Joy FM

Recent posts

9 June 2026, 11:26

Washiriki wa UMISETA wafika mashindano ya Mkoa

UMISETA si mashindano ya michezo pekee bali ni chombo muhimu cha kukuza vipaji, nidhamu, afya, umoja na maendeleo ya wanafunzi Na Mwandishi wetu Kambi ya mashindano ya UMISETA Wilaya ya Uvinza imehitimishwa rasmi huku washiriki wakielekea Wilayani Kasulu kushiriki mashindano…

9 June 2026, 11:22

Vikundi 30 vyanufaika na mikopo ya milioni 300 Kigoma

Mikopo hiyo inayotolewa na Benki ya CRDB ambayo inatokana na mapato ya ndani ya Halmashauri ni moja ya njia muhimu za kuwawezesha wananchi wenye kipato cha kujikwamua kiuchumi na mikopo hii imeanzishwa kwa lengo la kuwapa wanufaika mtaji wa kuanzisha…

8 June 2026, 14:40

Wannawake watakiwa kuchangamkia fursa Kasulu

Katika kuhakikisha wanawake wanajikwamua kiuchumi kutokana na fursa zilizopo kwenye maeneo yao, Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa vikundi ili viweze kuendelea kukua na kuwanufaisha wanawake Na Hagai Riyagila Wanawake wajasiriamali wa kikundi cha Community Microfinance kinachojishughulisha na ufugaji…

7 June 2026, 10:15

Wananchi watakiwa kutumia nishati safi kulinda mazingira Kasulu

Wakati leo dunia ikiadhimisha siku ya Mazingira, wananchi wameaswa kuungana na kuhifadhi mazingira kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo. Na Hagai Ruyagila Wananchi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kutunza na kuhifadhi mazingira…

5 June 2026, 09:40

Wasimamizi wa miradi watakiwa kuwa waadilifu Kasulu

Usimamizi wa miradi ya maendeleo una umuhimu mkubwa kwa sababu husaidia kuhakikisha kuwa malengo yaliyokusudiwa yanafikiwa kwa ufanisi na kwa wakati Na Mwandishi wetu Wasimamizi wa miradi katika maeneo mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutumia fedha…

4 June 2026, 12:37

Kituo cha afya chazinduliwa Uvinza

Huduma za afya karibu na maeneo ya wananchi husaidia kupunguza gharama na muda wa kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya mbali za maeneo. Na Mwandishi wetu Wananchi wa Kata ya Sunuka na maeneo jirani wamepata ahueni baada ya kuzinduliwa…

3 June 2026, 14:11

Kigoma yazindua kampeni ya malezi chanya kwa watoto

Malezi bora ya watoto ni msingi muhimu wa kujenga familia imara na taifa lenye maendeleo endelevu na kutokana na kuongezeka kwa matukio ya ukatili dhidi ya watoto, ikiwemo ulawiti, unyanyasaji na ukatili wa kijinsia, kampeni ya malezi, makuzi na matunzo…

2 June 2026, 14:31

Kigoma kukusanya chupa za damu elfu 21 kila mwaka

Damu ni rasilimali muhimu katika huduma za afya kwa kuwa hutumika kuokoa maisha ya wagonjwa wanaopoteza damu kutokana na ajali, upasuaji, kujifungua na magonjwa mbalimbali Na Emmanuel Kamangu Mkoa wa Kigoma umeweka lengo la kukusanya chupa 21,000 za damu salama…

2 June 2026, 12:32

ENABEL yatoa mafunzo kwa wanawake viongozi Kasulu

Wanawake ni sehemu muhimu ya jamii na wana mchango mkubwa katika maendeleo ya kiuchumi, kijamii, na kisiasa na ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi, ni muhimu wapatiwe elimu na mafunzo ya uongozi Na Mwandishi wetu Shirika la Enabel limeendelea…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.