Joy FM
90.5 MHz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
0622097953
radiojoy@radiojoy.co.tz
https://radiojoyfm.co.tz/
90.5 MHz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
0622097953
radiojoy@radiojoy.co.tz
https://radiojoyfm.co.tz/
Serikali imetaka miundombinu ya barabara kuelekea hifadhi ya mahale kuimarishwa ili kurahsisha usafir wa watali Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, amewaelekeza Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, pamoja na Wakala wa Barabara za Mijini na…
28 January 2026, 15:04
Familia ni msingi muhimu sana katika malezi na ukuaji wa mtoto kwani mtoto hupata upendo, ulinzi, maadili na mwelekeo wa maisha, hata hivyo, pale migogoro inapojitokeza mara kwa mara ndani ya familia, huathiri vibaya maendeleo ya ukuaji wa mtoto katika…
28 January 2026, 13:19
Kanisa la EAGT Jimbo la Kasulu Mkoani Kigoma limesema litaendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania kwa kuiombea ili kuhakikisha taifa linaendelea kuwa na amani, utulivu na utekelezaji bora wa miradi na mipango ya maendeleo. Kauli hiyo imetolewa na Askofu wa…
28 January 2026, 12:53
Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya Kasulu wametakiwa kuendelea kusimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao ili iweze kuwa na ubora unaokusudiwa Na Emmanuel Kamangu Mkuu wa Mkoa wa kigoma IGP Mstafu Balozi Simon Sirro amewataka madiwani katika Halmashauri ya…
27 January 2026, 15:42
Jamii katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma imetakiwa kuwa na desturi ya kupanda miti katika maeneo yanayowazunguka Na Hagai Ruyagila Watumishi wa Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wameadhimisha siku ya kuzaliwa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
27 January 2026, 08:04
Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kijitokeza na kuwasaidia vijana wanaoishi katika mazingira magumu ili waweze kufikia ndoto zao Na Mwandishi wetu Shirika la Maendeleo la watu wa Ubelgiji (Enabel) kupitia Programu ya wezesha binti, limekabidhi vifaa mbalimbali…
26 January 2026, 15:50
Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Kata ya Itebula Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma wameomba serikali na wadau kuwasaidia baada ya nyumba zao kuezuliwa na mvua iliyoambatana na upepo na kusababisha nyumba na mali zao kuharibika. Na Timotheo Leonard Mvua kubwa iliyonyesha…
26 January 2026, 14:37
Mkuu wa Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma amewataka wazazi kuhakikisha usalama wa watoto wakati wa kwenda shuleni hasa wanaovuka mito wakati wa kwenda shule. Na Hagai Ruyagila Wazazi na walezi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma, wametakiwa kuwa waangalifu kwa kuimarisha usalama wa…
26 January 2026, 10:02
Jeshi la Polisi Nchini Burundi limefanikiwa kuzima moto ambao ulikuwa unateketeza soko la Siyoni na kusababisha taharuki kwa wafanyabiashara Na Bukuru Daniel Wakazi wa Bujumbura karibu na soko la Jiji, linalojulikana kama Siyoni, wanasema magari ya zima moto na polisi…
21 January 2026, 16:48
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu amewataka watumishi wa Halmashauri hiyo ili kuhakikisha wanasimamia na kushirikiana kikamilifu katika kubuni na kuimarisha vyanzo mbalimbali vya mapato. Na Hagai Ruyagila Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imekisia kukusanya na…
21 January 2026, 14:28
Idara ya uhamiaji Mkoani Kigomma imeendelea na kampeni ya mjue jirani yako yenye lengo la kuwabaini wahamiaji haramu wanaoishi nchini kinyume cha sheria Na Sadick Kibwana Wananchi wametakiwa kutoa taarifa za uwepo wa wahamiaji wanaoishi maeneo yao kinyume na sheria…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.