Joy FM

Recent posts

13 July 2026, 16:06

MCT yahimiza uandishi wa habari za uwajibikaji na maendeleo

Programu ya uongozi wa kitaaluma (Mentorship Programme) kwa waandishi wa habari wanawake ni hatua muhimu katika kuimarisha taaluma ya uandishi wa habari nchini kwani waandishi wanapata nafasi ya kujifunza kutoka kwa wataalamu wenye uzoefu, jambo linalowawezesha kuongeza ujuzi, kujiamini na…

11 July 2026, 12:13

Moto wateketeza vibanda tisa soko la Muganza Kasulu

Wananchi na wafanyabiashara katika masoko mbalimbali yaliyopo katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuchukua tahadhali ya moto wawapo katika shughuli zao za kila siku ili kuepuka kuwa chanzo cha majanga ya moto. Na Hagai Ruyagila Zaidi ya…

10 July 2026, 16:38

Hospitali ya Manispaa ya Kigoma Ujiji yafanya upasuaji wa kwanza

Huduma bora za afya ni msingi muhimu wa maendeleo ya jamii na kuanzishwa kwa huduma za upasuaji katika Hospitali ya Manispaa ya Kigoma Ujiji ni hatua kubwa inayoonyesha jitihada za Serikali katika kuboresha sekta ya afya na kusogeza huduma karibu…

9 July 2026, 13:33

UNHCR yakabidhi rasmi majengo ya chuo cha ufundi Maloregwa Kibondo

Kupokelewa kwa majengo ya Chuo cha Ufundi Maloregwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) kunatajwa kuwa hatua muhimu itakayochochea maendeleo ya elimu na uchumi wa wananchi wa wilaya hiyo. Na…

8 July 2026, 17:13

Wananchi wajitolea kuchonga barabara Kasulu

Ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo ni msingi muhimu wa kujenga jamii yenye maendeleo endelevu na miongoni mwa shughuli hizo ni kujitolea kushiriki katika ujenzi na matengenezo ya barabara, madaraja, shule na vituo vya afya Na Hagai Ruyagila Wakazi…

8 July 2026, 11:42

Wanaume watakiwa kuripoti matukio ya ukatili Kigoma

Ukatili wa kijinsia ni tatizo linaloathiri wanawake, wanaume na watoto katika jamii na kwa muda mrefu, jamii imekuwa ikielekeza zaidi macho kwa ukatili dhidi ya wanawake, hali iliyowafanya baadhi ya wanaume wanaopitia ukatili kushindwa kutoa taarifa kwa hofu ya kudharauliwa…

7 July 2026, 12:46

RPC Kigoma asema mkoa upo salama

Kuimarisha ulinzi na usalama husaidia kulinda maisha ya wananchi na mali zao na hali hii huwafanya wananchi kuishi na kufanya shughuli zao bila hofu. Na Orida Sayon Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limesema limejipanga kikamilifu kuhakikisha ulinzi na usalama…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.