Dodoma FM

Recent posts

1 July 2026, 16:57

Jamii yatakiwa kuwa na utaratibu wa kupima afya kila wakati

Kwa upande wake, mkazi wa Mpwapwa, Bi. Dorin Mbilinyi, amesema wananchi wengi hasa wa vijijini bado hawana uelewa wa kutosha juu ya upimaji wa afya. Na Stephen Noel. Jamii Wilayani  Mpwapwa  mkoni Dodoma imehimizwa kuwa na utaratibu wa kupima afya…

1 July 2026, 16:43

Mlima Mautia umebeba historia ya kipekee ya jiolojia nchini

Tanzania ina fursa ya kuyatumia kama kivutio cha utalii wa jiolojia na kuongeza mchango wa sekta ya utalii. Na Anwary Shaban. Mlima wa Mautia uliopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma umetajwa kuwa moja ya maeneo yenye historia ya kipekee ya kijiolojia…

1 July 2026, 16:14

Watumiaji wa mifumo ya majitaka watakiwa kuwa na utu

Kampeni yake ya “Usafi wa Mazingira ni Utu” inayo tekelezwa na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira DUWASA jijini Dodoma inaendelea kutoa Elimu kwa Umma na kuwataka watumiaji wa mifumo ya majitaka kuwa wastaarabu. Na Mariam Kasawa. Mamlaka…

30 June 2026, 17:49

Unapambana vipi na ‘sogea tuishi’ za utotoni?

Bado ipo haja ya kutafuta ufumbuzi zaidi kwenye suala la ukatili wa kijinsia hasa uwepo wa ndoa za utotoni, ambao umekuwa ukikatisha ndoto za watoto wa kike katika elimu na pia kuhataria afya zao. Na Mariam Kasawa. Utafiti mpya wa…

30 June 2026, 17:27

Simboo ngoma ya Wasandawe inayochezwa na watu wenye mashetani

Mwana fahari bado tupo kijiji cha Farkwa wilayani chemba ambapo wakazi wa eneo hili ni watu wa asili ya kabila la wasandawe. Na Yussuph Hassan Katika simulizi ya aina mbalimbali ya ngoma za kabila hili la wasandawe wanasema kwa sasa…

30 June 2026, 17:04

Dodoma watakiwa kutunza mazingira

Shughuli hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea za kuhamasisha jamii kushiriki katika utunzaji wa mazingira na kuongeza uoto wa asili. Na Anwary Shaban. Mkuu wa Kitengo cha Maliasili na Mazingira katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Happiness Karugaba,…

30 June 2026, 16:47

Sekta ya bima kuchangia asilimia 3 ya pato la taifa

TIRA inaendelea kusimamia sekta ya bima kwa kulinda maslahi ya wateja na kuimarisha huduma, ikiwa ni sehemu ya kufikia lengo la serikali la asilimia 3 ya Pato la Taifa ifikapo mwaka 2030. Na Bennard Filbert. Kufikia mwaka 2030, Serikali inalenga…

29 June 2026, 17:52

Gharama kubwa ya vifaa kikwazo kwa watu wenye ulemavu kuchangamkia fursa

Hata hivyo, wapo watu wenye ulemavu ambao wameweza kujiajiri na kuendesha shughuli mbalimbali za kiuchumi, wakionyesha kuwa kwa kupata mazingira na msaada unaofaa wanaweza kufanikiwa kama wengine. Na Daniel Njau. Baadhi ya wananchi wanasema watu wenye ulemavu bado wanakabiliwa na…

29 June 2026, 17:34

Ufugaji wa kisasa fursa Kwa wanawake Mpwapwa

Elizabeth Pagama ni mwana kikundi cha ufugaji amesema wanatumia fursa ya uwepo wa ofisi za taasisi ya TALIRI Kikombo  kujua mbinu za ufugaji bora. Na Stephen Noel . Zamani ufugaji ulionekana kama kazi ya wanaume tu lakini kadri Siku zinavyozidi…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger