Dodoma FM

Recent posts

7 September 2026, 16:43

Wakazi Ihumwa A walalamikia kukosekana kwa barabara za mtaani

Diwani wa Kata ya Ihumwa, Edwadi Magawa, amesema zoezi la ukarabati wa barabara za mitaa linaendelea kwa awamu, hivyo wananchi wanapaswa kuwa wavumilivu kwani litafika katika kila mtaa. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Mtaa wa Ihumwa A wamehoji kukosekana kwa…

7 September 2026, 16:26

Serikali yawekeza bil 67.9 kuboresha miundombinu ya TIA

Uwekezaji huo unaendelea kuonesha jitihada za Serikali katika kuimarisha miundombinu ya elimu ya juu na kuhakikisha taasisi za elimu zinakuwa na mazingira bora ya kutoa mafunzo yenye kukidhi mahitaji ya soko la ajira na maendeleo ya Taifa. Na Anwary Shabani.  …

4 September 2026, 17:08

Wananchi watakiwa kuthibitisha taarifa kabla ya kusambaza katika mitandao

Hamza Yussuph ni mtaalamu wa usalama mtandaoni (cyber security)amesema  athari za kutumwa kwa taarifa ambazo hazijathibitishwa kwenye mitandao ya kijamii kunaweza kupelekea madhara makubwa kwa mtu atakae tena au kutendewa kosa hilo. Na Ramadhan Juma. Matumizi ya mitandao ya kijamii…

4 September 2026, 16:43

VETA yaendelea kuimarisha ushirikiano na viwanda mbalimbali nchini

Hatua hiyo ya VETA kuimarisha ushirikiano na waajiri pamoja na kuongeza udahili wa wanafunzi inalenga kuhakikisha vijana na Watanzania wengine wanapata ujuzi unaokidhi mahitaji ya soko la ajira na kuwaongezea uwezo wa kujiajiri na kuajiriwa. Na Anwar Shabani. Mamlaka ya…

4 September 2026, 16:33

Uwekezaji wa kifedha watajwa kuwa muhimu kufikia malengo

Mtaalamu na mshauri wa masuala ya kifedha Bwana Thobias Swai,wananchi kuwa na fedha halali na kutafuta maeneo sahihi ya kuwekeza, ikiwemo benki, hisa, biashara, mashamba, majengo na mali zisizohamishika, huku akisisitiza umuhimu wa kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na taasisi…

4 September 2026, 16:20

Wananchi watakiwa kuzingatia usafi binafsi ili kuepuka magonjwa

Kemilembe dominick ni mtaalamu wa afya mwanafunzi yeye anasema mtu anapaswa kuwa na utaratibu wa kuoga na kusafisha mwili, kutunza meno, kucha na nywele, pamoja na kunawa mikono kwa sabuni. Anaongeza kuwa usafi wa mwili unapo zingatiwa husaidia kupunguza hatari…

4 September 2026, 16:02

Wizara ya afya yasisitizi wa umuhimu wa elimu ya afya ya akili

Mafunzo hayo yanayofanyika jijini Dodoma ni sehemu ya jitihada za kuimarisha huduma kwa watu wenye changamoto ya matumizi ya pombe, huku wadau wakisisitiza umuhimu wa kuunganisha huduma za afya ya akili na huduma nyingine za afya nchini. Na Elizabeth Mwinuka.                                            …

3 September 2026, 16:56

Nani anaathirika zaidi na mabadiliko ya tabianchi?

Makubaliano ya mjini Paris mwaka 2015 yaliweka kipaumbele maalum cha kuwawezesha na kutambua kwamba wanawake huathiriwa kwa kiasi kikubwa zaidi katika jamii kutokana na mabadiliko ya tabianchi. Na Mariam KasawaMiaka kumi baada ya Mkataba wa Paris, utoaji wa gesi chafuzi…

3 September 2026, 16:46

Wananchi watakiwa kutumia nishati safi kutunza mazingira

Baadhi ya wananchi wanaotumia nishati mbadala wamesema imekuwa na manufaa katika maisha yao ya kila siku, hasa katika kupikia, kutokana na kuwa rahisi kutumia na kusaidia kupunguza utegemezi wa vyanzo vya nishati vinavyoweza kuathiri mazingira. Na Daniel Njau. Uelewa wa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger