Joy FM

EWAKI yatoa bima za afya kwa kaya 30 za wazee Kigoma

21 March 2024, 08:59

Jumla ya kaya 30 za wazee wenye mahitaji maalum katika kata ya Murufyiti halmashauri ya mji Kasulu mkoani Kigoma zimepatiwa msaada wa bima za afya ICHF zilizoboreshwa kutoka shirika la Endeleza Wazee Kigoma (EWAKI) ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za afya kwa wazee.

Ripoti yake Michael Mpunije inaeleza zaidi,

Michael Mpunije