Radio Tadio

Afya

20 March 2023, 4:54 pm

Kisa Kupimwa VVU Wanaume Kutowasindikiza Wake zao Kliniki

MPANDA Hofu ya kukutwa na maambukizi ya virusi vya ukimwi imetajwa kuwa ni moja ya sababu kwa baadhi ya wanaume katika Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi kushindwa kuwasindikiza wenza wao kwenye vituo vya kutolea huduma za kilinic pindi…

March 14, 2023, 5:20 pm

WAKAZI ZAIDI YA  120,000 WILAYANI MASWA MKOANI SIMIYU HAWAJACHANJA CHANJO YA CO…

Na Alex Faida Sayi. Halimashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu kupitia wataalamu wa Afya na waratibu wa chanjo Wilayani hapo imejipanga kuhakikisha inawafikia  wakazi zaidi ya   (120,000) ambao hawakuweza kuchanja chanjo ya  Covid 19,tangu zoezi hilo lilipoanza kutekelezwa Augost.21.2021,huku ikiwaasa…

13 March 2023, 5:49 pm

Uhaba wa wachangia Figo waendelea kuwa kikwazo

Mpaka sasa Hospitali ya Benjamin Mkapa imefanikiwa kupandikiza Figo  wagonjwa 33 kati ya hao wagonjwa 22 walipandikizwa Figo na wataalamu wazawa. Na Mindi Joseph. Ukosefu wa wachangiaji  Figo  umetajwa kuendelea kuwa kikwazo kwani Wananchi wengi hawapo tayari kujitolea kuchangia Ndugu…

4 March 2023, 6:05 pm

Usafi Shule za Msingi Waelezwa Chanzo cha Magonjwa ya Kuambukiza

MPANDA Baadhi ya wazazi na walezi halmashuri ya manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa Maoni ya usafi wa vyoo katika shule za msingi na kuomba serikali kuendelea kusimamia ili kuwanusuru wanafunzi na magonjwa ya kuambukizwa ikiwemo UTI. Wakizungumza na kituo…