4 March 2025, 13:42

Watanzania wakemee vitendo vya ukatili

Vitendo vya ukatili vinavyofanywa na wanafamilia au ndugu wa karibu na sehemu kubwa ya vitendo hivyo havitolewi taarifa kwenye vyombo vya sheria ambapo vimepelekea ongezeko la ukatili katika jamii Na Lucas Hoha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

On air
Play internet radio

Recent posts

11 July 2025, 09:02

Watu 10 wahukumiwa maisha jela kwa mauaji

Imani za kishirikina zasababisha watuhumiwa kufungwa kifungo cha maisha jela. Na Bukuru Daniel Mahakama kuu ya Bujumbura imewahukumu watu kumi kifungo cha maisha jela kwa kuhusika katika mauaji ya kutisha ya wakaazi sita katika kijiji cha Gasarara wilaya ya Nyabiraba,…

10 July 2025, 13:09

Ubalozi wa Tanzania nchini Burundi wazindua kampeni ya matibabu bure

Madaktari bingwa kutoka nchi Tanzania wanatarajia kuweka kambi ya matibabu katika maeneo mbalimbali nchini Burundi kwa lengo la kutoa matibabu kwa wananchi Burundi. Na Bukuru Daniel Ubalozi wa Tanzania nchini Burundi kwa kushirikiana na wizara ya afya na VVU/UKIMWI nchini…

10 July 2025, 12:46

Kakonko yatakiwa kuzalisha mazao ya kibiashara

Halmashauri ya Wilaya Kakonko Mkoani Kigoma imetakiwa kuweka mikakati ya kuzalisha mazao ya biashara yenye ushindani ndani na nje ya nchi kwa maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro…

10 July 2025, 11:50

Simbeye: Wenye ulemavu changamkieni fursa za mikopo

Serikali imeahidi kuendelea kutoa mikopo kwa makundi ya watu wenye ulemavu, vijana na wanawake wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Na Hagai Ruyagila Watu wenye ulemavu katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma, wametakiwa kuchangamkia fursa ya mikopo ya asilimia kumi…

9 July 2025, 15:35

RC Kigoma ataka juhudi ukusanyaji mapato kuongezeka

Ukusanyaji wa mapato unatajwa kuchochea maendeleo kwa wananchi na Taifa kwa ujumla. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa mkoa wa Kigoma IGP Mstaafu Balozi Simon Sirro amewataka wakusanyaji wa mapato katika Wilaya ya Kasulu kutoka katika halmashauri zote za wilaya ya…

9 July 2025, 14:57

Zaidi ya vijana 500 kunufaika na kiwanda cha sukari Kasulu

Kiwanda cha miwa kilichopo Wilayani Kasulu kuwanufaisha vijana na kukuza uchumi. Na Josephine Kiravu Mkoa wa Kigoma unaendelea kufanya vizuri kitaifa katika sekta ya uwekezaji ambapo Hadi Sasa wawekezaji wameendelea kuwekeza Kwa kujenga viwanda na kufanya vijana wengi kupata ajira…

9 July 2025, 09:51

Wananchi wapewa elimu kujikinga na majanga ya moto Kigoma

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Kigma limewataka wananchi kuendelea kuchukua hatua za kukabiliana na majanga ya moto ambayo yanaweza kujitokeza katika maeneo yao. Na Esperance Ramadhan Baadhi ya Wananchi Mkoani Kigoma wamepatiwa elimu ya kuzima moto pindi linapotokea tatizo…

8 July 2025, 17:26

RC Kigoma ahimiza eneo la uwekezaji zao la muhogo

Mkoa wa Kigoma unaendelea kufanya vizuri kitaifa katika uzalishaji wa zao la Muhogo ambapo makadirio kwa mwaka hufikia  hadi tani milioni 1.2 za muhogo mkavu na mbichi huku matarajio ikiwa ni kufikia zaidi ya tani milioni 3 ifikapo mwaka 2030.…

8 July 2025, 16:18

Mabingwa wa ligi Burundi kuweka kambi Afrika Kusini

Timu ya Aigles Noirs CS kutoka Mkoa wa Makamba imeelekea Afrika Kusinini kwa ajili ya kambi ya kujianda na msimu wa mpya wa mwaka 2025/ 2026 Na Bukuru Daniel Timu ya Aigles Noirs CS kutoka mkoa wa Makamba imeondoka Jumanne,…

8 July 2025, 16:11

Wahamiaji haramu 926 wakamatwa Kigoma

Viongozi wa Serikali za mitaa na vijiji Mkoani Kigoma wametakiwa kufuatilia na kutoa taarifa za watu wanaoingia kwenye maeneo yao ili kujua kama ni wahamiaji haramu. Na Lucas Hoha Idara ya uhamiaji  Mkoa wa Kigoma kupitia  misako mbalimbali iliyofanyika June…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.