Dodoma FM
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
98.4 MHz
Miyuji - Dodoma
+255 784 244 705/6
dodomafmradio@gmail.com
https://www.dodomafm.co.tz
Unywaji wa pombe pamoja na uvutaji wa sigara umetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazo sababisha ongezeko la magonjwa ya moyo, hususani kwa wanaume. Na Bennard Filbert. Hayo yameelezwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Jakaya Kikwete Cardiac Institute, Dkt. Peter…
14 May 2026, 16:38
Vile vile kupitia sheria ya mtoto kifungu cha 9 kinaeleza wajibu wa mzazi au mlezi kumlinda mtoto dhidi ya ukatili,udhalilishaji na mazingira yanayoweza kumdhuru. Na Jerome John. Wazazi na walezi mkoani Dodoma wamekumbushwa kuendelea kuwalinda watoto wao dhidi ya matumizi…
14 May 2026, 16:15
Wananchi wa Engusero wameendelea kusubiri majibu na ufafanuzi wa kina kutoka kwa mamlaka husika kuhusu mustakabali wa maeneo yao, huku wakisisitiza kuwa wanahitaji suluhisho la kudumu litakalowawezesha kuendelea kuishi kwa amani na kuendeleza shughuli zao za maendeleo. Na Kitana Hamis.…
14 May 2026, 15:58
kupanda kwa bei ya bidhaa kunatoka na bei ya usafirishaji wa bidhaa kuwa juu pamoja na kiwango kidogo cha uzalishaji wa bidhaa kutoka viwandani. Na Firdaus Makame. Wananchi jijini Dodoma wamelalamikia kupanda kwa bei za bidhaa hususani bei ya vyakula…
13 May 2026, 17:49
Masuala ya Kijamii Masuala ya kijamii kama vile ukatili wa kijinsia, ndoa za utotoni, na mimba za mapema pia ni masuala muhimu kwa vijana nchini Tanzania. Kwa mfano, takribani asilimia 37 ya wasichana nchini Tanzania wanaozwa kabla ya kufikia umri…
13 May 2026, 17:15
Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na shuka 300, glovu 150 za upasuaji, sindano 450 na paketi 90 za vifaa vya upasuaji. Na Mariam Kasawa. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma amepokea na kukabidhi vifaa tiba kwa hospital tatu za Mkoa wa Dodoma…
13 May 2026, 16:51
Mkutano huu ukalete tija kwa maafisa mazingira wote kwa kutoa Elimu na kuelimisha Jamii kwa ujumla juu ya maswala ya Taka. Na Anwary Shaban. Wananchi wametakiwa kutambua kuwa Taka ngumu ni mali, hivyo wanaweza kuzitumia na kuzirejeleza ili kuweka mji…
13 May 2026, 16:12
Aidha, Wakili Onyango amesema pande zote mbili zimesaini hati ya makubaliano kama uthibitisho wa kuhitimisha rasmi mgogoro huo. Na Mariam Kasawa. Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Awamu ya Pili) imefanikiwa kumaliza mgogoro wa ardhi uliodumu…
12 May 2026, 17:44
Kupanda kwa bei ya mafuta kumewaathiri kwa kiasi kikubwa kwani baadhi yao wamejikuta wakipokonywa pikipiki. Na Firdaus. Wananchi jijini Dodoma wamelalamikia kupanda kwa gharama za maisha hali inayopelekea biashara kukwama na maisha kuwa magumu. Taswira ya habari imetembelea mitaa ya…
12 May 2026, 16:59
Naye, Meneja wa Wakala wa Barabara mkoa wa Dodoma mhandisi Zuhura Amani amesema kukamilika kwa daraja hilo kutamaliza changamoto ya mawasiliano ya muda mrefu katika barabara ya Chamwino- Dabalo Itiso -Chinene Km 70 ambayo inaunganisha barabara ya Morogoro na Arusha.…
12 May 2026, 16:36
Aidha ametoa wito Kwa Wananchi kuzingatia taratibu za kisheria Ili kupunguza migogoro au kuepuka kuingia Katika makosa ya jinai. Na Stephen Noel . Wananchi wa wilaya ya Mpwapwa wamejitokeza kupata msaada wa kisheria unaotolewa na timu ya mama Samia Legal…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-