Dodoma FM

Recent posts

5 June 2023, 5:56 pm

DC Gondwe aagiza miradi ya BOOST kukamilika kwa wakati

Pia alitembelea jengo jipya la benki ya NMB wilaya ya Bahi ambalo tayari limekamilika na linatarajiwa kuanza kutoa huduma muda wowote. Na Bernad Magawa. Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwe ameagiza miradi yote ya miundombinu ya elimu wilayani…

2 June 2023, 7:06 pm

Dodoma: Mashine za kuvuna karanga zawakosha wakulima

Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta na zao hili hustawi zaidi katika mikoa ya Kusini Mashariki, Dodoma na Morogoro. Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la karanga mkoani Dodoma wamepongeza uwepo wa teknolijia ya mashine za kuvuna karanga. Mashine…

2 June 2023, 1:44 pm

Mnada wa kisasa wa nyama choma kukuza uchumi wa wafanyabiashara

Na Bernadetha Mwakilabi. Halmashauri ya wilaya ya Kongwa inatarajia kuanzisha mnada mpya wa kisasa wa nyama choma katika eneo la Mbande utakaosaidia kukuza uchumi wa wafanyabiashara na kuitangaza wilaya hiyo kibiashara. Hayo yamesemwa na mjumbe wa kamati ya maandalizi ya…

2 June 2023, 1:21 pm

Wakazi kata Ntyuka kuondokana na adha ya maji

Na Selemani Kodima. Wakazi  4,441 wa mitaa ya Chimalaa na Nyerere   kata ya Ntyuka  jijini Dodoma wanatarajiwa  kuondokana na adha ya kutopata uhakika wa  maji safi na salama  baada ya uzinduzi wa mradi wa maji  wa Ntyuka Chimalaa kukamilika  .…

1 June 2023, 4:56 pm

Bahi: Gharama kubwa zachangia wakulima kususia kilimo cha mpunga

Wakulima hao wameendelea kuiomba serikali kuwatafutia masoko ya uhakika . Na Bernad Magawa Baadhi ya wakulima wa mpunga wilayani Bahi wameshindwa kushiriki kikamilifu katika kilimo msimu uliopita wa kilimo kutokana na gharama kubwa za kilimo hicho pamoja na pembejeo. Mpunga…

1 June 2023, 2:14 pm

Wakulima wa mtama wanufaika na mbegu za mesia

Mtama ni miongoni mwa mazao ya nafaka yanayolimwa kwa wingi nchini na duniani kote na zao hili hulimwa kwa ajili ya chakula na biashara. Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la mtama mkoani Dodoma wamesema mbengu za mtama aina ya…

1 June 2023, 1:50 pm

Serikali kufanya majaribio ya treni ya mwendokasi Julai

Hayo yamesemwa na msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma. Na Alfred Bulahya. Serikali inatarajia kufanya majaribio ya treni ya mwendokasi (SGR) ifikapo mwezi Julai mwaka huu badala ya mwezi Mei kama ilivyotangazwa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger