Recent posts
20 May 2026, 11:36
Serikali yatoa tahadhari kwa wanaotoa ushauri wa lishe mtandaoni
Hatua hizo zinalenga kulinda afya za wananchi dhidi ya upotoshaji wa taarifa zinazotolewa kupitia majukwaa ya kidijitali bila kuzingatia misingi ya kitaalam. Na Mwandishi wetu.Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, amesema Serikali inatambua ongezeko la watu binafsi na baadhi…
20 May 2026, 11:12
Mama lishe 300 wapatiwa mafunzo ili kukua kiuchumi
Kwa Dodoma, wajasiriamali 300 watakaoshiriki programu hii watapatiwa kila mmoja jiko banifu kama sehemu ya jitihada za kuhamasisha matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia. Na Mariam Kasawa.Jumla ya mama Lishe 300 wamepatiwa mafunzo ya “Rise mama lishe” yaliyoandaliwa…
19 May 2026, 17:47
Wananchi Dodoma watakiwa kutunza vyanzo vya maji
Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) ilianzishwa mwaka 2019 kupitia sheria ya maji namba 5 ya mwaka 2019. Na Elizabeth Tanzania. Wananchi mkoani Dodoma wamesistizwa kutunza vyanzo vya maji vilivyopo, kutokana na uchache wa vyanzo hivyo,…
19 May 2026, 17:16
Shule shikizi Matomondo kuwaokoa wanafunzi kutembea km 7 kila siku
Bado eneo hilo linakabiliwa na changamoto ya Wanafunzi wa shule ya sekondari matomondo kutembea umbali mrefu kila siku km 15 hadi shule ilipo. Na Steven Noel. Ujenzi wa shule shikizi katika kata ya Matomondo umesaidia kuondoa changamoto ya watoto wa…
19 May 2026, 16:46
Maswi awataka watumishi kuwajibika
Pia amewataka watumishi kuwahi kazini na kufanya kazi kwa kujituma, akisisitiza kuwa serikali imewaamini kwa kuwapa nafasi hizo wakati wananchi wengi bado wanatafuta ajira. Na Elizabeth Tanzania. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum,…
18 May 2026, 17:42
Kesi migogoro ya ardhi zaongoza Kondoa kampeni ya msaada wa kisheria
Kampeni hiyo imeratibiwa na serikali kupitia Wizara ya Katiba na Sheria kwa lengo la kutoa msaada wa kisheria bure kwa wananchi. Na Bennard Komba. Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia inayo ratibiwa na Wizara ya Katiba na Sheria…
18 May 2026, 13:59
Wananchi Mpwapwa watakiwa kutumia kituo cha TEWW kujiongezea maarifa
Baadhi wa wanufaika wa mpango huo wamesema Jamii inatamani kukutumia sana kituo hicho lakini upungufu wa vifaa unasababisha watu kuto jitokeza . Na Steven Noel. Wananchi wa wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma wameshauriwa kukutumia kituo cha maarifa cha Elimu…
18 May 2026, 13:09
Wananchi Ihumwa wakumbwa na hofu mikopo holela
Wananchi wamejikuta wakitumia gharama zao kufungua accaunt bank ili kupata mkopo huo na hadi sasa hawaelewi chochote kuhusu mkopo huo. Na Victor Chigwada.Wakazi wa Mtaa wa Ihumwa A jijini Dodoma wamegubikwa na hofu ya kutapeliwa baada ya kujitokeza wawezeshaji waliodai…
14 May 2026, 16:38
Wazazi watakiwa kuendelea kuwalinda watoto dhidi ya mitandao
Vile vile kupitia sheria ya mtoto kifungu cha 9 kinaeleza wajibu wa mzazi au mlezi kumlinda mtoto dhidi ya ukatili,udhalilishaji na mazingira yanayoweza kumdhuru. Na Jerome John. Wazazi na walezi mkoani Dodoma wamekumbushwa kuendelea kuwalinda watoto wao dhidi ya matumizi…
14 May 2026, 16:15
Wananchi Engusero waandamana kupinga kuondolewa kwenye maeneo yao
Wananchi wa Engusero wameendelea kusubiri majibu na ufafanuzi wa kina kutoka kwa mamlaka husika kuhusu mustakabali wa maeneo yao, huku wakisisitiza kuwa wanahitaji suluhisho la kudumu litakalowawezesha kuendelea kuishi kwa amani na kuendeleza shughuli zao za maendeleo. Na Kitana Hamis.…