Recent posts
14 July 2026, 17:28
Jamii yatakiwa kuthamini utu wa Binadamu
Uongozi umesisitiza kuwa kila mwanadamu anastahili heshima na matunzo wakati wa uhai na hata baada ya kufariki. Na Steven Noel Uongozi wa mtaa wa Hazina Kata ya Vighawe Wilaya ya Mpwapwa umeiomba jamii kuthamini utu wa mtu na kumpatia haki…
14 July 2026, 17:18
Wanawake watakiwa kufanya shughuli za kujiingizia kipato
Kadiri wanawake wanavyoendelea kuvunja vikwazo na kushiriki katika sekta mbalimbali za uzalishaji, wito umetolewa kwa jamii kuendelea kuwaunga mkono na kuwapa fursa sawa, ili uwezo wao uweze kuchangia maendeleo ya familia, jamii na taifa kwa ujumla. Na Anwary Shaban. Wanawake…
14 July 2026, 10:12
Serikali kutumia mafunzo ya ujasiriamali kutengeneza bidhaa
Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji mkoani Morogoro, Beatrice Njawa, amesema mwandishi wa habari anaweza kuwa mtengenezaji wa bidhaa na mtumishi wa umma anaweza kuwa mjasiriamali na huo ndio mwelekeo wa taifa. Na Mwandishi wetu. Serikali imeahidi…
13 July 2026, 15:52
Umiliki halali wa ghala Matui wazua mgogoro
Hii hapa tarifa yake kitana Hamisi kutoka wilayani Kiteto Mkoani Manyara. Na Kitana Hamis. Mvutano wa umiliki wa ghala lililopo Kijiji cha Matui, Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, umeendelea kushika kasi huku wananchi na Chama cha Ushirika cha Matui (Matui…
13 July 2026, 15:36
Jamii yatakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya malaria
Kulingana na jitihada zinazofanywa na serikali pamoja na wadau mbali mbali kumekuwa na matokeo mazuri ya kupunguza maambukizi. Na Jerome John. Jamii mkoani Dodoma imeshauriwa kuendelea kuchukua tahadhari juu ya maambukizi ya ugonjwa wa malaria. Wito huo umetolewa na Dkt.…
13 July 2026, 15:27
Unyanyapaa kikwazo kwa wenye ulemavu wanaoishi na VVU
Kwa kuendelea kutoa elimu na kuondoa unyanyapaa, wadau wanaamini kampeni ya “Na Sisi Tupo” itasaidia kujenga jamii yenye usawa, inayowathamini watu wenye ulemavu wanaoishi na Virusi vya ikimwi na kuwawezesha kuishi maisha yenye matumaini na heshima. Na Anwary Shaban. Unyanyapaa…
10 July 2026, 18:28
Fikra potofu, ukosefu wa ajira wazazi washawishi watoto wajifelishe
Hata hivyo baadhi Wazazi kutokana na kutokuwa na uelewa wa kutosha juu ya faida za elimu, wamekuwa wakiwahimiza watoto wao kuolewa badala ya kuendelea na masomo. Na Victor Chigwada. Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Ikombolinga wameendelea kushikilia dhana ya…
10 July 2026, 18:16
Wananchi Kibaoni walalamika kuzorota kwa huduma ya uzoaji taka
Jiji ya Dodoma inakisiwa kuzalisha tani 350 za taka ngumu kwa siku ambapo kata za nje ya mji uzalishaji ni tani 114 na Kata za mjini huzalisha ni tani 236. Na Anwary Shaban. Wakazi wa mtaa wa Kibaoni kata ya…
10 July 2026, 18:04
Wakazi Mwanakianga Kati walalamikia vifusi vilivyorundikana barabarani
Ameomba Serikali na wadau husika wachukulie hatua za haraka ili kuondoa usumbufu unaowakabili wananchi. Na Stephen Noel.Wananchi wa Kijiji cha Mwanakianga Wilayani ya Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma wameilalamikia Serikali kushindwa kusambaza vifusi vilivyolundikwa kando ya barabara kwa zaidi ya miezi…
9 July 2026, 17:41
Watu wa karibu wanapambana vipi na vitendo vya ukeketaji?
Tafiti nyingi zilizofanywa katika miaka ya hivi karibuni zinaonesha hatua kubwa imepigwa kuwafungua wananchi juu ya mila potufu ingawa safari bado ni ndefu. Na Mariam Matundu. Serikali ya Tanzania imeanzisha mkakati wa kitaifa wa kutokomeza vitendo vya kikatili vya ukeketaji…