Joy FM
Joy FM
30 June 2026, 11:39
Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yana mchango mkubwa katika maendeleo ya jamii kwa kushirikiana na Serikali kutoa huduma mbalimbali kama elimu, afya, mazingira, haki za binadamu na ustawi wa jamii. Na Filbert Gabriel Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) nchini yameshauriwa…
30 June 2026, 09:03
Ardhi ni rasilimali muhimu inayochangia maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla kupitia matumizi bora ya ardhi, shughuli mbalimbali za kiuchumi kama vile kilimo, ufugaji, makazi na uwekezaji hupangwa kwa ufanisi, jambo linalosaidia kuongeza uzalishaji, kulinda mazingira na kudumisha amani…
29 June 2026, 14:35
Serikali imeendelea kutekeleza mpango wa utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kupitia Halmashauri mbalimbali nchini kwa lengo la kuwawezesha wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kujikwamua kiuchumi. Na Emmanuel Kamangu Jumla ya zaidi ya shilingi milioni 600 zimetolewa na Halmashauri…
29 June 2026, 13:08
Umoja wa viongozi wa dini ni jambo muhimu sana katika kuleta amani, maadili na maendeleo katika jamii na viongozi wa dini wana nafasi kubwa ya kuwaongoza waamini katika njia sahihi zinazompendeza Mungu na pia zinazochangia ustawi wa jamii kwa ujumla…
29 June 2026, 08:53
Serikali ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na changamoto zao zinatatuliwa kwa wakati na mojawapo ya njia zinazosaidia kufanikisha jambo hili ni viongozi kuwafikia wananchi moja kwa moja, kusikiliza maoni yao na kutafuta suluhisho la matatizo yanayowakabili Na…
29 June 2026, 08:36
Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu imetoa mikopo yenye thamani ya shilingi 608,965,100 kwa vikundi 53 vya wajasiriamali kupitia asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri, ikiwa ni sehemu ya kuwawezesha wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kujikwamua kiuchumi. Akizungumza…
29 June 2026, 08:21
Elimu kuhusu ukatili ni sehemu muhimu ya kulinda usalama, afya, na ustawi wa watoto na inapaswa kutolewa kwa lugha na mbinu zinazolingana na umri wa mtoto kwa mazingira yanayowafanya wajisikie salama kuuliza maswali na kutoa taarifa wanapohitaji msaada Na Mwandishi…
26 June 2026, 14:20
Ukatili wa kijinsia ni tatizo linaloathiri wanawake, wanaume na watoto ingawa mara nyingi jamii huzungumzia ukatili dhidi ya wanawake, wanaume pia hukumbana na vitendo vya ukatili katika familia na sehemu nyingine za maisha Na Timoth Leonard Wakati dunia ikiendelea kuhamasisha…
26 June 2026, 13:02
Ndoa ni msingi muhimu wa familia na jamii kwa ujumla na familia yenye amani hujenga mazingira mazuri ya malezi na maendeleo ya watoto. Hata hivyo, migogoro katika ndoa imekuwa ikiongezeka kutokana na sababu mbalimbali. Sababu za kiuchumi, mawasiliano duni, maadili…
25 June 2026, 14:00
Ugonjwa wa kifua kikuu bado ni moja ya changamoto za kiafya zinazokabili jamii nyingi nchini Tanzania pamoja na juhudi zinazofanywa na Serikali pamoja na wadau wa afya katika kutoa elimu na huduma za matibabu, bado baadhi ya wananchi wanaendelea kushikilia…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.