Joy FM

Recent posts

24 June 2026, 11:52

Kasulu yaahidi kuendeleza utatuzi wa changamoto za watumishi

Watumishi wa umma ni nguzo muhimu katika maendeleo ya taifa lolote, kwani wao ndio wanaosimamia utoaji wa huduma kwa wananchi na ni muhimu kwa mamlaka husika kuhakikisha kuwa changamoto zinazowakabili zinatatuliwa kwa wakati ili kuongeza ufanisi kazini Sadick Kibwana Watumishi…

24 June 2026, 09:48

Mradi wa uboreshaji wa kiwanja cha ndege Kigoma wafikia 60%

Mradi huu utaimarisha huduma za usafiri wa anga kwa kuongeza uwezo wa kiwanja kuhudumia ndege kubwa zaidi na itarahisisha usafiri wa abiria na mizigo kutoka Kigoma kwenda maeneo mbalimbali nchini na nje ya nchi Na Mwandishi wetu Wizara ya Ujenzi…

24 June 2026, 09:16

Kibondo yapata gari kuimarisha usimamizi wa miradi ya maendeleo

Maendeleo yanategemea kwa kiasi kikubwa uwezo wa taasisi za Serikali kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi ili kufanikisha hilo, ni muhimu kuwa na vitendea kazi vya kutosha na vinavyokidhi mahitaji ya kazi Na Mwandishi wetu Katibu Tawala wa Wilaya ya Kibondo,…

23 June 2026, 16:19

Walimu wapewa mbinu za kidijitali kuimarisha ufundishaji Kigoma

Teknolojia imeendelea kukua kwa kasi duniani na kuleta mabadiliko makubwa katika sekta mbalimbali, ikiwemo sekta ya elimu kutokana na maendeleo hayo, walimu wanapaswa kuendana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia ili waweze kutoa elimu bora inayokidhi mahitaji ya wakati. Na…

23 June 2026, 14:47

Wajane watakiwa kupigania haki zao kisheria Kigoma

Wajane ni kundi muhimu katika jamii ambalo mara nyingi hukumbana na changamoto mbalimbali za kijamii, kiuchumi na kisheria baada ya kufiwa na wenza wao na ni muhimu kwa wajane kutambua na kupigania haki zao ili waweze kuishi maisha bora na…

23 June 2026, 14:13

Wananchi Kasulu walia na uhaba wa maji safi

Maji ni rasilimali muhimu katika maisha ya binadamu na viumbe wengine wote duniani na hakuna kiumbe kinachoweza kuishi bila maji kwa muda mrefu Na Sadick Kibwana Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidyama Kata ya Kigondo katika Halmashauri ya Mji…

23 June 2026, 11:38

Zaidi ya vibanda 50 vyateketea kwa moto Kasulu

Moto ni janga linaloweza kusababisha hasara kubwa kwa muda mfupi sana na kuathiri maisha ya watu na uchumi wa jamii kwa ujumla. Na Mwandishi wetu Zaidi ya vibanda 50 vya wafanyabiashara katika soko la kijiji cha Mvinza kata ya Kagerankanda…

23 June 2026, 10:30

DC Kasulu ataka wazazi kuwainua watoto kiuchumi

Wazazi na walezi wana jukumu kubwa la kuwalea na kuwaandaa watoto wao kwa maisha ya baadaye kwa kuwawezesha kiuchumi ili waweze kujitegemea mbali na kuwapatia elimu na mahitaji muhimu. Na Mwandishi wetu Wazazi na walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa…

23 June 2026, 09:52

UHDO yataka maeneo ya kihistoria Kigoma yahifadhiwe

Maeneo ya kihistoria na urithi wa kitamaduni ni sehemu muhimu ya utambulisho wa taifa na jamii na maeneo haya huhifadhi kumbukumbu za matukio muhimu yaliyotokea zamani na hutusaidia kuelewa historia ya nchi yetu Na Lucas Hoha Mwenyekiti wa Taasisi ya…

23 June 2026, 08:27

Watumishi wapya wa afya Kakonko watakiwa kuzingatia kanuni za kazi

Mafunzo ya ajira mpya ni muhimu kwa kuwa yanawaandaa watumishi kuanza kazi kwa uelewa sahihi, nidhamu na ufanisi unaohitajika katika kutoa huduma bora kwa wananchi. Na Mwandishi wetu Watumishi wa ajira mpya katika kada ya afya wilayani Kakonko wametakiwa kufuata…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.