Joy FM
Joy FM
17 June 2026, 21:03
Waamini wa dini ya kikristo na wasio wakristo Mkoani Kigoma wameaswa kuondokana na imani za kishirikina na badala yake kumfanya Mungu kuwa ngome katika maisha yao. Hayo yamesemwa na Rd Matiasi Kalihadya katika misa takatifu iliyoambatana na ibada ya uzinduzi…
17 June 2026, 20:49
Elimu ya ukatili imeendelea kutolewa katika makundi mbalimbali lengo likiwa ni kuhakikisha vitendo vya ukatili vinaisha kwebye jamii ambavyo vimekuwa vikipoteza ndoto za mabinti. Na Lucas Hoha Baadhi ya watoto wa kike ambao wamepata changamoto ya kubeba ujauzito katika umri…
15 June 2026, 17:02
Serikali imeendelea kuwezesha vikundi mbalimbali vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kupitia mikopo inayotolewa na Halmashauri kupitia mapato ya ndani ili viweze kufanya shughuli za uzalishaji mali. Na Sadick Kibwana Serikali Mkoani Kigoma imetoa zaidi ya shilingi bilioni mbili…
13 June 2026, 20:27
Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanali Isaac Mwakisu amesema Mkoa wa Kigoma una fursa nyingi za kiuchumi ambazo zinaweza kutumiwa na kuwanufaisha wananchi. Na Sadick Kibwana Waumini wa dini ya Kikristo Mkoani Kigoma wametakiwa kuchangamkia fursa za kiuchumi zinazowazunguka ili kukuza…
13 June 2026, 15:21
Serikali imewaasa kina mama kuambatana na wenza wao wanapoenda kliniki ikiwa ni mojawapo ya mkakati wa kukabiliana na vifo vya watoto. Na Emmanuel Kamangu Wenza katika Halmashauri ya mji wa kasulu wametakiwa kushiriki kikamilifu kiliniki ya baba na mama ili…
13 June 2026, 13:29
Licha ya elimu ya kuchukua tahadhari dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola kuendelea kutolewa bado ugonjwa wa Ebola haujaripotiwa kuwepo nchini Tanzania. Na Emmanuel Kamangu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dkt. Damas Kayera ameendelea kutoa rai kwa wananchi…
13 June 2026, 13:16
Wakati vikundi mbalimbali vilivyokidhi vigezo na kupokea mikopo vikiwa vinaendelea utekelezaji wa miradi yao timu ya kutathimini mikopo imewatembelea ili kujionea shughuli wanazofanya Na Mwandishi wetu Timu ya tathmini ya vikundi ngazi ya Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza imetembelea vikundi…
13 June 2026, 12:55
Mabadiliko ya tabianchi yamekuwa yakiathiri sehemu kubwa ya ustawi wa watu wenye ulemavu, wanawake na vijana katika shughuli mbalinbali za uzalishaji mali. Na Mwandishi wetu Shirika la Umoja wa Mataifa la Usawa wa Jinsia na Uwezeshaji wa Wanawake (UN Women)…
10 June 2026, 16:31
Rushwa ya ngono imeendelea kuwa mwiba kwa wanawake katoka maeneo mbalimbali ya utafitaji wa wanawake kitu ambacho kimeendelea kuwarudisha nyuma na kushindwa kufikia ndoto zao. Na Timotheo Leonard Wanawake wachuuzi wa samaki katika soko la Kibirizi Manispaa ya Kigoma Ujiji,…
10 June 2026, 16:09
Serikali Wilayani Kakonko Mkoani kigoma imesema inaweendelea kuweka mazingira rafiki na wezeshi kwa wawekezaji ili waweze kuwekeza katika Wilaya hiyo. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kakonko, Kanali Evance Mallasa, kwa kushirikiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.