Recent posts
6 July 2026, 16:40
Adha ya maji Mwenzele wananchi wachangia vyanzo vya maji na wanyama
Wananchi wa Mwezele wameiomba Serikali kuharakisha utekelezaji wa miradi hiyo ili waweze kupata huduma ya maji safi na salama. Na Stephen Noel. Wananchi wa Kijiji cha Mwezele, Kata ya Mwezele Wilaya ya Mpwapwa, Mkoani Dodoma, wanasema maisha yao yamekuwa magumu…
3 July 2026, 16:54
Wanawake UWT watakiwa kushikamana na kuepuka migawanyiko
Wanachama wa umoja huo pia walimuomba Asia Abdallah kukubali kuwa mlezi wa umoja huo, ombi ambalo alilikubali, hatua inayotarajiwa kuimarisha zaidi uongozi na mshikamano wa umoja huo. Na Mwandishi wetu. MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)…
3 July 2026, 16:47
Wamachinga waungana kudumisha amani
Ameongeza kuwa biashara za wamachinga hutegemea mapato ya kila siku, hivyo uwepo wa mazingira ya amani na utulivu ni muhimu ili kuwawezesha wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao bila usumbufu na kuhakikisha uchumi wao unaendelea kukua. Na Anwary Shabani. Wafanyabishara wa…
3 July 2026, 16:27
Wajasiriamali Mpwapwa watakiwa kuzingatia kanuni za biashara
Baadhi ya wajasiriamali walioshiriki mafunzo hayo wameishukuru WAPEDO Foundation kwa kuwawezesha. Wamesema elimu waliyoipata itawaongezea maarifa na kuwasogeza mbele kibiashara. Na Stephen Noel . Wajasiriamali Wilaya ya Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, wametakiwa kuzingatia kanuni na taratibu za biashara ili waweze…
3 July 2026, 11:53
Mkenda ataka sayansi ilete matokeo kwa wananchi
Taasisi hiyo itaendelea kuunganisha utafiti, ubunifu na maendeleo ya kijamii na kiuchumi, huku Mfumo wa NISSTI ukitarajiwa kuwa jukwaa la kuwaunganisha watafiti na wavumbuzi nchini. Na Mariam Kasawa.Serikali imesema ni wakati wa kutathmini matumizi ya rasilimali zinazowekezwa katika utafiti na…
2 July 2026, 17:16
Serikali yaendelea kusisitiza huduma za usafi wa mazingira
Jukwaa hilo la siku mbili linaendelea hadi Julai 3, 2026, likiwakutanisha viongozi wa Serikali, wataalamu, wadau wa maendeleo na sekta binafsi kujadili namna ya kuimarisha huduma za usafi wa mazingira zinazowajumuisha watu wote kwa ajili ya maendeleo endelevu nchini. Na…
2 July 2026, 17:02
Jiji la Dodoma latangaza fursa za uwekezaji maonesho ya sabasaba
Akiongelea huduma zinazotolewa katika Banda la Halmashauri ya Jiji la Dodoma, alizitaja kuwa ni huduma zinazogusa wawekezaji na wafanyabiashara pamoja wananchi kwa ujumla wao. Na. Anwary Shaban. Halmashauri ya Jiji la Dodoma imejipanga kujitangaza kama kitovu cha uwekezaji, biashara na…
2 July 2026, 16:53
Tufikie Malengo ya 95-95-95 kutokomeza maambukizi mapya ya VVU
Mapambano dhidi ya UKIMWI ni suala mtambuka linalohitaji ushiriki wa kila idara. Na Stephen Noel. Jamii Wilaya ya Mpwapwa imetakiwa kuongeza juhudi katika kuzuia maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI na kuhakikisha watu wote waliogundulika wanaishi na virusi wanatumia dawa…
2 July 2026, 16:37
Wananchi watakiwa kuripoti matukio ya ukatili dhidi ya watoto
Kwa ujumla, wataalamu hao wameeleza kuwa ushirikiano wa wananchi katika kutoa taarifa kwa wakati, pamoja na kushirikiana na vyombo vya dola na watoa huduma za afya, ni hatua muhimu katika kuzuia na kupambana na ukatili wa kijinsia na ukatili dhidi…
1 July 2026, 17:16
Kumaliza kifamilia matukio ya ukatili kunaathiri vipi upatikanaji wa haki
Kwa hiyo mzizi ni sheria, kama ya ndoa ambayo inaruhusu binti wa chini ya miaka 14 kuozwa kwa kibali cha mahakama, mzazi au mlezi. Unyanyasaji na ukatili kijinsia unaohusisha kutelekeza familia, vipigo, watoto kuozwa, kuingiliwa kinyume cha maumbile, mimba utotoni,…