Recent posts
5 June 2026, 17:20
Viongozi serikali za mitaa jiji la Dodoma wapewa mafunzo maadili ya uongozi
Usimamizi thabiti wa maadili na matumizi ya mawasiliano ya uwazi, viongozi hao sasa wanatarajiwa kuacha alama chanya na kuimarisha utawala bora, hatua itakayochochea maendeleo ya haraka na endelevu kuanzia ngazi ya mitaa hadi taifa kwa ujumla. Na. Anwary ShabanVIONGOZI wa…
5 June 2026, 17:04
Vijana Kiteto waaswa kutotegemea urithi wa wazazi
Viongozi wa dini wana wajibu wa kuendelea kuwahimiza vijana kuzingatia maadili mema. Na Kitana Hamis. Vijana wilayani Kiteto mkoani Manyara wameaswa kuacha kutegemea urithi kutoka kwa wazazi wao na badala yake kujikita katika kufanya kazi kwa bidii, kujiajiri pamoja na…
5 June 2026, 16:54
Mlebe waipongeza serikali kwa kuwasogezea huduma ya maji
kwa sasa wananchi wa eneo hilo wanapata maji kwa urahisi tofauti na awali. Victor Chigwada. Wakazi wa kitongoji cha Nyerere kijiji cha Mlebe wameipongeza Serikali Kwa kushirikiana na shirika la innovation of Africa Kwa kuwasogezea karibu huduma ya maji safi…
5 June 2026, 16:35
Washiriki 100 wa uchumi challenge 2026 watangazwa
Wakati huohuo, Serikali imeongeza zawadi za shindano hilo ambapo mshindi wa kwanza atapata shilingi milioni 50, wa pili milioni 30 na watatu milioni 20, huku washiriki wote 100 bora wakipata vyeti vya utambuzi na fursa za maendeleo ya kitaalamu. Na…
4 June 2026, 18:42
Jamii yatakiwa kuzingatia matumizi ya chakula salama
Wiki ya chakula salama uadhimishwa kuanzia tarehe 1 June hadi tarehe 7 June kila mwaka,na mwaka huu imeambatana na kauli mbiu inayosema kuwa,kutoka katika changamoto kuelekea suruhisho chakula salama kila mahali. Na Jerome John. Kuelekea kilele cha wiki ya chakula…
4 June 2026, 18:26
Tanzania kunufaika na mpango wa Grand Challenges
Akiongea katika hafla ya uzinduzi huo katibu mkuu ofisi yapili ya makamu wa Rais Zanzibar Dkt. Islam Seif amesema mpango huu wa Grand Challenges Tanzania utaleta maarifa ya kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo changamoto za afya, kijamii, mazingira, ukosefu wa chakula…
4 June 2026, 16:38
TASAC, NBS zasaini makubaliano sensa ya vyombo vya usafiri
Kwa mujibu wa makubaliano hayo, sensa ya Vyombo vya Usafiri Majini na Wajenzi wa Meli Tanzania Bara ya mwaka 2026/2027 inatarajiwa kutoa taarifa muhimu zitakazosaidia kuboresha usimamizi, usalama na maendeleo ya sekta ya usafiri wa majini nchini, huku ikiimarisha mchango…
4 June 2026, 12:13
UNICEF, TADIO, Wizara ya Afya mguu sawa dhidi ya ebola
Na Bakari Khalid Watendaji wa redio za kijamii kutoka maeneo mbalimbali nchini wanashiriki mafunzo yaliyoandaliwa na TADIO kwa ushirikiano na UNICEF pamoja na Wizara ya Afya, yenye lengo la kuimarisha maandalizi na mwitikio dhidi ya ugonjwa wa Ebola. Mkufunzi kutoka Wizara…
3 June 2026, 16:59
Zaidi ya walimu 3,100 wajisajili shindano stadi za ufundishaji
Aidha, shule zitakazotoa washindi wa kwanza katika maeneo ya Kusoma kwa Darasa la Awali, Kiingereza kwa Darasa la Kwanza na Ufaraguzi wa Zana kwa Darasa la Pili zitapatiwa vibao vya kielektroniki 100 vyenye thamani ya Shilingi milioni tano, hatua inayotarajiwa…
3 June 2026, 16:48
Wanufaika TASAF wapatiwa bima za afya
familia zenye kipato kidogo kushindwa kumudu gharama za matibabu wanapo umwa hivyo kupitia msaada huo wa bima za afya utawasaidia kupata matibabu kwa wakati. Na Victor Chigwada. Wanufaika wa Mfuko wa Kusaidia Kaya Maskini TASAF kijijini Chilonwa wailayani Chamwino wameishukuru…