Radio Tadio

Afya

1 Mei 2026, 20:09

Wafugaji 120 wapatiwa mafunzo ufugaji salama

Mafunzo hayo yanalenga kupunguza matumizi holela ya dawa za mifugo na kuboresha uzalishaji wa kuku katika Tarafa ya Kidatu. Na; Isidory Mtunda Zaidi ya wafugaji na wakulima 120 kutoka Tarafa ya Kidatu, Halmashauri ya Mji wa Ifakara mkoani Morogoro, wamepatiwa…

1 Mei 2026, 13:06

CAN Tanzania waiwezesha Pangani mabadiliko ya tabianchi

Shirika la Climate Action Network Tanzania limekuwa likiendesha mradi wa Alligning III ambao unawalenga wakulima, wafugaji na wavuvi katika kuwa na taarifa sahihi za mwenendo wa hali ya hewa kwa msimu na kwa kipindi husika. Pia kupitia mradi huo unawawezesha…

8 Aprili 2026, 09:40

Mbunge Villa akabidhi meza 90 kwa wajasiriamali

Meza hizo zimekabidhiwa ikiwa ni hatua ya kuwafanya wajasiriamali wafanye kazi zao katika mazingira rafiki. Na Fredrick Siwale Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mjini Mh. Dickson Lutevele Villa ametimiza ahadi yake kwa kukabidhi meza 90 kwa wajasiriamali wa Soko la…

25 Machi 2026, 11:56

Wakulima andiko la miradi ya kilimo wapewa mashine 48 Kasulu

Mradi wa Kilimo Tija Kigoma (KITIKI) umekabidhi mashine na vifaa 48 kwa washindi wa andiko bora la kilimo biashara kutoka wilaya za Kasulu, Kibondo na Kakonko mkoani Kigoma. Na Hagai Ruyagial Mashirika ya World Vision Tanzania na Good Neighbors kupitia…

13 Machi 2026, 14:01

Kituo cha zana za kilimo chazinduliwa kusaidia wakulima Uvinza

Zana za kilimo ni vifaa vinavyotumika kurahisisha shughuli za kilimo kama kulima, kupanda, kupalilia na kuvuna na zina umuhimu mkubwa kwa wananchi hasa wanaotegemea kilimo kama chanzo cha maisha. Na Mwandishi wetu Wananchi wa Kijiji cha Nyanganga, Kata ya Kazuramimba,…

12 Machi 2026, 15:02

KITIKI waongeza uzalishaji wa mazao Kasulu

Mkoa wa Kigoma umefanikiwa kupunguza kiwango cha upotevu wa mazao wakati na baada ya kuvuna kutoka asilimia 11% mwaka 2023 hadi kufikia asilimia 8%, ya sasa. Na Hagai Ruyagila Wakulima wa Kata ya Nyumbigwa katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani…

12 Machi 2026, 12:14

Wafanyabiashara Mafinga walalamikia milango kufungwa

“Kitendo cha kuwekwa kwa makufuli katika milango ya biashara zetu hatukubaliani nacho” Na Fredrick siwale Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Mafinga katika Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wamelalamikia hatua ya baadhi ya maafisa wa halmashauri hiyo kufunga milango…

11 Machi 2026, 22:53

Maarifa ya biashara yaongeza mafanikio

Wajasiriamali wa Ifakara wamehimizwa kupata elimu ya biashara, kuweka kumbukumbu sahihi za mapato na matumizi pamoja na kujenga utamaduni wa kuweka akiba ili kuimarisha biashara zao na kuongeza kipato cha familia. Na: Isidory Mtunda Wajasiriamali katika mji wa Ifakara wilayani…