9 April 2026, 17:25

Sigara/shisha huchangia magonjwa ya moyo kwa vijana

Unywaji wa pombe  pamoja na uvutaji wa sigara umetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazo sababisha ongezeko la magonjwa ya moyo, hususani kwa wanaume. Na Bennard Filbert. Hayo yameelezwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Jakaya Kikwete Cardiac Institute, Dkt. Peter…

On air
Play internet radio

Recent posts

17 July 2026, 16:53

Mitazamo hasi kwa wenye ualbino inavyowaathiri kisaijolojia

Watu hao wamekuwa wakibaguliwa na hata kuitwa majina yasiostahili. Na Lilian Leopold.Mitazamo hasi inayoendelea kuwepo katika baadhi ya jamii kuhusu watu wenye ualbino, ikiwemo kuwaita majina yasiyofaa, imetajwa kuendelea kuwaathiri kisaikolojia na kuathiri ustawi wao. Jamii ya albino imekumbwa na…

17 July 2026, 16:32

Wanaume watakiwa kusimama katika nafasi zao katika malezi

Wananchi wanaamini kuwa nafasi ya mwanamume katika malezi ni kubwa kwa sababu watoto hujifunza zaidi kupitia matendo kuliko maneno. Na Daniel Njau.Wanaume wametakiwa kusimama katika nafasi zao ili kujenga jamii yenye maaadili na kujituma. Baba anayewajibika kwa familia yake, anayeheshimu…

17 July 2026, 15:32

Vikundi vya kijamii, polisi kushirikiana kufichua ukatili

Washiriki wa kikundi hicho wameahidi kuendelea kufanya kazi na Polisi na viongozi wa jamii ili kuhakikisha Mpwapwa inakuwa salama kwa wanawake na watoto. Na Stephen Noel. Vikundi mbalimbali vya kijinsia vinavyoanzishwa kwenye jamii kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi vimetakiwa…

16 July 2026, 16:47

Wananchi wa watakiwa kutunza miradi ya maendeleo

Ziara hiyo ni sehemu ya utaratibu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo, kutathmini ubora wa kazi zinazofanyika na kuhakikisha miradi hiyo inakidhi viwango vinavyotarajiwa pamoja na kutoa manufaa yaliyokusudiwa kwa wananchi. Na Anwary Shaban.…

16 July 2026, 16:28

Mgogoro wa ardhi wapelekea nyumba 15 kubomolewa

Zaidi ya nyumba 15 zimebomolewa katika Mtaa wa Mpamaa Block 7, Kata ya Miyuji jijini Dodoma, huku familia kadhaa zikibaki bila makazi na mali zao kuharibika. Na Bennard Filbert. Wakazi wa Mtaa wa Mpamaa Block 7, Kata yaMiyuji jijini Dodoma…

16 July 2026, 13:19

Wananchi watakiwa kuacha dhana potofu kuandika wosia

Jamii imehimizwa kufuata sheria na taratibu za mirathi pamoja na kuandika wosia mapema ili kulinda haki za warithi, kuimarisha amani ya familia na kuondoa migogoro inayoweza kuepukika. Na Anwary Shaban. Migogoro ya mirathi imeendelea kuwa chanzo cha migawanyiko katika familia…

16 July 2026, 12:23

Serikali yaombwa kufanyia tathmini shule ya msingi Ikombolinga

Amesema licha ya kupokea fedha za mfuko wa Jimbo kwaajili ya ukarabati wa shule hiyo bado pesa hizo hazikidhi mahitaji ya ukarabati wa shule hiyo. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Ikombolinga Wilayani  Chamwino wameiomba Serikali kufanya tathimini ya…

15 July 2026, 17:59

Jamii yatakiwa kutambua ukeketaji ni kitendo cha hatari

Jitihada hizo zinaendelea kuonesha dhamira ya serikali na wadau mbalimbali ya kuhakikisha ukeketaji unatokomezwa kabisa, huku wananchi wakihimizwa kushiriki kikamilifu katika kampeni za elimu na kutoa taarifa za vitendo hivyo ili kulinda afya, haki na mustakabali wa mtoto wa kike.…

15 July 2026, 17:43

Wataalam waonya unywaji pombe kali unavyotengeneza taifa la wagonjwa

Wataalamu wa Afya wameendelea kusisitiza umuhimu wa vijana kujishughulisha na shughuli za maendeleo badala ya kutumia muda mwingi katika unywaji wa pombe. Na Stephan Noel. Serikali na Asasi za Kiraia zimeshauriwa kuongeza jitihada za kutoa Elimu ya Afya kwa vijana…

14 July 2026, 17:39

Kiteto yafanikisha mapambano dhidi ya dawa za kulevya

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026, Ndg. Wazo Michael Mwang’onda, ameipongeza Wilaya ya Kiteto kwa jitihada za kudhibiti ulimaji na usafirishaji wa dawa za ,kulevya. Na Kitana Hamis. Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026 umewasili Wilayani Kiteto mkoani…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger