Recent posts
8 April 2024, 6:03 pm
Keisha agawa mitungi 200 ya gesi kwa watu wenye ulemavu Dodoma
Mbunge Keisha amemshukuru Rais Samia kwa kuwajali watanzania hususani watu wenye ulemavu nchini. Miongoni mwa mkakati jumuishi wa serikali ni kuhakikisha mpaka kufikia mwaka 2033 zaidi ya 80% ya wananchi nchini wawe wanatumia nishati safi ya kupikia ikiwemo gesi na…
8 April 2024, 5:48 pm
Wafungwa, mahabusu watakiwa kuutumia mwezi mtukufu kufanya toba ya kweli
Shughuli hiyo iliratibiwa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA wilaya ya Dodoma kwa kushirikiana na misikiti ya wilaya ya Dodoma. Na Seleman Kodima.Sheikh wa Mkoa wa Dodoma Alhaj Mustafa Rajab Shaban amewataka wafungwa na mahabusu waliopo magerezani kutumia vyema…
4 April 2024, 5:39 pm
Halmashauri ya Dodoma yaongeza uzalishaji wa Zabibu
Katika kipindi cha miaka 3kuanzia 2021-2024 miche 113,306 imeweza kuzalishwa. Na Fred Cheti.Halmshauri ya jiji la Dodoma imefanikiwa kuongeza uzalishaji wa zao la zabibu ambalo ndio zao kuu la kimkakati katika jijini la Dodoma . Hayo yameelezwa na bi Yustina…
4 April 2024, 5:27 pm
Nala bado yakabiliwa na changamoto ya maji
Serikali kupitia Wizara ya Maji na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imewekeza kiasi cha shilingi bilioni 9.14 ikiwa ni hatua za haraka na muda mfupi zilizofanyika za kutatua changamoto ya maji pamoja na uchimbaji na uendelezaji…
4 April 2024, 5:01 pm
Nini kikwazo cha usawa wa kijinsia kwenye uongozi wa kisiasa
Kutokana na hali hiyo Mariam Matundu amezungumza mtaalamu kutoka shuo cha serikali za mitaa Hombolo na ameanza kuuuliza nini kikwazo katika usawa wa kijinsia kwenye uongozi wa kisiasa. Na Mariam Matundu.Leo tunaangazia uongozi katika siasa ,ambapo kwa mujibu wa takwimu…
3 April 2024, 6:13 pm
DUWASA yaendelea na ukaguzi miundominu ya maji taka
Katika zoezi hilo DUWASA imebaini kuzidiwa na miundombinu ya majitaka eneo la Makole. Na Seleman Kodima.Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imeendelea na zoezi la ukaguzi wa miundombinu ya majitaka katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dodoma…
3 April 2024, 6:02 pm
Ujenzi wa daraja la Ng’ong’ona kufungua fursa za kiuchumi
Mikakati ya TARURA kuboresha Miundombinu ya barabara na madaraja katika mkoa wa Dodoma ili kurahisisha shughuli za kiuchumi. Na Fred Cheti.Ujenzi wa daraja la Ng’o’ng’ona lililopo katika Kata ya Ng’o’ng’ona Jijini Dodoma linalojengwa kwa teknolojia ya Mawe linatarajiwa kufungua fursa…
3 April 2024, 5:16 pm
Watu wa karibu wana mchango gani kwa kijana kuwania uongozi
Leo tunaangazia Watu wa karibu wanamsaidiaje kijana kuwania nafasi za uongozi wa serikali za mitaa ambapo Selemani kodima anatuletea taarifa ifuatayo. Na Seleman Kodima.Ikiwa Mwaka huu Tanzania tunafanya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao unahusisha kuchagua viongozi kwenye nafasi za…
28 March 2024, 8:09 pm
Waumini wa Kikristo watakiwa kuiadhimisha Pasaka kwa kutenda mema
NaThadei Tesha. Waumini wa dini ya kikristo wametakiwa kuiadhimisha siku ya alhamisi kuu kwa kutenda matendo mema pamoja na kufanya toba. Wakristo kote ulimwenguni wakiwemo wa kanisa Wakatoliki wanaungana katika kuadhimisha siku ya alhamisi kuu,siku hii ikiwa ni mwendelezo wa…
28 March 2024, 7:36 pm
Nzuguni A waishukuru Serikali kwa kuchonga barabara
Ni msimu wa kiangazi tu Barabra hii ilikuwa inapitika Lakini Msimu wa masika ilikuwa ni kikwazo. Na Mindi Joseph. Wakazi wa Nzuguni A wameishukuru Tarura kwa Uchongaji wa barabara Kilometa 9.780 na uzibaji wa mashimo kwa kifusi katika mtaa huo…