Joy FM

Recent posts

9 March 2026, 12:48

TPF-NET Kibondo watoa msaada kwa watoto wenye mahitaji

Watoto wenye mahitaji maalum ni watoto ambao wanahitaji msaada wa ziada katika maisha yao ya kila siku kutokana na changamoto za kimwili, kiakili au kijamii kutokana na kuwa watoto hawa ni sehemu ya jamii na wana haki sawa kama watoto…

9 March 2026, 12:32

Vikundi 142 vya wanawake vyanufaika na mikopo Kasulu

Mikopo ni fedha zinazotolewa na taasisi za kifedha au mashirika mbalimbali kwa watu binafsi au vikundi ili kuwasaidia kuanzisha au kuendeleza shughuli za kiuchumi kwa wanawake huunda vikundi maalum ili kupata mikopo kwa urahisi zaidi. Na Hagai Ruyagila Zaidi ya…

9 March 2026, 09:18

Jamii yaaswa kutofumbia macho ukatili Kakonko

Kutoa taarifa za ukatili ni jukumu la kila mwanajamii kwani kutasaidia kulinda maisha ya watu, kuwapatia wahanga msaada, kuzuia ukatili kuendelea na kuhakikisha haki inatendeka. Na Dotto Josephati Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa kuachana na tabia ya kufumbia macho vitendo vya…

9 March 2026, 08:12

Toeni taarifa za vitendo vya ukatili “DC Uvinza”

Ukatili ni tatizo kubwa katika jamii nyingi na unaweza kutokea majumbani, shuleni, kazini au katika maeneo ya umma, mara nyingi wahanga wa ukatili hukosa msaada kwa sababu watu wanaoshuhudia au wanaojua kuhusu vitendo hivyo hushindwa kutoa taarifa. Na Mwandishi wetu…

9 March 2026, 07:59

Wanawake waaswa kuwekeza ili kujikwamua kiuchumi Kigoma

Jamii mkoani Kigoma imetakiwa kutoa taarifa kwa wakati  kuhusu vitendo vya ukatili vinavyotendeka dhidi ya wanawake na watoto ili kudumisha ulinzi na usalama kwa makundi hayo. Na Mwandishi wetu Wanawake mkoani Kigoma wamehimizwa kuendelea kutumia fursa zilizopo kuwekeza katika shughuli…

6 March 2026, 16:30

Wananchi kunufaika na bima ya afya Kasulu

Bima ya afya kwa wote ni mpango unaolenga kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma za matibabu bila kuathiriwa na gharama za matibabu hii ni baada ya serikali kuimarisha mfumo wa bima ya afya ili kuwasaidia wananchi kupata huduma bora za afya.…

6 March 2026, 16:02

Watendaji watakiwa kusikiliza kero za wanachi Kasulu

Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanal Isaac Mwakisu amewataka viongozi wa serikali za mitaa kufanya kazi karibu na wananchi ili waweze kutambua changamoto zao na kuzitatua Na Hagai Ruyagila Watendaji wa Kata na Mitaa katika halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma…

6 March 2026, 11:36

VETA Kigoma yaendelea kukuza ujuzi kwa vijana

Katika dunia ya leo, ujuzi wa kazi ni muhimu kwa maendeleo ya vijana na taifa kwa ujumla na wengi wanahitaji mafunzo ya vitendo ili waweze kujitegemea na kuchangia katika maendeleo ya jamii ambapo VETA imekuwa na mchango mkubwa katika kuwasaidia…

6 March 2026, 10:19

Wanawake waaswa kutumia fursa za kiuchumi Buhigwe

Wanawake ni sehemu muhimu ya jamii na wana mchango mkubwa katika maendeleo ya familia na taifa kwa ujumla ambapo katika dunia ya sasa kuna fursa nyingi zinazowazunguka wanawake kama vile elimu, biashara, kilimo na ajira na wanapochangamkia fursa hizo wanaweza…

5 March 2026, 12:29

Wafanyabiashara walia ukosefu wa soko

Serikali katika Halmashauri ya Wilaya Uvinza Mkoani Kigoma imesema imeanza utekeleza wa ujenzi wa soko la Kazuramba ili kujenga soko litakalosaidia wafanyabiashara Na Orisa Sayon Wafanyabiashara wadogo katika soko la Kazurumimba Halmashauri ya Wilaya ya UvinzaMkoani Kigoma wameomba kujengewa sehemu…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.