Joy FM
90.5 MHz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
0622097953
radiojoy@radiojoy.co.tz
https://radiojoyfm.co.tz/
90.5 MHz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
0622097953
radiojoy@radiojoy.co.tz
https://radiojoyfm.co.tz/
Uboreshwaji wa soko lolote kunachochea ukuaji wa biashara ndogo na za kati, kuongeza ajira, pamoja na kuinua uchumi wa eneo husika. Na Hagai Ruyagila Wananchi wa Kata ya Heru Juu, Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuboresha miundombinu…
19 June 2026, 22:06
Mpango huo umetajwa na kuwa na manufaa kwa wakulima iwapo utasimamiwa vizuri na kuhakikisha wakulima wanapata faida Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Mh. Dinah Mathamani, ameongoza kikao cha wadau wa zao la pamba kilichofanyika Juni 19, 2025…
19 June 2026, 20:44
Uzinduzi wa mahakama hizo kunatajwa kusogeza huduma karibu na wananchi ambao walitumia muda mwingi kufuata huduma za mahakama mbali na maeneo yao Na Timotheo Leonard Mahakama za Mwanzo za Bangwe, Herujuu na Manyovu zimezinduliwa rasmi leo Juni 19, 2026 mkoani…
18 June 2026, 20:15
Mlima Sunzu umekabidhiwa kwa Wakala wa Misitu Tanzania TFS huku baadhi ya wananchi wakieleza kutoridhishwa na uamzi huo Na Sadick Kibwana Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imekabidhi umiliki wa Mlima Sunzu kwa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania…
18 June 2026, 19:28
Usafi wa mazingira ni muhimu kwa afya ya jamii kwani husaidia kupunguza magonjwa ya mlipuko Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amezindua mkakati wa Usafi wa Mazingira kwa Mkoa wa Kigoma unaolenga kuweka mwelekeo wa…
18 June 2026, 13:30
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro, amewataka wananchi pamoja na wadau wa usafiri majini kushirikiana na serikali katika kuimarisha usalama wa usafiri majini na ustawi wa mabaharia nchini. Balozi Sirro amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari…
18 June 2026, 09:50
Chuo cha Veta Kigoma kimeendelea kuweka mikakati ya kukabiliana na ukatili kwa kutoa elimu hiyo kwa wanafunzi kupitia dawati la jinsia lililoanzishwa chuoni hapo Na Timotheo Leonard Ukatili wa kijinsia unaendelea kuwa changamoto kubwa katika jamii, hali inayochochea juhudi za…
17 June 2026, 21:24
Elimu ya kuchukua tahadhari ya mlipuko wa ebola imeendelea kutolewa kwa wananchi huku kukiwa hakuna taarifa za uwepo wa ugonjwa huo hapa nchini. Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote…
17 June 2026, 21:03
Waamini wa dini ya kikristo na wasio wakristo Mkoani Kigoma wameaswa kuondokana na imani za kishirikina na badala yake kumfanya Mungu kuwa ngome katika maisha yao. Hayo yamesemwa na Rd Matiasi Kalihadya katika misa takatifu iliyoambatana na ibada ya uzinduzi…
17 June 2026, 20:49
Elimu ya ukatili imeendelea kutolewa katika makundi mbalimbali lengo likiwa ni kuhakikisha vitendo vya ukatili vinaisha kwebye jamii ambavyo vimekuwa vikipoteza ndoto za mabinti. Na Lucas Hoha Baadhi ya watoto wa kike ambao wamepata changamoto ya kubeba ujauzito katika umri…
15 June 2026, 17:02
Serikali imeendelea kuwezesha vikundi mbalimbali vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kupitia mikopo inayotolewa na Halmashauri kupitia mapato ya ndani ili viweze kufanya shughuli za uzalishaji mali. Na Sadick Kibwana Serikali Mkoani Kigoma imetoa zaidi ya shilingi bilioni mbili…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.