Radio Tadio

Afya

20 August 2026, 17:06

RC Kigoma ataka vyama vya ushirika kuwa waadilifu

Zao la tumbaku ni moja ya mazao makuu ya biashara katika mkoa wa Kigoma ikiwaingizia kipato wakulima wengi hasa katika wilaya za Kasulu, Kakonko na Uvinza Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amevitaka vyama vya…

13 August 2026, 5:02 pm

Kichanga chaokotwa kikiwa hai mtaa wa 14 Kambarage

Licha ya Jitihada za serikali kwa kushiriana na wadau na mashirika mbalimbali kupinga vitendo vya ukatili, bado baadhi ya watu wameendelea kufanya vitendo vya ukatili. Na: Kale Chongela Mtoto mchanga ameokotwa akiwa hai ambapo imedhaniwa kuwa ametupwa muda mfupi baada…

8 August 2026, 17:51

Kigoma yaibuka mshindi wa maonesho ya 88 kanda ya magharibi

Maonesho ya wakulima maarufu nane nane yamefungwa rasmi leo ambapo wananchi wamepata nafasi ya kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo teknolojia za kilimo huku Wilaya ya Uvinza ikiibuka kinara wa maonesho hayo kwa kundi la mamlaka ya serikali za mitaa. Na Mwandishi…

3 August 2026, 08:22

RC Sirro: Maafisa ugani tokeni ofisini wasaidieni wakulima

Maonyesho ya Nane Nane ni tukio muhimu linalofanyika kila mwaka nchini Tanzania tarehe 8 Agosti na maonyesho haya huwakutanisha wakulima, wafugaji, wavuvi, wataalamu wa kilimo, taasisi mbalimbali, na wafanyabiashara kwa lengo la kuonesha maendeleo na ubunifu katika sekta ya kilimo.…

21 July 2026, 10:22

Wananchi walalamikia kushuka kwa bei ya mazao

Wananchi wameeleza kuwa gharama za mbolea zimeendelea kupanda na kuwa mzigo mkubwa kwa wakulima huku wakilalamikia kuhuka kwa bei za mazao. Na Hafidh Ally Wananchi wa Kata ya Ulanda, Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, wamelalamikia kushuka kwa bei za mazao…

21 July 2026, 08:50

RC Kheri aagiza ununuzi wa bidhaa za ndani

RC Khei amesena kuwa matumizi ya bidhaa za ndani yataongeza kipato cha wazalishaji, kuchochea uundaji wa ajira, kuimarisha biashara na kuongeza mzunguko wa fedha ndani ya Mkoa wa Iringa. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James,…

17 July 2026, 13:19

Mradi wa bilioni 65 kuimarisha kilimo cha mpunga Kigoma

Mradi wa umwagiliaji wa bonde la Mto Luiche unaotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ni miongoni mwa miradi mikubwa ya maendeleo inayolenga kuimarisha sekta ya kilimo nchini Na Tryphone Odace Serikali imeanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa umwagiliaji wenye…

6 July 2026, 11:56

Kasulu waiomba serikali kupitia upya bei ya tumbaku

Bei ya mazao ya kilimo ina mchango mkubwa katika maisha ya mkulima na maendeleo ya taifa kwa ujumla na miongoni mwa mazao hayo ni tumbaku, ambayo hulimwa katika baadhi ya maeneo nchini Tanzania na kuwa chanzo muhimu cha kipato kwa…

3 July 2026, 09:49

Mlimba yalenga kukusanya bilioni 9.3

Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba imepanga kukusanya shilingi bilioni 9.3 kupitia mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2026/2027, ikilenga kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na kuboresha huduma kwa wananchi. Na: Kuruthum Mkata Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba imeweka…