15 January 2025, 5:09 pm

Tunawezaje kudhibiti ukatili wa kijinsia mahala pa kazi?

Mwandishi wetu Alfred Bulahya ametuandalia kisa kuhusu shujaa aliyemsaidia mhanga wa vitendo vya ukatili wa kijinsia mahala pa kazi. Na Seleman Kodima.Umoja wa Mataifa, unafafanua kuwa ukatili wa kijinsia ni kitendo chochote anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke, mwanaume au mtoto,…

On air
Play internet radio

Recent posts

24 January 2025, 1:55 pm

Jeshi la Polisi Manyara lakamata pikipiki 80 zinazovunja sheria

Makosa hayo nikutokuwa nakofia ngumu pamoja na Makosa Mengine. Na Kitana Hamis.Akizungumza kuhusu Operesheni hiyo Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara Ahmed Makarani amesisitiza kuwa Jeshi hilo litawachukulia hatua kali za Kisheria Madereva watakaokiuka Sheria za Usalama Barabarani…

24 January 2025, 1:34 pm

Serikali yaombwa kukamilisha ujenzi wa mitaro Mpwapwa

Wamesema pindi mvua zinaponyesha Maji yanaingia kwenye Nyumba zao hali inayo hatarisha usalama wa wananchi. Na Steven Noel.Wananchi wa mtaa wa hazina kata ya Vig’hawe wilaya ya Mpwapwa wameiomba serikali imalizie ujenzi wa mitaro ya maji kwenye barabara inayojengwa toka…

24 January 2025, 12:30 pm

Wanafunzi 119 Mkoka wakabiliwa na upungufu wa viti mwendo

Dkt. Omary Nkullo ameahidi kuzichukua changamoto zote na kuzifanyia kazi ikiwemo kuona namna ya kuwaajiri walimu wanaojitolea kuwafundisha wanafunzi wenye ulemavu katika kituo hicho. Na Mariam Kasawa.Wanafunzi 119 wenye mahitaji maalum waliopo katika kituo kilichopo Shule ya Msingi Mkoka wilayani…

23 January 2025, 6:17 pm

Mjumbe wa serikali ya mtaa aanguka ghafla na kufariki dunia

Majirani wameeleza Juu ya Tukio hilo lilivyo Tokea. Na Kitana Hamis.Mjumbe wa Serikali ya Mtaa afariki dunia Kwa Kuanguka Ghafla huku Wananchi wengi wakibaki na Maswali Juu ya ya kifo chake. Tukio Hilo limetokea Mtaa wa Majego Kata ya Mtumba…

23 January 2025, 6:06 pm

Vitongoji vitatu jijini Dodoma vyaililia serikali changamoto ya maji

Wakieleza namna ambavyo kukosekana kwa maji safi na salama kunawaathiri wananchi hao, wameiomba serikali kutatua adha hiyo. Na Victor Chigwada.Wananchi wa vitongoji vya Chidobwe, Kaunda na Liwangama Kolimba wameiomba serikali kushughulikia changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na…

23 January 2025, 5:35 pm

Wakulima watakiwa kuzingatia njia sahihi za kilimo

Katika kuhakikisha wakulima wanazingatia msingi wa kilimo bora, Shirika la Rikolto wameendelea kutoa elimu kwa wakulima kuhusu kilimo bora, lishe na usawa kijinsia pamoja na usalama wa chakula. Na Seleman Kodima.Imeelezwa kuwa ili kuwa jamii yenye afya njema ipo haja…

21 January 2025, 6:04 pm

Moto wateketeza maduka Jijini Dodoma

hakuna madhara ya kifo yaliyotokea katika ajali ya moto huo. Na Mariam KasawaTakribani maduka 10 yaliyopo katika Barabara ya Nane katikati ya Jiji la Dodoma yameteketa kwa moto uliozuka leo Januari 21, 2025 majira ya saa moja asubuhi, na hivyo…

17 January 2025, 5:31 pm

Afisa Misitu mbaroni kwa tuhuma za rushwa

Mahakama isikilize kesi hizo kwa haraka ili Wananchi Wazee kupata Haki zao kwa haraka na kwa usahihi Zaidi kwasababu inavyokuwa inachukuwa zaidi mda Mrefu unakuta mwananchi anapoteza Mda Mwingi pia haki yake inachelewa Kupatikana. Na Kitana Hamis.Afisa misitu wa Suluedo…

16 January 2025, 3:44 pm

Serikali yarejesha tabasamu kwa wakazi wa Mlazo

Pamoja na Kuhamasisha, kulinda na kurejesha Afya na Ustawi wa Jamii kwa kuzingatia na mipango sahihi, ya kufikia maendeleo endelevu ya Afya ya Jamii. Na Victor Chigwada.Tabasamu limerejea kwa wananchi wa kijiji cha Mlazo wilayani chamwino baada ya serikali kuboresha…

16 January 2025, 3:23 pm

TAKUKURU Kiteto waokoa mwanafunzi asiolewe

Dodoma FM imezungumza na mama wa mtoto ambaye anadai kuwa hawezi kumsomesha mtoto huyo. Na Kitana Hamis.Kwa mujibu wa mwanafunzi huyo, ameieleza Dodoma FM kuwa mama yake tayari alipokea mahari ili kumwozesha binti huyo ambapo binti huyo aliamua kuomba msaada…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger