

Joy FM
90.5 MHz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
0622097953
radiojoy@radiojoy.co.tz
https://radiojoyfm.co.tz/
90.5 MHz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
0622097953
radiojoy@radiojoy.co.tz
https://radiojoyfm.co.tz/
Vitendo vya ukatili vinavyofanywa na wanafamilia au ndugu wa karibu na sehemu kubwa ya vitendo hivyo havitolewi taarifa kwenye vyombo vya sheria ambapo vimepelekea ongezeko la ukatili katika jamii Na Lucas Hoha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
7 April 2025, 17:01
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Kazi Maalum, Kapteni Mstaafu George Mkuchika akiwa katika ujenzi wa mradi wa kituo cha afya Makere ameeleza kuwa dhima ya serikali ni kuhakikisha wanaimarisha huduma za afya. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa…
3 April 2025, 16:50
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuhakikisha inakamilisha miradi yote ya maendeleo ili kufikisha huduma karibu na wananchi na kuchochea uchumi wa Taifa. Na Tryphone Odace Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu-Kazi Maalum, George Mkuchika amesema kuwa serikali imedhamiria kutekeleza…
1 April 2025, 15:16
Baada ya Serikali kuanza ujenzi wa reli ya kisasa SGR kutoka Tabora – Kigoma wananchi wameanza kunufaika na ujenzi kupitia miradi mbalimbali inayojengwa karibu na vijiji reli hiyo inapopita. Na Tryphone Odace – Buhigwe Wananchi wa jimbo la Buhigwe wilaya…
28 March 2025, 16:38
Serikali itaendelea kushirikiana na wafanyabiashara pamoja na mashirika mbalimbali kwa kutoa ujuzi wa namna bora ya kukuza biashara zao. Na Michael Mpunije Wajasiriamali na wafanyabiashara mkoani Kigoma wametakiwa kuwa wabunifu ili kuingia katika soko la biashara lenye kuleta tija na…
27 March 2025, 11:01
Serikali imeendelea kuhakikisha upatikanaji wa maji unakuwa mkubwa kwa wananchi wilayani Buhigwe. Na Kadislaus Ezekiel Wananchi wa vijiji 8 vya Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, wameomba serikali kusimamia wakandarasi wanaojenga miradi ya maji ili kuharakisha upatikanaji wa huduma…
27 March 2025, 10:42
Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu idara ya management ya maafa imetoa elimu kwa watendaji wa kata na mitaa katika Manispaa ya Kigoma Ujiji ya namna ya kupunguza madhara ya maafa kufuatia maafa ya mafuriko, magonjwa ya mlipuko…
27 March 2025, 08:34
Na Kadislaus Ezekeiel Kamati Ya Ulinzi na Usalama Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma, Imekanusha Uwepo wa Mapigano ya kutumia Silaha za jadi Kati ya Wananchi na Uongozi wa Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Mahale, Wakipinga Vitongoji vya MAHASA na KABUKUYUNGU…
26 March 2025, 16:35
Kikundi cha Upendo kilichopo chini ya Kanisa la Pentekoste Motomoto PMC Kibirizi kimetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wazee wanaoishi kambi ya Silabu Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma Na Orida SayonImekuwa ni utaratibu na desturi kwa kikundi cha upendo…
25 March 2025, 14:32
Serikali kupitia TARURA imeendelea kuboresha miundombinu ya barabara ili kurahisisha usafirishaji baada ya kupokea fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Na Hagai Ruyagila Zaidi ya shilingi bilioni 19 zimetolewa na serikali kupitia kwa Wakala wa barabara za mijini na…
25 March 2025, 13:01
November 24 mwaka 2021 aliyekuwa waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako alitangaza kuruhusiwa kurejea shuleni kwa wanafunzi waliokatisha masomo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito kurejea shuleni kwa mfumo rasmi baada ya kujifungua. Na Josephine Kiravu Wanafunzi…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.