15 April 2024, 22:00

Neema kuwashukia watoto yatima Kigoma

Jamii wilayani Kasulu mkoani Kigoma imetakiwa kutowaficha watoto wao wenye uhitaji maalum ili wapate elimu bora itakayowasaidia katika maisha yao. Na, Hagai Luyagila Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa maafisa elimu maalum nchini Tanzania Issa Kambi wakati wa hafla ya utoaji…

On air
Play internet radio

Recent posts

26 April 2024, 16:19

Wananchi watakiwa kuulinda na kudumisha muungano

Wananchi wametakiwa kuendelea kuuenzi muungano kwa kutimiza wajibu na kutenda haki kama chachu ya kuhimiza maendeleo kwa watanzania. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kamishna jenerali mstaafu wa jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye amewataka…

26 April 2024, 12:12

Ruwasa kigoma tunazalisha maji lita elfu 42 kwa siku

Wadau wa maji Manispaa ya kigoma ujiji wameomba serikali kupitia mamlaka ya maji na usafi wa mazingira kuhakikisha inafikisha maji kwa wananchi ili kuondoa adha ya kutumia maji ya isima na mito. Na Lucas Hoha – Kigoma. Serikali imeondoa changamoto…

26 April 2024, 09:39

“Nchi yetu imeanza kuchukua hatua,matumizi ya gesi”

Matumizi ya nishati ya kupikia itasaidia kutunza mazingira yetu kwani kwa sasa mafuriko tunayoyaona ni matokeo ya uharibifu wa mazinira na misitu kwa kukata miti na misitu. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wananchi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kutumia nishati…

25 April 2024, 16:57

Makala: Tamu na chungu za Muungano

Ikiwa ni miaka 60 tangu Tanganyika na Zanzibar zilipoungana, wananchi wa Tanzania Bara na Zanzibar wamefunguka kuelezea changamoto lakini pia umuhimu wa Muungano huo. Makala hii iliyoandaliwa na Filbert Gabriel inasomwa kwako na Timotheo Leonard wa Joy FM.

25 April 2024, 16:44

Tunajivunia muungano kwani maendeleo yapo

Muungano wa Tanganyika na Zanzabar umeendelea kuwa nguzo ya umoja na mshikamano na kuchochea ukuaji wa maendeleo kupitia utekelezwaji wa miradi mbalimbali wa maendeleo. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Wananchi Mkoani Kigoma, wamepongeza Serikali kwa kuendelea kuboresha huduma za afya…

25 April 2024, 16:05

DC Kasulu: Mnafanyia kazi mahali pachafu

Natamani kuona juhudi za serikali inazofanya kuboresha majengo ya vituo vya afya zinatumika pia kwenye kusimamia usafi ili wananchi wapate huduma mahali pasafi sio mgonjwa anakutana na uchafu hawezi hata kupona. Na Michael Mpunije – Kasulu Mkuu wa Wilaya ya…

25 April 2024, 14:49

Wanachuo Kasulu wakosa vifaa vya kujifunzia

Serikali imeombwa kusaidia kutatua changamoto ya ukosefu wa vifaa vya kujifunzia wanafunzi wa chuo cha ualimu kaslu Mkoani Kigoma. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Chuo cha Ualimu Kasulu (Kasulu TTC) kilichopo halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma kinakabiliwa na changamoto…

24 April 2024, 15:02

Ujasiriamali kuwaponza walimu Kibondo

Baadhi ya walimu katika shule ya msingi Boma wilayani Kibondo mkoani Kigoma kwa kushirikiana na kamati ya shule hiyo wanatuhumiwa kuwazuwia wajasiliamali wadogo kuuza bidhaa zao kando na shule hiyo na badala yake walimu ndio wamegeuka wafanyabiashara badala ya kufundisha…

23 April 2024, 16:06

“Kila wiki zaidi ya matukio 10 ya ukatili Buhigwe”

Jumla ya wajumbe zaidi ya 40 kutoka katika vijiji mbali mbali wilayani Buhigwe wameshiriki mafunzo maalumu lengo ikiwa ni kuhakikisha wanapewa elimu juu ya jinsi ya kuibua vitendo vya ukatili vinavyojitokeza katika maeneo yao.

23 April 2024, 13:23

Dc kasulu awakalia kooni wahudumu wa afya

Wahudumu wa afya ngazi Wilayani kasulu wametakiwa kuzingatia maadili na taratibu za utoaji wa huduma bora kwa wananchi. Na Michael Mpunije – Kasulu Mkuu wa wilaya ya Kasulu kanali Isaac mwakisu amekemea lugha zisizo za staha zinazotolewa na baadhi ya…

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!