10 April 2026, 14:46

Wananchi waomba kuboreshewa soko Heru Juu Kasulu

Uboreshwaji wa soko lolote kunachochea ukuaji wa biashara ndogo na za kati, kuongeza ajira, pamoja na kuinua uchumi wa eneo husika. Na Hagai Ruyagila Wananchi wa Kata ya Heru Juu, Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuboresha miundombinu…

On air
Play internet radio

Recent posts

18 August 2026, 13:22

Vijana watakiwa kujikita katika kufanya kazi Buhigwe

Vijana wameeleza kuwa baadhi yao wamekuwa wakikwepa kazi zinazohitaji juhudi kubwa na badala yake kutafuta kazi rahisi. Na Emmanuel Kamangu Vijana katika Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kuachana na tabia ya utegemezi na kujikita katika kufanya kazi…

17 August 2026, 08:22

DC Kigoma ahimiza wananchi kuzingatia usafi wa mazingira

Usafi wa mazingira ni jambo muhimu sana katika maisha ya kila siku na kila mtu ana wajibu wa kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na salama na hii ni muhimu zaidi katika maeneo ya sokoni kwa sababu sokoni hukusanyika watu wengi na…

15 August 2026, 14:31

MV Liemba yafanya majaribio ziwa Tanganyika

MV Liemba, ambayo imekuwa sehemu muhimu ya historia ya usafiri katika Ziwa Tanganyika, inatarajiwa kurejea katika huduma ikiwa ni hatua muhimu katika juhudi za serikali kuimarisha usafiri wa majini nchini. Na Mwandishi wetu Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amesema…

15 August 2026, 12:58

DC Kigoma asisitiza utatuzi wa migogoro ya ardhi kisheria

Ardhi ni rasilimali muhimu katika maisha ya binadamu kwa sababu hutumika kwa makazi, kilimo, biashara, uwekezaji pamoja na ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, hata hivyo, pamoja na umuhimu wake, migogoro ya ardhi imeendelea kuwa changamoto katika jamii nyingi…

15 August 2026, 12:18

Mwenyekiti wa madiwani aahidi uwajibikaji kwa chama na wananchi

Diwani wa Kata ya Kazuramimba Mh. Musa Chesa ambaye amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Madiwani Tanzania kupitia Chama cha ACT – Wazalendo amesema katika nafasi hiyo atahakikisha anashirikiana na viongozi wa chama na serikali katika utekelezaji wa majukumu ya kusukuma maendeleo…

15 August 2026, 11:46

ALAT Kigoma yatembelea miradi ya maendeleo Kibondo

Halmashauri ya Wilaya Kibondo Mkoani Kigoma imepongezwa kwa utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi. Na Mwandishi wetu ‎Wajumbe wa jumuiya ya tawala za Mitaa Tanzania,  ALAT Mkoa wa Kigoma wametakiwa kuendelea kishirikiana katika kufikia malengo ya kukuza maendeleo na uchumi…

14 August 2026, 16:44

Shule za bweni zatakiwa kuboresha mifumo ya umeme Kasulu

Shule za bweni ni taasisi ambazo wanafunzi huishi na kusoma katika mazingira ya shule kwa muda wote wa masomo kwa sababu hiyo, umeme ni huduma muhimu sana katika maisha yao ya kila siku Na Hagai Ruyagila Jeshi la Zimamoto na…

14 August 2026, 10:52

DC Uvinza ahimiza wananchi kuchangamkia fursa ya uchumi rejeshi

Uchumi rejeshi kutoka kwenye taka ni mfumo wa kuzifanya taka ambazo zingeonekana hazina matumizi kuwa rasilimali yenye thamani ya kiuchumi kupitia ukusanyaji, uchakataji, urejelezaji na matumizi mapya Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Mh. Dinah Mathamani, amewahimiza wananchi…

13 August 2026, 16:35

Serikali yaimarisha ushirikiano na mashirika kukuza maendeleo Kakonko

Ushirikiano kati ya serikali na wadau wa maendeleo husaidia kuchochea utoaji wa huduma kwa wananchi Na Mwandishi wetu Serikali ya Wilaya ya Kakonko imeendelea kuimarisha ushirikiano na mashirika yasiyo ya kiserikali kwa lengo la kuongeza ufanisi wa miradi ya maendeleo,…

13 August 2026, 14:52

Vijana wahimizwa kujitambua na kulinda amani Kigoma

Wadau wa maendeleo Manispaa ya Kigoma Ujiji wameeleza kuwa vijana hawana budi kujikita kwenye shughuli za uzalishaji mali zitakazowasaidia kujipatia kipato. Na Sadik Kibwana Vijana katikaa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Mkoani Kigoma, wamehimizwa kujitambua, kulinda amani ya nchi na kuwa…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.