Joy FM

Recent posts

6 April 2026, 12:33

Mvua yaziacha kaya 25 bila makazi Kigoma

Mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia April 5, 2026 ikiambatana na upepo imesababisha nyumba kuanguka katika maeneo mbalimbali ya Manispaa ya Kigoma Ujiji na kuacha wananchi bila makazi. Na Mwandishi wetu Zaidi ya kaya 25 katika kata za Majengo na Kipampa…

6 April 2026, 11:38

Wananchi wafurika kambi ya madaktari Kigoma

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amezindua kambi ya matibabu ya macho bila malipo, inayoendelea katika Kituo Cha Kiislam cha Alhulbayt-Ujiji, Manispaa ya Kigoma Ujiji. Na Mwandishi Wetu, Wananchi zaidi ya watu 1500 kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa…

3 April 2026, 15:52

Viongozi watakiwa kudhibiti vitendo vya ukatili Kigoma

Wenyeviti wa mitaa pamoja na mabalozi wametakiwa kuongeza juhudi katika kudhibiti vitendo vya ukatili vinavyoendelea kujitokeza katika jamii. Hayo yameelezwa kufuatia ongezeko la matukio ya ukatili wa kijinsia, majumbani na dhidi ya watoto katika baadhi ya maeneo. Na Mwandishi wetu…

3 April 2026, 10:28

DC Kigoma ataka vikundi kurejesha mikopo kwa wakati

Benki ya CRDB Kigoma imetoa elimu ya fedha kwa vikundi mbalimbali vilivyopo katika Manispaa ya Kigoma Ujiji lengo likiwa ni kuviwezesha vikundi hivyo kufahamu namna ya kutumia mikopo wanayopewa ili iweze kuwanufaisha zaidi. Na Tryphone Odace Mkuu wa Wilaya Kigoma…

1 April 2026, 15:17

Upi mwarobaini wa rushwa ya ngono kwa wanawake?

Wanawake wafanyabiashara wengi wao wanasisitiza uwepo wa mazingira ya haki na heshima ili waweze kuchangia kikamilifu katika maendeleo ya uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla. Na Orida Sayon na Tryphone Odace Wanawake wafanyabiashara wa mazao ya uvuvi Mkoani Kigoma…

1 April 2026, 12:40

Wananchi walia na vitendo vya uhalifu Kasulu

Ulinzi shirikishi ni mfumo wa usalama unaohusisha ushirikiano kati ya wananchi na vyombo vya dola kama vile polisi katika kulinda maisha na mali za watu na mfumo huu umeonekana kuwa na mchango mkubwa katika kupunguza vitendo vya uhalifu katika jamii…

31 March 2026, 10:56

Wakristo wahimizwa kudumisha amani na upendo Kasulu

Amani na upendo huimarisha mshikamano wa kijamii na wat wanapoishi kwa kuheshimiana na kusaidiana, hujenga umoja unaowezesha jamii kuishi kwa utulivu bila migogoro. Na Hagai Ruyagila Wakristo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wamehimizwa kuendelea kuishi maisha ya kudumisha amani, upendo na…

31 March 2026, 10:00

Kituo cha pamoja cha biashara, Tanzania na Burundi kukuza uchumi

Kituo cha pamoja cha biashara kati ya Tanzania na Burundi kimetajwa kuwa chachu muhimu katika kukuza uchumi na kuimarisha mahusiano ya kibiashara kati ya nchi hizo mbili za Afrika Mashariki. Na Tryphone Odace Wananchi Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wameiomba serikali…

30 March 2026, 09:13

DC Kigoma ataka wasiozingatia usafi kuchukuliwa hatua

Usafi wa mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya kila siku ya binadamu, mazingira yanajumuisha sehemu tunazoishi, tunazofanyia kazi, pamoja na maeneo ya kijamii kama vile shule, masoko na hospitali. Na Mwandishi wetu Mkuu Wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid…

27 March 2026, 18:10

Maafisa usafirishaji wapewa mkopo wa pikipiki Kasulu

Serikali imeendelea kuwawezesha vijana kupitia mikopo ya asilimia kumi, huku waendesha bodaboda katika Kata ya Makere wilayani Kasulu mkoani Kigoma wakisema hatua hiyo imebadili maisha yao kwa kiasi kikubwa. Na Mwandishi wetu Umoja wa maafisa usafirishaji maarufu kama bodaboda katika…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.