Dodoma FM
Dodoma FM
31 March 2026, 19:27
Wizara ya Maji kupitia Idara ya Rasilimali za Maji ina jukumu la kuhakikisha mabwawa ya maji na tope sumu (Tailing StorageFacility-TSF) yanakidhi vigezo vya usalama wa mabwawa. Na Anwary Shaban. Wizara ya Maji imezindua Sera ya Maji ya Taifa ya…
27 March 2026, 17:43
Shule hiyo inakabiliwa pia na uhaba wa matundu ya vyoo hali inayo hatarisha usalama wa afya za wanafunzi na walimu. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Ndogowe wameiomba serikali kukarabati majengo ya shule ya msingi Ndogowe kwani ni chakavu…
27 March 2026, 17:16
Kwa ujumla, mradi wa AHADI unaosimamiwa na TAHEA umeonesha mafanikio makubwa katika kuwawezesha vijana, huku serikali ikiahidi kuendeleza juhudi hizo kwa manufaa ya jamii na vijana. Na Anwari Shaban. Shirika lisilo la kiserikali la TAHEA kwa kushirikiana na ufadhili wa…
26 March 2026, 17:52
Vijana hao watumike katika mikutano na makongamano kuonesha jamii kuwa mabadiliko ya tabia za kiuchumi yanawezekana” alisema Dkt. Kazungu. Na Mariam Kasawa. Vijana waliopatiwa mafunzo na kujengewa uwezo kupitia Mradi wa AHADI wanatarajiwa kunufaika ipasavyo na fursa za kiuchumi zilizopo,…
26 March 2026, 17:23
Hatua hiyo inaonesha dhamira ya Jiji la Dodoma katika kuhakikisha usawa wa fursa za elimu kwa watoto wote, hususan wale wenye mahitaji maalum, na kuendelea kujenga jamii inayojali na kujumuisha kila mwananchi. Na Mariam Kasawa. Afisa Elimu Maalum Jiji la…
25 March 2026, 17:06
Mbio hizo za marathoni zinatarajiwa kukusanya jumla ya shilingi milioni 100. Na Mariam Kasawa. Mbio za Marathoni zilizoandaliwa na Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) linatarajiwa kufanyika katika Jiji la Dodoma 04/04/2026 huku mgeni rasmi akiwa ni Waziri wa…
25 March 2026, 16:43
Amekiri kusimama kwa ujenzi wa jengo la mama na mtoto ambalo limefikia kwenye hatua ya kupaua lakini ujenzi umekwama kwa sasa. Na Victor Chigwada. Wananchi wa vitongoji vya Ilolo na Muungano wilayani Chamwino wameiomba Serikali kuingilia kati ili ujenzi wa…
25 March 2026, 11:40
Elimu na masuala ya Mifumo rasmi ya Serikali ambapo wameajiriwa katika ngazi zote za Serikali ikiwa ni pamoja na Vijiji, Kata, Wilaya, Mkoa, Zahanati, Vituo vya Afya na Hospitali. Na Mariam Kasawa.Serikali imesema itaendelea kutoa ajira kwa Maafisa Ustawi wa…
25 March 2026, 09:45
Wananchi wametakiwa kutumia fursa hiyo ya kiteknolojia kujikwamua kiuchumi na kulinda miundombinu hiyo dhidi ya uharibifu. Na Mariam Kasawa Serikali imetakiwa kuendelea kuimarisha usimamizi wa miundombinu ya mawasiliano nchini ili kuchochea kasi ya maendeleo ya kiuchumi kwa wananchi wa vijijini.…
24 March 2026, 17:33
Pamoja na wale wote ambao kwa mujibu wa maoteo walipaswa kuandikishwa darasa la awali na darasa la kwanza, lakini hawajaandikishwa, waweze kupelekwa shule. Na Mariam Kasawa. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewapa siku 07 Maafisa Elimu Kata…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-