![](https://radiotadio.co.tz/dodomafm/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
![](https://radiotadio.co.tz/dodomafm/wp-content/uploads/sites/10/2020/11/images-1-150x150.png)
22 July 2024, 7:05 pm
Mimba za utotoni ni pale mtoto wa kike wa kuanzia umri wa miaka 10 hadi 19 anapopata ujauzito na kujifungua. Na Mwandishi wetu. Katika kuchimba suala hili, leo tumefanya mahojiano na Meneja Utafiti na Uchambuzi wa Sera kutoka taasisi ya …
22 July 2024, 6:54 pm
Rushwa ni chanzo cha kupatikana kwa viongozi wasio na maadili. Na Fred Cheti. Ikiwa Tanzania inatazamiwa kufanya uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani rushwa imekuwa ikitajwa kama moja ya kikwazo kinachangia kupatika kwa Viongozi wasio…
22 July 2024, 6:39 pm
Yussuph Hassan ametembelea mtaa wa Bihawana na kuja na ripoti kamili. Na Yussuph Hassan.Bihawa ni kata ambayo inapatikana katika Jiji la Dodoma, licha ya umaarufu wa eneo hili kwa kilimo cha zabibu, pia ipo shule ya sekondari kongwe Bihawana ambayo…
22 July 2024, 6:14 pm
Kuanzisha klabu ya mazingira ni rahisi, wanahitajika walimu ambao watakuwa walezi wa klabu pamoja na wanafunzi ambao wanapenda mazingira . Na Mariam Kasawa. Klabu za mazingira katika shule za msingi na sekondari zinatajwa kuwafundisha wanafunzi namna ya kukabiliana na mabadiliko…
22 July 2024, 5:59 pm
Shule ya Sekondari Lukundo imeendelea kushika nafasi ya 2 ki Wilaya na 3 bora kwa Mkoa kwa kipindi cha miaka mitatu kwa mujibu wa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta). Na Mindi Joseph. Uboreshaji wa Miundombinu ya Wanafunzi na Walimu…
19 July 2024, 6:27 pm
Licha ya kupanda na kushuka kwa bei ya nishati ya mafuta ya petroli Nchini kunakochangia ongezeko la bei za nauli katika vyombo vya usafiri ikiwemo daladala lakini mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa ardhini LATRA haijabadili kiwango cha nauli kwa…
19 July 2024, 5:45 pm
Kwanini simba hufahamika kama mfalme wa mbuga. Na Yussuph Hassan.Mtaalamu wa wanyama pori wanatueleza kwanini simba huunguruma tofauti na jamii yote ya paka wakubwa.
19 July 2024, 5:27 pm
Ili kupata matokeo mazuri ni lazima kuweka misingi ya utekelezaji ikiwa ni pamoja ushirikishwaji wa umma, utekelezaji wa sheria na makubaliano kwa wadau mbalimbali wanaojihusisha na sekta ama teknolojia ya urejelezaji taka. Na Mariam Kasawa.Inaelezwa kuwa Mazingira safi ni kitovu…
19 July 2024, 4:45 pm
Kata ya Changombe ina wakazi wapatao elfu 39000 lakini haikuwahi kuwa na kituo cha polisi na kukamilika kwa ujenzi huu kutaendelea kuiweka kata ya changombe katika hali ya usalama. Na Mindi Joseph.Ujenzi wa kituo cha Polisi katika Kata ya Chang’ombe…
19 July 2024, 4:20 pm
Takwimu zinaonesha bado hakuna uwakilishi wa kutosha wa wanawake katika nafasi za uongozi, za kuchaguliwa au kuteuliwa katika ngazi mbalimbali za uongozi na hata hivyo ukilinganisha na tulipotoka, kuna mabadiliko chanya katika ushiriki wa wanawake na uongozi. Na Alfred BulahyaKuelekea…