Recent posts
1 July 2026, 16:57
Jamii yatakiwa kuwa na utaratibu wa kupima afya kila wakati
Kwa upande wake, mkazi wa Mpwapwa, Bi. Dorin Mbilinyi, amesema wananchi wengi hasa wa vijijini bado hawana uelewa wa kutosha juu ya upimaji wa afya. Na Stephen Noel. Jamii Wilayani Mpwapwa mkoni Dodoma imehimizwa kuwa na utaratibu wa kupima afya…
1 July 2026, 16:43
Mlima Mautia umebeba historia ya kipekee ya jiolojia nchini
Tanzania ina fursa ya kuyatumia kama kivutio cha utalii wa jiolojia na kuongeza mchango wa sekta ya utalii. Na Anwary Shaban. Mlima wa Mautia uliopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma umetajwa kuwa moja ya maeneo yenye historia ya kipekee ya kijiolojia…
1 July 2026, 16:14
Watumiaji wa mifumo ya majitaka watakiwa kuwa na utu
Kampeni yake ya “Usafi wa Mazingira ni Utu” inayo tekelezwa na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira DUWASA jijini Dodoma inaendelea kutoa Elimu kwa Umma na kuwataka watumiaji wa mifumo ya majitaka kuwa wastaarabu. Na Mariam Kasawa. Mamlaka…
30 June 2026, 17:49
Unapambana vipi na ‘sogea tuishi’ za utotoni?
Bado ipo haja ya kutafuta ufumbuzi zaidi kwenye suala la ukatili wa kijinsia hasa uwepo wa ndoa za utotoni, ambao umekuwa ukikatisha ndoto za watoto wa kike katika elimu na pia kuhataria afya zao. Na Mariam Kasawa. Utafiti mpya wa…
30 June 2026, 17:27
Simboo ngoma ya Wasandawe inayochezwa na watu wenye mashetani
Mwana fahari bado tupo kijiji cha Farkwa wilayani chemba ambapo wakazi wa eneo hili ni watu wa asili ya kabila la wasandawe. Na Yussuph Hassan Katika simulizi ya aina mbalimbali ya ngoma za kabila hili la wasandawe wanasema kwa sasa…
30 June 2026, 17:04
Dodoma watakiwa kutunza mazingira
Shughuli hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea za kuhamasisha jamii kushiriki katika utunzaji wa mazingira na kuongeza uoto wa asili. Na Anwary Shaban. Mkuu wa Kitengo cha Maliasili na Mazingira katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Happiness Karugaba,…
30 June 2026, 16:47
Sekta ya bima kuchangia asilimia 3 ya pato la taifa
TIRA inaendelea kusimamia sekta ya bima kwa kulinda maslahi ya wateja na kuimarisha huduma, ikiwa ni sehemu ya kufikia lengo la serikali la asilimia 3 ya Pato la Taifa ifikapo mwaka 2030. Na Bennard Filbert. Kufikia mwaka 2030, Serikali inalenga…
29 June 2026, 18:04
Wananchi waonywa kuacha tabia ya kuvaa miwani bila kufanyiwa uchunguzi
Katika kupambana na changamoto hiyo, Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Bodi ya Optometria, inatekeleza Sheria ya Optometria Sura ya 23 ya mwaka 2007, inayosimamia huduma za macho nchini kwa kuhakikisha vipimo na uuzaji wa miwani ya macho…
29 June 2026, 17:52
Gharama kubwa ya vifaa kikwazo kwa watu wenye ulemavu kuchangamkia fursa
Hata hivyo, wapo watu wenye ulemavu ambao wameweza kujiajiri na kuendesha shughuli mbalimbali za kiuchumi, wakionyesha kuwa kwa kupata mazingira na msaada unaofaa wanaweza kufanikiwa kama wengine. Na Daniel Njau. Baadhi ya wananchi wanasema watu wenye ulemavu bado wanakabiliwa na…
29 June 2026, 17:34
Ufugaji wa kisasa fursa Kwa wanawake Mpwapwa
Elizabeth Pagama ni mwana kikundi cha ufugaji amesema wanatumia fursa ya uwepo wa ofisi za taasisi ya TALIRI Kikombo kujua mbinu za ufugaji bora. Na Stephen Noel . Zamani ufugaji ulionekana kama kazi ya wanaume tu lakini kadri Siku zinavyozidi…