Dodoma FM
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
Unywaji wa pombe pamoja na uvutaji wa sigara umetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazo sababisha ongezeko la magonjwa ya moyo, hususani kwa wanaume. Na Bennard Filbert. Hayo yameelezwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Jakaya Kikwete Cardiac Institute, Dkt. Peter…
26 June 2026, 16:21
Watu wenye ulemavu waliofikiwa wakiwa 3,266 lengo ni kuwajengea uwezo wazazi na walezi ili kuhakikisha watoto wanapata malezi bora. Na Mariam Matundu.Serikali imeendelea kuchukua hatua za kuimarisha ustawi wa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi kwa kuratibu vikao shirikishi vya kijamii…
26 June 2026, 15:51
Siku ya Ushirika Duniani huadhimishwa kila mwaka Jumamosi ya kwanza ya mwezi Julai. Mwaka huu, maadhimisho hayo yatafanyika Jijini Dodoma katika Ukumbi wa Jakaya Mrisho Kikwete kuanzia Julai 3 hadi 4. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya…
26 June 2026, 15:41
Hata hivyo, baadhi yao wameonya kuwa michezo inaweza kuwa na hatari iwapo watoto watacheza bila uangalizi wa watu wazima. Na Daniel Njau.Michezo imeendelea kutajwa kuwa sehemu muhimu katika ukuaji wa watoto, huku wananchi wakisema huwasaidia kuwa wachangamfu, kujifunza kushirikiana na…
26 June 2026, 15:01
Vijana wengi wakiwa wamehitimu vyuo na shule za ufundi bado wanakaa nyumbani bila kazi yoyote. Na Steven Noel. Ajira ni haki na fursa muhimu kwa kila raia, hasa vijana ambao ndio nguvu kazi ya taifa na ndio kundi kubwa lenye…
26 June 2026, 14:52
Mwanafahari karibu uweze kufahamu mengi kupitia simulizi na tamaduni za makabila mbalimbali kupitia fahari ya Dodoma. Na Yussuph Hassan. Ngoma hii inafahamika kwa jina la Landaa mchezo wa ngoma hii ulichezwa kwenye matukio na sherehe yoyote lakini ngoma hii huchezwa…
26 June 2026, 13:01
Muongozo huo unatarajiwa kuimarisha utawala bora, uwajibikaji na ufanisi katika uendeshaji wa mashirika yasiyo ya kiserikali nchini, sambamba na kuongeza mchango wao katika kuharakisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Na Anwary Shaban. Serikali imezitaka Taasisi na Mashirika yasiyo ya kiserikali…
26 June 2026, 12:48
Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo maboresho ya sera, sheria na mifumo ya kodi ili kuvutia uwekezaji zaidi katika viwanda vya mafuta ya kula na kuongeza uzalishaji wa ndani. Na Mariam Kasawa.Serikali imeahidi kuendelea kuweka mazingira bora kwa wawekezaji katika…
25 June 2026, 17:56
Wanasema kwasasa elimu na sheria imesaidia kwa kiasi kikubwa kukomesha mila ya ukeketaji haipo tena hivyo ngoma hii huchezwa kabla na baada ya watoto wa kiume kwenda jando. Na Yussuph Hassan.licha ya kabila hili kuwa na aimba mbalimbali za ngoma…
25 June 2026, 17:26
Kemikali migodini hutumika katika kuchuja, kutenganisha, na kuyeyusha madini kama dhahabu na shabakutoka kwenye miamba, pamoja na kutibu maji machafuKemikali kuu inayotumika ni Zebaki kwa wachimbaji wadogo. Na Victor Chigwada. Baadhi ya wachimbaji wadogo wadogo wa madini ya dhahabu katika…
25 June 2026, 17:06
Maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe katika Kijiji cha Gawaye yamekuwa jukwaa muhimu la kuwajengea wananchi uelewa kuhusu umuhimu wa lishe bora, kinga dhidi ya magonjwa na matumizi sahihi ya huduma za afya, hatua inayotarajiwa kuimarisha ustawi wa jamii…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-