Recent posts
12 June 2026, 13:24
Unajilindaje dhidi ya magonjwa ya zinaa?
Aina fulani za magonjwa ya zinaa yanaweza kuambukizwa kutoka kwa mama hadi kwa mtoto. Na Mariam Kasawa.Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), zaidi ya watu milioni moja duniani kote wanaambukizwa magonjwa ya zinaa kila siku. Magonjwa kutosikia matibabu…
12 June 2026, 13:06
Vilindoni jina lililobeba historia ya vihenge vya jadi Dodoma
Licha ya ukuaji wa Jiji la Dodoma na mabadiliko ya kiuchumi yanayoendelea kushuhudiwa, Vilindoni bado imehifadhi sehemu ya utambulisho wake wa kihistoria. Na Yussuph Hassan. Pembezoni mwa Jiji la Dodoma, ndani ya Kata ya Mbabala, kuna mtaa unaobeba simulizi ya…
12 June 2026, 12:33
Je masomo ya ziada yana mchango gani wakati wa likizo
Wanasema msisitizo mkubwa wa masomo bila mapumziko unaweza kuleta uchovu wa kiakili kwa wanafunzi, hivyo ni muhimu kupanga vipindi visivyowalemaza watoto. Na Daniel Njau. Wakati wanafunzi wakiwa kwenye likizo za shule, baadhi ya wazazi na wataalamu wa elimu wanaona kuwa…
12 June 2026, 12:12
Ufahamu ugonjwa wa ngozi wa Melasma na visababishi vyake
Ugonjwa huo wa Merasma hauambukizi au kusababisha kansa yoyote ila ni vema kuchukua tahadhari kwa kuzingatia ushauri wa wataalamu na kujipaka mafuta ya kutosha katika kipindi cha jua kali na kutoacha ngozi kukauka. Na Jerome John. Jamii mkoani Dodoma…
9 June 2026, 18:14
Jamii yatakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya dawa
Benedict Rashi kutoka mamlaka ya dawa na vifaa tiba TMD ameshauri kutotumia dawa holela bila kupima au kutumia dawa za mtu mwingine ambazo ameacha kuzitumia kwani zinaweza kuwa zimepoteza ubora na kuzingatia maelezo yaliyowekwa kwenye dawa kufahamu zimetengenezwa lini na…
9 June 2026, 18:06
Wanaume Dodoma wahimizwa kuvunja ukimya dhidi ya ukatili
Afisa kutoka Dawati la Jinsia na Watoto Mkoa wa Dodoma, Michael Mkinda, amebainisha kuwa bado mwitikio haujafikia kiwango kinachotarajiwa, hivyo kuna haja ya kuendelea kutoa elimu na kuhamasisha wanaume kuvunja ukimya ili kupata msaada na haki zao kwa wakati. Na…
9 June 2026, 17:33
Watakiwa kuwa waaminifu michango ya shule shikizi
Wananchi wapo tayari kuanza zoezi la kuchangia na kujenga shule kwa kuliwekea utaratibu mzuri wa ukusanyaji wa michango. Na Victor Chigwada. Kuelekea zoezi la kuchangia ujenzi wa shule shikizi katika kitongoji cha Ilolo mtaa wa Ihumwa A wito umetolewa kwa…
8 June 2026, 18:07
Wazazi Mapinduzi watakiwa kushiriki maendeleo ya shule
Serikali imekuwa ikisisitiza kuwa hakuna mwanafunzi anayepaswa kufukuzwa, kuzuiwa kufanya mtihani au kunyimwa huduma za msingi kwa sababu ya kutotoa mchango wa hiyari. Na Elizabeth Tanzania. Wazazi na walezi katika Kijiji cha Mapinduzi A Jijini Dodoma wametakiwa kuendelea kushiriki katika…
8 June 2026, 17:53
Wananchi watakiwa kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao
Suma Jkt Marathon imeendelea kuwa moja ya matukio makubwa ya kijamii na kuhusisha washiriki mbali mbali kwa kulenga kuhamasisha afya bora na kuchangia ustawi wa jamii ambapo zaidi ya sh.million 100 zimepatikana katika mbio hizo na kuelekezwa kusaidia katika hospital.…
8 June 2026, 17:35
Chaula asifu uboreshaji wa miundombinu kata ya Uhuru
Mradi huo wa ujenzi wa barabara unatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 1.9 na unatarajiwa kukamilika ndani ya kipindi cha miezi sita. Na Anwary Shaban. Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Mheshimiwa Alimwoni Chaula, amesifu utekelezaji wa miradi ya miundombinu…