Joy FM

Recent posts

22 July 2026, 17:22

JAI yazindua zoezi la uchangiaji damu salama Kasulu

Uchangiaji wa damu salama ni moja ya matendo muhimu ya kibinadamu yanayochangia kuokoa maisha ya watu wengi na damu ni rasilimali muhimu ambayo haiwezi kutengenezwa viwandani, hivyo hupatikana kupitia watu wanaojitolea kuchangia Na Emmanuel Kamangu Kikundi cha Kiislamu cha JAI…

22 July 2026, 14:20

Viongozi wa dini wapewa elimu ya kujikinga na ebola Kigoma

Elimu ya kujikinga ya ugonjwa wa ebola imeendelea kutokelewa kwa jamii ili kuhakikisha wananchi wanachukua tahadhali za kujikinga na ugonjwa wa ebola na mpaka hakuna taarifa za uwepo wa ugonjwa huo nchini Na Mwandishi wetu Mganga Mkuu wa Mkoa wa…

22 July 2026, 09:41

Makusanyo ya bilioni 4 yaongeza kasi ya maendeleo Kasulu

Ukusanyaji wa mapato ni nguzo muhimu katika maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla na mapato yanayokusanywa na serikali kuu na mamlaka za serikali za mitaa kupitia kodi, ushuru na vyanzo vingine huwezesha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayowanufaisha…

22 July 2026, 07:53

Baraza la madiwani lajadili hoja za CAG Uvinza ikipata hati safi

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya Uvinza mkoani Kigoma limetakiwa kuendelea kushirikiana katika kusimamia ukusanyaji wa mapato ili kusaidia katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo. Na Mwandishi weu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro, ameipongeza Halmashauri ya…

21 July 2026, 09:25

Madereva pikipiki watoa msaada kwa wagonjwa Kasulu

Kutoa misaada kwa wagonjwa waliolazwa hospitalini ni kitendo cha huruma, upendo na mshikamano kinachochangia kuboresha ustawi wa wagonjwa na familia zao na misaada hiyo inaweza kujumuisha vyakula, sabuni, nguo, vifaa vya usafi na mahitaji mengine muhimu yanayosaidia kurahisisha maisha ya…

20 July 2026, 11:46

TPA kuendelea kupanua na kuboresha bandari nchini

Licha ya ushindani uliopo katika ukanda wa Afrika Mashariki, kipaumbele cha TPA ni kuongeza uwezo wa kuhudumia meli na mizigo kwa haraka na kwa ufanisi ili kuendelea kuvutia wateja Na Mwandisshi wetu Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania…

19 July 2026, 16:02

TAWEA na CAF wazindua mradi wa kulinda mazingira Kigoma

Utunzaji wa mazingira ni msingi wa maendeleo endelevu, kwani unalinda afya, uchumi na ustawi wa jamii huku ukihakikisha rasilimali za asili zinadumu kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo Na Emmanuel Kamangu Mradi wa Green Alert unaofadhiliwa na CAF…

19 July 2026, 15:43

Rais Dkt. Samia kuzindua meli nne za mizigo Kigoma

Uzinduzi wa meli za mizigo ndani ya ziwa Tanganyika ni hatua muhimu ya kuufungua mkoa wa Kigoma sasa kuwa lango la kibiashara kwa nchi zinazozunguka ziwa Tanganyika Na Josephine Kiravu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu…

17 July 2026, 14:40

Wadau wahimiza mazingira bora ya biashara kwa vijana wanawake Kigoma

Biashara ni nguzo muhimu ya maendeleo ya uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla Na Sadick Kibwana Wafanyabiashara wanawake Mkoani Kigoma wametakiwa kutumia kikamilifu teknolojia, kurasimisha biashara zao na kuzitumia fursa za kiuchumi zinazowazunguka ili kuongeza tija na…

17 July 2026, 13:19

Mradi wa bilioni 65 kuimarisha kilimo cha mpunga Kigoma

Mradi wa umwagiliaji wa bonde la Mto Luiche unaotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma ni miongoni mwa miradi mikubwa ya maendeleo inayolenga kuimarisha sekta ya kilimo nchini Na Tryphone Odace Serikali imeanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa umwagiliaji wenye…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.