Dodoma FM
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
Mwandishi wetu Alfred Bulahya ametuandalia kisa kuhusu shujaa aliyemsaidia mhanga wa vitendo vya ukatili wa kijinsia mahala pa kazi. Na Seleman Kodima.Umoja wa Mataifa, unafafanua kuwa ukatili wa kijinsia ni kitendo chochote anachofanyiwa mtu yeyote awe mwanamke, mwanaume au mtoto,…
24 January 2025, 1:55 pm
Makosa hayo nikutokuwa nakofia ngumu pamoja na Makosa Mengine. Na Kitana Hamis.Akizungumza kuhusu Operesheni hiyo Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara Ahmed Makarani amesisitiza kuwa Jeshi hilo litawachukulia hatua kali za Kisheria Madereva watakaokiuka Sheria za Usalama Barabarani…
24 January 2025, 1:34 pm
Wamesema pindi mvua zinaponyesha Maji yanaingia kwenye Nyumba zao hali inayo hatarisha usalama wa wananchi. Na Steven Noel.Wananchi wa mtaa wa hazina kata ya Vig’hawe wilaya ya Mpwapwa wameiomba serikali imalizie ujenzi wa mitaro ya maji kwenye barabara inayojengwa toka…
24 January 2025, 12:30 pm
Dkt. Omary Nkullo ameahidi kuzichukua changamoto zote na kuzifanyia kazi ikiwemo kuona namna ya kuwaajiri walimu wanaojitolea kuwafundisha wanafunzi wenye ulemavu katika kituo hicho. Na Mariam Kasawa.Wanafunzi 119 wenye mahitaji maalum waliopo katika kituo kilichopo Shule ya Msingi Mkoka wilayani…
23 January 2025, 6:17 pm
Majirani wameeleza Juu ya Tukio hilo lilivyo Tokea. Na Kitana Hamis.Mjumbe wa Serikali ya Mtaa afariki dunia Kwa Kuanguka Ghafla huku Wananchi wengi wakibaki na Maswali Juu ya ya kifo chake. Tukio Hilo limetokea Mtaa wa Majego Kata ya Mtumba…
23 January 2025, 6:06 pm
Wakieleza namna ambavyo kukosekana kwa maji safi na salama kunawaathiri wananchi hao, wameiomba serikali kutatua adha hiyo. Na Victor Chigwada.Wananchi wa vitongoji vya Chidobwe, Kaunda na Liwangama Kolimba wameiomba serikali kushughulikia changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na…
23 January 2025, 5:35 pm
Katika kuhakikisha wakulima wanazingatia msingi wa kilimo bora, Shirika la Rikolto wameendelea kutoa elimu kwa wakulima kuhusu kilimo bora, lishe na usawa kijinsia pamoja na usalama wa chakula. Na Seleman Kodima.Imeelezwa kuwa ili kuwa jamii yenye afya njema ipo haja…
21 January 2025, 6:04 pm
hakuna madhara ya kifo yaliyotokea katika ajali ya moto huo. Na Mariam KasawaTakribani maduka 10 yaliyopo katika Barabara ya Nane katikati ya Jiji la Dodoma yameteketa kwa moto uliozuka leo Januari 21, 2025 majira ya saa moja asubuhi, na hivyo…
17 January 2025, 5:31 pm
Mahakama isikilize kesi hizo kwa haraka ili Wananchi Wazee kupata Haki zao kwa haraka na kwa usahihi Zaidi kwasababu inavyokuwa inachukuwa zaidi mda Mrefu unakuta mwananchi anapoteza Mda Mwingi pia haki yake inachelewa Kupatikana. Na Kitana Hamis.Afisa misitu wa Suluedo…
16 January 2025, 3:44 pm
Pamoja na Kuhamasisha, kulinda na kurejesha Afya na Ustawi wa Jamii kwa kuzingatia na mipango sahihi, ya kufikia maendeleo endelevu ya Afya ya Jamii. Na Victor Chigwada.Tabasamu limerejea kwa wananchi wa kijiji cha Mlazo wilayani chamwino baada ya serikali kuboresha…
16 January 2025, 3:23 pm
Dodoma FM imezungumza na mama wa mtoto ambaye anadai kuwa hawezi kumsomesha mtoto huyo. Na Kitana Hamis.Kwa mujibu wa mwanafunzi huyo, ameieleza Dodoma FM kuwa mama yake tayari alipokea mahari ili kumwozesha binti huyo ambapo binti huyo aliamua kuomba msaada…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-