Joy FM
Joy FM
9 April 2026, 17:09
Matumizi ya chupa zilizotumika kufungashia vyakula si salama kwa sababu yanaweza kusababisha magonjwa ya tumbo, sumu mwilini, na madhara ya muda mrefu kiafya. Na Emmanuel Kamangu Wanaotumia maziwa, asali, juisi na mafuta ambayo hutunzwa katika vifungashio vya chupa za plasitiki…
8 April 2026, 18:09
Wafanyabiashara na wajasiriamali katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanazingatia suala la usafi wa mazingira katika maeneo yao ili kudhibiti taka ambazo zimekuwa zikizagaa katika maeneonyao. Na Emmanuel Kamangu Halamshauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma…
8 April 2026, 13:17
Radi ni tukio la kiasili linalotokea wakati wa mvua kubwa na mawingu mazito, likihusisha umeme wenye nguvu unaoshuka kutoka angani kwenda ardhini na tukio hili linaweza kuwa hatari kwa maisha ya binadamu na mali. Na Michael Mpunije Mwanaume mmoja aliyefahamika…
8 April 2026, 13:02
Mradi unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 2.9 ambapo utakapokamilika utawarahisishia wananchi kupata huduma sambamba na kuimarisha utendaji kazi kwa watendaji kutokana na matumizi ya jengo hilo. Na Kadislaus Ezekiel Wananchi katika Halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, wamepongeza serikali…
6 April 2026, 12:51
Jamii imeendelea kukumbushwa umuhimu wa kudumisha upendo na amani kama msingi wa maisha ya imani na mshikamano wa kijamii. Na Hagai Ruyagila Waumini wa dini ya Kikristo katika Kata ya Murufiti, Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma, wameaswa kuendelea kuishi…
6 April 2026, 12:33
Mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia April 5, 2026 ikiambatana na upepo imesababisha nyumba kuanguka katika maeneo mbalimbali ya Manispaa ya Kigoma Ujiji na kuacha wananchi bila makazi. Na Mwandishi wetu Zaidi ya kaya 25 katika kata za Majengo na Kipampa…
6 April 2026, 11:38
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amezindua kambi ya matibabu ya macho bila malipo, inayoendelea katika Kituo Cha Kiislam cha Alhulbayt-Ujiji, Manispaa ya Kigoma Ujiji. Na Mwandishi Wetu, Wananchi zaidi ya watu 1500 kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa…
3 April 2026, 15:52
Wenyeviti wa mitaa pamoja na mabalozi wametakiwa kuongeza juhudi katika kudhibiti vitendo vya ukatili vinavyoendelea kujitokeza katika jamii. Hayo yameelezwa kufuatia ongezeko la matukio ya ukatili wa kijinsia, majumbani na dhidi ya watoto katika baadhi ya maeneo. Na Mwandishi wetu…
3 April 2026, 10:28
Benki ya CRDB Kigoma imetoa elimu ya fedha kwa vikundi mbalimbali vilivyopo katika Manispaa ya Kigoma Ujiji lengo likiwa ni kuviwezesha vikundi hivyo kufahamu namna ya kutumia mikopo wanayopewa ili iweze kuwanufaisha zaidi. Na Tryphone Odace Mkuu wa Wilaya Kigoma…
1 April 2026, 15:17
Wanawake wafanyabiashara wengi wao wanasisitiza uwepo wa mazingira ya haki na heshima ili waweze kuchangia kikamilifu katika maendeleo ya uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla. Na Orida Sayon na Tryphone Odace Wanawake wafanyabiashara wa mazao ya uvuvi Mkoani Kigoma…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.