Radio Tadio

Afya

18 July 2024, 3:49 pm

Kijana (16) adaiwa kuuawa na marafiki zake Geita

Matukio ya ukatili mkoani Geita ikiwemo vitendo vya mauaji vimeendelea kuacha simanzi na maswali kwa jamii pindi matukio hayo yanapotokea. Na: Edga Rwenduru – Geita Kijana aliyefahamika wa jina la Lisborn Adam Selemani (16) mkazi wa mtaa wa Nyerere Road…

July 18, 2024, 2:03 pm

Polisi Manyara yakamata watuhumiwa 50 wa uhalifu

Jeshi la polisi mkoani Manyara limewataka wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi kwa kufichua wahalifu wa makosa ya ukatili wa kingono, dawa za kulevya na umiliki wa silaha kinyume na sheria  ili mkoa uendele kuwa salama. Na Angela…

17 July 2024, 10:41 am

Mwanafunzi ajeruhiwa kwa viboko kutokana na utoro Geita

Licha ya waraka wa elimu Na. 24 wa mwaka 2002 kuelekeza utolewaji wa adhabu ya viboko kwa wanafunzi, utolewaji wa adhabu hiyo umekuwa ukikiukwa. Na: Nicolaus Lyankando -Geita Mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule ya sekondari Kisesa halmashauri ya…

15 July 2024, 9:10 pm

TVS 150 kupeleka kicheko kwa wateja wa maji mjini Maswa

“Katika kurahisisha wananchi wanapata maji safi na salama wakati wote mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Maswa MAUWASA imepokea vifaa vya usafiri ili kuongeza ufanisi wa kiutendaji”   Na, Daniel Manyanga  Mamlaka ya maji safi na usafi wa…

10 July 2024, 1:03 pm

Wananchi wilayani Meatu wachangia maji na ng’ombe

“Maji ni uhai kwa binadamu lakini wananchi wa wilaya ya Meatu wapo hatarini kupata magonjwa yatokanayo na kutumia maji  ya visima na mabwawa wao pamoja na mifugo ’’ Na,Daniel Manyanga Wakazi wa kata ya Mwandoya wilayani  Meatu, mkoani Simiyu wameiomba…

28 June 2024, 10:07 pm

MAUWASA yataja sababu za maji  kutokuwa angavu

Kutokana na wingi wa mvua zilizonyesha kwa mwaka huu imepelekea bwawa letu la New Sola kuwa na magugumaji mengi pamoja na shughuli za kibinadamu zinazofanyika zimesababisha maji kutokuwa angavu ” Kasimu Kado “ Mamlaka  ya  Maji  na  Usafi  wa  Mazingira …