Joy FM
Joy FM
20 July 2026, 11:46
Licha ya ushindani uliopo katika ukanda wa Afrika Mashariki, kipaumbele cha TPA ni kuongeza uwezo wa kuhudumia meli na mizigo kwa haraka na kwa ufanisi ili kuendelea kuvutia wateja Na Mwandisshi wetu Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania…
19 July 2026, 16:02
Utunzaji wa mazingira ni msingi wa maendeleo endelevu, kwani unalinda afya, uchumi na ustawi wa jamii huku ukihakikisha rasilimali za asili zinadumu kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo Na Emmanuel Kamangu Mradi wa Green Alert unaofadhiliwa na CAF…
19 July 2026, 15:43
Uzinduzi wa meli za mizigo ndani ya ziwa Tanganyika ni hatua muhimu ya kuufungua mkoa wa Kigoma sasa kuwa lango la kibiashara kwa nchi zinazozunguka ziwa Tanganyika Na Josephine Kiravu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu…
17 July 2026, 14:40
Biashara ni nguzo muhimu ya maendeleo ya uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla Na Sadick Kibwana Wafanyabiashara wanawake Mkoani Kigoma wametakiwa kutumia kikamilifu teknolojia, kurasimisha biashara zao na kuzitumia fursa za kiuchumi zinazowazunguka ili kuongeza tija na…
17 July 2026, 13:19
Mradi wa umwagiliaji wa bonde la Mto Luiche unaotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ni miongoni mwa miradi mikubwa ya maendeleo inayolenga kuimarisha sekta ya kilimo nchini Na Tryphone Odace Serikali imeanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa umwagiliaji wenye…
17 July 2026, 11:35
Usajili na urasimishaji wa biashara za famasi na maduka ya dawa muhimu ni jambo la msingi katika kuhakikisha upatikanaji wa huduma salama na bora za afya kwa wananchi. Na Emmanuel Kamangu Wamiliki wa famasi na maduka ya dawa muhimu katika…
16 July 2026, 17:18
Wazee ni nguzo muhimu katika familia na jamii. Wao ni watu waliotangulia kwa umri na wana uzoefu mkubwa wa maisha. Kwa sababu hiyo, ni wajibu wa kila mtu kuwaheshimu na kuwajali. Na Hagai Ruyagila Shirika la Endeleza Wazee Kigoma (EWAKI)…
16 July 2026, 16:49
Utekelezaji wa mradi wa uhifadhi wa mazingira katika vijiji vinne vinavyozunguka Hifadhi ya Msitu wa Makere Kusini na pori la Akiba la Moyowosi, katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, unaotekelezwa na Shirika la TAWEA, umetajwa kuleta mabadiliko chanya…
16 July 2026, 16:22
Malaria ni miongoni mwa magonjwa yanayoendelea kuwa tishio kubwa kwa afya ya jamii, hususan katika nchi za Afrika zikiwemo Tanzania na ugonjwa huu husababishwa na vimelea vinavyosambazwa kupitia mbu aina ya Anopheles Na Emmanuel Kamangu Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu…
16 July 2026, 15:37
Vijana ni nguvu kazi muhimu katika maendeleo ya taifa na ili waweze kushiriki kikamilifu katika kukuza uchumi, wanahitaji elimu na ujuzi unaowawezesha kujiajiri na kuanzisha shughuli za uzalishaji Na Hagai Ruyagila Jumla ya vijana 43 kutoka wilaya tatu za Mkoa…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.