13 November 2025, 09:04

RC Kigoma ataka miundombinu ya barabara mahale kuboreshwa

Serikali imetaka miundombinu ya barabara kuelekea hifadhi ya mahale kuimarishwa ili kurahsisha usafir wa watali Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, amewaelekeza Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, pamoja na Wakala wa Barabara za Mijini na…

On air
Play internet radio

Recent posts

9 January 2026, 11:53

Mikopo ya asilimia 10 ilivyoinua maisha ya wananchi Kigoma

Mikopo ni nyenzo muhimu ya kuwawezesha vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika kujenga maisha bora na kuchangia maendeleo endelevu Na Orida Sayon Baadhi ya wananchi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji hasa vijana wameomba kuendelea kupewa elimu ya mikopo ya…

8 January 2026, 14:23

TANTRADE kusaidia wazalishaji wa zao la mhogo Kakonko

Serikali wilayani Kakonko mkoani Kigoma kupitia TANTRADE imesema itawasaidia wakulima wa zao la mhogo kutafuta masoko ili waweze kuuza zao ndani na nje ya nchi na kuwa na soko la uhakika. Na Josephine Kiravu Wafanyabiashara wa zao la mhogo wilayani…

8 January 2026, 13:08

Mkandarasi ajenge vibanda vya biashara kwa wakati-RC Kigoma

Ujenzi wa vibanda vya biashara kwa ajili ya wajasiriamali vinavyoendelea kujengwa kando ya barabara vimetajwa kuwasaidia wafanyabiashara wadogo wadogo ambao wamekuwa wakipata changamoto ya mvua na jua wakati wa biashara zao. Na Lucas Hoha Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi…

8 January 2026, 08:41

IRC yakabidhi majengo yake kwa serikali Kigoma

Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanali Isack Mwakisu ameielekeza Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu kuhakikisha ndani ya kipindi cha siku 14 inaandaa maandiko yatakayobainisha matumizi ya majengo ya IRC Na Mwandishi wetu Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma imekabidhiwa rasmi…

7 January 2026, 14:21

RC Sirro amkalia kooni mkandarasi soko la Mwanga

Ujenzi wa soko la Mwanga Manispaa ya Kigoma unaoendelea unatajwa kuwa utakapokamilika utasaidia wafanyabiashara kupata sehemu salama ya kufanyia biashara zao. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simoni Nyakoro Sirro amemtaka Mkandarasi wa Ujenzi wa Soko la…

7 January 2026, 08:59

RC Kigoma asema hali ya usalama ni shwari

Serikali inaendelea kuchukua hatua katika kuboresha utendaji kazi wa Jeshi la Polisi kwa kuongeza kiasi kikubwa nyenzo za usafiri ili kurahisisha ufikiwaji wananchi na kutatua changamoto zao za kiusalama Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro…

6 January 2026, 14:21

Uhamiaji Kigoma waja na mkakati wa mjue jirani yako

Wananchi Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kutoa taarifa za watu wanaingia na kuishi Nchini kinyume cha sheria ili waweze kuchukuliwa hatua za kisheria Na Orida Sayon Jeshi la uhamiaji Mkoani Kigoma limesema limeanza mkakati wa kudhibiti uhamiaji haramu kutoka nchi jirani…

6 January 2026, 10:56

Serikali yaimarisha dhana ya polisi jamii kwa kusogeza huduma

Maofisa wa Polisi kutoka katika mikoa mitatu ya Kigoma, Tabora na Kagera wamepatiwa elimu kuhusu dhana ya Polisi Jamii Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi kupitia Kamisheni ya Polisi jamii limeendesha mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uwezo Maofisa wa…

1 January 2026, 14:37

Rais wa Burundi aomba Rwanda kusema ukweli

Rais Evariste Ndayishimiye ameishutumu Rwanda kwa madai ya kuyumbisha usalama ukanda wa maziwa makuu na Afrika masshariki na kuwa na nia mbaya kwa nchi ya Burundi. Katika hotuba ya mwaka mpya kwa warundi, rais Ndayishimiye alihusisha machafuko katika Jamhuri ya…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.