2 July 2024, 16:28

Volkano la tope lalipuka, hofu yatanda kwa wananchi Kigoma

Serikali katika halmashauri ya wilaya Kigoma imewataka wananchi kutulia wakati ikiendelea kufuatilia hali ilivyo baada ya volkano la tope kulipuka. Na Josephine Kiravu – Kigoma Wananchi wa kijiji cha Pamila kata ya Matendo wametakiwa kuondoa hofu kufuatia kuwepo kwa tope…

Offline
Play internet radio

Recent posts

26 July 2024, 13:16

Zaidi ya familia 300 zapewa msaada wa chakula Uvinza

Wananchi wa kijiji cha Lyabusenda Kata ya Sunuka wilayani uvinza ambao ni miongoni mwa walnaopitia kipindi kigumu baada ya shughuli za uvuvi kusitishwa ziwa tanganyika na kusababisha kipato kiyumba wameomba wadau wa maendeleo kuwasaidia kuwapa misaada ili kujikimu kimaisha. Na…

26 July 2024, 10:02

Usafi wa mazingira pasua kichwa Kasulu mji

Serikali katika halmashauri ya mji wa kasulu mkoani kigoma imesema inaendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha wanadhibiti uchafuzi wa mazingira kwa kuwachukulia hatua za kisheria wanaochafua mazingira. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wadau wa maendeleo katika halmashauri ya Mji wa Kasulu…

22 July 2024, 15:27

Wananchi kunufaika na kilimo cha umwagiliaji mto Luiche Kigoma

Na, Emmanuel Michael Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amewataka wananchi katika kata ya Kagera Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani Kigoma kutouza ardhi yao ya kilimo katika Bonde la Mto Luiche ambalo limekuwa kitovu cha uchumi wao baada ya serikali kukabidhi…

19 July 2024, 13:40

Mwenyekiti UWT aingilia kati ukosefu wa maji Kigoma

Mamlaka ya maji safi na usafii wa mazingira manispaa ya kigoma ujiji, imetakiwa kuhakikisha inajenga kituo kipya cha kusambaza maji kwa wananchi wa kata ya mji mdogo wa mwandiga katika halmashauri ya wilaya kigoma ili kuwasaidia wananchi kuepukana na matumizi…

19 July 2024, 11:36

NGO’s zilivyoinua uchumi Kasulu

Serikali imesema uwepo wa Mashirika yasiyo ya kiserikali ndani ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma imekuwa na mchango mkubwa katika kuchochea suala la maendeleo. Hayo yameelezwa na Bi. Theresia Mtewele katibu tawala wa wilaya ya Kasulu wakati akizungumza na wawakilishi…

19 July 2024, 08:53

KUWASA yapewa heko utatuzi wa kero ya maji

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira manispaa ya Kigoma Ujiji (KUWASA) imesema imeendelea kuboresha miundombinu ya usambazaji wa maji kwenye makazi ya watu ili kuhakikisha wananchi wanapata maji ya kutosha. Na Emmanuel Matinde – Kigoma Kamati ya Siasa…

18 July 2024, 11:50

Nabii awaonya waumini kutegemea miujiza

Waumini wa dini ya kikristo mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kupata mafanikio ambayo yatawasaidia katika maisha yao kuliko kutegemea miujiza. Hayo yameelezwa na Askofu wa kanisa la Anglikana dayosisi ya western Tanganyika Mhasham Emmanuel Bwatta wakati akizungumza…

18 July 2024, 11:40

Wapanda juu ya miti kutafuta mawasiliano Geita

Serikali imesema itaendelea kujenga minara nchini nzima ili kuhakikisha mawasiliano yanapatikana kwa wananchi waliokuwa hawapati mawasiliano ili kuchochea maendeleo. Na Samwel Masunzu Wananchi wa kata ya Nyakagomba wilayani Geita mkoani Geita wamesema walikuwa wanalazimika kupanda kwenye vichuguu na milima kutafta…

18 July 2024, 11:39

Barabara zawa kero kwa wananchi Mkigo

Wananchi wa vijiji vya kata ya MKigo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mkoani Kigoma, wameiomba serikali kutatua changamoto zinazowakabili, ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya barabara zilizoharibika kutokana na mvua nyingi zilizonyesha msimu wa mwaka 2023-2024, huduma za umeme wa REA…

18 July 2024, 09:07

Wananchi walia na TANESCO kutopewa umeme

Mbunge wa jimbo la kigoma kaskazini Assa Makanika amelitaka shirika la umeme mkoani kigoma TANESCO kuhakikisha wanapeleka huduma ya umeme kwa wananchi wa vijiji ambavyo havijafikiwa na huduma hiyo hali inarudisha nyuma shughuli za maendeleo. Na Kadislaus – Kigoma Dc…