10 April 2026, 14:46

Wananchi waomba kuboreshewa soko Heru Juu Kasulu

Uboreshwaji wa soko lolote kunachochea ukuaji wa biashara ndogo na za kati, kuongeza ajira, pamoja na kuinua uchumi wa eneo husika. Na Hagai Ruyagila Wananchi wa Kata ya Heru Juu, Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuboresha miundombinu…

On air
Play internet radio

Recent posts

20 April 2026, 13:57

DED Kasulu achangia tofali 5000 ujenzi uzio wa shule

Wazazi na walezi wametakiwa kuona umuhimu wa ushirikiano kati ya wadau wa elimu katika kutatua changamoto zinazoikabili shule ya Sekondari Kigoma Grand Na Hagai Ruyagila Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kasulu, mkoani Kigoma Mwalimu Vumilia Simbeye ameahidi kuchangia tofali 5000…

20 April 2026, 09:11

Wahitimu kidato cha sita waaswa kuwa wazalendo

Wakati wanafunzi wa kidato cha sita wakiwa wanajianda na mitihani ya kuhitimu elimu ya kidato cha sita wameaswa kusaoma kwa bidii ili waweze kufanya vizuri katika mitihani yao Na Sadiki Kibwana Wanafunzi wanaohitimu kidato cha sita Wilaya ya Kigoma wametakiwa…

20 April 2026, 08:23

DED Uvinza apongeza serikali ujenzi shule ya wasichana Kigoma

Watoto wa kike wanapo pata elimu wanakuwa na nafasi kubwa ya kuboresha maisha yao na kuchangia maendeleo ya jamii na wataalamu wa elimu wanasema kuwa elimu kwa wasichana ni msingi muhimu wa maendeleo endelevu katika jamii nyingi duniani. Na Mwandishi…

17 April 2026, 13:05

Akutwa amefariki, mwili ukiwa kwenye kiroba Buhigwe

Serikali inapaswa kuhakikisha sheria dhidi ya mauaji zinatekelezwa kikamilifu, na wahusika wanachukuliwa hatua haraka. Na Michael Mpunije Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 30-35 ambaye hajatambulika uraia wala kabila lake amekutwa akiwa amefariki dunia na mwili…

16 April 2026, 18:02

Waziri Mkuu asisitiza tafiti kuimarisha masoko

Waziri Mkuu wa Tanzania DKT Mwigulu Nchemba amewataka wawekezaji wa nchi zinazozunguka Ziwa Tanganyika kuwekeza mkoani Kigoma kwani serikali imeufungua Mkoa huo kibiashara kwa kutekeleza miradi muhimu ikiwemo kuweka umeme wa uhakika, uboreshaji wa bandari na ujenzi wa reli ya…

16 April 2026, 16:52

Wanafunzi wapatiwa msaada wa pazia Buhigwe

Shule ambayo haina madirisha, mapazia bado yanaweza kuwa na mchango mkubwa katika kuboresha mazingira ya kujifunzia kwani yanaweza kuwa na umuhimu hata kwa shule ambayo haina madirisha, ingawa mara nyingi huonekana kama yanahitajika zaidi kwenye madirisha. Na Michael Mpunije Umoja…

16 April 2026, 15:28

DC Kigoma azindua ugawaji wa majiko sanifu

Majiko banifu ni suluhisho muhimu kwa maendeleo endelevu yanayochangia afya, uchumi, na utunzaji wa mazingira Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Mohamed Chuachua, ametoa wito kwa wananchi wilayani humo kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan, kwenye…

16 April 2026, 14:45

Wananchi walia umeme kutokuwa na nguvu Kagunga

Upatikanaji wa umeme wa kutosha ni moja ya nguzo muhimu katika maendeleo ya kisasa ya jamii yoyote na Umeme unapokuwa wa uhakika na wa kutosha, huchochea ukuaji wa uchumi, huboresha huduma za kijamii, na kuinua kiwango cha maisha ya watu.…

16 April 2026, 11:38

Waziri wa Habari na Mawasiliano Burundi afariki

Mnamo Disemba 2023, aliteuliwa kuwa Kamishna katika Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (CENI), ambapo alisimamia masuala ya ugavi na maandalizi ya uchaguzi. Na Bukuru Daniel Waziri wa Habari na Mawasiliano, Gabby Bugaga, amekutwa ndani ya gari akiwa amefariki dunia…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.