Joy FM

Recent posts

24 July 2026, 09:51

DC Kasulu: NGOs zijijenge kifedha kuwa na uendelevu wa miradi

Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yana mchango mkubwa katika maendeleo ya jamii kupitia utoaji wa huduma za afya, elimu, mazingira, kilimo, haki za binadamu na sekta nyingine nyingi hata hivyo, mashirika mengi yamekuwa yakitegemea fedha kutoka kwa wafadhili wa nje,…

23 July 2026, 15:41

RC Sirro aagiza viongozi kubuni vyanzo vya mapato Kibondo

Halmashauri zina jukumu la kusimamia maendeleo na kutoa huduma muhimu kwa wananchi katika maeneo yao na ili ziweze kutekeleza majukumu hayo kwa ufanisi zinahitaji kuwa na rasilimali za kutosha za kifedha na hivyo uanzishwaji wa vyanzo vipya vya mapato ni…

23 July 2026, 13:41

RC Kigoma apongeza Kasulu kupata hati safi

Hati safi ni maoni yanayotolewa na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali baada ya kufanya ukaguzi wa taarifa za fedha za halmashauri na kubaini kuwa zimeandaliwa kwa usahihi na kwa kuzingatia sheria, kanuni, na viwango vya uhasibu vinavyotumika na kupata…

23 July 2026, 09:22

Waziri Ulega aahidi barabara ya lami Kakonko

Serikali imeendelea kuboresha na kupanua mtandao wa barabara Mkoani Kigoma kwa lengo la kuhakikisha suala la usafiri na usafirishaji linaimarishwa. Na Mwandishi wetu Wananchi wa Wilaya ya Kakonko wanatarajia kunufaika na ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kuelekea Makao…

23 July 2026, 08:54

Halmashauri 3 zapata hati safi Kigoma

Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Sirro ameutaka uongozi katika Halmashauri za Mkoa kutosita kuwachukulia hatua watendaji wanaosababisha hoja sambamba na wakusanya mapato wasio waadilifu wanaosababisha upotevu wa fedha za makusanyo. Na Mwandishi wetu Kwa mujibu wa  Taarifa ya Mdhibiti na…

22 July 2026, 17:22

JAI yazindua zoezi la uchangiaji damu salama Kasulu

Uchangiaji wa damu salama ni moja ya matendo muhimu ya kibinadamu yanayochangia kuokoa maisha ya watu wengi na damu ni rasilimali muhimu ambayo haiwezi kutengenezwa viwandani, hivyo hupatikana kupitia watu wanaojitolea kuchangia Na Emmanuel Kamangu Kikundi cha Kiislamu cha JAI…

22 July 2026, 14:20

Viongozi wa dini wapewa elimu ya kujikinga na ebola Kigoma

Elimu ya kujikinga ya ugonjwa wa ebola imeendelea kutokelewa kwa jamii ili kuhakikisha wananchi wanachukua tahadhali za kujikinga na ugonjwa wa ebola na mpaka hakuna taarifa za uwepo wa ugonjwa huo nchini Na Mwandishi wetu Mganga Mkuu wa Mkoa wa…

22 July 2026, 09:41

Makusanyo ya bilioni 4 yaongeza kasi ya maendeleo Kasulu

Ukusanyaji wa mapato ni nguzo muhimu katika maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla na mapato yanayokusanywa na serikali kuu na mamlaka za serikali za mitaa kupitia kodi, ushuru na vyanzo vingine huwezesha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayowanufaisha…

22 July 2026, 07:53

Baraza la madiwani lajadili hoja za CAG Uvinza ikipata hati safi

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya Uvinza mkoani Kigoma limetakiwa kuendelea kushirikiana katika kusimamia ukusanyaji wa mapato ili kusaidia katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo. Na Mwandishi weu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro, ameipongeza Halmashauri ya…

21 July 2026, 09:25

Madereva pikipiki watoa msaada kwa wagonjwa Kasulu

Kutoa misaada kwa wagonjwa waliolazwa hospitalini ni kitendo cha huruma, upendo na mshikamano kinachochangia kuboresha ustawi wa wagonjwa na familia zao na misaada hiyo inaweza kujumuisha vyakula, sabuni, nguo, vifaa vya usafi na mahitaji mengine muhimu yanayosaidia kurahisisha maisha ya…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.