
Recent posts

2 June 2023, 7:06 pm
Dodoma: Mashine za kuvuna karanga zawakosha wakulima
Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta na zao hili hustawi zaidi katika mikoa ya Kusini Mashariki, Dodoma na Morogoro. Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la karanga mkoani Dodoma wamepongeza uwepo wa teknolijia ya mashine za kuvuna karanga. Mashine…

2 June 2023, 6:45 pm
Wataalam wa mipango, uratibu watakiwa kutenga bajeti kutekeleza program ya MMMAM
Waziri Dkt. Gwajima amesema katika bajeti zijazo itabidi uhakiki wa bajeti ufanyike ili kubaini kama bajeti ya utekelezaji wa Programu hiyo umezingatiwa. Na Mariam Matundu. Rai imetolewa kwa wataalam wa mipango na uratibu katika sekretarieti za mikoa kuhakikisha wanatenga bajeti…

2 June 2023, 1:44 pm
Mnada wa kisasa wa nyama choma kukuza uchumi wa wafanyabiashara
Na Bernadetha Mwakilabi. Halmashauri ya wilaya ya Kongwa inatarajia kuanzisha mnada mpya wa kisasa wa nyama choma katika eneo la Mbande utakaosaidia kukuza uchumi wa wafanyabiashara na kuitangaza wilaya hiyo kibiashara. Hayo yamesemwa na mjumbe wa kamati ya maandalizi ya…

2 June 2023, 1:21 pm
Wakazi kata Ntyuka kuondokana na adha ya maji
Na Selemani Kodima. Wakazi 4,441 wa mitaa ya Chimalaa na Nyerere kata ya Ntyuka jijini Dodoma wanatarajiwa kuondokana na adha ya kutopata uhakika wa maji safi na salama baada ya uzinduzi wa mradi wa maji wa Ntyuka Chimalaa kukamilika .…

1 June 2023, 5:38 pm
Mradi uchimbaji visima vya maji kunufaisha wakazi Nzuguni
Mradi huo wenye mikataba minne una thamani ya sh. Bilioni 4.8. Na Mindi Joseph. Wakazi 37,929 katika kata ya Nzuguni mkoani Dodoma wanatarajia kunufaika na utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa visima vya maji unaotarajiwa kukamilika mwezi Agosti mwaka huu.…

1 June 2023, 4:56 pm
Bahi: Gharama kubwa zachangia wakulima kususia kilimo cha mpunga
Wakulima hao wameendelea kuiomba serikali kuwatafutia masoko ya uhakika . Na Bernad Magawa Baadhi ya wakulima wa mpunga wilayani Bahi wameshindwa kushiriki kikamilifu katika kilimo msimu uliopita wa kilimo kutokana na gharama kubwa za kilimo hicho pamoja na pembejeo. Mpunga…

1 June 2023, 2:14 pm
Wakulima wa mtama wanufaika na mbegu za mesia
Mtama ni miongoni mwa mazao ya nafaka yanayolimwa kwa wingi nchini na duniani kote na zao hili hulimwa kwa ajili ya chakula na biashara. Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la mtama mkoani Dodoma wamesema mbengu za mtama aina ya…

1 June 2023, 1:50 pm
Serikali kufanya majaribio ya treni ya mwendokasi Julai
Hayo yamesemwa na msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma. Na Alfred Bulahya. Serikali inatarajia kufanya majaribio ya treni ya mwendokasi (SGR) ifikapo mwezi Julai mwaka huu badala ya mwezi Mei kama ilivyotangazwa…

1 June 2023, 1:17 pm
Wadau wa lishe waombwa kuisaidia jamii kufahamu umuhimu wa lishe bora
Jamii inapaswa kuzingatia ulaji wa mlo kamili unaojumuisha makundi yote ya vyakula vya jamii ya nafaka, ya mizizi, ya wanyama, ya mikunde mbogamboga matunda sukari na asali. Na Bernadetha Mwakilabi. Wadau wa lishe nchini wameombwa kusaidiana na serikali kuisaidia jamii…

31 May 2023, 5:11 pm
DUWASA kuchimba visima 30 kuanzia Julai
Hadi kufika mwaka 2051 Duwasa inatarajia kuzalisha lita za maji milion 417 kwa siku. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) inatarajia kuchimba visima 30 vya maji katika maeneo yote mkoani Dodoma kuanzia mwezi…