakulima 120 kutoka Tarafa ya Kidatu, Halmashauri ya Mji wa Ifakara mkoani Morogoro, wamepatiwa…
1 Mei 2026, 13:06
CAN Tanzania waiwezesha Pangani mabadiliko ya tabianchi
Shirika la Climate Action Network Tanzania limekuwa likiendesha mradi wa Alligning III ambao unawalenga wakulima, wafugaji na wavuvi katika kuwa na taarifa sahihi za mwenendo wa hali ya hewa kwa msimu na kwa kipindi husika. Pia kupitia mradi huo unawawezesha…
8 Aprili 2026, 09:40
Mbunge Villa akabidhi meza 90 kwa wajasiriamali
Meza hizo zimekabidhiwa ikiwa ni hatua ya kuwafanya wajasiriamali wafanye kazi zao katika mazingira rafiki. Na Fredrick Siwale Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mjini Mh. Dickson Lutevele Villa ametimiza ahadi yake kwa kukabidhi meza 90 kwa wajasiriamali wa Soko la…
2 Aprili 2026, 13:53
Megawati 11 hazitumiki kituo cha kupoza Umeme Ifakara
Picha ya kituo cha kupoza Umeme Ifakara{Picha na Kuruthum Mkata} “Uwepo wa kituo hicho umeondoa kwa kiasi kikubwa tatizo la kukatika kwa umeme katika maeneo ya Mng’eta na Mchombe, hivyo REA kwa juhudi zake za kusambaza umeme vijijini na…
25 Machi 2026, 11:56
Wakulima andiko la miradi ya kilimo wapewa mashine 48 Kasulu
Mradi wa Kilimo Tija Kigoma (KITIKI) umekabidhi mashine na vifaa 48 kwa washindi wa andiko bora la kilimo biashara kutoka wilaya za Kasulu, Kibondo na Kakonko mkoani Kigoma. Na Hagai Ruyagial Mashirika ya World Vision Tanzania na Good Neighbors kupitia…
13 Machi 2026, 14:01
Kituo cha zana za kilimo chazinduliwa kusaidia wakulima Uvinza
Zana za kilimo ni vifaa vinavyotumika kurahisisha shughuli za kilimo kama kulima, kupanda, kupalilia na kuvuna na zina umuhimu mkubwa kwa wananchi hasa wanaotegemea kilimo kama chanzo cha maisha. Na Mwandishi wetu Wananchi wa Kijiji cha Nyanganga, Kata ya Kazuramimba,…
12 Machi 2026, 15:02
KITIKI waongeza uzalishaji wa mazao Kasulu
Mkoa wa Kigoma umefanikiwa kupunguza kiwango cha upotevu wa mazao wakati na baada ya kuvuna kutoka asilimia 11% mwaka 2023 hadi kufikia asilimia 8%, ya sasa. Na Hagai Ruyagila Wakulima wa Kata ya Nyumbigwa katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani…
12 Machi 2026, 12:14
Wafanyabiashara Mafinga walalamikia milango kufungwa
“Kitendo cha kuwekwa kwa makufuli katika milango ya biashara zetu hatukubaliani nacho” Na Fredrick siwale Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Mafinga katika Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wamelalamikia hatua ya baadhi ya maafisa wa halmashauri hiyo kufunga milango…
11 Machi 2026, 22:53
Maarifa ya biashara yaongeza mafanikio
Wajasiriamali wa Ifakara wamehimizwa kupata elimu ya biashara, kuweka kumbukumbu sahihi za mapato na matumizi pamoja na kujenga utamaduni wa kuweka akiba ili kuimarisha biashara zao na kuongeza kipato cha familia. Na: Isidory Mtunda Wajasiriamali katika mji wa Ifakara wilayani…
9 Machi 2026, 23:19
King James Pharmacy wakabidhi vifaa vya thanani ya mil 103 rufaa Mbeya
Katika kuadhimisha sikuku ya mama Duniani taasisi ya King James Pharmacy wameamua kutoa msaada wa vifaa vya matibabu katika hospital ya Rufaa kanda ya Mbeya Na Ezra Mwilwa King James Pharmacy Yaweka Alama ya Kipekee MZRH, Yaonyesha Kiu ya Wazawa…