Recent posts
11 May 2026, 17:19
Huduma za maji na umeme kusogezwa karibu na wananchi
Alieleza kuwa Serikali itakaa pamoja na sekta husika kupitia tathmini ya kina ili kufikia uamuzi utakaowezesha wananchi wa maeneo hayo kupata huduma ya umeme kwa urahisi zaidi, huku akisisitiza dhamira ya Serikali ya kuhakikisha maendeleo ya huduma za kijamii yanawafikia…
11 May 2026, 16:22
Uchakavu wa majengo ya zahanati Handali waleta hofu kwa wagonjwa
Kituo hicho kukabiliwa na uchakavu wa majengo yake sanjali na nyumba za watumishi wa afya. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Handali wilayani Chamwino wameiomba serikali kupitia wizara ya afya kukarabati kituo cha afya kijijini hapo kwani majengo yake ni chakavu…
8 May 2026, 17:27
Unakabiliana vipi na kupanda kwa gharama za maisha?
Utafiti wa Twaweza, ulifanyika katika mikoa ya Tanzania ikiwemo Dar es Salaam, katika maeneo ya mijini na vijijini na kuwahoji wananchi kuhusu nini mahitaji yao kwa serikali za mitaa na wananchi hao walilalamikia huduma za afya, upatikanaji wa maji safi,…
8 May 2026, 17:05
Makambi ya wanafunzi shuleni yaimarishwe
Amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumteua Wanu katika nafasi hiyo akisema anamfahamu vizuri na alijua kuwa ana uwezo wa kutekeleza majukumu hayo kwa ufanisi. Na Mariam Kasawa. Mbunge wa Jimbo la Kondoa, Mariam Ditopile Mzuzuri, amesema kuanzishwa kwa makambi…
8 May 2026, 12:01
Mradi wa Stendi mpya kuwanufaisha wakazi wa Chemba Dodoma
Hatua hiyo inaashiria mwanzo rasmi wa utekelezaji wa mradi huo muhimu kwa maendeleo ya wilaya hiyo. Na Kitana Hamis.Wakazi wa Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma wanatarajiwa kunufaika na huduma bora za usafiri kufuatia kusainiwa kwa mkataba wa ujenzi wa stendi…
7 May 2026, 16:57
Uharibifu wa mazingira unaopelekea athari kwenye vyanzo vya maji
Mabadiliko ya Tabianchi ni tatizo linaloikabili dunia katika karne ya ishirini na moja na kutokana na athari zake katika nyanja mbalimbali. Na Mariam Kasawa.Nchi yetu imejaliwa kuwa na vyanzo vya maji vya aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na mito, maziwa,…
7 May 2026, 16:32
Ihumwa watakiwa kuripoti matukio ya uhalifu
Aidha amesema watu wa eneo hilo wamekuwa na tabia ya kuto kufuatilia kesi za wizi kutokana na kudai watu wanaofanya matukio hayo ni watu wao wa karibu. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa Ihumwa A wametakiwa kutumia fursa ya…
7 May 2026, 16:22
Walimu wametakiwa kuzingatia kanuni na taratibu za adhabu shuleni
Kwa sasa mkoa wa Dodoma upo vizuri kitaaluma ambapo mwaka uliopita ulishika nafasi ya pili. Na Anwary Shaban. Walimu wametakiwa kufuata kanuni na taratibu za utoaji adhabu shuleni ili kupunguza wimbi la utoro kwa wanafanzi. Hayo yamesemwa na waziri wa…
6 May 2026, 17:02
Walimu watakiwa kuongoza mapinduzi ya kidigitali Nchini
Amehitimisha kwa kusema kuwa matumizi sahihi ya teknolojia ya mawasiliano yanaweza kurahisisha maisha, kuokoa muda na kuongeza ufanisi katika shughuli mbalimbali za maendeleo. Na Anwary Shaban. Walimu nchini wametakiwa kuchukua jukumu kubwa katika kujenga kizazi chenye uelewa wa teknolojia na…
6 May 2026, 16:45
PSSSF yaboresha taarifa upatikanaji wa taarifa za mafao kupitia simu ya mkononi
Kwa sasa, wanachama wanaweza kutumia simu janja kuingia kwenye mfumo wa PSSSF (PSSSF Portal) kupitia google na kupata taarifa za michango yao kwa urahisi badala ya kufika ofisini, amewataka wananchi kuendelea kujisajili na kufurahia huduma za mfuko huo. Na Annwary…