Dodoma FM
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
Unywaji wa pombe pamoja na uvutaji wa sigara umetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazo sababisha ongezeko la magonjwa ya moyo, hususani kwa wanaume. Na Bennard Filbert. Hayo yameelezwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Jakaya Kikwete Cardiac Institute, Dkt. Peter…
7 August 2026, 20:17
Hii ni hatua inayolenga kuboresha ukusanyaji wa mapato ya wakulima, kuongeza upatikanaji wa mikopo ya kilimo na kulinda afya ya mifugo kupitia bima, yote kwa njia yenye usalama na ufanisi kupitia simu zao za mkononi. Na Anwary Shabani. Wakulima mkoani…
7 August 2026, 16:41
Katika hatua nyingine, ACP Hyera amewataka wataalamu wa tiba asili kuacha kujihusisha na vitendo vya ramli chonganishi vinavyoweza kusababisha migogoro na kuvuruga amani katika jamii, akisisitiza kuwa Jeshi la Polisi litaendelea kuchukua hatua dhidi ya vitendo vyovyote vinavyohatarisha usalama na…
7 August 2026, 12:52
Ni muhimu kufahamu kuwa ukatili umegawanyika katika makundi manne makuu: ambayo ni ukatili wa kimwili, ukatili wa kingono, ukatili wa kihisia na ukatili mwingine. Na Mariam Kasawa.Ukatili wa kijinsia ni kitendo chochote cha unyanyasaji ambacho husababisha, au kinaweza kusababisha madhara…
7 August 2026, 11:37
Kutokana na maelekezo ya mkuu wa wilaya wenyekiti wa mtaa wa Mbulu Mission Solomon Ruta amekiri kupokea maelekezo ya mkuu wa wilaya huku akiahidi kuyafanyia kazi haraka iwezekanavyo. Na Leokadia Andrew. Baadhi ya wananchi wa mtaa wa Mbulu wilayani Kahama…
7 August 2026, 11:03
Na Stephen Noel. Vijana wa vyuo vya kati wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuweka mkazo katika kushughulikia vyanzo vya changamoto zinazowakabili vijana badala ya kujikita katika kushughulikia matokeo yake pekee.Ombi hilo limetolewa na baadhi ya vijana hao walipozungumza na…
6 August 2026, 17:38
Mhandisi Turuka ametoa wito kwa wananchi wote wanaotembelea Maonesho ya Nanenane kufika katika banda la Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ili kupata elimu na kujisajili au kusasisha taarifa zao katika Mfumo wa Anwani za Makazi, hatua ambayo itawawezesha…
6 August 2026, 17:10
Wazazi na walezi watakiwa kujenga ukaribu na watoto wao ili wawe huru kujadili masuala ya afya ya uzazi, kwasababu mawasiliano ya wazi ndani ya familia ni msingi wa kuwalea watoto wenye uelewa na maadili mema. Na Daniel Njau. Wananchi wametakiwa…
5 August 2026, 17:04
Na Hamis Kitana. Katika ziara hiyo, Waziri Aweso ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwekeza katika sekta ya elimu na kuhakikisha Watanzania wa makundi yote wanapata fursa ya kujifunza na kujipatia…
5 August 2026, 16:43
Kwa kutoa msaada huo wa mawasiliano, Mixx by Yas inaendelea kuonesha dhamira yake ya kushirikiana na taasisi mbalimbali katika kuboresha utoaji wa huduma na kuongeza ufanisi wa shughuli za maendeleo katika jamii. Na Anwar shabani. Kampuni ya Mixx by Yas…
5 August 2026, 14:24
Mamlaka zimewataka wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kulinda haki za watoto kwa kuhakikisha wanapata elimu na malezi stahiki badala ya kuingizwa katika ajira za utotoni. Na Stephen Noel. Afisa Ustawi wa Jamii wa Mkoa wa Dodoma, Bi. Josephine Mwaipopo,…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-