17 May 2024, 13:00

Wavuvi Kigoma wapewa maboya kujikoa wakiwa ziwani

Serikali imewataka wavuvi wanaofanya shughuli za uvuvi ndani ya Ziwa Tanganyika kuchukua tahadhari wakiwa ziwani ili kujinga na majanga ya kuzama majini wakiwa wanaendelea na shughuli za uvuvi. Na Orida Sayon – Kigoma Mc Jumla ya vifaa vya uokoaji maboya…

On air
Play internet radio

Recent posts

17 May 2024, 16:18

Afariki kwa shoti ya umeme akiiba nyaya

Wizi na uharibifu wa miundombinu ya umeme umeendelea kushamiri nchini na kusababisha vifo kwa wanaohujumu miundombinu hiyo. Na Michael Mpunije Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 17 hadi 20 mkazi wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma amefariki…

17 May 2024, 15:29

Madiwani Kigoma Ujiji wakerwa utendaji kazi mbovu wa mkurugenzi

Mkurugenzi wa manispaa ya Kigoma Ujiji yupo hatarini kupigiwa kura ya kumkataa baada ya madiwani kumtuhumu kuwa hashirikiani na viongozi wa manispaa hiyo na kuwa chanzo cha miradi ya maendeleo kushindwa kusonga mbele. Na, Josephine Kiravu – Kigoma Baraza la…

17 May 2024, 14:41

Serikali yagawa vifaa kwa shule zenye wanafunzi wa MEMKWA

Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo katika kuhakikisha inaboresha elimu nchini kwa wanafunzi. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma Mwl. Vumilia Simbeye amekabidhi vifaa vya shule kwa wakuu wa shule 16…

17 May 2024, 13:00

Wavuvi Kigoma wapewa maboya kujikoa wakiwa ziwani

Serikali imewataka wavuvi wanaofanya shughuli za uvuvi ndani ya Ziwa Tanganyika kuchukua tahadhari wakiwa ziwani ili kujinga na majanga ya kuzama majini wakiwa wanaendelea na shughuli za uvuvi. Na Orida Sayon – Kigoma Mc Jumla ya vifaa vya uokoaji maboya…

16 May 2024, 10:53

Makanika atoa msaada kwa waathirika wa mafuriko

Serikali imesema itaendelea kuwasaidia wananchi walipata madhara ya nyumba na mali zao kuharibika kufuatia mvua zilizonyesha na kuacha simanzi kwa wananchi katika vijji vya jimbo la kigoma kaskazini ikiwemo pamila, nyarubanda na mwamgongo. Na Tryphone Odace – Kigoma Dc Wananchi…

15 May 2024, 12:59

Watumishi wa serikali watakiwa kusimamia ukusanyaji mapato

Serikali wilayani kasulu mkoani kigoma imesema itandelea kushirikiana na viongozi wote ngazi za chini katika kusimamia ukusanyaji wa mapato ili yaweze kusaidia katika utelekezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Na Hagai Ruyagila – Michael Mpunije Mkuu wa wilaya ya Kasulu…

15 May 2024, 12:30

Viongozi watakiwa kutoa taarifa za miradi kwa wanahabari

Viongozi wa ngazi mbalimbali mkoani kigoma wametakiwa kuwa karibu na wanahabari ili kufahamu miradi mbalimbali inayotekelezwa kwenye maeneo yao. Na Lucas Hoha – Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali mstaafu wa jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye…

15 May 2024, 09:40

Migogoro ya kifamilia huathiri malezi na makuzi ya watoto

Serikali ya mkoa wa Kigoma imesema kuwa wazazi kwa kushirikiana na jamii hawana budi kukaa na kutatua migogoro ya familia ili iwe suluhisho la watoto kukua katika maadili na malezi bora. Na Josephine Kiravu – Kigoma Katibu tawala mkoani Kigoma…

13 May 2024, 15:41

UNHCR na tanzania zatoa msimamo kwa wakimbizi wa burundi.

Wakimbizi wa nchi ya burundi wanaohifadhiwa mkoani Kigoma, wametakiwa Kurejea Nchini Burundi mara moja ili kuungana na ndugu zao kujenga Taifa hilo,  kabla ya kufutiwa hadhi ya Ukimbizi  na kukosa misaada ya Kibinadamu ifikapo Mwezi Desember Mwaka huu. Na, Lucas…

10 May 2024, 16:00

DC Kasulu: Wakulima msiuze mazao kiholela

Katika kukabiliana na njaa pamoja na uhaba wa chakula serikali imewahimiza wakulima kuhakikisha hauwazi mazao kiholela. Na Hagai Ruyagila Wakulima wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuepuka kuuza mazao yao ili kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa chakula. Rai hiyo imetolewa…

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!