Joy FM
Joy FM
13 June 2026, 13:29

Licha ya elimu ya kuchukua tahadhari dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola kuendelea kutolewa bado ugonjwa wa Ebola haujaripotiwa kuwepo nchini Tanzania
Na Emmanuel Kamangu
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dkt. Damas Kayera ameendelea kutoa rai kwa wananchi mkoani Kigoma kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa hatari wa Ebola.