Recent posts
3 June 2026, 16:31
15 wahitimu mafunzo ya orbit welding machine Veta Dodoma
Kwa ujumla, mafunzo hayo yanatajwa kuwa hatua muhimu katika kuimarisha nguvu kazi yenye ujuzi wa kisasa nchini na kuandaa wataalam watakaoweza kukidhi mahitaji ya sekta ya viwanda na miradi mikubwa ya maendeleo. Na Anwary Shaban. Wanafunzi 15 wa Chuo cha…
2 June 2026, 17:38
Wananchi Nala kunufaika na mradi wa maji
Mradi huo wa maji safi na salama unatarajiwa kuongeza upatikanaji wa maji katika maeneo ya Nala na vitongoji jirani, huku ukiimarisha afya za wananchi, shughuli za uzalishaji mali na maendeleo ya viwanda vinavyotegemea huduma ya maji katika Jiji la Dodoma.…
2 June 2026, 17:28
Wazazi watakiwa kuacha kuwaachia malezi dada wa kazi
Elizabeth na Deogratias ni waumini wa kanisa Hilo wamesema wazazi na walezi wa Sasa wanejikita Katika utafutaji na kusahau jukumu la malezi na kuwaachia jukumu hilo wadada wa kazi. Na Steven Noel. Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la…
2 June 2026, 16:58
Wizara ya Maendeleo ya Jamii yapokea mashauri ya ndoa 49,573
Kati ya mashauri hayo, 9,995 yalisuluhishwa na kufungwa, 8,036 yalipelekwa mahakamani na mashauri 31,542 yanaendelea kusuluhishwa. Na Bennard Komba. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amesema wizara hiyo imepokea jumla ya mashauri elfu…
2 June 2026, 16:43
Dodoma kuimarisha usalama
Kamera za ulinzi barabarani zitasaidia kudhibiti matukio ya uhalifu hali inayowapa wawekezaji uhakika zaidi wa mazingira salama. Na Anwary Shaban. Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Mwaka 2026 umezindua mradi wa kusimika kamera za usalama wenye thamani ya shilingi 682,561,548.6,…
1 June 2026, 17:20
Miradi 6 yenye thamani bil 1.6 yazinduliwa na mbio za mwenge Mpwapwa
Mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2026 zinabebwa na kaulimbiu isemayo Tanzania ni yetu sote tushikamane Kwa pamoja kuleta maendeleo. Na Steven Noel. Jumla ya miradi sita yenye thamani ya shilingi Bilion 1.6 imezinduliwa kutembelea na kuwekewa mawe ya Msingi…
1 June 2026, 16:56
Wanufaika mikopo ya asilimia 10 watakiwa kurejesha kwa wakati
Kasanduka ameongeza kuwa hivi karibuni amepokea barua kutoka Halmashauri inayo eleza deni la zaidi ya Milioni hamsini. Wito umetolewa Kwa makundi ya wanawake na vijana kuhakikisha wanarejesha mikopo yao kwa wakati ili kutoa fursa kwa vikundi vingine ambavyo havijapata mikopo…
29 May 2026, 18:20
Asali ina thamani gani kwenye utamaduni wa kabila la wasandawe
Karibu ufuatane nasi katika mfululizo wa simulizi hii ili uweze kufahamu mengi na fahari nyingi zilizopo mkoani Dodoma. Na Yussuph Hassan.Msikilizaji wa fahari ya Dodoma katika mwendelezo wetu wa kufahamu mila na desturi za kabila la wasandawe leo tunaangazi aina…
29 May 2026, 18:03
Vijana wageukia kilimo kupambana na ukosefu wa ajira
kilimo si kazi ya watu masikini ni fursa ya kutoka kimaisha. Na Victor Chigwada. Vijana walio hitimu masomo yao katika vyuo mbalimbali wamejikuta wakibobea katika shughuli za kilimo Ili kuendesha maisha yao. Wakiongea na Taswira ya habari baadhi ya vijana…
29 May 2026, 17:52
Watumiaji wa nishati ya umeme watakiwa kuwa na nidhamu ya matumizi
Ni vizuri kubadili tabia ya matumizi yasiyofaa ya umeme kutokana na umeme mwingi kupotea bila sababu. Na Jerome John. Watumiaji wa nishati ya umeme nchini wametakiwa kubadili tabia ya utumiaji wa nishati holela kwa kupunguza matumizi ya nishati hiyo. Wito…