Recent posts
24 August 2026, 17:30
Jamii yahimizwa kuipa kipaumbele lishe bora
Baadhi ya wananchi wamesema bado kuna watu katika jamii ambao hawazingatii lishe bora licha ya elimu kutolewa mara kwa mara, hali inayowafanya kula kwa lengo la kukidhi njaa pekee bila kufahamu umuhimu wa mlo kamili katika kujenga afya na kusaidia…
24 August 2026, 17:18
Wakulima wa zabibu Dodoma walia na soko
Serikali kwa kushirikiana na wadau wa kilimo imehimizwa kuendelea kuweka mazingira rafiki ya biashara, kuboresha miundombinu ya masoko na kutafuta fursa za masoko ya ndani na nje ya nchi, ili zao la zabibu liendelee kuwa nguzo muhimu ya kuinua uchumi…
24 August 2026, 17:08
Upungufu wa madawati ubovu wa majengo wakwamisha masomo Ng’ahelezi
Mwenyekiti wa Kijiji cha Ng’ahelezi, Msafiri Chahonza, amekiri kuwepo kwa changamoto ya upungufu wa madawati, majengo ya madarasa na idadi ndogo ya walimu, huku akiiomba Serikali kuongeza madawati, kuboresha miundombinu na kupeleka walimu wa kutosha wa jinsia zote ili kuboresha…
24 August 2026, 16:54
Waliokosa nafasi ya kusoma wahimizwa kurejea elimu ya watu wazima
Serikali imewataka wananchi kutumia fursa hizo, kwa kuwa elimu haina umri wala mwisho na inaweza kuwa msingi wa kujenga maisha ya kujitegemea. Na Anwary Shabani. Wananchi waliokosa nafasi ya kusoma au waliokatisha masomo mkoani Dodoma wametakiwa kuendelea kupata fursa ya…
21 August 2026, 18:16
Jamii, viongozi Dodoma watakiwa kuhakikisha watoto wanapata chanjo
Ili kuhakikisha hakuna mtoto anaye achwa nyuma, mkoa umeandaa mikakati ya ziada ya kijiografia ikiwemo kutuma timu maalumu kwenye maeneo ya pembezoni na yaliyo magumu kufikika kama vile kata ya Mangaliza kule Mpwapwa. Na Elizabeth Tanzania. Wazazi,walezi, na viongozi mbalimbali…
21 August 2026, 18:02
Mradi wa maji wa milioni 442 waleta matumaini Nyahanga
Mradi huo unatarajiwa kuwekewa jiwe la msingi na mbio za Mwenge wa Uhuru Siku ya tarehe 21 Agosti 2026, ikiwa ni sehemu ya miradi inayotekelezwa kwa lengo la kuboresha huduma za kijamii kwa wananchi. Na Fred Cheti. Wananchi wa Kata…
21 August 2026, 17:39
Jamii yatakiwa kuacha dhana potofu kuhusu chanjo ya polio
Kampeni hiyo inalenga kuhakikisha watoto wanapata kinga dhidi ya polio, huku jamii ikihimizwa kushiriki kikamilifu kwa kuwapeleka watoto kupata chanjo na kutoa ushirikiano kwa wataalamu wa afya ili kufanikisha lengo la kuzuia ugonjwa huo. Na Anwary Shabani. Jamii imetakiwa kuondokana…
21 August 2026, 17:31
Wakazi Chinyika walia uhaba wa maji
Msafiri Chahonza mwenyekiti wa Kijiji Cha Ng’ahelezi amesema vipo vitongoji zaidi ya kimoja ambavyo havina huduma ya maji huku baadhi ya vitongoji hivyo vikikabiliwa na uhaba wa miundombinu ya mabomba ya maji. Na Victor Chigwada. Uhaba wa maji katika kitongoji…
20 August 2026, 17:03
NGO’s zatakiwa kuzingatia taratibu, sheria na kanuni za nchi
Mashirika yasiyo ya kiserikali ni taasisi zinazofanya kazi kwa lengo la kusaidia jamii na kutatua changamoto mbalimbali katika jamii katika sekta kama vile elimu, afya, mazingira, kupunguza umaskini na kulinda haki za binadamu. Na Leokadia Andrew. Mashirika yasiyo ya Kiserikali…
20 August 2026, 16:48
NEST yarahisisha mfumo wa zabuni nchini
Matumizi ya Mfumo wa Kitaifa wa Ununuzi wa Umma kwa njia ya kielektroniki, NEST, yameendelea kuleta matokeo katika kupunguza gharama za uendeshaji wa zabuni nchini, ambapo zaidi ya karatasi milioni 288.6 za nyaraka za zabuni zimezuiwa kuchapishwa, hatua iliyosaidia kuokoa…