

Dodoma FM
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
Kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, asilimia 11.2 ya watu wote nchini wana ulemavu, idadi hiyo imeongezeka kutoka asilimia 9.3 ilivyokuwa katika sensa ya mwaka 2012. Na Lilian Leopord.Katika jamii, lugha ina nguvu kubwa katika kuunda…
14 May 2025, 4:18 pm
Ili kuwepo na tija katika sekta ya utaalii nanchi iweze kuongeza pato la taifa ni vema serikali ikaweka mazingira rafiki. Na Farashuu Abdallah.Baadhi ya wadau wa masuala ya utalii wameshaur kuwepo na punguzo la tozo katika taasisi binafsi zinazo shughulikia…
14 May 2025, 1:55 pm
Hofu imetanda miongoni mwa wakazi wa eneo hilo kwani wananchi wanadai kuwa hakuna eneo mbadala. Na Kitana Hamis.Wakazi wilayani Kiteto mkoani Manyara wahofia kukosa maeneo ya kuzika kutokana na eneo la makaburi kujaa. Hofu imetanda miongoni mwa wakazi wa eneo…
13 May 2025, 5:03 pm
Hii ni kufuatia tukio la hivi karibuni la binti mwenye Umri wa miaka 13 Kubakwa na kuuawa. Na Kitana Hamis.Mkuu wa Wilayani ya Babati Emmanuela Kaganda Ametangaza Oparesheni ya kumaliza Matukio ya ukatili ikiwemo Ubakaji. Hii ni kufuatia tukio la…
13 May 2025, 4:47 pm
Matukio hayo yamepelekea baadhi ya wananchi kuwa walemavu. Na Kitana Hamis.Kwa kipindi Cha Miezi 4 zaidi ya Watu 4 Wameuawa Wengine kujeruhiwa kwa kushambuliwa na Tembo. Matukio hayo yamepelekea baadhi ya wananchi kuwa walemavu huku Tembo hao wakiharibu mali pamoja…
13 May 2025, 4:09 pm
Ikumbukwe kuwa Mradi wa Elimu Jumuishi unaotekelezwa na Kanisa FPCT katika mkoa wa Dodoma unatekelezwa kwenye wilaya mbili ambazo ni Dodoma na Bahi. Na Seleman Kodima. Halmashauri ya Wilaya ya Bahi imesema ipo tayari kuwa na sheria ndogo ndogo za…
12 May 2025, 2:10 pm
Sanjari na hayo Professa Canute ambaye ni makamu mkuu wa chuo mpango fedha na utawala ameweza kumshukuru mkuu wa chuo hicho kwa kuweza kufanikisha uzinduzi wa mitaala 10 Na Annuary Shaban. Mkuu wa chuo cha mipango na maendeleo vijijini cha…
7 May 2025, 1:38 pm
Hali ya Uzalishaji wa mazao ya Uvuvi ,Waziri Kijaji amesema umeongezeka kutoka tani ,laki nne na elfu sabini na nne na elfu themanini na moja kwa mwaka 2021 hadi kufikia tani laki tano ,ishirini na mbili na mia saba themanini…
6 May 2025, 5:49 pm
Ikumbukwe barabara hiyo ilitangazwa kuweka kiwango cha lami na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati John pombe Magufuli alipo kuwa akizindua ujenzi wa reli mwendo kasi kutoka Morogoro Hadi Makutupola. Na Victor Chigwada. Imeelezwa changamoto ya ubovu wa barabara…
6 May 2025, 5:29 pm
Hata hivyo serikali ilishatangaza ujauzito isiwe sababu ya mwanafunzi kuacha masomo hivyo kuwaruhusu wanafunzi waliokatiza masomo yao kwa sababu hizo kurejea shuleni. Na Victor Chigwada. Imeelezwa umbali wa kilomita kumi kuifikia sekondari kwa wanafunzi wa kijiji cha Muungano imekuwa sababu…
5 May 2025, 6:32 pm
Siku ya Zimamoto Duniani huadhimishwa kila May 4 ya kila mwaka. Na Kitana Hamis.Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mkoa wa Manyara Gilbert Mvungi,ametoa wito kwa wananchi kutoa taarifa mapema pindi ajali ya moto inapotokea kwakupiga namba ya…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-