Recent posts
7 September 2026, 16:43
Wakazi Ihumwa A walalamikia kukosekana kwa barabara za mtaani
Diwani wa Kata ya Ihumwa, Edwadi Magawa, amesema zoezi la ukarabati wa barabara za mitaa linaendelea kwa awamu, hivyo wananchi wanapaswa kuwa wavumilivu kwani litafika katika kila mtaa. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Mtaa wa Ihumwa A wamehoji kukosekana kwa…
7 September 2026, 16:26
Serikali yawekeza bil 67.9 kuboresha miundombinu ya TIA
Uwekezaji huo unaendelea kuonesha jitihada za Serikali katika kuimarisha miundombinu ya elimu ya juu na kuhakikisha taasisi za elimu zinakuwa na mazingira bora ya kutoa mafunzo yenye kukidhi mahitaji ya soko la ajira na maendeleo ya Taifa. Na Anwary Shabani. …
4 September 2026, 17:08
Wananchi watakiwa kuthibitisha taarifa kabla ya kusambaza katika mitandao
Hamza Yussuph ni mtaalamu wa usalama mtandaoni (cyber security)amesema athari za kutumwa kwa taarifa ambazo hazijathibitishwa kwenye mitandao ya kijamii kunaweza kupelekea madhara makubwa kwa mtu atakae tena au kutendewa kosa hilo. Na Ramadhan Juma. Matumizi ya mitandao ya kijamii…
4 September 2026, 16:43
VETA yaendelea kuimarisha ushirikiano na viwanda mbalimbali nchini
Hatua hiyo ya VETA kuimarisha ushirikiano na waajiri pamoja na kuongeza udahili wa wanafunzi inalenga kuhakikisha vijana na Watanzania wengine wanapata ujuzi unaokidhi mahitaji ya soko la ajira na kuwaongezea uwezo wa kujiajiri na kuajiriwa. Na Anwar Shabani. Mamlaka ya…
4 September 2026, 16:33
Uwekezaji wa kifedha watajwa kuwa muhimu kufikia malengo
Mtaalamu na mshauri wa masuala ya kifedha Bwana Thobias Swai,wananchi kuwa na fedha halali na kutafuta maeneo sahihi ya kuwekeza, ikiwemo benki, hisa, biashara, mashamba, majengo na mali zisizohamishika, huku akisisitiza umuhimu wa kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na taasisi…
4 September 2026, 16:20
Wananchi watakiwa kuzingatia usafi binafsi ili kuepuka magonjwa
Kemilembe dominick ni mtaalamu wa afya mwanafunzi yeye anasema mtu anapaswa kuwa na utaratibu wa kuoga na kusafisha mwili, kutunza meno, kucha na nywele, pamoja na kunawa mikono kwa sabuni. Anaongeza kuwa usafi wa mwili unapo zingatiwa husaidia kupunguza hatari…
4 September 2026, 16:02
Wizara ya afya yasisitizi wa umuhimu wa elimu ya afya ya akili
Mafunzo hayo yanayofanyika jijini Dodoma ni sehemu ya jitihada za kuimarisha huduma kwa watu wenye changamoto ya matumizi ya pombe, huku wadau wakisisitiza umuhimu wa kuunganisha huduma za afya ya akili na huduma nyingine za afya nchini. Na Elizabeth Mwinuka. …
3 September 2026, 16:56
Nani anaathirika zaidi na mabadiliko ya tabianchi?
Makubaliano ya mjini Paris mwaka 2015 yaliweka kipaumbele maalum cha kuwawezesha na kutambua kwamba wanawake huathiriwa kwa kiasi kikubwa zaidi katika jamii kutokana na mabadiliko ya tabianchi. Na Mariam KasawaMiaka kumi baada ya Mkataba wa Paris, utoaji wa gesi chafuzi…
3 September 2026, 16:46
Wananchi watakiwa kutumia nishati safi kutunza mazingira
Baadhi ya wananchi wanaotumia nishati mbadala wamesema imekuwa na manufaa katika maisha yao ya kila siku, hasa katika kupikia, kutokana na kuwa rahisi kutumia na kusaidia kupunguza utegemezi wa vyanzo vya nishati vinavyoweza kuathiri mazingira. Na Daniel Njau. Uelewa wa…
3 September 2026, 16:34
Uwepo wa chakula shuleni kupunguza utoro na kuongeza ufaulu …
Baadhi ya wazazi wamesema tangu kuanzishwa kwa utaratibu wa chakula shuleni kumekuwa na mabadiliko ya taaluma kwa watoto wao kupelekea hamasa kwa wazazi ambao walikuwa hawana mwamko wa kuchangia chakula shuleni. Na Victor Chigwada. Juhudi za wazazi wa kijiji cha …