13 November 2025, 09:04

RC Kigoma ataka miundombinu ya barabara mahale kuboreshwa

Serikali imetaka miundombinu ya barabara kuelekea hifadhi ya mahale kuimarishwa ili kurahsisha usafir wa watali Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, amewaelekeza Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, pamoja na Wakala wa Barabara za Mijini na…

On air
Play internet radio

Recent posts

5 December 2025, 09:05

Nyavu haramu 197 zateketezwa Uvinza

Mkuu wa Wilaya Uvinza Mkoani Kigoma Dinah Mathamani amesema wataendelea kufanya oparesheni ili kubaini na kukamata nyavu haramu zinazotumiwa na wavuvi ndani ya ziwa Tanganyika Na Mwandishi wetu Serikali wilayani Uvinza imeziteketeza nyavu haramu 197 katika Kijiji cha Rubengela kata…

4 December 2025, 17:44

Walia na mkandarasi kuelekeza maji kwenye nyumba zao Kigoma

Mkuu wa Wilaya Kigoma Dk. Rashid Chuachua ameagiza mkandarasi anayetekeleza mradi wa Bangwe – Ujiji kuhakikisha anajenga mitaro ya kupitisha maji ambayo yamekuwa yakiathiri wananchi. Na Lucas Hoha Baadhi ya wananchi wa kata ya Bangwe maeneo ya Magela Manispaa ya…

4 December 2025, 14:36

Madiwani watakiwa kuwatumikia wananchi Kasulu

Katibu tawala Mkoa wa Kigoma amewataka madiwani katika Halmashauri ya Wilaya Kasulu kuhakikisha wanawatumikia wananchi katika utekelezaji wa majukumu yao Na Emmanuel Kamangu Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na kusimamia vyema…

4 December 2025, 14:17

DC Kigoma asisitiza wanafunzi kupata chakula shuleni

Chakula ni sehemu muhimu sana katika maisha ya mwanafunzi shuleni hasa walio katika umri wa ukuaji, wanahitaji virutubisho vya kutosha kama protini, vitamini, madini, na wanga ili miili yao ikue kwa afya lishe duni inaweza kusababisha kudumaa, udhaifu, na magonjwa…

4 December 2025, 12:13

Ndalichako atoa gari la wagonjwa kituo cha afya Mwamintare Kasulu

Kituo cha afya cha Mwamintare kilichopo Halmashauri ya Mji wa Kasulu kinahudumia kata tatu ya Muhunga, Mganza na Heru Juu kwa wakazi 50887. Na Hagai Ruyagila Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini mkoani Kigoma Profesa Joyce Ndalichako amekabidhi gari la…

3 December 2025, 13:57

Vijana waaswa kuwa wazalendo kwa jamii na Taifa

Vijana  Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji  wameaswa kuacha kufanya   mambo yasiofaa katika jamii na Taifa kwa ujumla. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti  Msaidizi Mstaafu  wa makanisa ya CPCT Mkoa wa Kigoma, Mchungaji Augustino Japhari Kizeba wakati wa kilele cha sherehe za…

3 December 2025, 11:22

DAS Kasulu ataka madiwani kufanya kazi kwa umoja

Katibu tawala wa Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma Bi. Theresia Mtewele amewataka madiwani kushirikiana katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi Na Hagai Ruyagila Diwani wa Kata ya Kigondo, Ayubu Ngalaba (CCM), amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kasulu…

2 December 2025, 12:39

Madiwani waazimia kuongeza ukusanyaji mapato Kigoma

Manispaa ya Kigoma Ujiji kupitia kwa madiwani wamazimia kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato kutoka shilingi milioni 400 hadi milioni 500 ili kusaidia kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi kwa wananchi Na Lucas Hoha Baraza la madiwani katika Manispaa ya…

2 December 2025, 11:52

Madiwani watakiwa kutumikia wananchi kwa uaminifu Kigoma

Madiwani katika Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkaoni Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanafuatilia na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi katika maeneo yao Na Mwandishi wetu Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Elisante Mbwilo amewataka waheshimiwa madiwani kuwatumikia wananchi kwa uaminifu na uadilifu…

2 December 2025, 09:24

Wananchi waaswa kuendelea kulinda amani Kigoma

Amani ni nguzo muhimu katika maisha ya binadamu na msingi wa ustawi wa jamii yoyote ile bila amani, hakuna jambo linaloweza kufanikiwa ipasavyo na ndiyo maana jamii nyingi duniani huchukua hatua mbalimbali kuhakikisha kuwa amani inadumishwa na amani si jukumu…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.