Joy FM
90.5 MHz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
0622097953
radiojoy@radiojoy.co.tz
https://radiojoyfm.co.tz/
90.5 MHz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
0622097953
radiojoy@radiojoy.co.tz
https://radiojoyfm.co.tz/
Serikali imetaka miundombinu ya barabara kuelekea hifadhi ya mahale kuimarishwa ili kurahsisha usafir wa watali Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, amewaelekeza Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, pamoja na Wakala wa Barabara za Mijini na…
17 February 2026, 10:51
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Kasulu Mjini (KUWASA) imesema inaendelea kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi ili kuhakikisha wanapata maji safi na salama kwa matumizi ya kila siku. Akizungumza kuhusu hali ya huduma hiyo, Kaimu…
17 February 2026, 10:42
Wabunge mkoani Kigoma wametaka miundombinu mibovu ya barabara kupatiwa ufumbuzi, ili kuondoa adha kwa wajawazito kupoteza maisha wakiwa njiani kufuata huduma maeneo mengine na wananchi kushidwa kusafiri Na Kadislaus Ezekiel Changamoto ya ukosefu wa daraja katika Mto Maragalasi Kijiji cha…
16 February 2026, 16:36
Wakala wa barabara za mijini na vijijini TARURA pamoja na Wakala wa barabara Nchini TANROADS Mkoa wametakiwa kuwaelekeza wakandarasi kutochimba vifusi jirani na maeneo ya makazi Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro ameongoza kikao cha…
13 February 2026, 16:18
Katibu tawala Mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa amewataka wataalamu wa afya Mkoani Kigoma kufanya kazi kwa weledi katika utekelezaji wa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali Na Sadick Kibwana Zaidi ya wajawazito 3,000 wanatarajia kunufaika na kitita jumuishi cha afya ya…
13 February 2026, 14:54
Halmashauri ya Mji wa Kasulu kupitia baraza la madiwani lililo keti hivi karibuni walikubaliana kukusanya na kutumia kiasi cha zaidi ya shilingi billion 40 kwa mwaka wa fedha 2026/27 hivyo oparesheni hiyo ni moja na mwanzo kwa halmashauri hiyo kukusanya…
13 February 2026, 14:15
Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imewataka walimu wakuu wa shule za Sekondari kuhakikisha wanasimamia nidhamu ili kuongeza ufaulu Na Hagai Ruyagila Wakuu wa Shule za Sekondari katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia suala la nidhamu…
13 February 2026, 10:05
Watoto yatima ni sehemu muhimu ya jamii yetu na hawa ni watoto waliopoteza wazazi wao au walezi wao, hivyo hukosa malezi, ulinzi na msaada wa karibu wa kifamilia na kutokana na hali hiyo, watoto yatima hukumbana na changamoto nyingi kama…
11 February 2026, 13:36
Jeshi la Polisi wilayani Kasulu mkoani Kigoma limewataka maafisa usafirishaji maarufu bodaboda kutokuwa sehemu ya uvinjifu wa amani. Na Hagai Ruyagila Maafisa usafirishaji maarufu kama bodaboda wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuepuka kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani, na…
10 February 2026, 11:39
Mwakilishi wa ubalozi wa Ufaransa nchini Tanzania amewasili Mkoani Kigoma kwa ajili ya kutembelea kambi za wakimbizi na kukagua miradi inayotekelezwa katika kambi za wakimbizi. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amekutana na Mwakilishi kutoka…
9 February 2026, 16:16
Watendaji wa idara ya ardhi Mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kutatua migogoro ya adhi ambayo imeendelea kujitokeza kwenye jamii Na Mwandishi wetu Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa, amewataka watendaji wa Idara ya Ardhi mkoani hapa…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.