Joy FM
Joy FM
23 May 2026, 13:23
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amekagua kisha kuzungumza na wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao katika soko la Kibirizi, Manispaa ya Kigoma Ujiji, kufuatia kuungua kwa baadhi ya vibanda vya biashara visivyo vya kudumu, vilivyojengwa jirani na soko hilo.…
22 May 2026, 10:30
Maonesho ya biashara ni mikusanyiko inayowakutanisha wafanyabiashara, wazalishaji, wanunuzi na wananchi kwa lengo la kuonyesha bidhaa na huduma mbalimbali Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amezitaka mamlaka za kibiashara za Tanzania na Burundi kushughulikia changamoto…
22 May 2026, 09:15
Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza imeendelea kuchukua hatua za kuongeza ushiriki wa makundi maalum katika zabuni na tenda za serikali kupitia mfumo wa manunuzi ya umma wa NeST, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuwawezesha wanawake, vijana, wazee na watu…
21 May 2026, 15:08
Elimu huwasaidia watoto kupata maarifa, maadili na stadi za maisha zinazowawezesha kujitegemea na kuwa na maisha bora ya sasa na ya baadaye na watoto wanaopata elimu huwa na nafasi kubwa ya kupata ajira, kupunguza umaskini na kuchangia maendeleo ya familia,…
21 May 2026, 12:27
Mfumo wa NEST ni mfumo wa kielektroniki unaotumiwa na serikali kusimamia zabuni mbalimbali za umma na kupitia mfumo huu, wajasiriamali wanaweza kuona matangazo ya zabuni, kutuma maombi na kufuatilia taarifa mbalimbali zinazohusu manunuzi ya serikali kwa njia ya mtandao NEST…
21 May 2026, 11:28
Matumizi sahihi ya mifumo ya serikali ni jambo muhimu katika kuhakikisha uwazi, uwajibikaji na ufanisi katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo na Serikali imekuwa ikiweka mifumo ya kisasa ya usimamizi wa fedha na manunuzi ili kurahisisha utendaji kazi, kudhibiti…
21 May 2026, 08:44
Mabadiliko ya tabianchi ni changamoto kubwa inayokabili dunia kwa sasa na athari zake zimeonekana kupitia ongezeko la ukame, uharibifu wa mazingira, kupungua kwa misitu na kuharibika kwa ardhi Na Emmanuel Kamangu Serikali kupitia mfuko wa dunia wa mabadiliko ya tabianchi…
20 May 2026, 15:00
Kikao cha kamati za mikopo ya asilimia 10 husaidia kuhakikisha uwazi na usahihi katika utoaji wa mikopo kwani viongozi hupitia taarifa mbalimbali za vikundi na waombaji wa mikopo ili kuhakikisha fedha zinawafikia walengwa sahihi wenye sifa zinazotakiwa. Na Mwandishi wetu…
20 May 2026, 14:22
Maendeleo ya wananchi ni jambo muhimu katika taifa lolote duniani na ili wananchi waishi maisha bora, ni lazima kuwepo ushirikiano kati ya serikali na taasisi za dini katika kuhakikisha jamii inapata huduma muhimu kama elimu, afya, usalama, na maadili mema.…
20 May 2026, 13:03
Ulinzi shirikishi ni mfumo wa usalama unaohusisha ushirikiano kati ya wananchi, vyombo vya dola na viongozi mbalimbali katika kuhakikisha jamii inakuwa salama muda wote na mfumo huu unalenga kuwafanya wananchi kuwa sehemu ya ulinzi wa maeneo yao badala ya kuacha…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.