Joy FM
Joy FM
3 July 2026, 15:42
Amani ni msingi wa maendeleo ya taifa lolote na bila amani, shughuli za kiuchumi, kijamii na kisiasa haziwezi kufanyika kwa ufanisi Na Hagai Ruyagila Wananchi wa Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wamehimizwa kuendelea kudumisha amani, umoja na mshikamano, huku…
3 July 2026, 12:56
Rushwa ni moja ya changamoto kubwa zinazokwamisha maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla kwani huathiri utoaji wa huduma za umma, hupunguza uwajibikaji na kudhoofisha imani ya wananchi kwa taasisi za serikali Na Sadick Kibwana Baadhi ya wakazi wa Wilaya…
2 July 2026, 11:01
Utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya ndani na Halmashauri ni moja ya mikakati ya Serikali ya kuwawezesha wananchi kiuchumi, hususan wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ili kusaidia kuendeleza na kupanua shughuli za uzalishaji na biashara, jambo…
1 July 2026, 16:59
Usimamizi wa miradi ya maendeleo ni muhimu kwa ajili ya manufaa ya wananchi na Taifa kwa ujumla Na Mwandishi wetu Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kigoma, imeendesha warsha maalum iliyowakutanisha wadau wa usimamizi wa utekelezaji…
1 July 2026, 12:48
Taifa lenye amani na utulivu hujengwa kwa ushirikiano wa wananchi, viongozi na taasisi mbalimbali za kijamii, ikiwemo taasisi za dini na mojawapo ya njia zinazotajwa kuchangia ustawi wa taifa ni kuwaombea viongozi ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, hekima…
1 July 2026, 12:13
Vyama vya ushirika vina mchango mkubwa katika kuboresha maisha ya wananchi kwa kuwawezesha kushiriki katika shughuli za kiuchumi, kuongeza kipato na kuimarisha maendeleo ya jamii ili vyama hivi viweze kufikia malengo yake, ni muhimu viendeshwe kwa kuzingatia misingi ya uwazi,…
30 June 2026, 11:39
Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yana mchango mkubwa katika maendeleo ya jamii kwa kushirikiana na Serikali kutoa huduma mbalimbali kama elimu, afya, mazingira, haki za binadamu na ustawi wa jamii. Na Filbert Gabriel Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) nchini yameshauriwa…
30 June 2026, 09:03
Ardhi ni rasilimali muhimu inayochangia maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla kupitia matumizi bora ya ardhi, shughuli mbalimbali za kiuchumi kama vile kilimo, ufugaji, makazi na uwekezaji hupangwa kwa ufanisi, jambo linalosaidia kuongeza uzalishaji, kulinda mazingira na kudumisha amani…
29 June 2026, 14:35
Serikali imeendelea kutekeleza mpango wa utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kupitia Halmashauri mbalimbali nchini kwa lengo la kuwawezesha wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kujikwamua kiuchumi. Na Emmanuel Kamangu Jumla ya zaidi ya shilingi milioni 600 zimetolewa na Halmashauri…
29 June 2026, 13:08
Umoja wa viongozi wa dini ni jambo muhimu sana katika kuleta amani, maadili na maendeleo katika jamii na viongozi wa dini wana nafasi kubwa ya kuwaongoza waamini katika njia sahihi zinazompendeza Mungu na pia zinazochangia ustawi wa jamii kwa ujumla…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.