Recent posts
24 June 2026, 14:26
Polisi yaahidi kuendeleza ushirikiano na TAMESO T
Ushirikiano kati ya serikali, wataalamu wa afya na waganga wa tiba asilia unatajwa kuwa hatua muhimu katika kuhakikisha huduma za afya zinaboreshwa huku vitendo vinavyochochewa na imani potofu vikidhibitiwa kwa manufaa ya jamii. Na Anwary Shaban. Jeshi la Polisi nchini…
24 June 2026, 13:48
Unyanyapaa sababu kubwa waraibu kurudia matumizi ya dawa za kulevya
Serikali imekuwa ikisisitiza kuwa hakuna mwanafunzi anayepaswa kufukuzwa, kuzuiwa kufanya mtihani au kunyimwa huduma za msingi kwa sababu ya kutotoa mchango wa hiari. Na Elizabeth Mwailunga. Imeelezwa kuwa miongoni mwa sababu za baadhi ya waraibu wa dawa za kulevya kurejea…
24 June 2026, 11:24
EWURA CCC yaendelea kulinda na kutetea watumiaji huduma za nishati na maji
Eneo lingine lililopatiwa kipaumbele ni uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi ya kupikia, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kufanikisha lengo la Taifa la kuhakikisha asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034. Watumiaji wa huduma…
23 June 2026, 16:33
Wananchi watakiwa kutunza mazingira kuepuka magonjwa
Iwapo hatua za usafi wa mazingira hazitachukuliwa kwa wakati, magonjwa hayo yanaweza kusababisha madhara makubwa kwa jamii, ikiwemo kulazwa hospitalini na hata kupoteza maisha, hivyo akasisitiza umuhimu wa kila mwananchi kushiriki katika kutunza usafi wa mazingira yanayomzunguka. Na Daniel Njau.…
22 June 2026, 17:02
Simulizi ya Vilindoni na uimara wa vihenge vya jadi
Uimara wa vihenge hivi umefanya viwepo hadi leo katika eneo hilo na kufanya eneo hilo kuitwa Vilindoni. Na Yussuph Hassan.Historia ya Vilindoni inaonesha kuwa eneo hili limekuwepo kwa muda mrefu kama makazi ya watu waliotegemea kilimo na ufugaji kwa maisha…
22 June 2026, 16:41
Tanzania, Ujerumani zatekeleza mradi wa maji wa bil. 60.7
Aidha Dkt Natu Amesema kuwa mradi huo utakuwa na mchango mkubwa katika kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi wa maeneo yatakayofikiwa. Na Anwary Shaban. Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Serikali ya Ujerumani imeingia makubaliano ya utekelezaji wa…
22 June 2026, 16:18
Vijana miaka 13 hadi 35 wahanga matumizi dawa za kulevya
Siku ya Kimataifa ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani huadhimishwa kila mwaka tarehe 26 Juni. Na Elizabeth Tanzania Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA) imeeleza kuwa matumizi ya dawa za kulevya ni changamoto kubwa…
19 June 2026, 18:33
Serikali yahimiza uwekezaji katika Tafiti na ubunifu nchini
Prof. Mkenda ametoa wito kwa watafiti, wahadhiri na wadau wa elimu kutumia fursa hiyo kuwasilisha tafiti zenye tija kwa jamii, akisisitiza kuwa maendeleo ya Tanzania yanategemea kwa kiasi kikubwa matumizi ya sayansi, teknolojia na ubunifu katika kutatua changamoto za wananchi.…
19 June 2026, 18:26
Mradi wa maendeleo jumuishi ya kijani wazinduliwa Dodoma
Agridiversity Tanzania ni shirika lisilo la kiserikali (NGO) la Tanzania linalojihusisha na kuendeleza kilimo endelevu kwa wakulima wadogo. Na Elizabeth Tanzania. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amezindua Mradi wa Maendeleo Jumuishi ya Kijani (Inclusive Green Transformation – IGRET),…
19 June 2026, 18:12
Wasio julikana waiba milango ya vyoo vya shule
Halmashauri ilitenga fedha na kukamilisha ujenzi wa vyoo vya wanafunzi katika Shule ya Msingi Ubembeni. Na Kitana Hamis. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kondoa, Mhe. Saidi Majaliwa, amesema Halmashauri ilitenga fedha na kukamilisha ujenzi wa vyoo vya wanafunzi katika…