Joy FM
90.5 MHz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
0622097953
radiojoy@radiojoy.co.tz
https://radiojoyfm.co.tz/
90.5 MHz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
0622097953
radiojoy@radiojoy.co.tz
https://radiojoyfm.co.tz/
Uboreshwaji wa soko lolote kunachochea ukuaji wa biashara ndogo na za kati, kuongeza ajira, pamoja na kuinua uchumi wa eneo husika. Na Hagai Ruyagila Wananchi wa Kata ya Heru Juu, Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuboresha miundombinu…
10 July 2026, 11:07
Utekelezaji wa mradi wa kituo cha pamoja cha forodha unatajwa kuchochea na kukuza uchumi wa wananchi wa pande zote mbili Tanzania na Burundi Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amemuagiza Mkandarasi wa ujenzi wa mradi…
10 July 2026, 07:55
Katika dunia ya sasa, maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano yamebadilisha kwa kiasi kikubwa namna wanahabari wanavyokusanya, kuchakata na kusambaza habari na majukwaa ya kidijitali yamekuwa nyenzo muhimu katika kazi ya uandishi wa habari, pamoja na fursa hizo, yameibuka…
9 July 2026, 13:33
Kupokelewa kwa majengo ya Chuo cha Ufundi Maloregwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) kunatajwa kuwa hatua muhimu itakayochochea maendeleo ya elimu na uchumi wa wananchi wa wilaya hiyo. Na…
8 July 2026, 17:13
Ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo ni msingi muhimu wa kujenga jamii yenye maendeleo endelevu na miongoni mwa shughuli hizo ni kujitolea kushiriki katika ujenzi na matengenezo ya barabara, madaraja, shule na vituo vya afya Na Hagai Ruyagila Wakazi…
8 July 2026, 11:42
Ukatili wa kijinsia ni tatizo linaloathiri wanawake, wanaume na watoto katika jamii na kwa muda mrefu, jamii imekuwa ikielekeza zaidi macho kwa ukatili dhidi ya wanawake, hali iliyowafanya baadhi ya wanaume wanaopitia ukatili kushindwa kutoa taarifa kwa hofu ya kudharauliwa…
7 July 2026, 12:46
Kuimarisha ulinzi na usalama husaidia kulinda maisha ya wananchi na mali zao na hali hii huwafanya wananchi kuishi na kufanya shughuli zao bila hofu. Na Orida Sayon Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limesema limejipanga kikamilifu kuhakikisha ulinzi na usalama…
7 July 2026, 11:32
Amani ni msingi wa maendeleo ya taifa lolote duniani na bila amani hakuna maendeleo ya kudumu katika nyanja za uchumi, elimu, afya na ustawi wa jamii, hivyo kila mwananchi anapaswa kuitunza na kuilinda amani ili Tanzania iendelee kuwa taifa lenye…
6 July 2026, 11:56
Bei ya mazao ya kilimo ina mchango mkubwa katika maisha ya mkulima na maendeleo ya taifa kwa ujumla na miongoni mwa mazao hayo ni tumbaku, ambayo hulimwa katika baadhi ya maeneo nchini Tanzania na kuwa chanzo muhimu cha kipato kwa…
6 July 2026, 09:09
Amani ni hali ya utulivu, usalama na maelewano miongoni mwa watu katika jamii ni msingi muhimu unaowezesha wananchi kuishi kwa upendo, kufanya shughuli zao za kila siku na kushiriki katika maendeleo ya taifa Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya…
6 July 2026, 08:40
Ebola ni ugonjwa hatari wa kuambukiza unaoweza kusababisha madhara makubwa kwa afya na maisha ya watu ikiwa hautadhibitiwa mapema, kuimarisha utayari wa kukabiliana na Ebola katika Mkoa wa Kigoma ni hatua muhimu ya kulinda wananchi na kuhakikisha jamii inaendelea kuwa…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.