
Afya

4 December 2023, 11:06 am
Kati ya watu 100 Katavi, mmoja kati yao ana maambukizi ya virusi vya Ukimwi
Picha na Mtandao Asilimia 5.4% ya wananchi mkoani Katavi wana maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU). Na Gladness Richard-Katavi Imeelezwa kuwa Kati ya Watu 100 Mmoja kati yao ana Maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi Mkoani Katavi. Takwimu hizo Zimetolewa na…

3 December 2023, 9:28 pm
Wafutwa kazi kwa kusheherekea siku ya kuzaliwa kwa kumwagiana dripu
Wafanyakazi wawili wa Hospitali ya Sakamu wamezua taharuki kwa kusheherekea kwa furaha siku ya kuzaliwa ya mwenzao kwa kutumia majitiba maarufu ‘dripu’. Na Said Sindo- Geita Wafanyakazi watatu wa hospitali binafsi ya Sakamu iliyopo eneo la Magereza, mtaa wa Katoma,…

December 2, 2023, 11:14 am
Zaidi ya watoto 100,000 Sengerema kupatiwa matone ya vitamini A
Halmashauri ya Sengerema inatarajia kutoa matone ya Vitamin A pamoja na dawa za kutibu minyoo ya tumbo kwa watoto wasio pungua 100,285 wenye umri chini ya miaka 5 ambayo yameambatana na tathimini ya hali ya lishe. Na;Deborah Maisa. Zaidi ya…

2 December 2023, 08:33
Serikali kuboresha miundombinu ya huduma za afya
Na Kelvin Lameck Serikali imesema itaendelea kuboresha miundombinu ya utoaji wa huduma za afya sambamaba na kutoa elimu kwa Wananchi ikiwa ni hatua ya kukabiliana na kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi. Hayo yamesemwa na mkuu wa Wilaya ya Mbarali…

2 December 2023, 07:17
Pimeni afya zenu ili muishi vizuri
Na Hobokela Lwinga Jamii mkoani mbeya imeombwa kujitokeza kwenye hospitali vituo vya afya, na zahanati kupima maambukizi ya virusi vya ukimwi na kuanza matumizi ya dawa za kufubaza virusi mara moja hasa mhusika agundulikapo kuwa na maambukizi ili kuendelea kuijenga…

December 2, 2023, 7:07 am
Rungwe yajinasua na maambukizi ya usubi
Baada ya kufanyika kwa tafiti mbalimbali kuhusu kuwepo kwa ugonjwa wa usubi mikoa ya nyanda za juu kusini jamii imehamasika na unywaji wa dawa na kuweza kutokomeza. wadau mbalimbali wakiwemo watendaji wa kata,wenyeviti wa vijiji , madiwani,maafisa tarafa na madaktari…

1 December 2023, 9:09 pm
Wakurugenzi waaswa kutekeleza afua za mapambano dhidi ya Ukimwi
Na Adelphina Kutika Wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani Iringa pamoja na wadau wa maendeleo wanaoshughulikia masuala ya Ukimwi chini ya programu ya PEPFAR kuelekeza fedha kwenye shughuli za utekelezaji wa afua za mapambano dhidi ya Virusi Vya Ukimwi. Agizo hilo…

30 November 2023, 10:42
Zahanati mpya ya kisasa yanukia Nduka
Baada ya kukosekana kwa huduma za afya kwa wananchi wa kijiji cha Nduka wilayani Kyela, serikali imepanga kujenga zahanati ya kisasa kijijini hapo. Na James Mwakyembe Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela ambaye ni diwani wa kata ya Ikimba…

29 November 2023, 9:15 am
Elimu ya afya ya uzazi kwa vijana Iringa-Makala
Vijana wanaoishi katika mazingira hatarishi iringa waiomba serikali kuwawekea mazingira rafiki ya kupata elimu na huduma ya afya ya uzazi ili kuwawezesha kujikinga na magonjwa ya zinaa. Undani wa taarifa hii sikiliza makala ifuatayo

28 November 2023, 7:10 pm
Mtazamo hasi wapelekea wanawake kushindwa kununua kondom
Na Mwandishi wetu Mitazamo tofauti imekuwa ikijitokeza kwenye jamii zetu juu ya suala zima la mwanamke kununua kinga (kondomu) moja kati ya mitazamo hiyo ni kuona au kumchukulia mwanamke anayeenda kununua kinga kama moja kati ya wanawake ambao hawajatulia kwenye…