Joy FM
Joy FM
14 April 2026, 12:16
Kudhibiti kipindupindu kunategemea sana usafi, maji salama, na matibabu ya haraka na kuchukua hatua mapema ili kuokoa maisha ya watu. Na Lucas Hoha Mkoa wa Kigoma umefanikiwa kudhibiti mlipuko mpya wa ugonjwa wa kipindupindu ambao umekuwa ukisababishwa na mambo mbalimbali…
13 April 2026, 16:46
Viongozi wa serikali za mitaa wilayani Kigoma wametakiwa kuacha kuhusika katika migogoro ya ardhi kati ya Wananchi, viongozi na maeneo ya serikali. Na Sadick Kibwana Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Rashid Chuachua, amemsimamisha uongozi Mwenyekiti wa Mtaa wa Mgeo, Azizi…
13 April 2026, 15:16
Shirika la World Vision kupitia mradi wa Kasanda limetoa zawadi kwa watoto wa Kata ya Mugunzu wilayani Kakonko mkoani Kigoma zenye thamani ya shilingi milioni 52.2 ambapo misaada iliyotolewa inalenga kuendelea kuwafanya watoto hao kuwa wenye tabasam katika masomo yao.…
13 April 2026, 08:41
Mvua ni muhimu kwa maisha ya binadamu, lakini inapozidi kiwango au kunyesha kwa muda mrefu, inaweza kusababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu hasa katika maeneo mengi ya mijini na vijijini, mvua kubwa imekuwa chanzo kikuu cha changamoto za maendeleo na miundombinu.…
10 April 2026, 14:46
Uboreshwaji wa soko lolote kunachochea ukuaji wa biashara ndogo na za kati, kuongeza ajira, pamoja na kuinua uchumi wa eneo husika. Na Hagai Ruyagila Wananchi wa Kata ya Heru Juu, Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuboresha miundombinu…
9 April 2026, 17:09
Matumizi ya chupa zilizotumika kufungashia vyakula si salama kwa sababu yanaweza kusababisha magonjwa ya tumbo, sumu mwilini, na madhara ya muda mrefu kiafya. Na Emmanuel Kamangu Wanaotumia maziwa, asali, juisi na mafuta ambayo hutunzwa katika vifungashio vya chupa za plasitiki…
8 April 2026, 18:09
Wafanyabiashara na wajasiriamali katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanazingatia suala la usafi wa mazingira katika maeneo yao ili kudhibiti taka ambazo zimekuwa zikizagaa katika maeneonyao. Na Emmanuel Kamangu Halamshauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma…
8 April 2026, 13:17
Radi ni tukio la kiasili linalotokea wakati wa mvua kubwa na mawingu mazito, likihusisha umeme wenye nguvu unaoshuka kutoka angani kwenda ardhini na tukio hili linaweza kuwa hatari kwa maisha ya binadamu na mali. Na Michael Mpunije Mwanaume mmoja aliyefahamika…
8 April 2026, 13:02
Mradi unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 2.9 ambapo utakapokamilika utawarahisishia wananchi kupata huduma sambamba na kuimarisha utendaji kazi kwa watendaji kutokana na matumizi ya jengo hilo. Na Kadislaus Ezekiel Wananchi katika Halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, wamepongeza serikali…
6 April 2026, 12:51
Jamii imeendelea kukumbushwa umuhimu wa kudumisha upendo na amani kama msingi wa maisha ya imani na mshikamano wa kijamii. Na Hagai Ruyagila Waumini wa dini ya Kikristo katika Kata ya Murufiti, Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma, wameaswa kuendelea kuishi…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.