2 April 2025, 6:00 pm

Jamii yatakiwa kutowaita watu wenye ulemavu majina yasiyofaa

Kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, asilimia 11.2 ya watu wote nchini wana ulemavu, idadi hiyo imeongezeka kutoka asilimia 9.3 ilivyokuwa katika sensa ya mwaka 2012. Na Lilian Leopord.Katika jamii, lugha ina nguvu kubwa katika kuunda…

On air
Play internet radio

Recent posts

14 May 2025, 4:18 pm

Wadau waomba taasisi binafsi kufanya punguzo sekta ya utalii

Ili kuwepo na tija katika sekta ya utaalii nanchi iweze kuongeza pato la taifa ni vema serikali ikaweka mazingira rafiki. Na Farashuu Abdallah.Baadhi ya wadau wa masuala ya utalii wameshaur kuwepo na punguzo la tozo katika taasisi binafsi zinazo shughulikia…

14 May 2025, 1:55 pm

Kiteto wakumbwa na hofu eneo la makaburi kujaa

Hofu imetanda miongoni mwa wakazi wa eneo hilo kwani wananchi wanadai kuwa hakuna eneo mbadala. Na Kitana Hamis.Wakazi wilayani Kiteto mkoani Manyara wahofia kukosa maeneo ya kuzika kutokana na eneo la makaburi kujaa. Hofu imetanda miongoni mwa wakazi wa eneo…

13 May 2025, 5:03 pm

Babati kuja na mkakati kumaliza matukio ya ukatili

Hii ni kufuatia tukio la hivi karibuni la binti mwenye Umri wa miaka 13 Kubakwa na kuuawa. Na Kitana Hamis.Mkuu wa Wilayani ya Babati Emmanuela Kaganda Ametangaza Oparesheni ya kumaliza Matukio ya ukatili ikiwemo Ubakaji. Hii ni kufuatia tukio la…

13 May 2025, 4:47 pm

Tembo wageuka tishio wilayani Kiteto

Matukio hayo yamepelekea baadhi ya wananchi kuwa walemavu. Na Kitana Hamis.Kwa kipindi Cha Miezi 4 zaidi ya Watu 4 Wameuawa Wengine kujeruhiwa kwa kushambuliwa na Tembo. Matukio hayo yamepelekea baadhi ya wananchi kuwa walemavu huku Tembo hao wakiharibu mali pamoja…

13 May 2025, 4:09 pm

Bahi kuja na marufuku kwa wajawazito kunywa pombe

Ikumbukwe kuwa Mradi wa Elimu Jumuishi unaotekelezwa na Kanisa FPCT katika mkoa wa Dodoma unatekelezwa kwenye wilaya mbili ambazo ni Dodoma na Bahi. Na Seleman Kodima. Halmashauri ya Wilaya ya Bahi imesema ipo tayari kuwa na sheria ndogo ndogo za…

12 May 2025, 2:10 pm

Mipango yazindua mitaala mipya ya kufundishia

Sanjari na hayo Professa Canute ambaye ni makamu mkuu wa chuo mpango fedha na utawala ameweza kumshukuru mkuu wa chuo hicho kwa kuweza kufanikisha uzinduzi wa mitaala 10 Na Annuary Shaban. Mkuu wa chuo cha mipango na maendeleo vijijini cha…

7 May 2025, 1:38 pm

Serikali yaandaa zoezi la kuchanja, kutambua mifugo nchini

Hali ya Uzalishaji wa mazao ya Uvuvi ,Waziri Kijaji amesema umeongezeka kutoka tani  ,laki nne na elfu sabini na nne na elfu themanini na moja kwa mwaka 2021 hadi kufikia tani laki tano ,ishirini na mbili na mia saba themanini…

6 May 2025, 5:49 pm

Ubovu wa barabara ya Ihumwa kubaki historia

Ikumbukwe barabara hiyo ilitangazwa kuweka kiwango cha lami na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati John pombe Magufuli alipo kuwa akizindua ujenzi wa reli mwendo kasi kutoka Morogoro Hadi Makutupola. Na Victor Chigwada. Imeelezwa changamoto ya ubovu wa barabara…

6 May 2025, 5:29 pm

Umbali chanzo mimba wanafunzi Muungano, wakatiza masomo

Hata hivyo serikali ilishatangaza ujauzito isiwe sababu ya mwanafunzi kuacha masomo hivyo kuwaruhusu wanafunzi waliokatiza masomo yao kwa sababu hizo kurejea shuleni. Na Victor Chigwada. Imeelezwa umbali wa kilomita kumi kuifikia sekondari kwa wanafunzi wa kijiji cha Muungano imekuwa sababu…

5 May 2025, 6:32 pm

Wananchi watakiwa kutoa taarifa za majanga ya moto haraka

Siku ya Zimamoto Duniani huadhimishwa kila May 4 ya kila mwaka. Na Kitana Hamis.Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mkoa wa Manyara Gilbert Mvungi,ametoa wito kwa wananchi kutoa taarifa mapema pindi ajali ya moto inapotokea kwakupiga namba ya…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger