9 April 2026, 17:25

Sigara/shisha huchangia magonjwa ya moyo kwa vijana

Unywaji wa pombe  pamoja na uvutaji wa sigara umetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazo sababisha ongezeko la magonjwa ya moyo, hususani kwa wanaume. Na Bennard Filbert. Hayo yameelezwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Jakaya Kikwete Cardiac Institute, Dkt. Peter…

On air
Play internet radio

Recent posts

20 May 2026, 11:36

Serikali yatoa tahadhari kwa wanaotoa ushauri wa lishe mtandaoni

Hatua hizo zinalenga kulinda afya za wananchi dhidi ya upotoshaji wa taarifa zinazotolewa kupitia majukwaa ya kidijitali bila kuzingatia misingi ya kitaalamu. Na Mwandishi wetu.Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, amesema Serikali inatambua ongezeko la watu binafsi na baadhi…

20 May 2026, 11:12

Mama lishe 300 wapatiwa mafunzo ili kukua kiuchumi

Kwa Dodoma, wajasiriamali 300 watakaoshiriki programu hii watapatiwa kila mmoja jiko banifu kama sehemu ya jitihada za kuhamasisha matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia. Na Mariam Kasawa.Jumla ya mama Lishe 300 wamepatiwa mafunzo ya Rise mama lishe yaliyoandaliwa…

19 May 2026, 17:47

Wananchi Dodoma watakiwa kutunza vyanzo vya maji

Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) ilianzishwa mwaka 2019 kupitia sheria ya maji  namba 5 ya mwaka 2019. Na Elizabeth Tanzania. Wananchi mkoani Dodoma wamesistizwa kutunza vyanzo vya maji vilivyopo, kutokana na uchache wa vyanzo hivyo,…

19 May 2026, 17:16

Shule shikizi Matomondo kuwaokoa wanafunzi kutembea km 7 kila siku

Bado eneo hilo linakabiliwa na changamoto ya Wanafunzi wa shule ya sekondari matomondo kutembea umbali mrefu kila siku km 15 hadi shule ilipo. Na Steven Noel. Ujenzi wa shule shikizi katika kata ya Matomondo umesaidia kuondoa changamoto ya watoto wa…

19 May 2026, 16:46

Maswi awataka watumishi kuwajibika

Pia amewataka watumishi kuwahi kazini na kufanya kazi kwa kujituma, akisisitiza kuwa serikali imewaamini kwa kuwapa nafasi hizo wakati wananchi wengi bado wanatafuta ajira. Na Elizabeth Tanzania. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum,…

18 May 2026, 13:59

Wananchi Mpwapwa watakiwa kutumia kituo cha TEWW kujiongezea maarifa

Baadhi wa wanufaika wa mpango huo wamesema Jamii inatamani kukutumia sana kituo hicho lakini upungufu wa vifaa unasababisha watu kuto jitokeza . Na Steven Noel. Wananchi wa wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma wameshauriwa kukutumia kituo cha maarifa cha Elimu…

18 May 2026, 13:09

Wananchi Ihumwa wakumbwa na hofu mikopo holela

Wananchi wamejikuta wakitumia gharama zao kufungua accaunt bank ili kupata mkopo huo na hadi sasa hawaelewi chochote kuhusu mkopo huo. Na Victor Chigwada.Wakazi wa Mtaa wa Ihumwa A jijini Dodoma wamegubikwa na hofu ya kutapeliwa baada ya kujitokeza wawezeshaji waliodai…

14 May 2026, 16:38

Wazazi watakiwa kuendelea kuwalinda watoto dhidi ya mitandao

Vile  vile kupitia sheria ya mtoto kifungu cha 9 kinaeleza wajibu wa mzazi au mlezi kumlinda mtoto dhidi ya ukatili,udhalilishaji na mazingira yanayoweza kumdhuru. Na Jerome John. Wazazi na walezi mkoani Dodoma wamekumbushwa kuendelea kuwalinda watoto wao dhidi ya matumizi…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger