Joy FM

Recent posts

24 April 2026, 09:53

RC Sirro aagiza kufunguliwa daraja mto Ruchugi Uvinza

Ujenzi wa daraja la Mto Ruchugi Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma unatajwa kurahisisha shughuli za usafirishaji kati ya Kigoma na Tabora Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amemtaka Mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa barabara ya kiwango cha…

24 April 2026, 09:20

Watumishi Buhigwe wafanya usafi kuadhimisha siku ya muungano

Kudumisha usafi wa mazingira ni jukumu la kila mtu, na ni njia rahisi ya kuhakikisha afya njema na maisha bora kwa wote. Na Mwandishi wetu Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe wamefanya zoezi la usafi wa mazingira katika Hospitali…

23 April 2026, 14:47

Serikali yaaswa kukamilisha choo zahanati ya Migunga Kasulu

Choo katika zahanati kina umuhimu mkubwa sana, si suala la ziada bali ni hitaji la msingi kwa huduma bora za afya kwani bila choo, mazingira yanakuwa machafu na yanaweza kusababisha kuenea kwa magonjwa ya mlipuko kama kuhara, kipindupindu na maambukizi…

22 April 2026, 17:43

Kigoma waaswa kutojenga nyumba maeneo hatarishi

Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko la ujenzi wa makazi katika maeneo yanayokumbwa na maji kutuama, hasa katika miji inayokua kwa kasi, licha ya ongezeko la mahitaji ya ardhi ya makazi, wataalamu wanaonya kuwa kujenga nyumba katika maeneo…

22 April 2026, 16:17

Waathirika wa mafuriko Kigoma wapewa msaada

Msaada huu si tu wa kuokoa maisha kwa muda mfupi, bali pia kuwasaidia waathiriwa kujijenga upya na kuwa na uwezo wa kujitegemea tena. Na Mwandishi wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa pole kwa…

22 April 2026, 15:46

Idara ya mazingira Kigoma MC yatakiwa kuondoa taka

Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji imeanza kutekeleza zoezi la uondaaji wa taka zilipo katika vizimba ikiwa ni mkakati wa kufanya mji wa Kigoma kuwa msafi. Na Mwandishi wetu Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Kigoma Mjini…

22 April 2026, 14:57

Mikopo umiza ilivyo mwiba kwa wananchi Kasulu

Kujiepusha na mikopo ya kausha damu kunasaidia kulinda uhuru wa kifedha, afya ya akili, na heshima ya mtu binafsi. Na Michael Mpunije Wenyeviti wa Serikali za mitaa katika Kata ya Nyansha halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutoa elimu…

22 April 2026, 12:19

Jukwaa la uwezeshaji wanawake kiuchumi Uvinza lazinduliwa

Wanawake wa wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika maeneo yao ikiwemo mikopo ya kuwawezesha kufanya shughuli mbalimbali za kiuchumi ili kuwasaidia kuepukana na uchumi tegemezi. Na Mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza imezindua rasmi jukwaa…

22 April 2026, 08:35

DC Kasulu ataka madiwani kudhibiti wahamiaji haramu

Madiwani ni kiungo muhimu kati ya wananchi na serikali katika kudhibiti wahamiaji haramu, hasa kwa upande wa taarifa, uhamasishaji, na ushirikiano wa kijamii. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, Kanali Isaac Mwakisu amewataka Madiwani wa halmashauri…

21 April 2026, 10:42

Wawili mbaroni kwa mauaji dereva pikipiki Kigoma

Wananchi Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kuzuia na kuabaini vitendo vya uhalifu ili kuimarisha usalama wa raia na mali zao. Na Esperance Ramadhan Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma linawashikilia watuhumiwa wawili kwa tuhuma za kumuua…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.