Recent posts
13 August 2026, 11:07
Msajili wa Hazina, Fitch Ratings watathmini mageuzi ya taasisi za umma
Kampuni ya Fitch Ratings ilitaka kufahamu namna ilivyobadilika kutoka kipindi ambacho baadhi ya mashirika ya umma nchini yalikuwa yakikabiliwa na changamoto za kifedha. Na Mwandishi wa OTR Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na kampuni…
12 August 2026, 17:56
Utupaji taka holela wakithiri Miyuji
Kwa mujibu wa UN-HABITAT wanasema kwamba taka zinaweza kuleta madhara makubwa kwa afya ya umma, mazingira na hali ya hewa, lakini katika zama hizi sayansi, teknolojia na ubunifu wa hali ya juu vinaweza kuleta suluhu ya gharama nafuu katika changamoto…
12 August 2026, 17:38
Wapambaji kucha watakiwa kuzingatia kanuni za afya
Wataalamu wa afya wamewasisitiza umuhimu wa usafi katika maeneo ya utoaji huduma za urembo, wakieleza matumizi ya vifaa safi na vilivyotakaswa ni njia mojawapo ya kuzuia maambukizi na kulinda afya za wananchi. Na Grace Budodi. Wadau wa huduma za upambaji…
12 August 2026, 17:18
Unywaji wa pombe kupita kiasi ni kikwazo cha maendeleo
Matumizi ya pombe kwa kiasi yanaweza kuepusha madhara kwa mtu, familia na jamii, huku akiwataka wananchi kuweka kipaumbele katika kujenga maisha yenye tija na kuwajibika kwa familia zao. Na Daniel Njau. Unywaji wa pombe kupindukia umetajwa kuwa miongoni mwa vikwazo…
12 August 2026, 17:07
Kampeni ya mjue jirani kukomesha uhamiaji haramu
Baadhi ya wananchi wameendelea kusisitiza kuwa mapambano dhidi ya uhamiaji haramu hayawezi kuachwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama pekee, bali yanahitaji ushirikiano wa kila mwananchi katika kutoa taarifa na kulinda usalama wa nchi. Na Anwary Shabani. Uhamiaji haramu umeendelea…
11 August 2026, 17:52
Madereva watakiwa kuacha matumizi ya simu wanapokuwa barabarani
Wananchi wameomba elimu ya usalama barabarani iendelee kutolewa kwa madereva na wamiliki wa vyombo binafsi vya usafiri, huku madereva wakihimizwa kuwasiliana kwa simu kabla ya kuanza safari ili kuhakikisha usalama wao na wa watumiaji wengine wa barabara. Na Daniel Njau.…
11 August 2026, 17:44
Maafisa usafirishaji watakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani
Jeshi la polisi limeendelea kuwataka madereva wa bodaboda kuzingatia sheria za barabarani na kutumia vifaa vya kinga ili kujilinda wenyewe, pamoja na watumiaji wengine wa barabara. Na Ramadhani Juma. Jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani linawataka madereva wa bodaboda…
11 August 2026, 17:42
Jamii yatakiwa kuendelea kuchangia damu
Ziara hiyo ililenga pia kuhamasisha jamii, hususani vijana, kutambua umuhimu wa kuchangia damu na kushiriki katika kuokoa maisha. Na Bennard Filbert. Jamii imetakiwa kuendelea kujitokeza na kuchangia damu ili kusaidia kuokoa maisha ya watu wenye uhitaji wa damu katika maeneo…
11 August 2026, 17:20
Mama lishe Machinga walalamikiwa kumwaga maji taka mitaroni
Changamoto ya miundombinu ya soko la Machinga inachangia tatizo hilo, huku jitihada za kutatua kero hiyo bado zinaendelea. Na Grace Bugodi. Wafanyabiashara wa soko la Machinga jijini Dodoma wamelalamikia tabia ya baadhi ya mama lishe kumwaga maji taka katika mitaro…
11 August 2026, 17:05
Jamii yasisitizwa umuhimu wa kuendelea kulinda mazingira
Jukwaa hilo limekuwa fursa kwa wadau wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi kubadilishana uzoefu kutoka maeneo mbalimbali nchini, kujadili changamoto zinazowakabili wananchi na kuweka mikakati ya pamoja ya kulinda mazingira. Na Anwary Shaban. Mabadiliko ya tabianchi yameendelea kuwa changamoto inayogusa…