Joy FM
Joy FM
26 June 2026, 13:02

Ndoa ni msingi muhimu wa familia na jamii kwa ujumla na familia yenye amani hujenga mazingira mazuri ya malezi na maendeleo ya watoto, hata hivyo, migogoro katika ndoa imekuwa ikiongezeka kutokana na sababu mbalimbali
Sababu za kiuchumi, mawasiliano duni, maadili na tabia zisizofaa, pamoja na mabadiliko ya kijamii, ni miongoni mwa visababishi vinavyochangia kuwepo kwa migogoro katika ndoa na migogoro hiyo huathiri ustawi wa familia na, wakati mwingine, husababisha baadhi ya watoto kushindwa kuendelea na masomo kutokana na changamoto zinazojitokeza nyumbani