Dodoma FM

Recent posts

27 April 2026, 11:53

Watu wa karibu wanamlindaje msichana dhidi ya ukatili wa kijinsia?

Mabadiliko ya tabianchi yanachochea aina zote za ukatili dhidi ya wanawake na wasichana na tayari kuna mwenendo ulio dhahiri ambao pasi na shaka unazidi kupanuka kadri janga la tabianchi nchi linavyozidi kuwa baya. Na Mariam Kasawa. Ukatili dhidi ya wanawake…

17 April 2026, 17:35

Serikali yaombwa kupunguza gharama ya urasimishaji ardhi

Pamoja na changamoto hizo ndogondogo lakini wananchi baada ya elimu wamekuwa na mwitikio mzuri wa kurasimisha ardhi zao. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Chinangali ii Kata ya Majeleko wameiomba Serikali kupunguza gharama za urasimishaji ardhi. Wananchi hao wamesema…

17 April 2026, 17:08

Wananchi Nholi waitaka serikali kukamilisha ujenzi wa zahanati

Changamoto ya kukosa zahanati imekuwa ikipelekea wakazi wa Nholi kutembea umbali mrefu kufika makao makuu ya Kata Kijiji cha Mpalanga. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Nholi Kata ya Mpalanga wilayani Bahi wameiomba serikali kukamilisha zahanati inayojengwa kijijini hapo…

16 April 2026, 16:28

Ifahamu asili ya fimbo za machifu wa kabila la wagogo

Hapa chifu Lazaro Chihoma toka Himaya ya Bwibwi anaielezea fimbo hiyo. Na Yussuph Hassan. Machifu wengi husasani wa kabila la wagogo walikuwa na utaratibu wa kutembea na fimbo mikononi mwao je asili ya fimbo hiyo ninini

16 April 2026, 16:12

Mpango wa Ardhi waunda mustakabali bora Kiteto

Ripoti hiyo itasaidia kupunguza migogoro ya ardhi katika vijiji ishirini vilivyo ndani ya halmashauri ya Wilaya ya Kiteto. Na Kitana Hamis.   Wilaya ya Kiteto imetangaza ripoti maalum ya mpango wa matumizi bora ya ardhi, ikiwa na lengo la kupunguza…

16 April 2026, 15:57

Wanafunzi Mpwayungu waiomba serikali kuwajengea mabweni

Wanafunzi wa vijiji hivyo hulazimika kutembea kilomita 20 kila siku hadi kufika mahali sekondari hiyo ilipo. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa mazingira ya kupanga vyumba kwa wanafunzi wa sekondari Mpwayungu kutokana na umbali wa shule si salama kwao hasa kwa…

15 April 2026, 18:08

Kitendawili cha kisima cha Nyoka kwa wakazi Chang’ombe

Baada ya eneo hilo kutengwa kwaajili ya makazi ya watu eneo hilo la kisima cha nyoka lilifukiwa kwakati wa upitishaji wa barabara katika mtaa huo. Na Yussuph Hassan.Hadithi ya uwepo wa nyoka katika kisima hicho cha nyoka ambacho kinaelezwa katika…

15 April 2026, 17:53

Kiteto sekondari yatekeleza matumizi ya nishati safi

Kamati hiyo pia ilitoa rai kwa Halmashauri kuhakikisha teknolojia hiyo ya nishati safi inasambazwa katika shule nyingine zote wilayani humo ili kuongeza ufanisi na kulinda mazingira kwa kiwango kikubwa zaidi. Na Kitana Hamis Shule ya Sekondari Kiteto imeandika historia mpya…

15 April 2026, 17:40

Kadi za klinik kwa watoto na wajawazito ni bure

Taswira ya Habari imezingumza na Mwenyekiti wa Kijiji cha Muungano Bw. Matonya Mtukamsihi ambaye amekiri kusikia Malalamiko hayo kutoka Kwa wananchi. Na Victor Chigwada. Baadhi ya wanawake katika kijiji cha Muungano wilayani Chamwino wamelalamikia kuuziwa kadi wanapo wapeleka watoto kuanza…

15 April 2026, 17:30

Wazazi watakiwa kuthamini usawa kwenye elimu ya watoto

Licha ya changamoto mbalimbali lakini kumekuwa na muamko mkubwa  ndani ya jamii wa kuwapeleka watoto wa kike shuleni pasipo kukatishwa masomo hususani maeneo ya vijijini. Na Victor Chigwada. Jamii imetakiwa kutambua umuhimu wa elimu Kwa watoto wa kike ili kukuza…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger