Joy FM

Recent posts

21 March 2026, 14:07

Upatikanaji wa maji Buhigwe ni 84.3%

Maji ni rasilimali muhimu katika maisha ya binadamu na viumbe hai kwa ujumla na ustawi wa jamii umehusishwa moja kwa moja na upatikanaji wa maji safi na salama kwa afya ya binadamu kwa waananchi wanapopata maji safi na salama, huweza…

21 March 2026, 12:40

Wananchi Kasulu wasogezewa huduma ya afya karibu

Takribani wananchi elfu 32 kutoka vijiji vya Kata ya Kagerankanda Halmashauri ya Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma wanatarajia kupata huduma za afya karibu baada ya Serikali kujenga kituo cha afya katika kata hiyo ambacho kipo mbioni kuanza kutoa huduma kwa wananchi…

18 March 2026, 14:48

TAKUKURU Kigoma yatoa Iftar kujumuika na jamii

Vitendo vya ukatili ambavyo vimeendelea kutokea katika jamii viongozi wa dini wamehimizwa kuendelea kutoa elimu ili kusaidia kudhibiti vitendo hivyo Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Chuachua, ametoa wito kwa viongozi na waumini wa dini ya…

18 March 2026, 13:42

Viongozi watakiwa kusimamia urejeshaji wa mikopo ya 10% Kasulu

Urejeshwaji wa mikopo inayotolewa na Halmashauri unasidia kuweza kuongeza kasi ya utoaji wa mikopo mingine kwa vikundi vingine vyenye uhitaji wa mikopo Na Hagai Ruyagila Watendaji wa kata na Mitaa halmashauri ya mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia na kufuatilia…

17 March 2026, 15:59

DC Kigoma apongeza serikali kuimarisha upatikanji wa umeme

Vitongoji 316 Mkoani Kigoma vinatarajia kupata umeme  ambapo serikali imetenga zaidi ya shilingi bilioni 54 ili kusaidia wananchi kujikwamua kiuchumi Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Chuachua, ameishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Rais…

17 March 2026, 11:08

Majiko banifu zaidi ya 400 yatolewa kwa wananchi Kasulu

Majiko banifu yamekuwa suluhisho muhimu katika kukabiliana na changamoto za kimazingira na kijamii katika nchi nyingi zinazoendelea, ikiwemo Tanzania na kwa muda mrefu jamii nyingi zimekuwa zikitegemea kuni na mkaa kama vyanzo vikuu vya nishati ya kupikia hali ambayo imesababisha…

17 March 2026, 10:24

Askofu awalilia waliofariki ajali ya boti ziwa Tanganyika

Siku chache baada ya ajali ya boti iliyosababisha vifo vya watumishi wa idara ya afya wa Halmashauri ya Wilaya Kigoma, baadhi ya viongozi wa dini na waumini wa kanisa la Anglikana wamesema maisha ya binadamu hapa duniani ni muda na…

16 March 2026, 12:11

Waoteshaji miti wataka elimu ya upandaji miti itolewe Kibondo

Utunzaji wa mazingira ni jambo muhimu kwa maisha ya binadamu na viumbe wengine duniani na katika miaka ya hivi karibuni, dunia imekumbwa na changamoto kubwa ya mabadiliko ya tabianchi ambayo imesababisha mabadiliko ya hali ya hewa kama vile ukame, mafuriko…

13 March 2026, 14:36

Sita wafa maji Ziwa Tanganyika

Watumishi wa afya 6 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wamefariki baada ya kupinduka kwa boti waliyokuwa wakiitumia kwenda kusambaza dawa katika katika eneo la Kagunga Wilaya ya Kigoma. Jumla ya watu  sita wamefariki na wengine 9 wameokolewa kufuatia ajari…

13 March 2026, 14:01

Kituo cha zana za kilimo chazinduliwa kusaidia wakulima Uvinza

Zana za kilimo ni vifaa vinavyotumika kurahisisha shughuli za kilimo kama kulima, kupanda, kupalilia na kuvuna na zina umuhimu mkubwa kwa wananchi hasa wanaotegemea kilimo kama chanzo cha maisha. Na Mwandishi wetu Wananchi wa Kijiji cha Nyanganga, Kata ya Kazuramimba,…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.