13 November 2025, 09:04

RC Kigoma ataka miundombinu ya barabara mahale kuboreshwa

Serikali imetaka miundombinu ya barabara kuelekea hifadhi ya mahale kuimarishwa ili kurahsisha usafir wa watali Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, amewaelekeza Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, pamoja na Wakala wa Barabara za Mijini na…

On air
Play internet radio

Recent posts

31 March 2026, 10:56

Wakristo wamehimizwa kudumisha amani na upendo Kasulu

Amani na upendo huimarisha mshikamano wa kijamii na wat wanapoishi kwa kuheshimiana na kusaidiana, hujenga umoja unaowezesha jamii kuishi kwa utulivu bila migogoro. Na Hagai Ruyagila Wakristo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wamehimizwa kuendelea kuishi maisha ya kudumisha amani, upendo na…

31 March 2026, 10:00

Kituo cha pamoja cha biashara, Tanzania na Burundi kukuza uchumi

Kituo cha pamoja cha biashara kati ya Tanzania na Burundi kimetajwa kuwa chachu muhimu katika kukuza uchumi na kuimarisha mahusiano ya kibiashara kati ya nchi hizo mbili za Afrika Mashariki. Na Tryphone Odace Wananchi Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wameiomba serikali…

30 March 2026, 09:13

DC Kigoma ataka wasiozingatia usafi kuchukuliwa hatua

Usafi wa mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya kila siku ya binadamu, mazingira yanajumuisha sehemu tunazoishi, tunazofanyia kazi, pamoja na maeneo ya kijamii kama vile shule, masoko na hospitali. Na Mwandishi wetu Mkuu Wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid…

27 March 2026, 18:10

Maafisa usafirishaji wapewa mkopo wa pikipiki Kasulu

Serikali imeendelea kuwawezesha vijana kupitia mikopo ya asilimia kumi, huku waendesha bodaboda katika Kata ya Makere wilayani Kasulu mkoani Kigoma wakisema hatua hiyo imebadili maisha yao kwa kiasi kikubwa. Na Mwandishi wetu Umoja wa maafisa usafirishaji maarufu kama bodaboda katika…

27 March 2026, 17:43

Wanachuo VETA Kigoma wachangia damu

Kuchangia damu ni tendo la kibinadamu lenye umuhimu mkubwa katika jamii yoyote ile na upatikanaji wake wa kutosha unaweza kuwa tofauti kati ya maisha na kifo kwa wagonjwa wengi. Na Lucas Hoha Wanachuo wa chuo cha ufundi Stadi Veta Kigoma…

27 March 2026, 13:08

Wananchi waomba kujengewa soko Ruhita Kasulu

Ujenzi wa masoko ni njia muhimu ya kuwawezesha wafanyabiashara kukua na kuboresha maisha yao pamoja na maendeleo ya jamii nzima. Na Hagai Ruyagila Wananchi wa Mtaa wa Kanazi, Kata ya Ruhita Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuwajengea…

27 March 2026, 11:12

Kibondo na barabara za lami mitaani

Wananchi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wameiomba serikali kupitia TARURA kuboresha barabara zote za mitaani ili ziweze kupitika kwa urahisi ili ziweze kuchochea maendeleo kupitia shughuli za usafirishaji Na Mwandishi wetu Seikali imeanza kuchukua hatu za kujenga barabara za mitaani kwa…

26 March 2026, 16:36

DC Kigoma aendesha kliniki ya ardhi kutatua migogoro

Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Chuachua leo Machi 25, 2026 ameanza Kliniki ya kutatua migogoro ya ardhi kwa Wananchi wenye matatizo ya ardhi Manispaa ya Kigoma Ujiji. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wlaya ya Kigoma Dkt. Rashid Chuachua,…

26 March 2026, 13:17

Geuzeni taka kuwa chanzo cha kipato

Shirika la Catholic Relief Services (SRC) limeendelea kuwakutanisha makundi mbalimbali ya wananchi kwa lengo la kuwapa elimu ya uchumi rejeshi ili kusaidia kutunza mazingira na kuhifadhi maji ya ziwa Tanganyika Na Mwandishi wetu Wakazi wa Mkoa wa Kigoma wametakiwa kuchangamkia…

25 March 2026, 15:58

Kasulu watakiwa kuimarisha ulinzi shirikishi

Wananchi wa Mtaa wa Kanazi Kata ya Ruhita Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kushirikiana kwa karibu na Jeshi la Polisi katika kuimarisha ulinzi shirikishi, ili kuhakikisha usalama wa wananchi na mali zao unaendelea kudumishwa. Wito huo umetolewa na…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.