Dodoma FM

Recent posts

6 July 2026, 16:40

Adha ya maji Mwenzele wananchi wachangia vyanzo vya maji na wanyama

Wananchi wa Mwezele wameiomba Serikali kuharakisha utekelezaji wa miradi hiyo ili waweze kupata huduma ya maji safi na salama. Na Stephen Noel. Wananchi wa Kijiji cha Mwezele, Kata ya Mwezele Wilaya ya Mpwapwa, Mkoani Dodoma, wanasema maisha yao yamekuwa magumu…

3 July 2026, 16:54

Wanawake UWT watakiwa kushikamana na kuepuka migawanyiko

Wanachama wa umoja huo pia walimuomba Asia Abdallah kukubali kuwa mlezi wa umoja huo, ombi ambalo alilikubali, hatua inayotarajiwa kuimarisha zaidi uongozi na mshikamano wa umoja huo. Na Mwandishi wetu. MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)…

3 July 2026, 16:47

Wamachinga waungana kudumisha amani

Ameongeza kuwa biashara za wamachinga hutegemea mapato ya kila siku, hivyo uwepo wa mazingira ya amani na utulivu ni muhimu ili kuwawezesha wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao bila usumbufu na kuhakikisha uchumi wao unaendelea kukua. Na Anwary Shabani. Wafanyabishara wa…

3 July 2026, 16:27

Wajasiriamali Mpwapwa watakiwa kuzingatia kanuni za biashara

Baadhi ya wajasiriamali walioshiriki mafunzo hayo wameishukuru WAPEDO Foundation kwa kuwawezesha. Wamesema elimu waliyoipata itawaongezea maarifa na kuwasogeza mbele kibiashara. Na Stephen Noel . Wajasiriamali Wilaya ya Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, wametakiwa kuzingatia kanuni na taratibu za biashara ili waweze…

3 July 2026, 11:53

Mkenda ataka sayansi ilete matokeo kwa wananchi

Taasisi hiyo itaendelea kuunganisha utafiti, ubunifu na maendeleo ya kijamii na kiuchumi, huku Mfumo wa NISSTI ukitarajiwa kuwa jukwaa la kuwaunganisha watafiti na wavumbuzi nchini. Na Mariam Kasawa.Serikali imesema ni wakati wa kutathmini matumizi ya rasilimali zinazowekezwa katika utafiti na…

2 July 2026, 17:16

Serikali yaendelea kusisitiza huduma za usafi wa mazingira

Jukwaa hilo la siku mbili linaendelea hadi Julai 3, 2026, likiwakutanisha viongozi wa Serikali, wataalamu, wadau wa maendeleo na sekta binafsi kujadili namna ya kuimarisha huduma za usafi wa mazingira zinazowajumuisha watu wote kwa ajili ya maendeleo endelevu nchini. Na…

2 July 2026, 17:02

Jiji la Dodoma latangaza fursa za uwekezaji maonesho ya sabasaba

Akiongelea huduma zinazotolewa katika Banda la Halmashauri ya Jiji la Dodoma, alizitaja kuwa ni huduma zinazogusa wawekezaji na wafanyabiashara pamoja wananchi kwa ujumla wao. Na. Anwary Shaban. Halmashauri ya Jiji la Dodoma imejipanga kujitangaza kama kitovu cha uwekezaji, biashara na…

2 July 2026, 16:53

Tufikie Malengo ya 95-95-95 kutokomeza maambukizi mapya ya VVU

Mapambano dhidi ya UKIMWI ni suala mtambuka linalohitaji ushiriki wa kila idara. Na Stephen Noel. Jamii Wilaya ya Mpwapwa imetakiwa kuongeza juhudi katika kuzuia maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI na kuhakikisha watu wote waliogundulika wanaishi na virusi wanatumia dawa…

2 July 2026, 16:37

Wananchi watakiwa kuripoti matukio ya ukatili dhidi ya watoto

Kwa ujumla, wataalamu hao wameeleza kuwa ushirikiano wa wananchi katika kutoa taarifa kwa wakati, pamoja na kushirikiana na vyombo vya dola na watoa huduma za afya, ni hatua muhimu katika kuzuia na kupambana na ukatili wa kijinsia na ukatili dhidi…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger