10 April 2026, 14:46

Wananchi waomba kuboreshewa soko Heru Juu Kasulu

Uboreshwaji wa soko lolote kunachochea ukuaji wa biashara ndogo na za kati, kuongeza ajira, pamoja na kuinua uchumi wa eneo husika. Na Hagai Ruyagila Wananchi wa Kata ya Heru Juu, Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuboresha miundombinu…

On air
Play internet radio

Recent posts

20 May 2026, 15:00

Viongozi wa kamati za mikopo ya 10% wafanya tathmini Uvinza

Kikao cha kamati za mikopo ya asilimia 10 husaidia kuhakikisha uwazi na usahihi katika utoaji wa mikopo kwani viongozi hupitia taarifa mbalimbali za vikundi na waombaji wa mikopo ili kuhakikisha fedha zinawafikia walengwa sahihi wenye sifa zinazotakiwa Na Mwandishi wetu…

20 May 2026, 14:22

Serikali kushirikiana na taasisi za dini kuleta maendeleo Kasulu

Maendeleo ya wananchi ni jambo muhimu katika taifa lolote duniani na ili wananchi waishi maisha bora, ni lazima kuwepo ushirikiano kati ya serikali na taasisi za dini. katika kuhakikisha jamii inapata huduma muhimu kama elimu, afya, usalama, na maadili mema…

20 May 2026, 13:03

Vikundi vya ulinzi shirikishi vyapunguza uhalifu Kasulu

Ulinzi shirikishi ni mfumo wa usalama unaohusisha ushirikiano kati ya wananchi, vyombo vya dola na viongozi mbalimbali katika kuhakikisha jamii inakuwa salama muda wote na mfumo huu unalenga kuwafanya wananchi kuwa sehemu ya ulinzi wa maeneo yao badala ya kuacha…

19 May 2026, 16:32

DC Kigoma apiga marufuku ufyatuaji tofali eneo la makazi

Hatua hiyo ni baada ya wananchi wenye makazi yao katika eneo hilo kulalamikia athari zilizoanza kujitokeza kutokana na shughuli za uchimbaji udongo kwa ajili ya tofali ambazo zimesababisha mashimo yanayotuamisha maji jirani na makazi yao na kuhatarisha usalama wa nyumba…

19 May 2026, 16:01

Wanunuzi wa mazao wakutana na changamoto ya mizani Kigoma

Siku ya Vipimo duniani huadhimishwa kila tarehe 20 Mei kila mwaka na siku hii inalenga kuhamasisha matumizi sahihi ya vipimo katika biashara, viwanda na maisha ya kila siku na vipimo sahihi vina mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi na kulinda…

19 May 2026, 10:12

Bilioni 5 kuboresha miundombinu ya maji Kigoma Ujiji

Maji ni rasilimali muhimu katika maisha ya binadamu na maendeleo ya taifa lolote na binadamu hutegemea maji kwa matumizi ya nyumbani, kilimo, ufugaji, viwandani pamoja na shughuli nyingine za kiuchumi. Na Sadiki Kibwana Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa…

18 May 2026, 16:31

Wahasibu wajadili ufungaji wa hesabu za mwaka 2025/ 2026 Kakonko

Ufungaji wa hesabu za mwaka wa fedha ni hatua muhimu katika usimamizi wa fedha za taasisi mbalimbali za serikali na binafsi na una umuhimu mkubwa kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii Na Mwandishi wetu Wahasibu kutoka halmashauri zote 8 za…

18 May 2026, 16:22

Wadau wa maji wapendekeza bei mpya ya maji Kasulu

Upatikanaji wa huduma bora ya maji ni muhimu kwa maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla Na Hagai Ruyagila Wadau wa huduma ya maji katika halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wamependekeza bei mpya ya bili ya maji kwa unit…

18 May 2026, 14:13

Wanne mbaroni wizi wa pikipiki 5 Kigoma

Katika jamii yoyote yenye utulivu, maendeleo na usalama ni jambo muhimu sana na hivyo wananchi kushirikiana na polisi kwa kutoa taarifa kuhusu uhalifu na wahalifu na ushirikiano huu una nafasi kubwa katika kudumisha amani, usalama na maendeleo ya taifa Na…

15 May 2026, 15:27

Mil. 214 zawanufaisha walemavu, wanawake, vijana Kasulu

Mikopo ni mojawapo ya njia muhimu zinazosaidia maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika jamii kwa makundi tofauti ya watu ili kuwawezesha kujiletea maendeleo na miongoni mwa makundi yanayonufaika sana na mikopo ni wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Na Hagai…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.