Dodoma FM

Recent posts

15 April 2026, 17:53

Kiteto sekondari yatekeleza matumizi ya nishati safi

Kamati hiyo pia ilitoa rai kwa Halmashauri kuhakikisha teknolojia hiyo ya nishati safi inasambazwa katika shule nyingine zote wilayani humo ili kuongeza ufanisi na kulinda mazingira kwa kiwango kikubwa zaidi. Na Kitana Hamis Shule ya Sekondari Kiteto imeandika historia mpya…

15 April 2026, 17:40

Kadi za klinik kwa watoto na wajawazito ni bure

Taswira ya Habari imezingumza na Mwenyekiti wa Kijiji cha Muungano Bw. Matonya Mtukamsihi ambaye amekiri kusikia Malalamiko hayo kutoka Kwa wananchi. Na Victor Chigwada. Baadhi ya wanawake katika kijiji cha Muungano wilayani Chamwino wamelalamikia kuuziwa kadi wanapo wapeleka watoto kuanza…

15 April 2026, 17:30

Wazazi watakiwa kuthamini usawa kwenye elimu ya watoto

Licha ya changamoto mbalimbali lakini kumekuwa na muamko mkubwa  ndani ya jamii wa kuwapeleka watoto wa kike shuleni pasipo kukatishwa masomo hususani maeneo ya vijijini. Na Victor Chigwada. Jamii imetakiwa kutambua umuhimu wa elimu Kwa watoto wa kike ili kukuza…

14 April 2026, 18:34

Tembo wakatisha  vikao vya maendele ya kijiji Chinugulu

Inaelezwa kuwa vitongoji hivyo vilivyo karibu na pori hilo la akiba havifikiwi na viongozi wake mara kwa mara. Na Victor Chigwada. Viongozi wa Kijiji cha Chinugulu wilayani Chamwino wameeleza kushindwa kuvifikia baadhi ya vitongoji wanavyo viongoza kutokana na uwepo wa…

14 April 2026, 18:09

Unakabiliana vipi na uraibu wa tabia toka kwa vijana

Lakini tabia au hobi yoyote ambayo inachukua maisha yako na kuingilia utendaji wako wa kila siku inaweza kusababisha matatizo makubwa na afya yako ya akili, kijamii, na kimwili na katika hali fulani, fedha zako pia. Na Mariam Kasawa.Uraibu wa dawa…

13 April 2026, 17:16

Shule Shikizi Segu Chini kujengwa chumba kimoja cha darasa

Shule shikizi hiyo itasaidia watoto hasa wa madarasa ya chini wanaoishi maeneo ya mbali kupata elimu karibu, ambapo wanatembea umbali wa km 7 kufika Shule ya Msingi Nala kusoma na wengine kutembea umbali wa km 8 kufika Shule ya Msingi…

13 April 2026, 16:28

Migogoro ya ndoa chanzo watoto wa mitaani

Kwa mwaka 2026 Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni  malezi  na ulinzi wa mtoto ni WAJIBU wetu sote. Na Steven Noel Jamii imeshauriwa kuchukua hatua dhidi  ongezeko  la watoto wanaotumikishwa mitaani pamoja na ongezeko la watoto wa mitaani   linalozidi kuongezeka…

13 April 2026, 11:46

Mikopo ya kausha damu yawatesa Ngh’ambaku

Mikopo umiza imekuwa ikisababisha athari nyingi kwa jamii ikiwemo familia zinazo jiingiza kwenye mikopo hiyo kukumbwa na madeni yasiyo kwisha. Na Victor Chigwada Wakazi wa Kata ya Ngh’ambaku Wilayani Chamwino wametakiwa kuachana na mikopo umiza maarufu kama kausha damu kwani…

13 April 2026, 10:53

Mwanaume anaweza kuzungumzia ukatili wa kijinsia anaofanyiwa?

Matendo ya ngono yatakayosababishwa kwa maneno au matendo na mtu aliye na madaraka katika sehemu ya kazi au sehemu nyingine yoyote, atakuwa ametenda kosa la udhalilishaji wa kijinsia. Na Mariam KasawaUmoja wa Mataifa unafafanua kuwa ukatili wa kijinsia ni kitendo…

9 April 2026, 17:25

Sigara/shisha huchangia magonjwa ya moyo kwa vijana

Unywaji wa pombe  pamoja na uvutaji wa sigara umetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazo sababisha ongezeko la magonjwa ya moyo, hususani kwa wanaume. Na Bennard Filbert. Hayo yameelezwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Jakaya Kikwete Cardiac Institute, Dkt. Peter…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger