Joy FM
Joy FM
28 August 2026, 14:52
Shule mpya inapunguza changamoto za umbali na msongamano, na hivyo kutoa mazingira bora yanayoweza kuongeza mahudhurio, ushiriki na ufaulu wa wanafunzi Na Emmanuel Kamangu Wananchi wa Kijiji cha Titye, Kata ya Titye, Wilaya ya Kasulu, wameanza ujenzi wa shule mpya…
27 August 2026, 14:25
Kutengeneza madawati huwasaidia wanafunzi kupata sehemu nzuri ya kukalia wakati wa masomo badala ya kukaa sakafuni, wanafunzi hukaa kwenye madawati na hivyo kuwa tayari kujifunza Na Emmanuel Kamangu Wazazi na walezi wa shule ya msingi titye kata ya titye Halmashauri…
26 August 2026, 15:54
Malezi bora ya watoto ni jambo muhimu katika maisha ya kila mtoto na malezi huanzia nyumbani kwa huhusisha namna wazazi au walezi wanavyomlea, kumlinda, kumfundisha au kumpa mahitaji muhimu, mtoto anayepata malezi bora huwa na nafasi kubwa ya kukua akiwa…
24 August 2026, 13:47
Malezi bora kwa watoto ni msingi imara kwa maisha yao ya baadaye Na Hagai Ruyagila Wazazi na Walezi katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwalea watoto wao katika misingi ya maadili mema, ili waweze kuwa na mwenendo mzuri,…
24 August 2026, 08:42
Ziara ya Waziri Nyansaho Mkoani Kigoma inalenga kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye umuhimu wa kimkakati, huku ikisisitiza umuhimu wa usalama, miundombinu na ustawi wa wananchi Na Mwandishi wetu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Rhimo…
21 August 2026, 16:14
Usimamizi wa miradi na kuikamilisha kwa wakati husaidia kuanza kutoa huduma zilizo bora kwa wananchi Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amezitaka Halmashauri Mkoani humo kuendelea kuzingatia usimamizi wa miradi na kuikamilisha kwa wakati na…
21 August 2026, 13:49
Uboreshaji wa miundombinu ni sehemu ya mkakati wa kukuza na kustawisha biashara za wajariamali na kuongeza kipato cha familia zao na Taifa kwa ujumla Na Josephine Kiravu Wajasiriamali katika mwalo wa Kalalangabo kata ya Ziwani Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma…
21 August 2026, 10:56
Ulinzi shirikishi ni jukumu la mwananchi katika kuhakikisha vitendo vya wizi, udokozi na uporaji vinakomeshwa kwenye jamii na kuchochea maendeleo Na Hagai Ruyagila Uwepo wa kikundi cha ulinzi shirikishi katika Kata ya Murusi, Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma, umeendelea…
20 August 2026, 17:06
Zao la tumbaku ni moja ya mazao makuu ya biashara katika mkoa wa Kigoma ikiwaingizia kipato wakulima wengi hasa katika wilaya za Kasulu, Kakonko na Uvinza Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amevitaka vyama vya…
20 August 2026, 11:09
Kata ya Kibirizi ni miongoni mwa Kata zenye mwingiliano wa watu kutokana na shughuli mbalimbali za biashara zinazofanyika katika eneo hilo. Kutokana na sababu hiyo kuna uhutaji mkubwa wa stendi kwa vyombo vya usafiri vya eneo hilo. Na LucaS Hoha…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.