Joy FM

Recent posts

7 July 2026, 11:32

Wananchi watakiwa kudumisha amani na mshikamano Kigoma

Amani ni msingi wa maendeleo ya taifa lolote duniani na bila amani hakuna maendeleo ya kudumu katika nyanja za uchumi, elimu, afya na ustawi wa jamii, hivyo kila mwananchi anapaswa kuitunza na kuilinda amani ili Tanzania iendelee kuwa taifa lenye…

6 July 2026, 11:56

Kasulu waiomba serikali kupitia upya bei ya tumbaku

Bei ya mazao ya kilimo ina mchango mkubwa katika maisha ya mkulima na maendeleo ya taifa kwa ujumla na miongoni mwa mazao hayo ni tumbaku, ambayo hulimwa katika baadhi ya maeneo nchini Tanzania na kuwa chanzo muhimu cha kipato kwa…

6 July 2026, 09:09

DC Kasulu ataka wananchi kuepuka vitendo vya uvunjifu wa amani

Amani ni hali ya utulivu, usalama na maelewano miongoni mwa watu katika jamii ni msingi muhimu unaowezesha wananchi kuishi kwa upendo, kufanya shughuli zao za kila siku na kushiriki katika maendeleo ya taifa Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya…

6 July 2026, 08:40

Kigoma yaimarisha utayari kukabiliana na ebola

Ebola ni ugonjwa hatari wa kuambukiza unaoweza kusababisha madhara makubwa kwa afya na maisha ya watu ikiwa hautadhibitiwa mapema, kuimarisha utayari wa kukabiliana na Ebola katika Mkoa wa Kigoma ni hatua muhimu ya kulinda wananchi na kuhakikisha jamii inaendelea kuwa…

3 July 2026, 15:42

Prof. Ndalichako: Amani ni msingi wa maendeleo Kasulu

Amani ni msingi wa maendeleo ya taifa lolote na bila amani, shughuli za kiuchumi, kijamii na kisiasa haziwezi kufanyika kwa ufanisi Na Hagai Ruyagila Wananchi wa Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wamehimizwa kuendelea kudumisha amani, umoja na mshikamano, huku…

3 July 2026, 12:56

Wananchi wataka elimu zaidi ya kutambua rushwa Kasulu

Rushwa ni moja ya changamoto kubwa zinazokwamisha maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla kwani huathiri utoaji wa huduma za umma, hupunguza uwajibikaji na kudhoofisha imani ya wananchi kwa taasisi za serikali Na Sadick Kibwana Baadhi ya wakazi wa Wilaya…

2 July 2026, 11:01

Kasulu yatoa milioni 261 kwa vikundi 24

Utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya ndani na Halmashauri ni moja ya mikakati ya Serikali ya kuwawezesha wananchi kiuchumi, hususan wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili kusaidia kuendeleza na kupanua shughuli za uzalishaji na biashara, jambo…

1 July 2026, 16:59

TAKUKURU yawafunda wasimamizi wa miradi Kigoma

Usimamizi wa miradi ya maendeleo ni muhimu kwa ajili ya manufaa ya wananchi na Taifa kwa ujumla Na Mwandishi wetu Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kigoma, imeendesha warsha maalum iliyowakutanisha wadau wa usimamizi wa utekelezaji…

1 July 2026, 12:48

Wananchi Kigoma wahimizwa kuombea viongozi na taifa

Taifa lenye amani na utulivu hujengwa kwa ushirikiano wa wananchi, viongozi na taasisi mbalimbali za kijamii, ikiwemo taasisi za dini na mojawapo ya njia zinazotajwa kuchangia ustawi wa taifa ni kuwaombea viongozi ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, hekima…

1 July 2026, 12:13

Viongozi wa ushirika watakiwa kushirikiana na wakaguzi Kigoma

Vyama vya ushirika vina mchango mkubwa katika kuboresha maisha ya wananchi kwa kuwawezesha kushiriki katika shughuli za kiuchumi, kuongeza kipato na kuimarisha maendeleo ya jamii ili vyama hivi viweze kufikia malengo yake, ni muhimu viendeshwe kwa kuzingatia misingi ya uwazi,…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.