Recent posts
14 September 2026, 11:54
Mafunzo kwa vitendo yaandaa wanafunzi kwa soko la ajira
Wanafunzi wametakiwa kutumia muda wa mafunzo kwa vitendo kujifunza kwa bidii, kuzingatia maadili ya kazi na kuuliza maswali wanapokutana na changamoto, ili kuongeza uelewa wao wa taaluma na kuwa tayari zaidi kwa soko la ajira. Na Mathias Mgale. Mafunzo kwa…
11 September 2026, 16:41
Kero ya uhaba wa madarasa yatatuliwa shule ya msingi Ihumwa
Pamoja na kukamilika kwa shule hiyo, bado kuna matarajio ya kumalizia vyumba vya madarasa katika Kitongoji cha Ilolo pamoja na kujenga vyumba vingine katika Mtaa wa Chang’ombe. Na Victor Chigwada. Kero ya uhaba wa vyumba vya madarasa katika shule za…
11 September 2026, 16:27
Matumizi ya simu, kompyuta bila kikomo yatajwa kuharibu afya ya macho
Wazazi na walezi wanahimizwa kuwaongoza watoto katika matumizi yenye mipaka ya simu, kompyuta na televisheni, huku watoto na vijana wakitakiwa kupumzisha macho mara kwa mara na kutumia muda wao pia katika kujifunza, kucheza na kufanya shughuli nyingine nje ya skrini.…
11 September 2026, 16:15
Waajiri watakiwa kujenga utamaduni wa kupima wafanyakazi afya ya akili
Wataalamu wa afya ya akili wanasisitiza kuwa kutambua mapema mabadiliko ya tabia, hisia na mwenendo wa mfanyakazi ni hatua muhimu katika kumsaidia kabla changamoto haijawa kubwa. Hivyo, mazingira ya kazi yanapaswa kuwa sehemu salama ya wafanyakazi kuzungumza kuhusu changamoto zao…
11 September 2026, 16:05
Ujasiriamali watajwa kuwa fursa ya jamii kujiajiri
Watu wenye uelewa na uzoefu katika ujasiriamali wanapaswa kuendelea kutoa elimu na kuwatia moyo wengine, hususan vijana, ili waweze kuanzisha shughuli za kuwaingizia kipato na kujikwamua kiuchumi badala ya kusubiri ajira rasmi. Na Daniel Njau. Ujasiriamali umetajwa kuwa miongoni mwa…
10 September 2026, 17:10
Mbinu mbadala zitumike kupandisha ufaulu wa wanafunzi
Mwalimu Shabani amewataka wazazi kuwaunga mkono walimu kwa kuwapa watoto muda wa kutosha wa kujisomea wanaporudi nyumbani, pamoja na kuhakikisha wanahudhuria vipindi vya ziada bila kukosa, ili mikakati hiyo iweze kuleta matokeo chanya katika ufaulu wao. Na Derick Mazemba. Hatua…
10 September 2026, 16:58
Matumizi ya vilevi waathiri masomo kwa wanafunzi
Wananchi jijini Dodoma wameelezwa umuhimu wa elimu ya afya na malezi bora kama hatua zinazoweza kusaidia kuwalinda vijana dhidi ya madhara ya matumizi ya vilevi na kuwawezesha kuzingatia masomo yao. Na Crispine Gerald. Matumizi ya vilevi kama pombe na dawa…
10 September 2026, 16:47
Ukosefu wa elimu ya ardhi wachangia migogoro vijijini
Wananchi wameiomba Serikali kuendelea kutoa elimu kuhusu upimaji na urasimishaji wa ardhi, ili kuwawezesha wananchi kumiliki ardhi kwa njia halali na kupunguza migogoro inayoweza kujitokeza kutokana na kutokuwepo kwa nyaraka sahihi za umiliki. Na Victor Chigwada. Kukosekana kwa ufanisi katika…
10 September 2026, 16:38
Wananchi wanawezaje kukabiliana na gharama za maisha?
Akizungumza kuhusu namna ya kukabiliana na hali hiyo, Mshauri wa Masuala ya Kifedha, Bwana Joel Mkede, amesema ni muhimu wananchi kuweka akiba kulingana na uwezo wao, kupanga matumizi na kuanza na mahitaji muhimu kama chakula, huku wakiepuka matumizi yasiyo ya…
10 September 2026, 16:31
Kijana wa miaka 21 ajinyonga na kuacha ujumbe wa msamaha
Mwenyekiti wa Kijiji cha Chambinga, Hezron Mathias Mbeho, amesema tukio hilo limeumiza jamii kutokana na kutokea kwa kushtukiza, huku akiwataka vijana kutokaa kimya wanapokabiliwa na changamoto, bali kuzungumza na watu wanaoweza kuwasaidia, wakiwemo viongozi wa kijiji, watendaji na polisi. Na…