Ebola
6 Febuari 2026, 12:48 um
Posta kutumia wataalam wa lugha za alama
Hatua ya Shirika la Posta Tanzania kuanza kutumia wataalam wa lugha ya alama inatajwa kuwa mfano wa kuigwa kwa tasisi zingine za umma katika kuhakikisha haki ya kupata huduma inazingatia kila mwananchi bila ubaguzi. Na Anwary Shaban. Shirika la Posta Tanzania…
4 Oktoba 2022, 12:41 um
Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya Ebola
Na;Mariam Matundu. Wakazi wa Dodoma wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa ebola kwa kuepuka kula nyama pori ambazo hazija kaguliwa na wataalamu , kuepuka mikusanyiko pamoja na kuzingatia suala la unawaji mikono mara kwa mara. Tahadhari hiyo imetolewa Dkt…
19 Oktoba 2021, 10:58 mu
Vyombo vya habari vimetakiwa kuboresha mwonekano wa watafsiri wa lugha za alama.
Na; Thadei Tesha. Vyombo vya habari vimeshauriwa kutoa kipaumbele kwa Watu wenye ulemavu wa kutosikia kwa kuboresha mwonekeno wa watafsiri wa lugha ya Alama. Wito huo umetolewa na Bi Joyce Masha ambaye ni mkurugenzi wa shirika la Foundation for disability…