Joy FM

Recent posts

21 April 2026, 10:07

Askofu ataka familia kushirikiana katika maendeleo Kibondo

Umuhimu wa familia kushirikiana kuleta maendeleo ni mkubwa sana katika maisha ya kijamii, kiuchumi na hata kirohona familia inapokuwa na mshikamano na ushirikiano, hujenga msingi imara wa mafanikio kwa kila mwanachama Na Dotto Josephati Askofu wa Kanisa la FPCT Kibondo…

21 April 2026, 09:45

Wanachama CHADEMA wafanya usafi ofisi za Wilaya Kasulu

Usafi wa mazingira umetajwa kuwa nguzo muhimu katika kulinda afya za wananchi na kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi na wataalamu wa afya wanasema kuwa mazingira safi huchangia kwa kiasi kikubwa kupunguza kuenea kwa magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu, malaria…

21 April 2026, 09:32

Wahitimu kidato cha sita waaswa kuendeleza nidhamu Kasulu

Wanafunzi wa Kidato cha sita, katika shule ya sekondari Kigoma Grand, halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma, wametakiwa kuendeleza nidhamu waliyopata shuleni hapo ili wawe mfano wa kuigwa katika jamii inayowazunguka. Na mwandishi wetu Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji…

21 April 2026, 09:19

AU kujenga na kuimarisha daraja kwa nchi zilizositishwa uanachama

Hatua hiyo inaweza kusaidia kurejesha utulivu wa kisiasa kwa kuzijenga upya kidiplomasia na inaweza kusaidia nchi hizo kurudi kwenye mfumo wa utawala wa sheria, jambo ambalo linaimarisha amani katika kanda Na Bukuru Elias Ofisi ya Rais wa Burundi imesema kuwa…

21 April 2026, 08:43

Burundi, UNHCR kuwarejesha kwao wakimbizi wa Congo

Burundi inahifadhi makumi ya maelfu ya wakimbizi wa Kongo, wengi wao wakikimbia mapigano yaliyozuka mwishoni mwa mwaka uliopita kabla ya kutwaliwa kwa mji wa Uvira, wengi wao wakiwa wamehifadhiwa katika kambi za Cishemere na Busuma Ruyigi Mashariki mwa Burundi. Na…

20 April 2026, 13:57

DED Kasulu achangia tofali 5000 ujenzi uzio wa shule

Wazazi na walezi wametakiwa kuona umuhimu wa ushirikiano kati ya wadau wa elimu katika kutatua changamoto zinazoikabili shule ya Sekondari Kigoma Grand. Na Hagai Ruyagila Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kasulu, mkoani Kigoma Mwalimu Vumilia Simbeye ameahidi kuchangia tofali 5000…

20 April 2026, 13:16

RC Kigoma ahimiza weledi mabaraza ya ardhi, nyumba

Wajumbe hawa wa mabaraza ya ardhi na nyumba ni sehemu ya mfumo wa haki unaolenga kutatua migogoro ya ardhi kwa haraka, kwa gharama nafuu, na kwa kuzingatia mazingira ya jamii husika. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi…

20 April 2026, 09:11

Wahitimu kidato cha sita waaswa kuwa wazalendo

Wakati wanafunzi wa kidato cha sita wakiwa wanajianda na mitihani ya kuhitimu elimu ya kidato cha sita wameaswa kusaoma kwa bidii ili waweze kufanya vizuri katika mitihani yao. Na Sadiki Kibwana Wanafunzi wanaohitimu kidato cha sita Wilaya ya Kigoma wametakiwa…

20 April 2026, 08:23

DED Uvinza apongeza serikali ujenzi shule ya wasichana Kigoma

Watoto wa kike wanapo pata elimu wanakuwa na nafasi kubwa ya kuboresha maisha yao na kuchangia maendeleo ya jamii na wataalamu wa elimu wanasema kuwa elimu kwa wasichana ni msingi muhimu wa maendeleo endelevu katika jamii nyingi duniani. Na Mwandishi…

17 April 2026, 13:05

Akutwa amefariki, mwili ukiwa kwenye kiroba Buhigwe

Serikali inapaswa kuhakikisha sheria dhidi ya mauaji zinatekelezwa kikamilifu, na wahusika wanachukuliwa hatua haraka. Na Michael Mpunije Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 30-35 ambaye hajatambulika uraia wala kabila lake amekutwa akiwa amefariki dunia na mwili…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.