Recent posts
3 September 2026, 16:20
Walimu watakiwa kuwalinda watoto na ukatili maeneo ya shule
Ametumia fursa hiyo kuwasihi walimu kuhakikisha wanasimamia elimu na usalama wa watoto katika shule zao. Na Stephen Noel.Walimu wameshauriwa kuwalinda watoto ili kuepuka vitendo vya ukatili vinavyoweza kujitokeza katika maeneo ya shule. Wito huo umetolewa na baadhi ya wakuu wa…
3 September 2026, 15:52
Mgogoro wa ardhi wapelekea nyumba kubomolewa
Huku kila upande ukisisitiza kuwa una haki ya kumiliki eneo hilo, kinachosubiriwa sasa ni ufafanuzi wa mwisho wa mamlaka za Serikali kuhusu umiliki halali wa ardhi hiyo na hatua zitakazofuata. Na Anwary Shaban Mgogoro wa umiliki wa ardhi katika eneo…
2 September 2026, 17:17
Uelewa mdogo wa jamii wachelewesha matibabu ya Selimundu kwa watoto
Duniani kote, Shirika la Afya Duniani (WHO) linaeleza kuwa hadi kufikia mwaka 2021, takribani watu milioni 7.74 walikuwa wanaishi na ugonjwa huu, huku asilimia 80 ya wagonjwa wote wakipatikana katika nchi za Afrika zilizopo Kusini mwa Jangwa la Sahara, ikiwemo…
2 September 2026, 16:46
Kukosa usingizi wa kutosha watajwa kuhatarisha afya
Wananchi wanahimizwa kutambua umuhimu wa kupata usingizi wa kutosha na kuacha kuuchukulia kama muda wa kupoteza, kwani kulala vizuri ni sehemu ya msingi ya kulinda afya na kuongeza uwezo wa kufanya shughuli za kila siku kwa ufanisi. Na Elizabeth Mwinuka. …
2 September 2026, 16:43
Watoto wafundishwe kuepuka utegemezi wa kila kitu kwenye teknolojia
Nchini Tanzania, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeweka National Digital Education Strategy 2025–2030 pamoja na miongozo ya elimu ya kidijitali na matumizi ya AI katika elimu. Na Crispine Gerald. Imeelezwa kuwa ni muhimu kuwafundisha watoto namna ya kutumia teknolojia…
2 September 2026, 16:24
Serikali yawataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya mvua za el-nino
Itakumbukwa kuwa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ilitoa utabiri Agosti 18, 2026 kuhusu uwepo wa hali ya El-Niño yenye nguvu inayoweza kusababisha mvua kubwa na madhara mengine, hivyo maandalizi yanahitajika ili kupunguza athari na kutumia fursa zinazotokana na…
2 September 2026, 16:16
Wanandoa watakiwa kusikilizana kuepusha vitendo vya ukatili
Upo umuhimu wa matukio hayo kuchukuliwa hatua stahiki yanapo ripotiwa kwani baadhi ya watu licha ya kutoa taarifa za ukatili. Na Victor Chigwada. Wito umetolewa Kwa wanandoa kuhakikisha wanaishi maishi ya kusikilizana na mapatano badala ya kutumia adhabu kurebishana au…
1 September 2026, 16:54
Elimu ya awali msingi bora wa kumuandaa mtoto
Hata hivyo, ubora wa elimu ya awali ni muhimu. UNICEF imeeleza kuwa baadhi ya watoto wanaweza kuingia darasa la kwanza bila kuwa wamepata maandalizi yakutosha endapo elimu ya awali wanayopewa haina ubora unaostahili. Na Crispine Gerald. Imeelezwa kuwa elimu ya…
1 September 2026, 16:44
Wakulima watakiwa kutumia mvua za El nino kwa kilimo
Wananchi wameendelea kusisitiza umuhimu wa kupata taarifa sahihi na kwa wakati kuhusu mwenendo wa mvua, huku wakitakiwa kuchukua tahadhari mapema kwa kusafisha mifereji, na kufuata maelekezo yanayotolewa na mamlaka husika. Na Peter Katemi. Wakulima wametakiwa kujiandaa kukabiliana na mvua za…
1 September 2026, 16:41
Wajawazito waonywa matumizi holela ya dawa
Daktari Benny Kimaro amesisitiza umuhimu wa wanawake wajawazito kutotumia dawa kwa mazoea au kufuata ushauri wa watu wasio wataalamu wa afya, bali kufika katika vituo vya afya wanapokuwa na tatizo na kupata ushauri kuhusu dawa inayofaa, kipimo na muda wa…