Dodoma FM
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
Mkufunzi wa sherehe za kunfundisha binti Bi,Hawa Ramadhani amesema mafundisho yanayotolewa katika sherehe hizo yanalenga kumjenga mwanamke kuwa bora na mwenye uwezo wa kutekeleza majukumu yake katika familia, akibainisha kuwa mabadiliko ya jamii na utandawazi pia ni miongoni mwa mambo…
17 September 2026, 17:08
Hata hivyo, jamii inapaswa kuendelea kushirikiana na mamlaka zinazohusika katika kulinda vyanzo vya maji na miundombinu yake, ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa za mapema kuhusu vitendo vinavyoweza kuhatarisha usalama wa maji, ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa kwa wakati. Na:…
17 September 2026, 16:50
Na Stephen Noel. Wananchi wa Kijiji cha Msagali, Kata ya Chunyu, Wilaya ya Mpwapwa, wameamua kujikwamua kwa kuchangisha fedha na kuanza ujenzi wa kituo cha afya, hatua inayolenga kupunguza changamoto ya upatikanaji wa huduma za afya, hususani wakati wa msimu…
17 September 2026, 12:14
Hata hivyo, waajiri wanashauri kuwepo kwa mfumo wa wazi wa kupima utendaji wa maafisa usafirishaji, kuweka malengo yanayotekelezeka na kutoa mrejesho wa mara kwa mara ili changamoto zinapojitokeza ziweze kutatuliwa kabla ya kumalizika kwa mkataba. Na Mathias Mgale. Kushindwa kwa…
17 September 2026, 11:27
Wakazi wa kata ya Mlowa barabarani wamelalamikia tabia ya baadhi ya wananchi kung’oa alama za vibao vya mtaa na kuuza kwenye vyuma chakavu . Na Victor Chigwada. Wakiongea na taswira ya habari baadhi ya wananchi wameiomba serikali kuingilia kati suala…
17 September 2026, 10:09
Baada ya kusikiliza ushahidi uliowasilishwa mahakamani, Ezra Maziku alikutwa na hatia na kuhukumiwa kutumikia kifungo cha maisha jela. Na Stephen Noel.Kijana mwenye umri wa miaka 27, Ezra Maziku maarufu ‘Funika’, amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia…
15 September 2026, 15:08
Kampeni ya Mjue Jirani Yako inaendelea kuhamasisha ushirikiano kati ya wananchi na vyombo vya dola, kwa lengo la kuhakikisha taarifa muhimu za kiusalama zinawasilishwa kwa wakati na hivyo kusaidia kujenga jamii yenye ulinzi na usalama. Na Anwary Shabani. Wito umetolewa…
15 September 2026, 09:03
Mtendaji wa PSPTB Bwana Godfred Banyi amewasihi wataalamu wote wa PSPTB wenye madeni kutumia fursa hiyo ya siku 30 kulipa ada zao kwa wakati ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza katika usajili na shughuli zao za kitaalamu. Na Anwary Shabani. Bodi…
14 September 2026, 16:24
Atanasio Mnyepembe Mwenyekiti kutoka Kijiji cha Idifu ni shuhuda wa mwenendo wa elimu katika kijiji chake, anakiri kuwa licha ya kutumia nguvu nyingi kuhamasisha wananchi kupeleka watoto mashuleni lakini bado kuna mapungufu hasa kwa watoto wanaojiunga na kidato cha kwanza.…
14 September 2026, 15:55
kukamilika kwa Tenki la maji kupitia mradi wa kisima cha Mahunga hivyo kuanza kutoa huduma kwa vijiji vya Mlowa barabarani na Mlowa B. Na Victor Chigwada. Kukamilika Kwa Tenki la maji lililokuwa likijengwa katika kitongoji cha Mahunga Kata ya Mlowa…
14 September 2026, 15:20
Viongozi wa kata ya vighawe, wilaya ya mpwapwa, wameendelea kuhamasisha wananchi kujiandaa dhidi ya uwezekano wa mvua nyingi kwa kufuatilia taarifa rasmi za hali ya hewa, kutambua maeneo hatarishi na kuchukua hatua za kinga, huku wazazi na walezi wakitakiwa kuwaangalia…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-