Joy FM

Recent posts

16 April 2026, 09:38

Kigoma kuwa lango la uchumi Afrika Mashariki

Fursa nyingi za kiuchumi ambazo bado hazijatumika kikamilifu na kuleta tija ya kiuchumi kwa wananachi na taifa kwa ujumla zimeelzwa kuwepo katika Mkoa wa Kigoma Na Lucas Hoha Naibu waziri wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania David Londo amewahakikisha wawekezaji…

16 April 2026, 08:08

Biashara, uwekezaji chachu ya maendeleo Kigoma

Kongamano la biashara na uwekezaji ni chachu ya maendeleo ya Kigoma kwa sababu linafungua milango ya uwekezaji, linaimarisha biashara, na kuongeza ustawi wa wananchi na taifa kwa ujumla. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amesema…

15 April 2026, 14:47

Kibondo yaadhimisha siku ya mtoto anayeishi mtaani

Umuhimu wa kimataifa wa watoto wanaoishi mtaani ni suala kubwa la kijamii na haki za binadamu duniani na hii inahusisha juhudi za kulinda, kusaidia, na kuhakikisha watoto hawa wanapata haki zao za msingi Na Mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya…

15 April 2026, 13:10

Kamati yatembelea mradi wa kimkakati Kigoma

Ziara ya Kamati ya Uchumi inaelezwa kuwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha miradi ya kimkakati inaleta matokeo chanya, ikiwemo kuongeza ajira, kukuza uchumi wa ndani, na kuboresha maisha ya wananchi. Na Mwandishi wetu Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi, elimu na…

15 April 2026, 12:53

Vikundi vya kuweka na kukopa vyapewa elimu ya fedha Kasulu

Elimu ya fedha ni muhimu sana kwa vikundi vya kuweka na kukopa kwa sababu inasaidia wanachama kusimamia fedha zao kwa ufanisi na kuepuka hasara Na Hagai Ruyagila Serikali imeendelea kutoa elimu ya kifedha pamoja na mwongozo wa namna sahihi ya…

15 April 2026, 09:58

Majiko banifu yaleta afueni kwa kaya 1404 Uvinza

Majiko banifu ni aina ya majiko yaliyoboreshwa ili kutumia nishati kidogo na katika jamii nyingi, hasa vijijini, watu hutegemea kuni na mkaa kama vyanzo vikuu vya nishati ya kupikia kutokana na changamoto za kiafya, kiuchumi na kimazingira, matumizi ya majiko…

15 April 2026, 09:37

Serikali yapokea mtambo wa kuchakata mazao ya uvuvi Kigoma

Mitambo ya kuchakata husaidia kubadilisha samaki na mazao mengine ya uvuvi kuwa bidhaa zenye thamani zaidi kama samaki waliokaushwa, waliogandishwa au waliowekwa kwenye makopo Na Mwandishi wetu Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imepokea mtambo wa kisasa wa kuzalisha…

14 April 2026, 13:14

Plastiki kuhifadhi chakula kusababisha saratani ya tumbo

Kuhifadhi chakula kwenye vyombo vya plastiki ni jambo la kawaida, lakini linaweza kuwa na madhara fulani kiafya na kwa ubora wa chakula hasa kama plastiki si salama au ikitumika vibaya. Na Emmanuel Kamangu Wanaotumia vyombo vya plastiki kuhifadhia vyakula vya…

14 April 2026, 13:00

Injini mbili zawasili kwa ajili ya ukarabati wa Mv. Liemba Kigoma

Ukarabati wa Mv. Liemba unaonekana kuwa chachu ya maendeleo ya kiuchumi, hususan kwa wakazi wa maeneo ya kandokando ya Ziwa Tanganyika ambao hutegemea kwa kiasi kikubwa usafiri wa majini kwa shughuli zao za kila siku Na Mwandishi wetu Mkuu wa…

14 April 2026, 12:41

Viongozi wa dini watakiwa kuhimiza uadilifu

Viongozi wa dini wana mchango mkubwa katika masuala ya ulinzi na usalama wa jamii kwani nafasi yao ina uzito kwa sababu wanaheshimiwa, wanaaminika, na wana uwezo wa kufikia watu wengi kwa urahisi. Na Hagai Ruyagila Viongozi wa dini katika Kata…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.